ELECTRONICS & TELECOM ENGENEER๐ก | TECH GURU๐ชก| CREATOR & INNOVATORโ๏ธ | CINEPHILE๐ฟ|PHOTOPHILE๐ท |
โsuccess comes to the people who find it๐
Content Creators,
Wametengeneza, Cartoon Movie,
Ikionyesha namna P.Diddy alivyokuwa anawafanyia Justin bieber na wengine kwenye party yake ๐๐๐๐๐๐
Humu ndani Hadi Jay Z yumo ๐๐๐
Angalia mwenyewe Part 1 ๐๐๐
Video kwa Comments๐
Juzi, kulikuwa na Ndoa, ambapo Rais wa ZANZIBAR
DR. HASSAN MWINYI
Alimuozesha Binti yake kipenzi JAMILA MWINYI
Harusi hiyo ilihudhuriwa na watu 2000+ akiwemo Rais wa Tanzania na kadhalika..
Angalia picha zingine za Harusi...
Picha kwa Comments๐๐พ
Watu walikuwa wanauliza..
Kwanini MAFUTA YA TAA..
Yanawekwa kwenye CHAKULA,
Walivyokuwa wanasoma SHULE ZA BWENI?
Angalia Hii video, then UTAPATA JIBU ๐๐๐๐๐๐๐๐
Video kwa Comments๐๐พ
TID anazidi kupaa na Interview yake ๐๐๐๐๐๐
Sasa leo katika pitapita zangu nimeona Netflix wameenda nayo!!!
Screenshot kwa comments๐๐พ๐๐พ
Hawa Majamaa washakuwa ma-comedians sasa ๐๐๐๐
Leo wamekutana..
Wa SIMBA, AZAM, YANGA
Woote, Changanyaaaa....๐๐๐
Angalia vibwanga vilivyotokea leo..
Video kwa Comments๐๐พ
Taarifa zisizo Rasmi, zinasema kuwa..
Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...
Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..
Video kwa Comments๐๐พ
Mungu ni Mwema...๐
Kwa hali aliyokuwa nayo profesor Jay
Enzi zile alivyokuwa anaumwa...
Watu walidhani asingepona, but God is Great...
Now ni mzima wa afya...
Angalia alivyokuwa
Video kwa Comments๐
MWIJAKU,
Aliongea kama Mashara, ila ALLY KAMWE kalichukulia SERIOUS Saana!!
Haya...
Hawa hapa na Vigoma wakielekea KIGAMBONI, kumchukua mwali wao๐๐๐๐
Video kwa Comments๐๐พ
Mashabiki wa SIMBA...
Wameonyesha Hasira zao na kwenda kuivamia Page ya Al-ahly Trippoli na kuwatukana pamoja na kuwapa vitisho..
Baada ya Mashabiki wao kuwapiga Wachezaji wa Simba na chupa za maji....
Oyaaaa, sio poa ๐๐๐
Hizo Comments..
Screenshot kwa Comments๐๐พ
Oyaaa nimecheka ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ฝ
Yani mwana anakusave mpaka we mwenyewe unashindwa kuelewa kaku-save aje๐๐๐๐๐๐
Tx-Dullah atengwe ๐๐๐๐๐๐ฝ
Video kwa Comments๐๐พ๐๐พ
Damn!!
Idriss Unatuwakilisha Vyema sana, hapa TANZANIA ๐น๐ฟ!
Hapa mwamba kasalimia KiKOREA ๐ฐ๐ท, Mpaka Wema Sepetu akamshangaa ๐๐๐๐๐
Watu wakadhani kuwa ataendele kuongea KIOREA ๐๐๐๐๐๐๐ฝ
Msikilize...
Video kwa Comments๐๐พ
Mwenyekiti wa UVCCM kabanwa KATI leo!!
Alete point hapa, why anazema Twitter (๐) ifungiwe!!!
Oyaaaa ๐๐๐๐๐
Respect kwa Huyu mwamba anaetuwakilisha wana ๐ hapa kwenye hichi kipindi ๐๐ฝ
Video kwa Comments๐๐พ
Watu wanauawa huko SIMIYU, TANZANIA ๐น๐ฟ
Baada ya Kuandamana, mbele ya kituo cha Polisi, wakilalamika kutekwa kwa watu..
Habari kamili...
Screenshot kwa Comments๐๐พ
(Tahadhari ya Picha za kuogofya)
Yule mtoto alieombwa hela na Mwijaku, baada ya ku-treand, si wakamualika Mwijaku kwa ajili ya ftari na kumpa $10,000.
Kweli shobo zinalipa!!!!
