@heztmazt
@Zittokabwee
Ukimkimbiza aliyechukua nguo zako wakati unaoga utaonekana chizi zaidi kuliko aliyechukua nguo zako, ninachotaka kusema badilisheni kauli zenu za kusema watanzania wanataka hivi, semeni wapinzani wanataka hivi, unapowajumuisha watanzania wote kuwa wako pamoja na nyingi No, no.