@godbless_lema
Tatizo kubwa la Tanzania ni kuwa na wapinzani wenye very low IQ, wengi hawakumaliza shule , ni drop out, Lema ni form two droup out , Mbowe form six leaver na wengine wengi.
Mnatakiwa muwe intelligent , mnaweza kuchukia lakini nawaambia ukweli uwezo wenu wa akili mdogo sana,