@Jambotv_
Kwanin Jakaya kikwete kama kwel anapenda haki,hakutoka hadharan kukosoa/kukemea kipindi ambacho nchi ilikua kwenye giza na wafanyabiashara walikuwa wanafanyiwa hayo mambo mabaya? Je Samia pia lini aliyakemea akiwa vice president?
WaTz tumegundua tatizo ni ccm, lazima tuwaondoe.
@Jambotv_
hizi ndo mentality za kiprofessor na kidaktari ninazozifahamu, thank u so much Prof. Lwaitama.
Angalau unaonesha elimu ya Tz ipo hai.
Kuna watu wakiongea hatujui ni madaktari, professor au ni kidato cha pili!
Chukulia mfano, Tulia, Ndumbaro, Kigwangala, kabudi na wengine wengi
@TanzaniaOneJezi
Uzuri ni kwamba watu wote tupo apa mtandaoni, na sio kwamba wewe unatusimulia, hapana tumeona wenyewe.
Wengine hatujahitaji mshindi, ila tulihitaji kuona hoja, kwanini huyu anahitaji tuwe na consistency kudai katiba mpya na kwanini huyu hahitaji consistency. Anaboost app yake.
@jokateM
@SuluhuSamia
Apo anafanya kazi gani? Yani unasifia anajilowesha kwenye sherehe. Hizo ni sherehe sio shida.
Aende akajiloweshe huko mikoani akiangalia madaraja na barabara zilizoharibiwa na mvua inayomlowesha. Hapo ndo tutajua anawatumikia wananchi.
Mtu anatafuta sifa kuloana uwanjani 🚮
@ayubu_madenge
ni dharau kubwa sana kwa serikal ya Tanzania kushindwa kusimamia mradi huu!
Yani serikali imeshindwa kusimamia mabasi kweli?Kifupi Dubai waje wakusanye pesa za mwendokasi? Maana mabasi yapo, barabara zipo, serikali imeshindwa nini?
Watz sio kila kitu ni cha kufurahia kusaidiwa
@IAMartin_
@airtel_tanzania
I'm very happy with you. I'm very glad to hear this.
Hii pia ni ishara ya ukomavu wa kudai haki yako popote pale.
Hivi vitu tunaviona ughaibuni tu, mtu anaenda kufungua kesi mtandao haukupatikana wakati anafanya Skype muhimu kwenye kazi yake hivyo amepoteza kipato.
Analipwa.
@YerickoNyerereT
@MsigwaPeter
@ChademaTz
Msigwa ni ( trusted puppet) alieenda kufanya kazi yake pale
#CCM
😂 😂
Sasa Tutegemee kuwafahamu wauaji, watekaji, na chain ya kuiba kura.
#Chadema
itashinda kwa kishindo chaguzi zote.
Huenda Tutegemee na katiba mpya kabla ya
#2025
Hiyo ni puppet msigwa's effect
@ExMayorUbungo
Watanzania,sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaidi wa kuboresha chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
@IAMartin_
hamna mwana ccm Mwenye uwezo wa kuisaidia nchii hii. Ni kama kundi la swala waliofulushwa na simba,ko kila mmoja anapita njia yake!
Hayo magar na bendera zao walikuwa wanatumia kutishia police kusafirisha pembe za tembo na Madini,leo mpaka binadamu 😭!
Let’s fight for our right
@TanzaniaOneJezi
Kiduku, nakuuliza hapa. Cheo cha Martin ndani ya chadema ni nani?
Ni heri ukazie matukio mabaya ya watu kama Ntobi sababu ni mwenyekiti wa chama mkoa lakini sio Martin!
Mbona ntobi huwa tunamuonya sana, sababu yule ni kiongoz wa chama sio influencer.
Wewe binafsi unahoja gani?
@AirTanzania
Watanzania, sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuimprove chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
@PMadeleka
Ooh my Jesus!! 😔. Wanataka wauwe nyie mnaowakosoa mahakani, wametaka kuua/wameshawauwa wanaowakosoa majukwaani, na Sasa wanawauwa wanaowakosoa mitandaoni.
