This is
#ChangeTanzania
movement of citizens exercising their right to
#FreedomOfExpression
| for activism contact via WhatssApp & Telegram +1 (862) 438-3337
I told y’all being a woman is not a qualification
Saying “first female president” or “first female speaker” is not something to celebrate if the individual is incompetent, cruel and obtuse
So much for those who were celebrating the “female” qualities of
@SuluhuSamia
and
Mkuu wa TAKUKURU usiangalie tu idadi ya kesi kuwa nyingi, nadhani tuache kuwa na kazi ya kuwa na Kesi nyingi wakati Kesi baadhi hazina msingi au kubambika, Kesi zisizo na msingi wa kushinda zifutwe maana zinaichafua serikali Pia - Raisi
@SuluhuSamia
#ChangeTanzania
#CAGReport
Kosa la barabarani linashughulikiwa kijeshi, hii hali sio sawa, haina usawa
Tanzania ina mifumo wa sheria kwa masuala yote, hata maafisa wa serikali wanatakiwa kutumia sheria kama vile kuhusisha
@tanpol
kwenye suala ya kipolisi
#ChangeTanzania
TAKUKURU mnajihusisha na Kesi za maida ambazo hakuna rushwa, ni vyema mkahacha vyombo vingine vya serikali kufanya hiyo kazi, Sio shughuli yenu kujiingiza kwenye masuala yasiyo na rushwa, serikali ina vyombo vingine vya kufanya hizo kazi, - Raisi
@SuluhuSamia
#ChangeTanzania
Pole sana
@mwelentuli
hakuna mtanzania anastahili hukumu bila ushahidi , bila mifumo wa mahakama, Kama ulitumika tulitegemea ungepelekwa mahakamani. Viongozi watumia mifumo ya sheria kuwajibisha, majukwaa sio sehemu sahihi inaweza umiza wasio na hatia
#ChangeTanzania
Katika kupinga ukandamizaji nchini
Tunaomba weka sahihi yako kwenye hii petition
Kisha post tweet yenye link hii , ukiumeweka tweet ya kuamasisha wengine pia kuweka sahihi
Sign here
#NoKodiYaMshikamano
Kuna Viongozi nilifanya nao kazi katika chuo kikuu cha Dar es salaam , walikuwa wanaheshimika sana kwa fikra zao, lakini baadaye wakapa madaraka yakawabadilisha kifikra, na kuwa fikra zisizo na maadili ( Corruption of Mind) - Prof Assad
#ChangeTanzania
“Siyo sheria ya Bunge, hiyo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inayosema kuwa mbunge akiacha kuwa mwanachama wa chama kilichompeleka Bungeni na ubunge wake unakwisha” Spika mstaafu Msekwa Pius Msekwa
#ChangeTanzania
Haya mambo yana amani tele ni kuweka taratibu tu.
#TunduLissuHomeComing
imefanyika, CHADEMA wamejisimamia kuhakikisha hakuna fujo, Watanzania ni watu wa amani, Jaribio la kupambana na umati kama huu ni kufanya vurugu tu zisizo na faida
#ChangeTanzania
Hongera sana RC Kunenge
Mwanaharakati
@fatma_karume
amesema ataendelea na harakati. Fatma amekuwa mtetezi wa wananchi, mwalimu wa sheria mtandao, mkosoaji pale taratibu, katiba au sheria zinapovunjwa na mamlaka au watu. Anapenda utawala bora na haki za binadamu
#ChangeTanzania
Mama Bisimba : Tatito kubwa ni uoga wa Watanzania, matokeo yake inapelekea sheria kuvunja, tunazo sheria nzuri lakini zinavunjwa tumenyamaza, labda kuna siku tutabadilika, Mfano mbunge wangu alisimamishwa kushiriki bunge lakini tuliomchagua kimya!!
