Hello
@elonmusk
, we WANT LEONEL MESSI on this platform. Please convince him to join us here. Tell him how perfect this platform has become. I’m sure he will listen to you, coz you’re both 🐐 🐐s
Azam Football Club imemuwekea Mayele 60M per month na hiyo ni baada ya kodi
Kaizer Chiefs wamemuwekea 89M per month
Yanga wanataka arenew wampe 18M per month 🤣🤣🤣
Martin Braithwaite aliondoka kambi ya Espanyol bila taarifa. Walipomtafuta akatishia kuinunua klabu hiyo na kuifuta
Thamani ya Espanyol-$148M
Utajiri wa Braithwaite-$300M
Mtanzania pekee mwenye goli
UEFA CL
Europa League
Epl
AFCON
Carabao Cup Final
Wembly
Anfield
Mfungaji Bora wa Top team in Belgium
Mfungaji Bora CAF CL
Ana goli Turkey
Ila ni bahati tu wala Talent hamna hapa
John Terry kwenye interview moja huko England amewahi kusema
“Kama Samatta angepewa muda kidogo walau a new fresh season, Aston Villa wangejikuta automatically wanampa a lifetime contract”
The 🐐
Rais Wa Uganda Mzee Museveni alisema Waandamanaji wa Kenya (Gen Z) ni TikTokers na hawana cha maaana.
Vijana kauli wakaibeba na leo jengo ya Serikali ya Uganda nchini Kenya limewashwa kiberiti
TOP 10 YA WACHEZAJI MATAJIRI ZAIDI AFRIKA NA NET WORTH ZAO
01: SAMUEL ETO’O FILS, 🇨🇲 $95M
Legend wa Barcelona ana net worth ya $95M
Asilimia 90 ya uwekezaji wake mwamba kaufanya Afrika
Kama sio Pedri na Gavi huyu ilibidi awe wa kwanza kuigusa Ballon D’Or ila ndo hivyo yupo kwenye wakati mbaya. Competition ni kubwa kwake kushindana na hao vijana
Kocha mpya wa Azam Football Club Mr. Dabo amependekeza jina la Pitso Mosimane kuwa kocha msaidizi wake kuanzia msimu kesho
Pitso yupo tayari kufanya kazi ila sharti aje pia na wenzake
Klabu ipo tayari
Jana kipindi wanazungusha kombe mwenye Mitaa ya Argentina mashabiki walimwambia Parades ampe kombe Messi haraka, baada ya kulicukua akalinyanyua ghafla mwanga (huo unaouona) ukachomoza kutoka juu.
Tukio lilisimama ghafla.
DIENG
Kuna time team ilikua haitembei, anapewa mpira alafu anawaambia akina Tau wamuangalie waone atakachofanya,
Jamaa alitoa darasa mpaka wakapata goliii 🙌
Miaka 2 bila kugusa Bolii alafu mwamba anakuja kugundulika hana hatia yoyote kwenye makosa yoteee. If I speak...
Mendy hata akirudi kuwa sawa itachukua muda. Ila I'm happy to see him FREE
Ufaransa wanasema Benzema sio wa Taifa lao
Kamati ya Tuzo ya FIFA, Balon D’or na UEFA wanataka kumnyanganya TUZO ZOTE
Real Madrid wana mpango wa kuondoa jina lake kwenye “Leyendas del Club”
Reason? Kwasababu anasimama na Palestine