Video kwa comments๐๐พ๐๐พ๐๐๐
Wasafi wakataa kunyamazishwa!
Waikataa kauli ya Msemaji wa Jeshi la Polisi DAVID MISIME ya kusema watu wasiliongelee sakata la yule Binti...
Wasikilizeee..
Video kwa Comments๐๐พ
Baada ya Ku-assist Goal la Hudson...
Na kusherehekea ki Comasava...
Enanga alipost,
Na kuweka wimbo wa Komasava..
Ambapo Diamond alishare kwenye story..
Enanga akaja shukuru....
Screenshot kwa Comments๐๐พ
Mwamba Kajirecord live, kutoka BUNGE LA KENYA ๐ฐ๐ช , kamwambia SPIKA kuwa analala humo!!
Aloooooo!!
Reject the financial Bill 2024๐๐๐ฝ
Video kwa Comments๐๐พ
Jamani U-influencer Unalipa ๐๐ฝ๐๐๐
Just imagine huyu mwamba anajitoaga tu Akili mitandaoni, na kucheza Magame!
Sasa halali Njaa miaka yote๐๐
KFC iko dunia nzima
Video kwa Comments๐๐พ
Raisi mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ana imani ya kuwa na make wengi (Poligamous man)
Kwa sasa ana wake wawili ambao ni
1. Marie Khone Faye (Mkristo)
2. Absa Faye (Muislamu).
Video kwa comments๐๐พ
Nadhani, waandaaji wa show ya Diamond, kipindi kijacho watatafuta SEHEMU kubwa zaidi
Kutokana na watu kujaaa full, na wengine kukosa Tiketi kwenye show hii ya Huko Barcelona Spain ๐ช๐ธ
Oyaaaaaaaa๐๐ฝ
Sio poa!!
Video kwa Comments๐๐พ
P funky kimuhusia MARIOO wakati anaelekea kuwa baba kwa mara ya Kwanza!
Nini afanya katika kumlelea Mtoto wake ajayo!!
Video kwa Comments๐๐พ๐๐พ
Waziri wa MAJI, JUMA AWESO, apiga DAWASA customer care, na kujifanya yeye ni mwananchi๐๐๐๐
Sikia Huduma kwa wateja walivyojibu...
Video kwa Comments๐๐พ
Mbeya,
Kwenye wasafi festival,
Wanyakyusa, wageuka mbogo na kuanza kumtupia vitu Zuchu,
Baada ya kuanza kuimba nyimbo laini stajini ๐๐๐๐๐
Zuchu aka-mind...
Angalia ilivyokuwa....
Video kwa Comments๐
Paul Makonda Awajibu waliosimama na kusema kuwa anadhalilisha wafanyakazi wa Umma!
Huku, tena Vanessa mdee, akashindwa kukalia kimya alichoongea MAKONDA!!
Video kwa Comments๐๐พ๐๐พ
Ifuatayo ni List ya Wasanii, na Watu maarufu Tanzania,
Ambao leo wameamua kuingia mtandaoni na kusimama na watanzania wengine Juu ya sakata hili lililomkuta Binti wa Kitanzania
Na haya ndio waliyoyasema!!
Mtanisaidia kuniambia nilie msahau.
Screenshots kwa Comments๐๐พ
Billnass leo ameshindwa ku-kaa kimya baada ya watu kumvamia na kumwambia iPhone 16 zake anazoleta ni Feki ๐๐๐๐๐๐
Oyaa mwamba katukana ๐๐๐๐๐
Screenshots kwa Comments๐
Miaka Miwili TANGU , Afungiwe kujihusisha na Soka Ndani na Nje ya Tanzania
BUGGATI now yuko huru๐๐๐๐
Unajua alichopost huko Manara TV?
Video kwa Comments๐๐พ
Nawapongeza Sana CLOUDS kwa show Ya jana aisee!!!
Yani Sound ENGENEER wa ile Show ana kitu!!
Yani TULIKUA TUNASIKILIZA kina MARIOO wakiimba AMAPIANO bila hata MIC kufoka foka ๐๐ฝ๐๐ฝ
Alooooooo...
Angalia mwenyewe..
Video kwa Comments๐๐พ
Watanzania, wanalalamika, Baadhi ya Project kubwa alizozianzisha Magufuli, zimegeuka kuwa MAPANGO!
Mfano,
The MAGUFULI CITY
asee majengo yaliyopo huko, ni next level
Angalia mwenyewe....
