Nimepokea Barua Ya Wito Leo Asubuhi Kutoka baraza La Sanaa Tanzania
#Basata
Ikiniitaji Kufika Ofisi Za Basata Leo Saa Nne Asubuhi. Isue Ni Wimbo Wangu Wa
#Amkeni
Nimeshindwa Kufika Leo Coz Nipo Safarini, Mwanasheria Wangu Amesha fanya Mawasiliano Nao Kuomba Siku Nyingine.
Nakosa Neno La Kumjibu My Brother Mkuu Wa Mkoa Wa Dar. But Niseme Tu Hakuna Cha UCHOCHEZI Nilicho Imba Kwenye Wimbo Wa
#Amkeni
Ni Vile Tu Hampendi Kuambiwa Ukweli
Ndugu zangu wa umu twitter na mitandao mingine na watanzania wote. please naomba tuendelee Kupaza Sauti kuhusu kijana mwenzetu
@DEUSDEDITHSOKA
Hatujui ana hali gani mpaka sasa alipo, nguvu ya kuidai serikali kutuambia alipo ndugu yetu iki pungua tuna mkosa kijana mwenzetu.
Moyo wangu umepata Maumivu Makali Sanaaaaπ Dah Pole Sana Mwanangu
@Sativa255
Mungu Ni Mwema Umepatikana Japo Una Maumivu Makali. Get well soonπ Hawa Walio Kufanyia Iki Ipo Siku Watalipa Aya Maumivu Yako.
Muda unazidi Kwenda Hatujajua Alipo Soka Na Wenzake.Napata Maumivu kila nikiamka nikiangalia mtandaoni labda nitakuta taarifa nzuri za Vijana Wenzetu kupatikana lkn wapiπ
Ben Saa Nane Ilikua ivi ivi kama utani mpaka leo hatujui alipo.Please tusikubali litokee kwaSoka
Kuna kampeni ya kusafisha vijana wote wanao onekana ni tishio kwa serikali na Viongozi walio madarakani. Kwa aya yanayo tokea sasa huu ni mwanzo tu.! Hawato sikiliza yoyote, hii kampeni ni endelevu. Ni order na imepitishwa.! Tuna kazi kubwa ya kujilinda wenyewe na kutokomeza hili
Rais ni Ccm Na ccm Ndo CHANZO Cha Maisha Magumu Ya Watanzania, Umasikini wa Watanzania, Ukosefu wa Ajira kwa vijana Watanzania, ufukara ulio kithiri kwa watanzania CHANZO Ni Ccm. So Nafuu ya Watanzania Ni Kuiondoa Serikali Ya Ccm Madarakani. Done β
Kama Siruhusiwi Kufanya Show Nchi Hii Nimeomba
@BasataTanzania
Watoe Barua Rasmi Ya Mimi Kuto Ruhusiwa Kufanya Show. Sio kihuni Ivi Unafika kwenye show unaambiwa basata wamesema huruhusiwi kufanya show π‘
Watu Wa Kigoma Kwenye Swala La Fedha Sio Waku Waaminiπ
Ali Kiba Ni Yangaπ―β Kapewa Hela Kaamia Simbaππ
Diamond Ni Simbaπ―β Kapewa Hela Kaamia Yangaππ
Zitto Kabwe Alikua Chademaπ―β Kapewa Hela Na watawala Aanzishe Chama Cha Mchongo Act Yani Ccm B ππ
Natokea Mbeya Narudi Dar Njiani nime pishana na vifaru, magari ya maji washa washa, magari ya police mengi mno yakielekea Mbeya. Kwani Mbeya kuna vita au.?
Nchi Ina Maafa Siku Ya Tatu Sasa, Na Mkuu Wa Nchi Hayupo Nchiniβ Yupo Zake Dubaiiiiiiiiβ
Cha Ajabu Helicopter Zipo Ila Baada Zitumike kuokoa Wahanga Eti Zina tumika Kubeba Viongozi Kwenda Kuona Wahangaβ
Acha Iendelee Kunyesha Tuone Panapo Vuja.