Inasikitisha Sana, wanataka taifa libaki na watu wapumbavu watupu, ili wawatawale
@Ntobi_
Mange ni mtu wa kumshauri tu, maana ni muelewa pia. Hivi juzi tukiwasiliana na diasporas wengine alitoa point muhimu sana. Na tutaungana wote kwenye maandamano ya diasporas abroad kuunga mkomo azimio la mtwara. Pindi yatakapoanza.
Ko nadhani anapaswa kushauriwa tu.
@MariaSTsehai
@godbless_lema
Na safari hii lazima tumalizane na makonda, kama wanafkiri wamemtuma kuteka na kuua watu arusha bas subirieni majibu.
Yani kipindi hichi ni lazima atekwe mtekaji. What comes around goes around.
#makonda
karibu chuga.
#wadudu
sio wazaramo.
@eastafricatv
Watanzania wote tusambaze ujumbee huu wa mapinduzi kila mahali.
Wenye marafiki na Akaunti binafsi Instagram, Facebook, WhatsApp groups, telegram na kila mahali.
Sambaza ujumbe kila mmoja ajue tupo kwenye mchakato wa kuungana tuiondoe ccm kwa nguvu 💪.
#TUUNGANE
#WOTE
@Sirjeff_D
Pia Sativa atatueleza kama kweli aliwahi kupokea ujumbe huo ambao Ben alituma.
Kama kweli alipokea ujumbe wa Aina yeyote, basi tuamue
#Ben
awe unashinda ndani kama mwali usitoke nje.
Na mama ake asitoke nje ya Tz, Akija huku mantoni basi itapigwa gun kweupe,
#kisasi
@IAMartin_
@Sativa255
Mimi nasisitiza Sativa atatueleza kama kweli aliwahi kupokea ujumbe huo ambao Ben alituma.
Kama kweli alipokea ujumbe wa Aina yeyote, basi tuamue
#Ben
awe anashinda ndani kama mwali asitoke nje.
Na Ummy asitoke nje ya Tz, Akija huku mantoni basi itapigwa
#gun
kweupe,
#kisasi
🥺
@bbcswahili
vyombo vya habari vinaona msaada huu wa mchele umezua gumzo,lakini serikali haioni gumzo yoyote.ndo mana mpaka sasa hakuna ufafanuzi uliotolewa! Very shem
Let's Go Tz, go fight for our right 💪.
TZ sio nchi ya kutegemea msaada wa chakula ikiwa na raia 60m+ na ardhi ya kutosha.
@eastafricatv
TANZANIA, TANZANIA, TANZANIA 🇹🇿
Tuamke wote, AMKENI watanzania, sisi sio wanyonge Tena. Ni bora tupigane tuitoe
#CCM
ata kwa
#battlefield
ikibidi, kuliko kuendelea kuwaacha hawa watu watatumaliza wote. Sisi na vizazi vyetu vitaangamia.
Amkeni watanzania wote Tuungane.
@MariaSTsehai
hivi vitu vinaumiza sana,lakn mimi kwa linalofanyika kwa hawa servants nafurahi!
Why nafurahi? B'se servants wanaoneshwa ukatili wa maccm kwa mifano,wanaumizwa kwa mifano hai.
Tunaoijua ccm tunajua hawa servants wanafukuzwa kazi kijanja.Sasa watapata hasira ya kuiondoa madarakani
@nulphin
Kwa clab ya Yanga takribani wachezaji 7 walikuwa watanzania
Kama hapa nyumban wamezuiwa kuhoji,na kukosoa mambo ya ajabu yanayofanywa na serikal,zaidi wanaimba
#mamasamia
kwenye mpira. Je wataweza kugoma kwenye nchi ya watu? Upumbavu mlioutengeneza hapa umewagharimu wakiwa south.
@swahilitimes
Tanzanian, sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuimprove chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
@MariaSTsehai
Em tusaidieni historia sisi vijana wa 90's, hivi Nyerere nae alikuwa ni Rais ambae akiwakamata viongozi kwa magendo au uharifu aliwaachia waondoke bila kuwapeleka mahakamani?
Kama sivyo, huyu mama yeye role model wake ni Rais gani?
Let's Go Tz, go fight for our right 💪
@swahilitimes
TANZANIA🇹🇿, sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuimprove chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
@faisalkutty
What about Republic of Congo? Haven't you ever woke up and think about the bloodbath in Congo?
The world should consider humanity.
Help Gaza and Congo.
