@mangekimambi
Point to Note ✍️
"Jeshi la Tanzania linataka kuchukua nchi 2025 then wapitishe katiba mpya then uchaguzi ufanyike"
Hii kitu wafanye kesho bana😂
@mangekimambi
Mh, Hii Poist inaumiza hisia.
Point to Note ✍️
"Nchi nzima ikiingia barabarani tarehe 23 polisi wenyewe watafurahi kimoyomoyo"
"bila maandamano makubwa hakuna kitachokaaa kubadilika kwenye maisha"
"bila maandamano nchi nzima mtajikuta mnakuwa wafanyabiashara na huku hakuna
@MiriamMkanaka
Gari la Rais,
Magari ya Walinzi,
Gari la Itifaki,
Gari la Msaidizi wa Rais Kwa wasaidizi wa Rais kama vile washauri wa karibu.
Gari la Mawasiliano, Gari la Huduma ya Afya, Magari ya Polisi.
Kwa ujumla, idadi ya magari inaweza kuwa kati ya 10 hadi 20.
@Jambotv_
Point to Note ✍️
"Nchi hii ya Tanzania ina intelejensia kubwa...na tutafanya kila linalowezekana kuimarisha ulinzi wa maisha na uhai wa Watanzania"
I guess Interigensia haiwezi sema wakina nani ni watekaji na waliotekwa wapo wapi hadi sasa licha ya baadhi ya simu za watekwa
@mangekimambi
Point to Note ✍️
"maandamno yawe kwa nchi nzima"
"na wala sijali mambo ya chama ila najali demokrasia ya nchi"
Na mimi nakuunga mkono humu humu
@ExMayorUbungo
Point to Note ✍️
"Polisi Mwendokasi hawatogusia kabisa tuhuma dhidi ya maafisa wake ACP Faustine Mafwele au Fatuma Kigondo"
Hakika kama wanasoma huu ujumbe watakuwa washajijua wao ni aina gani ya polisi.
Wajinga sana hawa.
@ExMayorUbungo
@MalisaGJ_
@fbuyobe
Point to Note ✍️
"Wakati huu wa hatari hakuna askari wetu ambaye ataachwa peke yake"
Yap, ni nyema mtembee kwa makundi asee au hata kama utoka, hakikisha kuna mtu anajua unakoelekea
@mangekimambi
Point to Note ✍️
"Samia hana mpango wa kuondoka baada ya kipindi chake cha pili na mwelekeo wake ni kurudisha utawala wa kidikteta, akianza na kurudisha Musiba na Sabaya, kwa maamuzi ya siri"
🚨Mnajua Watu X hii system mlianzisha ki utani sana but kunako elekea imekuwa serious sana😅.
Na tunako elekea itawaondolea vijana wengi woga wa kuongea kwasababu watakuwa wanajua wanabackup nyuma yao which is a good thing.
Hii ni ushindi kwenu wana x na ni mwanzo mzuri pia🔥
@mangekimambi
Point to Note ✍️
"Samia anachotaka ni kwamba upinzani wakimbie, wamsusie nchi ili yeye aendelee na plan zake za kubadili katiba ili abaki madarakani"
Hii inamaanisha katiba itabadilika lakini sio kama wanayotaka Wananchi?
@ExMayorUbungo
Point to Note ✍️
"na kutambua mwili na Kutoa heshima kwa ALI MOHAMED KIBAO".
Pumzika kwa amani asee, Interest za watu wachache zimefanya utangulie mbele ya haki mapema.
Siwezi sema mungu atawalipa hawa waliofanya hivi, naamini hili swala lipo chini ya uwezo wetu.
@stairwayto3dom
Point to Note ✍️
"If France cared about the putting a stop to abetting pedophilia Macron and his husband wouldn't be in power". Candace Owens
Matokeo ya uchaguzi wa leo ndio yatatupa foundation ya uchaguzi mwakani.
Kama kelele zilizopigwa na Wananchi kuwashawishi Mawakili watulete kiongozi tunae mtaka zikisikilizwa, itatuweka kwenye nafasi nzuri ya kujua wenda mwakani tutasikilizwa pia.
