Katika dunia mpya hakuna dhambi hakutakuwepo kifo Tena Wala vilio Wala maombolezo,Wala huzuni ni furaha,amani kucheza na kuimba nyimbo za sifa maisha yote.
@sukununu01
Kipimo cha imani kwa Mungu ni majaribu Mungu hujivunia wanastahimili majaribu mpk mwisho hao ndiyo wabeba nuru ayubu alisimama imara ht Mungu kujivunia ayubu shida zisikufnye ujiue si wewe wa kwanza duniani kupata shida au kukataliwa jifunze kwa wengine
@SdbogSandra
😅😅😅 kwanza tuma vipimo vyako vya ukimwi changu hicho hapo nimetoka kupima saiz baada ya kuona post yk ili nijiandae kuwa na lishangazi Kama wewe
Sasa mbona tukikosoa serikali matokeo yake Tena tunaonekana waasi watukanaji,
@MariaSTsehai
@SuluhuSamia
Basi mm ngoja nikosoe Mungu akaona Musa hataweza kazi peke yk akamwmbia ateue kila kabila kiongozi ili kurahisisha kazi ebu mpunguzie biteko majukumu,nape,mwigulu watenguliwe
@mokertz__
Mama yk wema alikuwa bize na kumuona wozu kasahau huku watafuta wanaume wamesha ingia au wamefanyia beach karibu na swiming pool kweli una akil timamu utaenda kwa watu wengi tena kuna kamera ukiwa umevaa ivi yaani ht shetani alifumba macho asije akasingiziwa
@chapo255
Hongereni maana kuna mataila nayaita mataila kwa sababu hawana akili wamepanga wanalipa milion 3 kwa mwezi ila kujenga hawana hilo wazo wanaingiza magari kwenye nyumba za wanaume wenzao alafu wao hawajengi ivyo niwape hongereni sana kuwa na akili bora ulale kwenye sropu ila kwako
@AbroadTanzania
Huyu mwamba atakumbukwa ktk historia ya africa najua majajusi wanamuundia tume ya kumua km alivyo kuwa Gadaffi hakuwa mbaya km ilivyo semekana bali wazungu wanaitaji waendelee kuteka mali zetu na kututawala kiakili mwamba najua unawindwa ila sir God atakusaidia.
Hili ni ombi langu unikumbuke 🙏ee mwenyezi Mungu wa rehema kwa Leo tu ninayo magumu yanayonisibu na tumaini langu no kwako umpatiae kila mtu riziki upendavyo.
@OddsCharity
@goligani
@ayubu_madenge
tunapozungumzia nguvu hapo tunaona kabisa ni nguvu ya pesa beyoce so kiongozi lkn yumo kwhy inaonyesha rais kasha jichotea mkwanja was kutosha mpk kuwa ktk mabillionea wa duniani
@Gibson44178359
Nilisikiaga kuwa kuwa kule africa kusini alikuwa ameenda kupiga show basi hotel walio kuwa wamechukua camera zikamnasa akimla mama yake denda kabla hajapiga show nasikia wakataka kuachia video mtandaoni mhuni akatoa pesa nyingi sana kufumba hiyo so
@Gibson44178359
Jamani mbona mnasema ukweli mmeanza kupakua faili zake za siri alijua kuwa watu hawajui kumbe wahuni wanamchora ila utajiri huu bana yaani una maanisha akamnyandua mama yk akaweka🥒pale alipotokea mama nae akawa anakata mauno na miguno ama show ya kimya kimya.
Mimi siyo shabiki wa timu yoyote Tanzania Ila Kama vilabu vyetu au Tanzania tungemtumia kocha huyu hakika tungechukua hata ubingwa wa afcon na hata kufuzu nusu fainali ya konbe la dunia ni vile hatuthaman wazawa nakuthmn vya nje
@YoungAfricansSC
@SimbaSCTanzania
@TaifaStars_
@SuluhuSamia
@tanpol
kumbe ndo maana kamshabulia mtu na amekufa kwa kushambuliwa kwa kuwa anaona ni Jambo la kawaida na hajahojiwa lkn ungekuwa mtaani ukamshabulia mtu na akafa tyr ungekuwa na kesi ya mada nchi hii ngumu wenye nchi huwaona wananchi km nyani wana fanya watakavyo
‼️
#Tanzania
‼️
Huyu ndiye Elibariki Kingu aliyetuhumiwa na Peter Mtinangi kuhusika na kutekwa kwake mwaka 2020 na kuwa sehemu ya watu waliomtesa 🙄👇🏾
Yuko on record mwaka 2018 bungeni akishauri serikali ISIUNDE tume ya kuchunguza watu kutekwa na kuuwawa eti ni kawaida!
