Anaitwa Vicent Nundwe, alikuwa Mkuu wa majeshi nchini Malawi kabla ya Raisi Peter Mutharika kumfuta kazi mwezi March kutokana na kuwasisitiza wanajeshi wasitumie nguvu dhidi ya waandamanaji na badala yake wawalinde. You earn our Respect SIR!!
.. Nimefurahi kukutana na Kaka
@Salym
hapa Aishi Hotel Machame, atafanya mahojiano na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh. Freeman Mbowe. Nimemuambia amuulize maswali magumu, ameniahidi kufanya hivyo.
Wakuu mmeona ule waraka wa wakenya wanamuomba
@kigogo2014
akafanye kazi uko kwao maana wanatuonea wivu? Ndugu zetu wakenya chukueni Wasafi, konde gang, TMK,Y2K, Taifa Stars, CCM ata mkipenda na bonde la ufa Ila Kigogo mtuachie 😂 😂.
Police wa Jimbo la Florida nchini US wameweka silaa zao chini na wakapiga magoti mbele ya waandamanaji kuwaomba msamaha, wamekubali kubeba lawama kwa kifo cha Floyd. Humanity restored 😊.
#AllLivesMatter
Raisi wa SA amesema hana cheo chochote SADC lakin ameamua kuitisha mkutano, amefanya hivyo baada ya kumpigia Rais Magufuli simu aitishe mkutano lakini akamuambia waandike tu maoni kisha wamtumie. Pia amesema amesikitishwa sana na SADC kukosa muwakilishi kwenye mkutano ulopita. 😔
.. Mwaka 2012 John Mnyika alimkosoa Rais Kikwete na kumuita "Dhaifu" wazandiki wakaenda Ikulu kumshauri amdhuru (kumkamata or kumpotezea). Mzee wa Msoga akawaambia "let him be, he's just a boy building his Political Carrier. Nendeni kwenye majukwaa mkaonyeshe mimi sio Dhaifu.
.... Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameomba mazungumzo na Urussi ili kunusuru nchi yake. Ameridhia kufanya hivyo endapo tu atahakikishiwa usalama wake na Familia.
Hongera sana Mh Rais kwa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na boss wa WHO , China , US , Oman , UAE na marafiki wengine wa Zanzibar ili kuomba msaada wa dharura kabla hamjaelemewa na maambukizi ya Covid-19,, ni hatua muhimu katika kuokoa maisha ya ndugu zetu wa Zanzibar.
Wakuu tuchukue nafasi hii kuwapongeza Jeshi la Polisi zaidi sana IGP wetu Simon Sirro kwa kusimamia kwa uimara mkubwa mapokezi ya kiongozi wa Upinzani Mh Tundu Lisu bila ya uvunjifu wowote wa amani. Mungu aendelee kuwalinda na kuwajaza Hekima na Busara Mashujaa wetu wanaotulinda
David Silinde una muattack Freeman Mbowe personally na kusema amefanya uamuzi wa kitoto!? Nikukumbushe Kamati kuu ndio imefanya uamuzi! Kumshambulia Mbowe ni shambulio kwa CHADEMA, this is the biggest mistake you've ever made in your life. Itunze hii tarehee 😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔
.. Skia JoBo usiwe mnyonge Peleka Hoja Bungeni ya kutokuwa na Imani na Rais. Hoja yako ni ya Msingi, Madeni yanaliumiza Taifa. Tuko nyuma yako masta 🤣😂
Hajajenga reli, hajanunua ndege, hajajenga madaraja, hatangazwi kwenye media, hatembei na wasanii wala viongozi wakubwa wa kisiasa, hana mabango mjini, just YEYE na MUNGU. Catch him if you CAN.
#T2020TAL
#PeoplesPower
...Russia haijawahi kuitawala Africa kwa Mabavu, hawajawahi kuiba rasilimali zetu, kutesa babu zetu na pia hawajawahi kuivamia Africa kwa vifaru na Mabomu kama NATO na Mataifa ya Ulaya. Napenda Demokrasia ila sipendi Demokrasia inayoenezwa kwa Mtutu wa Bunduki. Niuwenii
... Kila nikiwaza how LISU survived 36 BULLETS wakati Shinzo kapigwa moja tu ya MGONGO na ikatosha kukatisha maisha yake, napiga goti na Kumtukuza MUNGU wa Lisu. Hallelujah!