@AfricanHub_
Point to Note ✍️
"We have been created equally but different to ‘supplement’ each other by being what the other is not"
Wow i love this part
@IAMartin_
Point to Note ✍️
"Posho ya siku iongezwe kutoka Sh300,000 hadi Sh700,000.....Makamu Mwenyekiti alikuwa Samia Suluhu Hassan wakati huo akiwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano"
@AfricanHub_
I personally believe that Christianity and Islam have shared connections historically, but over time, different cultural and political influences have created divisions.
It's interesting how some architectural styles in their buildings can resemble each other, reflecting this
@Sativa255
@mdudechadematz
Point to Note ✍️
"WANANCHI WAPO MATEKANI NA JESHI LA POLISI LINAHUSIKA KWENYE UTEKAJI WA SOKA NA WATU BAADHI"
Hii haina ubishi na sasa Wananchi wamejua nani ni tatizo kwenye nchi hii
So mwaka 2033, Sikukuu ya Eid na Christmas zita sherehekewa siku moja.
Kwa mawazo yangu siku hiyo ningeweka mechi ya mpira wa miguu baina ya Muslims na Christians 😂
All I do is dream💤.
What if colonization had never touched our shores? Where would we be today?
What if, once again, the entire African continent united as it was, free from borders?
If Africa unites tomorrow, or in 50 years, what could we achieve?
#DreamingOfUnity
#AfricaUnite
@Sirjeff_D
@Sirjeff_D
Christianity ndio dini pekee duniani ambayo Tunaamini mungu anapigana kwa niaba yako (Maandiko yanatueleza hivyo),
Dini nyigne Unapigana kwa niaba ya Mungu.
So Wakristo sio Wajinga, Wanaimani na Mungu wao
@Sativa255
Point to Note ✍️
"Kiongozi huyu wa jeshi la polisi amekuwa akilalamikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kukandamiza haki za raia kwa mfano kuwatia ndani baadhi ya watu ambao ana ugomvi nao bila sababu za msingi"
Kumbe nj mungu mtu hapa Tanzania
@Jambotv_
Point to Note ✍️
"Kama watu wanagawana shilingi trilioni 1.54, je ni huduma ngapi za jamii hizo fedha zingeweza kutoa?"
"Walishindwa kutoa msamaha kwa wagonjwa wa figo lakini wametoa msamaha wa kodi kwa waagizaji wa sukari zaidi ya Shilingi bilioni 580"
The US just bombed Syria, claiming it was in "self-defense."
The US has no right to be in Syria.
When you illegally occupy another country, steal its resources, and constantly bomb it, it is not called self-defense, it is called terrorism.
Sparta prague rema zino erigga okey
🚨SCANDAL KUBWA ZILIZOWAHI
KUTOKEA TANZANIA.
PART 02. RICHMOND SCANDAL
Scandal lilianza Februari 2006 baada ya kipindi kirefu cha ukame nchini kupelekea kupungua kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa umeme wa maji. Kampuni ya taifa ya kuzalisha umeme TANESCO ililazimika
@MariaSTsehai
Point to Note ✍️
"Lakini walipofika polisi hao walikanusha kuwakamata ingawa waliwakamata hadharani kukiwa na mashuhuda katika eneo hilo"
@IAMartin_
Point to Note ✍️
"Baada ya Serikaki kutaifisha kiwanda, uzalishaji na ubora wa nyama iliyosindikwa ulipungua kwa kiasi kikubwa sana kwa kukosa utaalam na ufundi.?".
Ukiona mradi umeshikiliw na serikali, ndio mwisho wake
Ninawakumbusha vijana wenzangu, vijana ambao wanaona kinachoendelea nje ya nchi na wanalinganisha na hali ilivyo ndani ya nchi.
Vijana ambao wana uwezo wa kuchambua haki iko wapi na uwonevu uko wapi.
Vijana ambao wanatambua tatizo na wanayo majibu ya utatuzi, lakini wanaogopa
@IAMartin_
@ExMayorUbungo
Huu ni ujinga tu wa kikundi cha watu wachache kumuumiza Boni yai.
Kwasababu zipi za kiusalama ambazo wanazihofia?.
Anyway am not expert kwenye hii issue but kwa akili zangu za kuzaliwa naona kuna njama hapa
@Jambotv_
Point to Note ✍️
"tahadhari kwa mamlaka mbalimbali zinazosimamia chaguzi hizo kufahamu kuwa chama hicho hakitakubali kushuhudia yaliyotokea kwenye chaguzi zilizopita"