@Jambotv_
Watanzania, sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuimprove chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
@TanzaniaOneJezi
Mim matusi sipendi kaka angu, Nilichoandika umekisoma au umekurupuka kama bao la kwanza?
Nimekwambia "consistency" au hujui kingereza?
Mfano Huyo mange ana mchango mkubwa kwenye mapambano kuliko zitto kabwe?
Ila zitto nae anapuuzwa sabu saivi yupo kimaslahi !
Wewe hujaelewa nin
@MariaSTsehai
@Nkubaiv
That is very brilliant and constructive question. Nadhani jibu la swali hili linaweza kutoa picha ya kina na kutambua ukweli wa kilichofanyika.
Ni muhimu
@Nkubaiv
ujibu swali hili kwa niaba ya wengi.
Thank you so much
@MariaSTsehai
@timecaptales
@creepydotorg
Touched words from him "“I want to get a nice house. I haven’t found it yet, but I’ll be looking for one soon. I like to handle money. I don’t beg, I don’t borrow,” - Campbell
@TanzaniaOneJezi
Sisi wenye akili timamu tumempuuza ZITTO. nani alie timamu atakubaliana na zitto kwamba hii tume ni huru?
Na hitaji kubwa la zitto mpaka sasa ni kwamba hii tume iliyopo ijiuzuru,Samia aunde nyingine afu zitto ndo atakubaliana nayo😂
Ni mpumbavu kama wewe tu ndo hawezi kumpuuza.
Shangazi uko wapiiii? Njoo umtetee kiongozi mwanamke anatukanwa mitandaoni.
Shangazi mwenyewe ndo kwanza anatoa muongozo mzuri wa kupiga spana pale
#space
🤣🤣🤣
#CCM
Jiandaeni kuondoka tu hakuna namna nyingine ya kupata unafuu.
#changeTanzania
Hiku chama kilikuwa wapi wakati TCRA walitunyanyasa? Walikuwa wanafurahi kwenye kundi lao! 🙄
Walikuwa wapi kuongelea dhulma dhidi ya wamaasai na mauaji! Wanachama wao walitumika kusambaza uongo na chuki!
Sasa leo wanapata wapi ujasiri kutaka nitetee kiongozi wao?
Mnipishe!
@mwigulunchemba1
Sasa mkifungia mtandao wa X, hizi taarifa utazichapisha kupitia mtandao upi
@mwigulunchemba1
?
Nilifikiri mtaanza kuonesha mfano wa mbadala wa mtandao mtakao utumia kusambaza taarifa zenu Baada ya kufungia huu wa X ili tuujue.
tunasubiri ukaseme shida ulizotuletea awamu hii
@MariaSTsehai
@SuluhuSamia
Samia nchi imemshinda na wananchi hatumtaki tena, hivi sasa wote mnaona ambavyo ana andaa matumizi ya nguvu kwenye uchaguz ujao ili kuiba uchaguzi.
Kitendo cha Rais Samia kufanya udanganyifu wa tume huru na kuzuia kabisa katiba mpya ambayo kila mTz anaitaka ni Uthibitisho tosha.
@chapo255
Wngine tulitegemea mpaka sasa ili kuepusha taharuki na chuki dhidi ya serikali kwa hii kauli Rais angekuwa ameshamuwajibisha waziri ajiuzulu
Lakini hafanyi hivyo, amefurahia tu. wananchi tutawawajibisha wote.They won't return into power though
Let's Go Tz, go fight for our right
@MariaSTsehai
Vipi watu wa DPW wakigoma kutoa access kwa TISS?
Actually hii bandari kupewa DPW kuna biashara nyingine nzito ya siri ipo nyuma ya pazia.
Wakiweka workers wao tutajuaje imports na exports kupitia bandari?
Watapitisha na kutoa kila aina ya maliasili wanazotaka, very easily.
@Roma_Mkatoliki
Kimsingi msigwa kuingia
#CCM
ni
#intelligence
ya chadema ipo kazini. Msigwa ni trusted puppet anaekamilisha kazi ya kuibomoa
#CCM
na kuiondoa madarakani.
Msigwa bado ni mwanachadema mwaminifu, nitakuwa wa mwisho Kuja kuamin kwamba aliondoka.
