GOD | Faith | Family | Ligi Kuu | Zilipendwa | Mwenyekiti | Yanga | Man United | Real Madrid | Mamelodi | Sebene & Rhumba | Tour Agent | Tweets Are My Opinions.
Kuna wazo zuri sana tumelipokea la kuanzisha tawi la Yanga twitter, kama wewe ni shabiki wa Yanga na unahitaji kuwa sehemu ya tawi naomba tuwasiliane, DM ipo wazi. Nadhani tunaweza kuvunja rekodi ya kuwa tawi lenye wanachama wengi katika historia. Tafadhali RT kufikisha ujumbe ๐
Kuna mwenzake yupo NBC PL hana mbele wala nyuma, kila wiki anashinda Kidimbwi kuvaa filimbi shingoni acheze Amapiano na kuvaa hirizi za timu.
๐๐๐
CAF kupitia TFF waliomba Ngassa aende AFCON kama sehemu ya uchambuzi kwa mchango wake Stars kama kinara wa magoli (25).TFF hawakufikisha taarifa kwa Ngassa, sababu wanazijua wao! Ilibidi CAF wamtafute Ngassa kupitia IG. Nashindwa kuelewa why Karia bado yupo TFF. This is too much.
โข Mfungaji bora Yanga
โข Kipa bora wa mashindano Yanga
โข Nyota wa fainali Yanga
โข Goli bora la mashindano Yanga
โข Timu bora ya mashindano Yanga
โข Timu iliyopiga pasi nyingi Yanga
โข Timu iliyoruhusu goli chache Yanga
โข Timu ya kwanza kushinda mechi nyingi ugenini YANGA
๐
1. Yanga itakua ni timu ya kwanza katika historia ya Taifa hili kucheza nusu fainali ya CAF.
2. PREDATOR FISTON KALALA MAYELE ana goli 5 mpaka sasa, what a man.
3. Nasreddine Nabi anaingia kwenye historia ya kuwa kocha bora wa muda wote Tanzania
4. 10m za mama ugenini, JESUS!
Ndege ilitua mita 150 mpaka 200 kutoka nchi kavu n tumeshindwa kuokoa abiria, ingezama mita 1000 au 2000 tungeita waokoaji kutoka South Africa kama tulivyofanya kwenye MV Bukoba. Na bado kuna watu wanazunguka na Chopa nchi zima kuweka vibao vya Sensa? Yesu tufundishe kunyamaza ๐ญ
Ndio naambiwa hapa kumbe CEO alishatuma na ofa kwa Nabi ili ajiunge na Makolo, Nabi aliambiwa ataje kiasi cha mshahara anachotaka. Kwani Mgunda vipi tena? ๐๐๐
Yanga SC wamenunua wachezaji 2 katika moja kati ya timu 10 bora barani Afrika, unaposema una timu tishio na ulipigwa 5 na AS Vita halafu mtani wako kaenda kununua wachezaji waliokupiga hizo 5, hii imekaaje? Shikamoo GSM. ๐
No Bangala
No Morrison
No Djuma Shaban
No Diarra
No AZIZ Ki
No Farid Mussa
No problem!
Kuna timu ikimkosa Chama tu ushindi wake ni sare utafikiri wana harusi.
Motsepe kasema sababu namba 1 kwa Afrika Mashariki kuandaa AFCON ni mafanikio ya Yanga kufika fainali ya CAFCC na kuwa timu ya kwanza kucheza fainali za CAFCC na kuvaa medali ya CAF. ๐ค๐
TFF na Karia waliona kama NGAO ya mwaka huu Yanga akicheza mechi 1 atakua BINGWA kwa mara ya 3 mfululizo na kuchukua NGAO jumla, wakaamua kupanga ratiba ya timu 4 ili zituchangie lakini wapi! Fainali ya mwaka huu tutatoa funzo la karne. Mwenye kiherehere na aje. ๐๐๐
Kama Zinedine Pacome Iniesta Zuzwa Gaucho alipewa gari akiwa Asec Mimosas kwa kuupiga mwingi msimu wa 2022/23 basi msimu huu wa 2023/24 naona kabisa Wananchi wanakwenda kumpa Private Jet. Huyu mtoto ana balaa nyie. ๐ฅน๐ณ
Kitendo alichofanya Wallace Karia jana sio cha kufumbiwa macho, Rais wa Shirikisho anaposimama hadharani na kuanza kutoa matusi ya nguoni kwenye umati wa watu namna ile sio sawa, kuna ushahidi wa kila kitu, tutauweka hadharani muda ukifika.
@Tanfootball
Baaada ya Feisal kuondoka na Remija Aziz Ki miguu imefunguka na kuzaliwa upya, niliwaambia msimu huu Aziz asipopata majeruhi anafikisha G & A 20+. Mwamba kutoka Ouagadougou. ๐
Huwa mnasema tuna gubu lakini
@Tanfootball
mnaharibu sana mpira wetu, Yanga walipoomba mechi zao zisogezwe mbele ili kujiandaa dhidi ya Club Africain 2022 mligoma, leo Simba wapo kuandaa timu Dubai kwa mechi za kirafiki mmewakubalia, tulisema mnatuhujumu na leo mmethibitisha. ๐
Mwandishi nguli Ben Theatre kutoka Cameroon amesema hajawahi kuona mpira wa kimbinu kwenye CAFCL kama Yanga vs Mamelodi. Ameenda mbali na kusema kama Yanga wataboresha kikosi chao basi hawapo mbali na kubeba taji la CAFCL. Amesema Pretoria ni 50-50 mpaka sasa, mbinu zitaamua. ๐
TFF na Wallace Karia jana hawajalala baada ya kuona mchezaji bora kutoka Ivory Coast katua Jangwani. Fundi wa mpira ambae amegoma kabisa kwenda Ulaya sababu ya Yanga, sasa hivi wanalazimisha tupeleke majina ya usajili, HATUJAMALIZAAAA! Subirini kwanza tumalize kusajili, tutakuja.