Jumapili ya leo mbali na mambo mengine pia tuitumie kumuombea Kheri na Baraka aliekuwa Governor wa B. o. T, Waziri wa Fedha na baadae Muasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mzee wetu mpendwa Edwin Mtei, his legacy will live forever.
..Inasemekana Mercenaries toka Tanzania, Morocco, South Africa na maofisa wawili wa Usalama wa Ufaransa walikuwa kwenye Helicopter iliyodunguliwa jana karibu na mji wa Mariupol, Ukraine.
Tundu Lisu
Askofu Bagonza
Maria Sarungi
Maalim Seif
Freeman Mbowe
Mussa Assad
Fatma Karume
Hellen Kijo Basimba
Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema aendelee kuwatia nguvu, afya njema na ujasiri. Heaven is for you 👏👏👏👏👏
.. Rais wa Marekani Joe Biden ameonya endapo chokochoko za Urusi zitapelekea kuzua Vita ya Tatu ya Dunia basi wajiandae vyema kwani vita hiyo itapiganwa kwenye Ardhi yao na si Ukraine.
Ile siku kina HALIMA walivyoapa niliumia sana,, ilinibidi kuketi na kuandika waraka kwa Mh. Freeman Mbowe na kumtumia, kisha baadae kuusambaza kwa watu wote. Alinijibu "Ahsante kamanda nimekusoma" his response warm my heart, najivunia sana kuwa sehemu ya CHADEMA.
.. Hii picha ilipigwa June 9. 2018 Muda mfupi kabla ya kikao cha G7 kuanza huko mjini Quebec, Canada. Trump aliwauliza "tunafanyaje mkutano wa Mataifa makubwa yenye nguvu za Kiuchumi duniani bila Ushiriki wa Urussi"? ndo ikabidi kizuke kikao ndani ya Kikaoo. 😂 😂.
Mama Ana Mghwira ni miongoni mwa viongozi wa chache kwenye utawala wa Shujaa waliokuwa na Chembe za utu. wakati wa kampen aliwasih ma DC, DED, OCD na viongoz wengine wajitahidi kutenda haki, alipinga matumizi ya nguvu ya siyo ya lazima dhidi ya wapnzani. Namtakia happy retirement
Risasi 16 mwilini, alipoteza 40% ya Damu ambapo madaktari walikiri sio kawaida mgonjwa kupoteza kiasi hicho cha damu na akaishi, aparation zaidi ya 20 hatimae Leo kasimama na Anarudi Nyumbani. Siendi kumuoma LISU naenda kuona Matendo makuu ya MUNGU aliemponya.
#LisuHomecoming
Mfahamu Maria Sarungi Tsehai
Ni mtoto wa Prof. Mikol Philemon Sarungi, baba yake ni Daktari bingwa wa mifupa lakini pia amewahi kuhudumu kama Mbunge wa Rorya, Waziri wa Afya, Mawasiliano na baadae waziri wa Elimu. Maria Sarungi ni..
Mwigulu seriously!! Kwahiyo Kagame, Uhuru, M7, Ramaphossa wao ni manesi? Mbona wako Frontline kutekeleza wajibu wao? una watoto nyumbani na wana smartphone wanaona ivi vitu, ukiamka kuchangia since huwezi kuongea kwa ajili ya watanzania have some respect for ur family basi.
.. Sema USA inapitia wakati mgumu kinoma
Kabla ajamalizana na Russia, mara India kamdungua Pakistan, mara Iran kamchapa Iraq, mara China anapitisha ndege za Kivita kwenye anga la Taiwan, mara North Korea anatest mitambo. Kazi kweli kweli 🙄
Police wanashusha bendera za CHADEMA mda huu mjini SAME,, ikumbukwe leo tuna kikao cha Ndani na uongozi wa Kanda kitakachoongizwa na Mh Godbless Lema.
