@SuluhuSamia
JULIUS NYERERE: Mtumwa na Mhanga wa Maono yake.
Uliishi, unaishi, utaishi. Kambarage, Baba wa Taifa.
Uliacha Taifa, sasa tuna nchi.
Uliongoza kutokea nyuma, katikati na mbele yetu.
Ulikosoa, ulikosolewa, ulijikosoa.
Ulikosoa chama chako, ulikosoa serikali yako, ulijikosoa