Ndo mjue
@Labella_Mafia95
Mwijaku mm huwa sifurahishwi na tabia zake ila kumshauri huyu dada ni jambo la hekima tatizo hivi visichana vya leo vilivyo kulia kwenye mwanga km kuku wa kienyeji huwa havina hekima na busara kujua kamjibuje mtu vinaonaga sifa km kuweka mambo yt hadharani utadhn kuna faida.
Yaan hii nchi ngumu jamani ukiambiwa ngumu kirahisi rahisi huwezi kuelewa km viongozi Tena wa ngaz za juu Wana drama hivi iweje kwa wanaowaongoza au wanao wateua alafu uongo siku hizi umekuwa dhahili siyo kwao umewafumba macho kwa wanachi umekuwa wazi ingawa wanajifnya hawaoni.
Sanaa na ulaghai wa Magufuli na Samia ni hiyohiyo!
Badala ya mahindi ya kuchoma, sasa ni dafu 😃 Kijiweni wote walijifanya wamefika!
Nchi inaendeshwa kisanii na wasanii
#TutaelewanaTu
lakini!
Rais ametangaza 5days bendera ipepee nusu mlingoti kuanzia 10 Hadi 15 na maandamano ya chadema yanaanza tr.15 naomba kuuliza ni sawa kuandamana ktk kipindi ambacho Rais katangaza msiba wa taifa na haina madhara yoyote
Wapendwa PGO (Police General Orders) ndo mwongozo PEKEE inayotakiwa kufuatwa na afisa yoyote wa polisi
Inapokuja kwenye ukamataji (arrest) PGO inaeleza wazi kuwa mtuhumiwa lazima AELEZWE anakamatiwa nini, usalama wake ni wajibu wa afisa na anatakiwa kupewa haki ya kuwasiliana
Nje
@Mwabuk2Boniface
Kila Jambo Lina mda wake na mazingira husika si kila mda utakaa kuimba katiba mpya katiba mpya Soma majira na nyakati tukio gani linazungumziwa.
@Labella_Mafia95
Huwezi kugombna na mmeo ukaweka ugomv public ukiona wa hivyo ujue hana heshima na wa ivyo kuolewa huwa hawadumu ndo wale kwani nn 50 kwa 50 akimwaga ugali namwaga mboga kwa hiyo heshima kwa mmewe inakuwa hana anaishia kuwa km mlango wa chooni kwa wanaume
@mkandamizaji
Mchungaji ni yule alie pita makumila,au arusha kusomea uchungaji ila huu wa mihemuko ya mtu juu ya kupata zaidi maokoto huo huwa si uchungaji ndo maana hata anapokuwa mchungaji anakuja na mitindo ya kidunia,na bd haoni km haitofautiani na ya wamataifa yy hujikita kusema imani tu.
@MariaSTsehai
@AirTanzania
Kuna mamb yanaumiza Sana ktk hii nchi ukiyaona ukiyasikia alafu mda huo ulinganishe na maisha binafsi unayoishi au familia uliyo tokea kiukweli unaumiza Sana mpk kujiona km dunia au kuzariwa Tz Ni mkosi mkubwa kula kwa shida lkn kulala tabu kuiona kesho ni Mungu kupenda.
Ndoto yangu nikuja kumiliki mjengo km huu kabla cjalala mavumbini nitakuwa nimemiliki mjengo na nikiwa nimezeeka natolewa humo mjengoni kwenda ktk makazi usingizi mzito.