Msigwa kuwa CCM ni
#Intelligensia
tu
@MalisaGJ_
Pia Sativa atatueleza kama kweli aliwahi kupokea ujumbe huo ambao Ben alituma.
Kama kweli alipokea ujumbe wa Aina yeyote, basi tuamue
#Ben
awe unashinda ndani kama mwali usitoke nje.
Na mama ake asitoke nje ya Tz, Akija huku mantoni basi itapigwa gun kweupe,
#kisasi
@MariaSTsehai
Hahah 😂 😂, dah. Inabidi tucheke na kufurahi as if ni jambo zuri.
Lakini nazidi kujipa moyo na Imani kwamba msigwa is still our own trusted soldier.
Natumaini kwa Sasa Tutegemee kuwafahamu wauaji na watekaji.
Intelligensia ya
#Chadema
imekuwa kubwa kuliko usalama wa Taifa.
@MariaSTsehai
@SuluhuSamia
Yani kuna muda Rais Samia anashindwa kueleweka asaidiwe kwa namna ipi?
Mawaziri wake wote tayari wanamsaliti na hakuna anaemsaidia kumwambia ukweli kwa lolote ili awe salama mbele ya wananch wake.
Leo mwananch kama huyu baada awe ni jicho lake la mtaani, yeye anamkamata, kweli!!
@Jambotv_
Mzee Warioba tulikumiss sana. Shukrani umekuja wakati sahihi wa kuyashughulikia haya madhulmat
#maccm
. Najua umeyaeleza sana ila hayaelewi. Ndo mana uliandika maoni pendekezi ya wananchi kwenye rasimu ya katiba.
Watz sasa tuamke tuwaondoe
#CCM
kwa
#nguvu
ikibidi kwa
#battlefield
And this is how innocent people are disappearing in Tanzania 🇹🇿, under President H.E SAMIA SULUHU.
Up to now a number of people are claimed to disappear under enforced means. The pre-Trusted source reveals that those people are disappearing under Police arrest.
#whereismusamziba
🚨🚨
#Tanzania
#EnforcedDisappearances
#WhereIsMusaMziba
(Details of his abduction)
TUPAZE SAUTI‼️
Taarifa kamili ya kutekwa kwake:
👇🏾👇🏾👇🏾
Musa Venerable Mziba ni mfanyabiashara mwenye kampuni inayoitwa Mzibaz Empire Investments Ltd (MEI) yenye ofisi zake eneo la Mikocheni B.
@MariaSTsehai
Watz wote lengo letu ni moja tusambaze ujumbe huu kila mahali
Wenye marafiki na Akaunti binafsi Instagram, Facebook, WhatsApp groups, telegram na kila mahali.
Sambaza ujumbe kila mmoja ajue tupo kwenye mchakato wa kuungana wote tuiondoe ccm kivyovyote,
#kinguvu
#TUUNGANE
#WOTE
@IAMartin_
@sukununu01
Imagine kama hilo kosa la line wapo nalo serious, ni watu wangapi wanatumia line hazina majina yao?
Je kosa linakuwa kosa mpaka mtu afike mahakamani?
Wafike leo vyuoni, karibu kila mwanafunzi line sio ya jina lake.
Mwanafunzi alietoka 4m4 akaenda diploma iyo nida kaipata lini?
@KingPablotz
The iron hand 😟
Kufanya Bunge lote liwe la chadema ili maendeleo yawaishwe! Hivi sasa bunge lile limekuwa tatizo la kwanza kwenye hii nchi.
Natamani aamke ajionee hali halisi na aseme ikitokea mtu akarudia kosa kama hili kuwapa chadema bunge lote apewe adhabu gani?
Alitukosea.
@BabaMwita
Watanzania tunaomba tusambaze ujumbe huo wa mapinduzi kila mahali.
Wenye marafiki na Akaunti binafsi Instagram, Facebook, WhatsApp groups, telegram na kila mahali.
Sambaza ujumbe kila mmoja ajue tupo kwenye mchakato wa kuungana tuiondoe ccm kwa nguvu 💪.
#TUUNGANE
#WOTE
@millardayo
TANZANIA, sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuimprove chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
@lifeofmshaba
Hii ngoma ni nzito sana, watumishi wananasa on "rat trap".
Binafsi naamini ni mtu mwenye uelewa mdogo na asiekuwa makini wala asiekuwa na msimamo ndo anaweza nasa on the rat trap.