@humanrightstz
#ChangeTanzania
“Ndugu Spika, ningependa kumalizia kwa kukubaliana na wabunge wote waliosema na ambao hawakusema lakini wana mawazo haya kwamba jambo hili la kutumia fedha bila idhini ya bunge lazima tutafute kila njia ya kulikomesha" Edward Moringe Sokoine April 11, 1984
“Mkapa alinipa wizara kubwa sana ‘Wizara Mambo ya Nje” ingawa nilishindana nae kwenye urais, hakuniweka mbali, hakutaka nipotee kama zilivyo siasa zetu za sasa mtu uliyeshindana nae” -
@jmkikwete
#RIPMzeeMkapa
Serikali inayozuia mawazo ya watu wake, serikali inayoiba au kuchukua rushwa, serikali ambayo inawatesa raia wake au kudharau
#UhuruWakujieleza
na haki za binadamu ni lazima ieleweke kwamba ipo mashakani ya kuitwa kwenye Mahakama za kimataifa. ~William Hague
#ChangeTanzania
Rai Kwa Raisi "Wateule wenye hulka na rekodi ya kukanyaga Sheria na Katiba kwa kisingizio cha uzalendo, wapumzishwe kwa heshima. Hawa ni hatari kwa Rais kuliko walivyo hatari kwa nchi. Rais wetu aimbe wimbo wa HAKI TU, Kazi tutafanya na Taifa litainuka". -Bagonza
#ChangeTanzania
"Ninapata wakati mgumu kwamba tunatoa fedha kwa Tanzania ambayo haifuati kanuni za
@WHO
,serikali haina ushirikiano kwa njia za kistaarabu, Nataka kujua vigezo na taratibu zilizotumika kutoa fedha, kufanya nini na zimetumikaje natoa masaa 48"-Dr McAlister
#ChangeTanzania
CAG naomba uwe wazi zaidi kwenye report zako, sema kwa uwazi sana shida iko wapi tusioneane aibu kusema penye tatizo na limeletwa na nani - Raisi
@SuluhuSamia
#ChangeTanzania
#CAGReport
Mmewahi kusikia kuhusu fedha za plea bargain ( Kwa DPP kutokana na watuhumiwa kukili makosa) , Nimesikia hizo pesa zinakwenda kwenye account kubwa binafsi, nasubiria kuona ukaguzi wa 2020/2021 utuonyesha hizo pesa zilikuwa zinakwenda wapi - Prof Assad
#ChangeTanzania
Uwakili wangu hauna maana yeyote kama :
1. Hakuna UHURU wa Mahakama
2. Hakuna UHURU wa Mawakili kuendesha TLS bila ya kuingiliwa na Serikali
3.Hakuna
#RuleofLaw
4.Hakuna Haki ya Kujieleza.
Bila ya hivi mwaka baada yakunirejeshea uwakili watanifungia tena maana siache kusema!
Prof Safari :“Wazazi wetu walichukua miaka saba kumuua mkoloni,sisi Watanzania tutatumia miaka mingapi kupata tume huru ya Uchaguzi?Mazingira ya sasa ya kudai tume huru ya Uchaguzi ni mazuri zaidi kwa kuwa hata jumuiya za kimataifa zitakuwa nyuma yetu”
#ChangeTanzania
#ChangeTanzania
tumepokea maoni mengi sana kuhusu kutambua juhudi na Utu wa Prof
@MarkMwandosya
na Balozi
@KKagasheki
katika kuelimisha jamii hasa mtandaoni, tunashauri jiunge na account zao (twitter)
Ni viongozi wanaongea mambo Kama yalivyo na kwa hekima, Mungu awabariki sana
Serikali ina mifumo mingi sana ya kukusanya fedha na kutoa matumizi ya fedha, ni lazima CAG ukaangalie hiyo na kuunganisha hiyo mifumo, kama ofisi yako haina uwezo sema tukusaidie, Hii mifumo imekuwa mingi sana - Rais
@SuluhuSamia
#ChangeTanzania
#cagreport
“Maalim Seif atalipwa mshahara na marupurupu mengine na kupigiwa saluti na mapolisi waliokuwa wanaua watu wake juzi. Zaidi ya hapo hatakuwa na chochote.” -
@TunduALissu
#ChangeTanzania
Tumewaandikia barua hawa Dada zetu 19 waje kwenye Kamati Kuu ila hawajafika na wote wameandika barua wanasema hawawezi kuja, eti waongezwe muda wa kuja,ukisoma hizi barua zote zimeandikwa na Mtu mmoja, unakinajisi Chama, unapewa nafasi ya kuja unakataa”
@freemanmbowetz
#Cha
Uamsho was also involved in two protests. And in response the Tanzanian government has taken a strong stand against the riots.
#JusticeForUamsho
#ChangeTanzania
"Kwa mujibu wa katiba mpaka sasa Halima Mdee na wenzake 18, hawana tena sifa za kuwa wabunge kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni na hata wakihamia chama kingine hawawezi kupata nafasi hizo" -Pius Msekwa
#ChangeTanzania
Tulipata mapokeo ya Sheria ya uhujumu uchumi bila kuangalia mazingira yetu
— Sasa inatumika kupora wala mali na Uhuru wao kwa kuondoa dhamana
— Kosa la uhujumu uchumi limerahisishwa sana na nchini ili kuwezesha kuumiza watu kisha tunawashinikiza kukubali makosa -
#ChangeTanzania
Unaelewa nini juu ya kaulimbiu "WENYE NCHI NI WANANCHI"?