Tanzania imegubikwa na wimbi la kupoteza kwa watu wazima
@SuluhuSamia
zamani tulikuwa tunasikia redioni,au kwenye misikiti kupotea kwa watoto saizi watu wazima na kinacho shangaza time ya haki za binadamu iko kmy haijawai jitokeza kusemea Jambo hili Wala serikali kukemea.
AMEPOTEA AMEPOTEA AMEPOTEA
"Naitwa Angel Bravo naomba msaada wako wa kunisaidia kutoa taarifa hii.
Nimempoteza mzazi mwenzangu ambaye anajulikana kwa jina Boniface Godfley Agust ni mzaliwa wa Moshi, kabila lake mchaga, ana umri wa miaka 31.
Huyo ambaye unamuona hapo
@RashdaZunde
@eastafricatv
Mpumbavu mmoja wewe unajua hasara tunazo pata mbona kipindi uncle magu yupo ulikuwa haukatiki sema wameona warudishe mfumo wa majenerate ya kipindi cha Kikwete watu wapige pesa kwhy hilo tatizo kuingia Biteko ndo lianze nchi nzima acha kupamba watu kwa kujipendekeza kwa watawala
@gigymoneytz
@kiichefuchefu
Alie kwambia mjirekodi nani tatizo ustar unawaponza hakuna asiye jua kufanya mapenzi ila tatizo ni kuweka hadharani kile mnachokifanya tena ukizingatia ni kioo ktk jamii umeaminiwa na makampuni kukupa ajira leo unaonyesha upumbavu mnajirekodi ili iweje acha mvua iendelee kunyesha
@mokertz__
Kamnyanyasaje hapo police wenyewe ingawa wanalinda laia lakini mke wake akikosea anampiga mwanajeshi wa like akikosea kwa mmeoa anapigwa hapo kumkalia juu ndo unyanyasaji acha kuelendea kusambaza ujinga wa uchochezi mnajikutaga nyie Kama Nani ivi malaika ama
@mokertz__
Ivi kwa mfano ukipakua kila siku huoni utakuwa umepata mradi wa mafuta ya kujipaka na kuuza nchini au ndo nakusanua Hilo diri hicho ni kiwanda Cha mafuta ya kujipaka.
Wanangu nimepata chimbo la draw Jana Wana wamepiga mkwanja wa maana Kama hijanifollow nifollo ili uwe unapata mm Jana nimechelewa kulijua nimewahi timu mbili za draw na zilitoboa kwhy follow akitumia tu nawapostia hakikisha umenifollo
@goligani
@OddsCharity
Kwahiyo akimaliza kujenga anamuwekea na kitanda kizur tv na sofa ili viendane na hadhi ya nyumba au Bibi atalalia masepele yake kwenye nyumba nzr hiyo inayooneshwa kwenye picha
@makonda_paul
huyu mwamba na magufuri ni Hali moja hutatua matatizo ya watu hapo hapo.
@IAMartin_
Mtu alishakuwa marehemu leo unaleta mabaya yake yafaidishe nani au tukamfufue tumshitaki wakati katiba ya mama yako bd hairuhusu rais kushitakiwa yaliyopita acha ayamalize hk kaburini hakuna binadamu alie kamilika ht we una mapungufu yk na madhaifu yk
Jana usiku nasema ngoja nitafute mtaji et odds 11 naamka nakuta niwin lkn odds 2000 za Jamvi letu ikachanika mpk Basi leicester,Brentford wanashindwa hata kupata goli
@goligani
Yaani mnaendelea kumchanganya kanji hakuna mjinga atakaye lipa pesa zote hizo ambazo wanamdai cha msingi backbecha msanuke msidepost kucheza huko mhamie kampuni nyingn mpk kachi wt wakimbie kuwekeza Tanzania km vipi tuhamie wasafi tumfirisi nae
@millardayo
Mwizi akimkamata mwizi mwenzake huwa anampiga kumalizia ili asije akamtaja kuwa na yeye ni mwizi kujifny ana uchungu na kuchukia wizi kumbe nae ni mwizi ila sema yeye siku yake ya uovu haijafika kweli dunia chungu sana.