Nifuraha sana kwetu Vijana wenzio kukuona ukirudi Nyumbani, karibu sana
@jokateM
, hongera kwa kuaminiwa na Mwenyekiti wa CCM
@SuluhuSamia
na Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kwa niaba ya Vijana wote tunakuhakikishia ushirikiano mkubwa katika kutimiza malengo ya UVCCM