Orodha ya matajiri 10 Tanzania
1. Mohammed Dewji
Net Worth: $1.5 billion
Age: 48
Source of Wealth: Textile manufacturing, Flour milling, Beverages, Edible oils
Hapa Niffer kawachanganya maadui zake waliokua wanamnanga huko mitaani na mitandaoni 😂😂😂 kafungua bonge moja la Mall 🙌
Video iko chini kwenye comment 👇
Orodha ya wachezaji kumi wa NBC Premier League wanaolipwa pesa ndefu zaidi kwa mwezi na vilabu vyao hivi sasa
Namba moja itakushangaza 😂
10. Feisal Salum 16M - Azam FC
Kikubwa hujaiba cha mtu, Mwijaku Amepambana na Ametembea tumbo wazi mpaka watu walihisi ni kichaa kumbe ni njia ya kuingizia kipato
Mungu azidi kuwabariki wote mnaopambania ndoto zenu.
Aliyekua mchekeshaji JAYMOND na kwasasa ni Dancer Jaymondy Aweka record mpya baada ya kupostiwa na youtube kama dancer wa kwanza kupostiwa katika ukurasa huo wa instagram ya Youtube.. Mwanaume Jitahid Kuchangua Mwanamke Bora Sio Bora Mwanamke.
Wachezaji wa NBC Premier League wenye followers wengi zaidi katika mtandao wa instagram
1. Mohammed Hussein (1.8M Followers)
Nahodha msaidizi wa Simba Sports Club ndiye anayeongoza orodha hii huku akiwa pia ndiye mchezaji mwenye mvuto wa kibiashara kuliko yoyote nchini
WASANII 10 MATAJIRI ZAIDI AFRIKA
10. Davido $10 Million
Real name: David Adedeji Adeleke Date of birth: 21st November 1992
Age: 31 years
Nationality: Nigerian
Moja kati ya mastaa ambao wanajielewa hapa Tanzania, ni Huyu Mwamba AY, Mwana fA, Nick wa pili, Hawa watu hawaishi maisha ya kiki, mtaje Mwingine unaemuelewa..
Mchambuzi gani wa soka unamuelewa zaidi, hana mpinzani hapa Bongo kati ya hawa 👇
George Ambangile
George Job
Nasir Khalfan
Shafii Dauda
Oscar Oscar
Edo Kumwembe
Yahaya Njenge
Ibrahim Masoud Maestro
Mkazuzu
Bin Kazumari
Mbwaduke
Dr Leakey
Kasuga
Ongezea mwingine
Yule aliyetakiwa kuwa pambo la dunia, ameamua kuwa starehe ya kila mwanaume.
Yule mwenye mamlaka ya kutuweka tumboni miezi tisa, siku hizi anatumezea P2.
Yule tuliyeambiwa tuishi naye kwa akili, ndo huyu asiyetupangia cha kumfanya.
Yule aliyekuwa na thamani hapo kale, siku
Baadhi ya mastaa duniani wasiokua na tattoos kwenye miili yao licha ya umaarufu wao mkubwa
1. Cristiano Ronaldo
Mwaka 2012 akiwa kwenye interview na Italian news website Diretta, Ronaldo alisema "I don't have tattoos so that I can donate blood more often."
Ikitokea Ni Kafa Msijichumie Dhambi Ya Kusema nilikuwa Si Umwi Mara Ni Kulogwa.. Hapana Ninaumwa Sana Just imagine Hapana mke hata mtoto wa kusingiziwa. Inaumiza sana muda Mwingi Hospital Usiku Nimeshind Nalia..🙏
Wanaume tunauwana sana Unawezaje kuzini Na Mke wa Mtu Tena Mbali zaidi Mwenye Kiumbe Tumboni Na Chumbani Kwa Mwanaume Mwenzio.. Mke Anauma Asikwambie Mtu🥲
Vyakula 10 vinavyosaidia kuongeza nguvu za kiume kwa muda mfupi
1. Tangawizi
Zinajulikana kwa kusukuma damu kwenda sehemu za viungo vya uzazi hivyo kuwa na umuhimu sana katika kuboresha ufanyaji wa tendo la ndoa. Inaweza kuliwa mbichi, au kuliwa ikiwa imeungwa kwenye chakula