''Si walikuwa wameshindwa na kazi? ...
Walikuja kwetu wakiwa wamepiga magoti chini wakiomba tafadhali tupe watu wenu wanaojua kazi''
-
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, amesema kuwa utawala wa Rais wa Kenya, William Ruto ulimuomba awasaidie kuiongoza taifa hilo
TUNAOMBA RADHI:
Awali tulichapisha kimakosa ujumbe uliosema kwamba kumethibitishwa kisa cha corona Tanzania.
Ujumbe huo ulichapishwa kimakosa na tumeufuta.
Tunaomba radhi kwa usumbufu na tumechukua hatua kuhakikisha kosa kama hili halitokei tena.
'Klabu ya Yanga ya nchini Tanzania imeandika rekodi mpya ya kucheza mechi mfululizo bila kupoteza, ikifikisha michezo 49,rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na klabu yoyote kwenye historia ya soka katika ukanda wa Afrika Mashariki'