Atakayejenga hoja madhubuti, nzuri na yenye mashiko atajishindia T-shirt
Toa maoni yako kisha malizia kwa kuweka hashtag
#ChangeTanzania
Twende kaziniiii💪
“Tangu Nchi yetu imeanza hatujawahi kuona Wabunge wanaapishwa Gereji, lakini Dada zetu na Mama zetu hawa wameapishwa nje ya Bunge, wakati Katiba inataka waapishwe ndani ya Bunge, kwahiyo wamekula kiapo batili”
@freemanmbowetz
#ChangeTanzania
“Kibaraka wetu huyu hajampa Maalim Seif na ACT yake chochote zaidi ya vyeo visivyokuwa na mamlaka yoyote. Maalim atatumika kujaribu kuhalalisha uharamia wa October 28. Atatumika kama toilet paper ya kusafishia uchafu wa CCM na madhambi yao dhidi ya Wazanzibari” -
@TunduALissu
CAG ameshauri kufumua wizara ya fedha …. "Ninaishauri serikali irekebishe muundo wa Wizara ya Fedha na Mipango ili
kuwe na kitengo kinachoshughulikia masuala ya uhasibu katika idara na
kuzuia mwingiliano wa majukumu ili kuimarisha uwajibikaji".
#changeTanzania
#CAGReportTz
Tangu Magufuli aingie madarakani, kumekuwa na ongezeko kubwa la lugha potofu katika majukwaa ya kisiasa . Mnamo mwaka wa 2017, Rais alitishia kuwapiga mashangazi (shangazi) waasi.
#ChaguziHuru
#ChangeTanzania
In 2016, Diamond made Paul Makonda the Patron of his music label and media company called Wasafi. Makonda has used the Wasafi Festival for publicity and to sanitize his image.
sign here - Disqualify Diamond Platnumz from BET AWARDS 2021
Malecela :Nataka kizazi cha sasa muamini, kwamba kama kulikuwa na mtu ambaye anaweza kushaurika ni Mwalimu Nyerere,Kwenye mikutano alikuwa anaweza kaa siku nzima akisikiliza watu wanasema wanasema Mwalimu kimya, mwisho ataunda kamati ya maazimio kutokana na maoni
#ChangeTanzania
Suala la watu kutekwa naona huu ni utamaduni mpya ambao haukubaliki na ningependa kuchukua nafasi hii kusema tu kwamba suala la utekaji au watu kupotea linaweza kuiharibia nchi yetu heshima. -Bernad Membe
#ChangeTanzania
“Ofisi yangu ilipigwa bomu 26 mwezi wa nane 2017, mpaka leo hii polisi hawajarudi kunambia nani alipiga bomu wala kusema chochote, na tarehe 7 mwezi wa tisa Tundu Lisu alipigwa risasi mwaka huo huo”
@fatma_karume
#ShangaziPower
#ChangeTanzania
Kuondolewa kwa Prof Assad kama CAG ni mkakati wa muda mrefu, jaribio la kwanza alifanya spika kisha akasema CAG akaombe msamaha kwa Raisi, Ili jambo limetutia aibu na pia kurudisha nyuma uwajibikaji, rushwa na ulinzi wa pesa za umma, tunapiga vipi vita rushwa?!
#ChangeTanzania
"Serikali ya Tanzania imekiuka haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na kuzuiwa waangalizi wa kimataifa , mitandao ya kijamii kufungwa ikiwa ni pamoja na kukamatwa kwa wapinzani Tanganyika na Zanzibar"- Mbunge wa EU akichangia
#ChangeTanzania
Kabla ya kufariki Mama yake
@kabsjourno
aliomba Mh
@MagufuliJP
amuonee huruma yeye na mwanae kwa kuwa hana mtu mwingine wa kumsaidia matibabu, alieleza hata viongozi wana wazazi wao na wanawahudumia hivyo mwanaye pia alikuwa akimuhudumia yeye, RIP
#ChangeTanzania
Raisi Mkapa ameshauri maraisi nchi za Afrika kuzingatia mambo yaliyofanywa na watangulizi wao, kama kila awamu itaanza upya au wakati mwingine kurudisha nyuma kabisa, kupata maendeleo itakuwa changamoto sana
#ChangeTanzania
“Ushindi wa kishindo chaweza kuwa chanzo cha mdororo wa Maendeleo katika bara letu linalopenda sana neno NDIYO. Tabia ya kuchukia maoni tofauti inadumaza utundu, ugunduzi, na ubunifu.”