Sasa nitashangaa kama maandamano ya Dar wafanyakazi wa
#TPA
Hawatakuja na mabango kumpinga
#Samia
@godbless_lema
Tanzania, sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuimprove chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
@MariaSTsehai
The final goal is to withdraw
#CCM
from the power as we know it!
CCM sio wa kuwapatia muda zaid wa kuboresha chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu, ata kwenye
#battlefield
@miz_jim
I love the way my man handles me, I love the most when he rolls me well in sides of the bed 🥰
That's all I know ❤️👏
And don't forget to connect with me
@Gomeezmarketer
and I'll fb
Repost to show some love ❤️🥰
@Saraphinalaul78
@Saraphinalaul78
Najua una maanisha umetongozwa sio?
Hilo nalo ni jambo la kutangaza hapa kwenye Public?
Sio fair, hilo ni jambo la kijamii, kiutu na kawaida kabisa.
Tuache ushamba, muda mwingine tuongee mambo sensitive wanawake. Ili tujenge jamii yetu.
@godbless_lema
Huenda wakazid kuongezeka!Fikiria kama yule mwnamke ni mbunge mwakilish wa vyuo vikuu ansema wasom waache kumkosoa Rais,bunge,na viongoz wa serikal ili wpate nfasi za kuwa viongoz
Aliemwmbia wote tunataka kuwa viongozi nani?Na kwanni wasikosoe ndo wawe viongoz?anataka wwe chawa?
@eastafricatv
TANZANIA, sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuimprove chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
Vijana wa Tz wote (wanawake kwa wanaume) tukiwa wapumbavu kama
@ComradeKawaida
basi nchi itateketea zaidi kuliko ilivyo hivi Sasa.
@ComradeKawaida
is such a f*ucking black as*🚮
Sijui kinatafuta Kik? Kikaka chenyewe kibaya kama kimnyama gani sjui🙄 Kama kipaka kisicho na matunzo
@BabaMwita
TANZANIA, sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuimprove chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
Age gaps in Relationships: How much is too much?
So, how can you embrace the age difference, and how much is too much? follow on the thread to find out.🫢🤫🤪
Thread
@ayubu_madenge
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuboresha chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo la kuitoa ccm sio la kuwaachia wanasiasa,msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu,kila Mtu awe tayar kupamban na ccm muda wowote kutoka sasa.Tujiandae
@MalisaGJ_
Hahah 😂 😂, Lakini kwa maoni yangu na kisaikolojia naona kitu tofauti kabisa.
Ninachoweza kusema ni kwamba Sasa Intelligensia ya
#Chadema
imekuwa kubwa kuliko usalama wa Taifa.
Sasa
#CCM
wataandika mipango yao yote ndani ya diary ya
#chadema
😂😂
@MariaSTsehai
@SuluhuSamia
Samia anachostahili kwa sasa ni kuondolewa madarakan tu.
Ata umuoneshe njia bora za kuongoza taifa bado hata zingatia chochote.
Watanzania tumuondoe.
Father's Day comes just once a year, and while you can celebrate your dad the other 364 days, it's especially important to let him know just how much he matters on the one day set aside just for him.
see a short thread 🧵
Kwa kauli hizi,mange kimambi kashindwa kufumbia macho uovu. Alichokosea ni kutoa matusi tu, lakni kila kitu ni watanzania wanapitia kwa sasa.
Rais Samia hafai kuongoza
#dola
hana uwezo wa kuongoza. Amezuia katiba mpya,kaongeza sheria mbaya za uchaguzi. Tumuondoe samia madarakani.
@BabaMwita
Wenye marafiki au Akaunti Instagram, Facebook, WhatsApp groups, telegram kila mahali.
Sambaza ujumbe kila mmoja ajue tupo kwenye mchakato wa kuungana tuiondoe ccm kwa nguvu 💪.
#TUUNGANE
#WOTE
tuitoe CCM kwa nguvu 💪.
#Tutaelewanatu
in shangazi voice.
@IAMartin_
@AdilSuleym92411
This is Very brilliant question! Lakni swali hili ni muhimu lifike bungeni. Mana kiuhalisia jibu ni hapana.
