Ukijaribu kumnyamazisha mtu, unaweza kufanikiwa kweli?
Unapofunga mdomo mmoja, wengine elfu hupata ujasiri. Mh Rais
@SuluhuSamia
jeshi lako la police linapata wapi ujasiri wa kukamata watu kiolela taifa limekosa mwelekeo chawa wanafanya taifa hili kuonekana kama getto ‼