Video kwa Comments๐๐พ
TID kasema alikua anasikiliza wasanii wa siku hizi wakiimba "Nipigie simu wakati unakataka Gogo" akamziba mwanae masikio๐๐๐๐๐
Video kwa comments๐๐พ๐๐พ
Just Imagine unamsema mtu vibaya alafu akatokea hapo hapo nyuma yako๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ฝ
Ila waandishi wamemuweza Sana Leonardo๐๐๐๐๐ฝ
Video kwenye Comments๐๐พ๐๐พ
Komasava si IMEPIGWA...
Kwenye Premier league bhana ๐๐๐๐
Kwenye mechi ya Hudson vs Livepool...
Mtu kachapwa Goli na Komasava Juu ๐๐๐๐๐๐ฝ
Video kwa Comments๐๐พ
Baada ya Kuzunguka zunguka,
Huku na kule, leo RASMI, magazeti yameanza kumgichua AFANDE....
Mtuhumiwa, aliyeagiza kubakwa kwa yule Binti...
Sikiliza walichoandika...
Video kwa Comments๐๐พ
Nimesikiliza Aliyefanyiwa huyu Baba na Serikali,
Machozi yakanitoka ๐ข๐ข๐ข๐ญ
Asee, Serikalini kuna watu wana Roho mbaya sana!
Yani, kwa namna hii hata kama nikiwa nnahela zangu sitofanya miradi ya serikali..
Usipite bila kusikiliza hii
Video kwenye comments๐๐พ
Hii ndio alichomaanisha Diamond kuwa wameingia kwenye Mfumo!!
Na hivi ndivyo namna ambavyo watanzania Tunatakiwa Ku- support wasanii wetu!!!!
Angalia mwenyewe...
Video na screenshot kwa Comments๐๐พ
Nimepita kwa TIKTOK nikakutana na hii๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ฝ
Oya WATANZANIA wanaaandamana kwwenye comments๐๐๐๐๐๐๐๐ฝ
Naomba nisiongee sana!!
Soma comments za hapo chini๐๐๐๐พ
Hamisa ana akili sana ๐๐ฝ๐
Kweli kila kitu kinaenda na mipango!
Amejua kumtumia vizuri sana Aziz Ki..
Hapa katangaza biashara yake kwa Urahisi kabisa๐๐๐๐๐ฝ
Video kwa Comments๐๐พ
Ila Huyu mwamba kwa kwenda na UPEPO๐๐๐๐๐๐๐๐๐ฝ
Hapana aisee...
Hapa kajipatia HELA kilaini kabisa...
Ati, wana Yanga nichangieni Nauli...๐๐๐๐๐ฝ
Video kwa Comments๐๐พ
Wazee wa MINYAMA....
Walivyomtambulisha MUSSA KIPANYA, kama TONGE ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Alooooo!!
Wasafi hawanaga jambo dogo...
Video kwa Comments๐๐พ
Hawa jamaa popote walipo, Comedy ipo!!
Mpaka ALLY KAMWE, ashaanza jishtukia ๐๐๐๐๐๐๐
Angalia video ya kwanza na ya pili
Video kwa Comments๐๐พ
Jux,
Amepost Picha alivyofika nyumbani kwa kina Priscilla..
Ambapo akapokewa na wazazi na ndugu zake huko...
Tutegeme ataoa?
Angalia alivyopokelewa ๐๐๐๐๐๐ธ
Video kwa Comments๐๐พ
Katika Harusi ya BINTI wa RAIS wa ZANZIBAR!
Mc Dr. CHENI akawainua wageni rasmi kucheza,
Kila MMOJA wawili wawili...
Mama akacheza na Binti yake
Video kwa Comments๐๐พ
REMA ataka azidi kuiteka zaidi soko la East Africa!!
Kaachia kipande cha nyimbo yake mpya....
Yani Kaweka Verse za KISWAHILI,
Na ku-Tag
Tanzania, Kenya na Rwanda ๐๐๐๐๐ฝ๐๐ฝ
Isikilize!!
Video kwa Comments!!
Christian Ronaldo, amesema anahofia kama ataweza kumpa hela mwanae siku za mbeleni..
Amesema anatumia Hela, rafu sana, mwanzoni alikuwa anampa dola 40,000 (Tsh Mil 105.06) kwa wiki kwa ajili ya kunyoa na Kutumia na Girlfriend's zake.
Msikilize mwenyewe..
Video kwa Comments๐๐พ
Nimecheka saana ๐๐๐๐๐๐๐ฝ
Alietumia Akili ya kuwakutanisha kwenye U-brand Ambassadors ametumia akili saana..
Ila Hapa Ahmed Ally ka- Win..
Video kwa Comments๐๐พ