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako. ๐
RASMI : Yanga imeingia kwenye rekodi ya kuuza mchezaji kwa gharama kubwa katika historia ya mpira Tanzania. Predator Fiston Kalala Mayele ameuzwa kwa dau la $1.2m. Kila la kheir mtu wa mpira, unaondoka vizuri, Jangwani ni nyumbani, karibu tena panapo majaaliwa. ๐๐ป
Mechi ya Yanga vs ASAS pale Chamazi kulikuwa na mafuriko ya mashabiki mkasema ni mechi ya Kimataifa na Simba alicheza ligi. Haya mtuambie leo ni mechi ya nini? Mbona uwanja umetapika hivi? ๐๐ฅน๐
Makolo kwenye kura hawajui wanaenda na nani, wapo njia panda kila mtu ana pigana vita yake. Hii vita Mudathir Yahaya anawakalisha mchana kweupe kabisa. Sisi tuna watu na ndio tafsiri ya wenye nchi ni Wananchi. ๐๐๐
Umecheza CAF misimu 4 kwa mafanikio ya kuishia robo, umekusanya jumla ya alama 35, Yanga aliyetembeza bakuli 4 yrs amerudi CAF msimu mmoja na kuchukua alama 20. Ametoka nafasi ya 78 mpaka 16 kwa msimu 1. CAF wanasema haijawahi kutokea katika historia ya mashindano. Wananchi ๐
Mama
@SuluhuSamia
umetuangusha tuliokusifia na kukuona mkombozi, haya madoa unayojipaka hayanaga mwisho mzuri, haiba ya mwanamke sio mabavu, kingine nilidhani na kuamini una hofu ya Mungu. ๐
Kumbe vurugu zote hizi za Azam ni ujio wa Senzo Mazingiza? Kuna mtu anatafuta ugali wa kubaki Azam kupitia Kiki ya Feisal? Basi sawa. Welcome back CEO. ๐
Yanga walikuona miaka 7 iliyopita, wakakuamini na kukupa nafasi, ukatengeneza jina na kuwa kipenzi cha Wananchi, bahati mbaya walikuaminisha kuwa wewe ni mkubwa kuliko Yanga na ukaamini.
Ukatumika mpaka kuhujumu mechi zetu kwa drama za kila wiki na mashauri yako TFF, ulishindwa
โYanga wana utamaduni wa kuishi vizuri na wachezaji wao, historia inasema hivyo tangu enzi za kina Sunday Manara mpaka sasa.โ - Julio
โMchezaji akishavaa jezi ya Yanga huwa ni ngumu sana kumtenganisha mahaba yake na Yanga hata akienda kufanikiwa nje ya Yangaโ - Yondani
Nilishawahi kuwaambia NABI ndio kocha bora wa muda wote Tanzania ila hamkunielewa, narudia tena Tanzania itachukua miaka 1,000 kupata kocha aina ya NASREDDINE NABI. Mungu amuweke sana huyu mwamba. ๐
Tumeamua kukaa kimya, hatuongelei chochote kuhusu wao, tupo zetu Avic Town kujiandaa na Community Shield pale Mkwakwani. Sasa wao ndio wanakuja kwenye tweets zetu kila dakika. Mnamuona Remija Aziz KI lakini? Hamuogopi? ๐
Kwa mujibu wa CAF katika kipindi cha miaka 5 ni timu 5 tuu ndizo zimekusanya alama nyingi kwenye historia ya mashindano hayo.
1. Al Ahl 30
2. Wydad Casablanca 25
3. USM Algier 25
4. Yanga SC 20
5. Mamelodi Sundowns 20
(Kwa mujibu wa CAF, sio Remija)
Prince Of Zanzibar โMudathir Yahya Abbasโ Bongo hakuna box to box midfield anaekaribia hata theluthi ya hiki chuma. Sio kipa, sio beki, sio winga, sio mshambuliaji ila anapatikana sehemu zote za uwanja. Tumpe maua yake. ๐
โZamani tulikuwa tunaambiwa mashabiki wa Yanga ni wengi kuliko Simba. Sijawahi kuwa na uhakika na hili mpaka sasa. Ninachojua ni kwamba mashabiki wa Yanga wanaipenda zaidi timu yao kuliko mashabiki wa Simba wanavyoipenda timu yao.โ
- Edo Kumwembe LEGEND.
Wakati Bangala anasajiliwa na Yanga 2021 alikwenda kumaliza msimu akiwa MVP Tanzania, Yanga akawa bingwa. Remija Aziz Ki anasajiliwa alikua ni MVP Ivory Coast, Yanga akawa bingwa . Msimu huu tumesajili MVP mwingine kutoka Ivory Coast, fundi haswa, anaujua mno! Hii ina maana gani?
Oya
@Arafat__AH
kama Remija Aziz KI anataka blion kwa mwezi sisi kama wanachama na mashabiki wa Dar Young Africans tupo tayari kumlipa huyu MBUZI. What A Player!