Swala La Bandari Naona Imeshindikana Kabisaaaaaa Kupoa π. Zimetengenezwa Story Nyingi Iki Kuzima Hii Isue Naona Imekua Ngumu, Nadhani Hili Ni Swala Zito Kuliko Mazito Yaliyo Wahi Kutokea Kwenye Nchi Hii.
Watu Wangu Nina Imani Mko Salama.! Nilisafiri Kidogo Nilikua Ughaibuni Nimeingia Jioni Hii Ndio Maana Ata Sikuweza Kutokea Kwenye Maanadamano Ya Amani Leo. But Sijarudi Mikono Mitupu Nimerudi Na Zawadi, Kesho Nitawapatia Zawadi Yenu. Saa Nne Asubuhi
#WapiUko
Mtazamo Wangu Juu Hili. Rais Kugharamia matibabu ya kijana mwenzetu ni jambo jema sana, but Mimi naona kwa tulipo fikia Juu ya michango Kwa ajili ya ndugu yetu sio pabaya. Mimi Ningeomba Rais kama kweli apendezwi na aya matukio atoe tamko na kukemea haya mambo ya Watu Kutekwa
Kwa Kilicho Tokea Kwa Tulio Ambiwa Wana Tuhumiwa Kwa Kesi Ya Uhaini Na IGP Na Na Viongozi Wengine.. Tunajua Kesi Ya Uhaini Haina Dhamana But Mpaka Sasa Watuhumiwa Wote Wapo Nje Kwa Dhamana, Hii Ina Tupa Taswila Gani Kwa Viongozi Wetu.?!
Yani Uvunje Nyumba Ya Mtu Alafu Usimlipe Fidia ili ujenge Barabara harafu unamwambia hayo ni Maendeleo. Fidia Yake asubiri utamlipa baadae. Sasa Uyu Mwananchi anaishije na familia yake kipindi chote icho mpaka serikali itakapo jisikia kumlipa.?!! Serikali isiyo fuata sheria.
Hatupo Salama. Matukio ya utekaji Yana Zidi kua mengi kadri siku zinavyo zidi kwenda. Tena yanafanyika kwa uwaΕΌni kiasi iki, nadhani mpaka sasa tunazidi kupata uhakika watekaji ni wakina nani.
Anna Tibaijuka Ni Ccm Alafu
@zittokabwe
Ni Upinzani ππ
Nilishawai Kusema
@zittokabwe
Sio Mpinzani Na Kama Alikua Ni Zamani, Now Amekua Mfanya Biashara Wa Siasa Kupitia Serikali Iliyo Madarakani Yeye Na Chama Chakeπ―β
Karibu Tena Nyumbani My Brother
@godbless_lema
Tuendeleze Mapambano Ya Kupigania Haki Na Kuwasemea Watanzia Wenzetu. Mimi Kesho utanikuta Airpot KIA pale Kesho Mapema Tu.
Kama Nimeshawai Kusema Uyu Mama Anaupiga Mwingi Naomba MnisameheπππΏββοΈ. Kipindi Anaingia Kuongoza Familia Baada Ya Baba Kufariki Nilitoa Wimbo Unaitwa
#Mama
Ambao Ulifungiwa Na Basata Baada Ya Masaa Machache Kutokaβ¦β¦. Haya Nchi Kawapa Waarabu Jumla Jumlaβ¦
Watu Wa Mungu Eeh.!!
#WapiUko
Ngoma Iyo Apo Tayari Inapitikana Kwenye Digital Platform Zote. Na Mseme Hii Ni Nchi Gani Mnadhani.? Wimbo Upo YouTube Now Link On Bio βπ»
Kwa matukio aya nadhani waziri wa mambo ya ndani hatakiwi kuendelea kua kwenye ofisi za Umma Mpaka Sasa.
Rais anatikiwa kuchukua hatua zenye kuonyesha hapendezwi na matukio aya ya watu kutekwa na Kuuwawa kama wanyama. Tofauti na apo basi huu ni mkakati wao wote.
