Ukweli mchungu hakuna MTU ataishi kwa niaba yako watakuwepo watu kukupa somo, kukuonesha njia, kukusaidia kubeb baadh ya majukumu usiyo na uwezo nayo, as if
@Millambo_
lakin hawatabak na wewe milele.
Kuna muda watasema inatosha sasa, kuna kitu utakuwa umejifunza, jitegemee nawe