Lakini walioweka hizo stahiki je ibara ya 23(1) hawakuiona? Nadhan waliweka kujinufaisha wao na familia zao, labda walijua watabaki madarakani milele.
Tudai katiba mpya.
@frediejustine
@BendaNasciment1
Kaka kila kitu upo sahhi, lkn why haushauriki?
Acha mambo ya humu mtandaoni,umemjibu huyo kaka kwamba huwezi kuimpress humu kila siku, sasa mbona saivi una impress?
Bro ongeeni nje ya mtandao,Elewa basi. Unadhani kwanini lema kakushauri nje ya mtandao? Humu angeongeza tatizo tu.
@MariaSTsehai
Hahah 😂 😂, Lakini kwa maoni yangu na kisaikolojia naona kitu tofauti kabisa.
Ninachoweza kusema ni kwamba Sasa Intelligensia ya
#Chadema
imekuwa kubwa kuliko usalama wa Taifa.
Sasa
#CCM
wataandika mipango yao yote ndani ya diary ya
#chadema
😂😂
Serikali hii kila kitu mpaka isukumwe kwa spana ndo inafanya.
jeshi la polisi Zanzibar linatumikia na kuilinda katiba ipi? Kamanda wa jeshi la polisi mjini Magharibi ACP Abubakar Khamis Ally, hajui sheria za nchi? Kivipi ACP wa jeshi la polisi awe hajui sheria anazosimamia?
⬇️
@MariaSTsehai
@SuluhuSamia
Cheo, cheo, cheo!!
Watu wanatendeana mabaya sababu ya vyeo!
Najua 💯% Rais Samia anatambua ukweli wote mambo yalikuwaje na kila kila kitu kilichotokea.
Pia najua Samia anatambua lengo la watu hao waliotenda ubaya
Je lengo la hao watu limetimia? Kama bado basi watamfanyia na yeye
@MariaSTsehai
#Makonda
hiyo kauli yake ni ya kutafuta huruma tu. Kuonekana yeye ndo anawindwa wakati yeye ndo muwindaji.
Lakini haijalishi, wana Arusha ninachojua watakula nae sahani moja. Wote tunamuangalia makonda atafanya nini.
#JKT
tuliwahi kufundishwa muwai adui kabla hajakuwai yeye.
@Jambotv_
TANZANIA, sasa ni wakati wa kuchukua maamuzi magumu. Kila kitu kina mwisho wake
CCM sio watu wa kuwapatia muda wowote zaid wa kuimprove chochote kwenye maisha yetu, taifa letu na kizazi chetu.
Hili jambo sio la kuwaachia wanasiasa, msaada wao utagonga mwamba!
Tuitoe kwa nguvu
Mtoto huyu angekuwa nchi nyingine tofauti na
#Afrika
huenda hivi sasa angekuwa ni milionea kupitia
#sanaa
yake.
Repost dunia imjue na kuonesha upendo kwa mtoto huyu.
@ExMayorUbungo
I love the Unit and great solidarity that we have.
Kilichobaki tujipange kuingia barabaran bila kikomo tu, tufike mpaka ikulu tukamalizane nae.
#mapambanoyaendelee
@Jambotv_
@John_Pambalu
sikiliza kaka, bado haujatangaza vizuri.
waeleze watu wazi kwamba mandamano haya ni maandamano ya tofauti na yote yaliyowahi kutokea
Mandamano haya lazima tuoneshe impact, tutaandamana huku tunavyoshinikiza vijibiwe kabla hatujayamaliza, otherwise tutaamua wenyewe.
🚨NAONA UPINZANI UKICHUKUA MADARAKA MAPEMA KABLA YA OCTOBA 2025
Uchaguzi wa OCTOBA 2025 ni uchaguz ambao tunaenda kupiga kura ya kuthibitisha kuiondoa CCM madarakan kidemokrasia.Ila kimsingi
#CCM
inakuwa imeshaondolewa.
Jambo hili TISS wanalijua lakn hawamuelezi ukweli SAMIA
🧵
@nyuki_malkia
@nyuki_malkia
kwa kuwa wewe ni mwanamke mwenzangu and if you're really serious, nitaweza kukusaidia. I have some acres there in the region. Naweza kukusaidia umiliki acres zako pia kwa iyo 5m. Nitakusaidia contacts za landlords walioniuzia mimi ili wakutafutie na wewe.