Wadada Dar Siku Izi Hawanukii Tena Perfumeπ Wananuka Bangi TuπππΏββοΈYani Fashion Kubwa Kwa Sasa Kwa Dada Zetu Ni Kuvuta Bangi Yani Asilimia Kubwa Dar Wasichana Ni Wavuta Bangi. Na Ongezoko Linazidi Kwa Kasi Kubwa SanaaaππΏββοΈ
Wanao hisi ninacho kifanya kwenye mziki wangu kuongelea shida za watanzania wasio na sauti ni kosa, mkitaka kuni tisha basi Naomba Mjue Mimi ni Msanii Sio Mwana Siasa,Hakuna mtu anae nituma kufanya ivyo ni Sehemu ya mziki wangu.
Mungu Ndio Ameamua
@Sativa255
Aendelee Kuishiπ. Nia Ya Watesi wake Ilikua Ni Kuondoa Uhai Wake.
Kwa walio Karibu na Ndugu yetu kwasasa wawe makini na police ambao nasikia ndo wanampa Escort. Police sio wa Kuwaamini kwenye hili.
Jeshi letu la Police inabidi liachane na Siasi lijikite kwenye kufanya kazi zake kwa weledi kwa ajili ya Watanzania wote. Habari kama hii ni kulidhalilisha jeshi la Police. Police wana Silaha kila kituo wana mafunzo ya kukabiliana na wahalifu, wanakuja kutoa taari kama hii real.!
Jana Nilifika Kwenye Ofisi Za Basata Kuitikia Wito Wa Kikao Kama Barua Yao Ilivyo Nitaka Kufika. But Acha Ajabu Hakukua Na Kikao Chochote Zaidi Nimepewa Barua Ya Notisi, Ambayo Imeo Orodhesha Makosa Ma 3 Ambayo Wao Wanasema Nimeyafanya Muputia wimbo Wangu Wa
#Amkeni
Baada Ya Changamoto zilizo tokea last month kuzuiwa kufanya show na Basata. Hatimae jumamosi ya juzi nimefanikiwa Kufanya show yangu na Wana Mafinga wameonyesha upendo wa hali ya juu Kwa Rais Wao, Msemaji Waoπβ
#RaisWaKitaa
Mafinga Thank you π β
Ni Mtandao unasumbua au Ndo wanataka kuzima mtandao.? Maana mitandao mingine ilo fresh tu ila huku X kama kuna hitirafu iviπ au cm yangu kimeo.?π
@MwijakuBurton
Wewe ni Taka Taka Tu.!! Mwiko Wangu Ni Kubishana Na Wanawake. Ungekua Mwanaume Mwenzangu Ningejaribu Ata Kidogo Kukupa Maneno Kadhaa Yakiume But DohππΏββοΈ
Marehemu Ametuachia Uozo Wa Hali Ya Juu.!! Mkataba Ulienda Bungeni Wakapiga Makofi Mengi Bila Kuchoka, Uku Wakijua Mkataba Ni Wa Kuuza Bandari Na Hauna Ukomo. Baada Ya Taharuki Kubwa Ndo Awa Tenaπ³ππΏββοΈ
Yani Kuanzia Saa 3:30 Asubuhi tume simamishwa apa Tunduma kusubiri msafari Cjui wa Kiongozi gani upite na mpaka sasa tumeganda tu na hamna ata dalili ya huo msafara kupita tume ganda tu apaπ‘. Huu ni unyanyasaji kabisaaa
@Eric__Bernard
@rollymsouth
Naomba nikwambie kitu ambacho hujui Ndugu. Basata wamenifungulia kesi ya UCHOCHEZI Central police kupitia wimbo wangu wa
#Amkeni
Siku ya Juma 5 natakiwa ku report Central police kwenye ofisi ya Mkuu wa upelelezi saa Nne Asubuhiβ¦.
Hii Tabia Ya Kujipendekeza Imekithiri Sanaaaaa. Yani Mpaka Ina Boa Sasa. Tuzo Za Music Lakini Anatamkwa Raisi Mara Milioni Sasa.!! Wasanii Wanasahau Kuwashukuru Watu Wanao Fanya Nao Kazi Shukrani Zote Ni Kwa RaisiππΏββοΈπ³. Tume Haribikiwa Sanaaaa Hii Nchi.