#ChangeTanzania
@RealHauleGluck
@halimamdee
Piere Nkurunzinza; 🇧🇮
👉 2015 alibadilisha Katiba awe Rais kwa Awamu ya 3.
👉 2020 kabadilisha SHERIA apewe TZS 1.2 bil na kasri akistaafu
👉 2020 kabadilisha SHERIA aitwe Supreme Leader akistaafu.
💠Jana KAFA kama binadam wengine.
Be humble it cost nothing.
Cc:
@fatma_karume
Tumemaliza salama Uchaguzi wa kura za maoni Same Magharibi nimepata asilimia ya kura 12.5% huku Mgombea mwenzangu Gervas Mgonja ameshinda kwa kupata asilimia 87.5% ya kura. Tutashirikiana kwa kila hatua ili kuleta mabadiliko katika Jimbo na Taifa kwa ujumla. Chadema imeshinda.
.. Martin was very calm and composed, ame stick kwenye kuhoji mambo ya msingi na amefanikiwa sana kufunua ujinga mwingi na tamaa ya vijana. Mabadiliko yataletwa na wachache,
@IAMartin_
is among of them. ✊🏼
… Hadi sasa Bungeni ni Halima Mdee pekee ambaye amesimama upande wa wanachi na kuitahadharisha Serikali juu ya Mkataba huu wa uuzwaji wa Bandari zetu. Too sad amepuuzwa na kukatishwa na Spika wa Bunge
“ Tuache Unafiki,Sisi Wote Ni Watanzania Tunanyanyaswa.Mimi Ni MwanaCCM Na Kama Ni Ubunge Niachisheni Lakini Ukweli Usemwe.”
katika kufukua makaburi 😌😌😌
… “Namjua Putin hawezi kukubali kushindwa vita kwa kumuonyesha ubabe au kumtunishia misuli bali kwa njia bora za mazungumzo. Urusi imeshinda vita nyingi, wana silaha na njia bora za vita ni vigumi kuwashinda kwa Mabavu” ~ Donald Trump
Mnakumbuka yule Mkurugenzi wa DODOMA alieambiwa na Rais Magufuli jana aoee? Leo akiongea na Wasafi media kasema ataoa HARAKA kabla ya mwaka huu kuisha ili kutekeleza agizo la Raisi. Unaeza ukapasua redio. smh 🤦♂️ 😂 😂
#RWANDA
:
Waziri wa mambo ya nje, Dr. Vincent Biruta amesema,
#Tanzania
iliomba kutokushiriki mkutano wa
#EAC
uliofanyika hivi karibuni.
#Burundi
wao walisema hawatashiriki kwakuwa wana uchaguzi.
Kwako Profesa Kabudi. 😔
Ukisoma between LINES kwenye Tweet za HAULE ni kama anatamani kitu kibaya kitokee kwa CHADEMA lakini ndio hivyo tena HAIWEZEKANI coz CHAMA kishavuka viwango vyote vya KUYUMBISHWA.
Yaani
@kigogo2014
ndio alituambia mnaenda kuapishwa, na akaongeza pia Nusrat atatolewa Gerezani na kwenda kuapishwa. Ule usiku kila mtu hakumwamin na mpaka tukamuita "machine ya kuchakata umbea" alafu leo umuite unaleta blah blah! To hell!
Mzee Ally Hassan Mwinyi amezaliwa May 8 1925, ana miaka 95 by now. Anasoma bila ya miwani na anaweza kusimama zaidi ya Dk 20 kuzungumza na kufariji adhara yenye majonzi. Hakika Mzee huyu ni HAZINA.
.. Kwa mara nyingine Urussi imeyaonya mataifa ya Finland na Sweden kukumba na ilichokiita 'serious military and political consequences' endapo watajiunga na NATO. Hata hivyo mataifa hayo yako katika mpango wa kujiunga na NATO.
Freeman Mbowe akizungumza na BBC. "the president should come out and accept that there are a situation in the country" 🙌 iyo kingereza ya mwenyekiti kama wale commentator wa EPL yaani 🤣