Huduma ya kujifungua kwa upasuaji (C-section) NHIF watakulipia 130,000/= tu kama itafanyika kwenye hospitali yenye hadhi ya wilaya. Hebu jiulize is that realistic? 130K uwalipe hawa watoa huduma wote unaowaona hapa, ulipie vifaa tiba kama Oxygen, sindano, madawa, nyuzi, gauze