#HekimaZaBagonza
#ChangeTanzania
“Uchaguzi wa mwaka huu umeleta vurugu, Vurugu huleta uvunjifu wa amani, vurugu huvunja
#HakiZaBinadamu
kwenye suala la uchaguzi haki zinazovunjwa ni zile hutokana na shughuli za kisiasa”- Warioba
#ChangeTanzania
Malalamiko ya mwandishi wa habari (Alphonce Kusaga ) aliyowasilisha dhidi ya Mkuu wa Mkoa Arusha Mrisho Gambo kwa kumnyangánya kamera (kitendea kazi), kwa madai ya kumrekodi akiwa katika uwanja wa mpira
#UhuruWaKujieleza
#ChangeTanzania
“Miongoni mwa matendo mema na ya kheri ni pamoja na kuwakumbuka na kuwafariji Waislamu wenye shida mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwawezesha kumudu Ramadhani,
@SuluhuSamia
ili la uamsho unanafasi kubwa kusaidia haki yao ipatikane.
#FreeUamsho
#ChangeTanzania
Jana tumeambiwa twende Burundi Leo huyu anadhalilisha watumishi wa umma
Huyu mtumishi amesimama kwa haki yake polisi wanaitwa wanamkamata kwa kosa gani ? Waziri kuweka watu ndani namna hii anatoa wapi hiyo mamlaka ?
#ChangeTanzania
kwenye miradi mikubwa kama manunuzi ya ndege kuna rushwa, nilisumbuliwa kuona vocha ya manunuzi ya ndege kwa kuambiwa iko ikulu, mpaka nilipoeleza kwamba baada ya siku saba ilo suala nitaeleza umma ndipo nikaonyeshwa, lakini report niliandika haikufanyiwa kazi - Prof Assad
“Zawadi ya mfungwa ni Uhuru si sabuni ya kuoga akiwa gerezani. Kumwachia huru mfungwa ni sawa na kumweka huru Askari magereza anayemlinda. Hiyo ndiyo faida kuu ya Uhuru. Unanufaisha pande zote.”
#HekimaZaBagonza
#ChangeTanzania
Moja ya matatizo Africa ni watu kuwa na fikra zisizo na uadilifu, mfano wa fikra hizo ni Bodi ya chuo huria kumshinikiza mkuu wa chuo kuomba radhi bila ya kuwa na kosa, kwa sababu tu amesema jamii ya chuo hicho ichukue tahadhari ya
#TzCovid19
- Prof Assad
#ChangeTanzania
"Jambo la Tundu Lissu kuvuliwa ubunge kama Mtanzania na mimi nilishangazwa, sasa tusubiri Lissu aje nina uhakika kabisa atakwenda Mahakamani, kama kuna haki ataipata Mahamakani" -Bernad Membe
#ChangeTanzania
Kila mwananchi ana wajibu wa kulinda na kutetea katiba, Leo tunatoa wito kuhusu maamuzi ya Spika.
,Spika kumwita Bw Cecilia Mwambe ni kutofuata taratibu na masharti ya katiba.
Ni wajibu wetu wananchi
#LindaKatiba
, Weka sahihi hapa kulinda katiba
“Nitakuja Tanzania kufanya mikutano ya hadhara sio kuja kujifungia chumbani. Mnanifahamu?, sio kuja kukaa kwenye vikao vya ndani. Kwahiyo tujiandae twende kwa wananchi tutapata katiba mpya iwe kwa shari iwe kwa kheri.”
@TunduALissu
#KatibaMpya
#ChangeTanzania
Prof Safari: “Ukiwa kwenye Chama lazima uheshimu uamuzi wa wakubwa wako na maamuzi ambayo wamefanya kwa pamoja, Ngombale Mwiru alitimuliwa na mwalimu kwa kupinga uamuzi uliofanywa kwenye baraza la mawaziri, hii inaitwa collective responsiblity “
#ChangeTanzania
Petition ya Watanzania
#NoBETAward4Diamond
ina Trend kwenye Top 4 ya petition zilizopo kwenye jukwaa la petition kubwa duniani
@Change
, Tunaendelea kukusanya sahihi , kama bado weka sahihi hapa share na wengine pia
#NoBETAward4Diamond
Kujishusha hakukufanyi usiwe kiongozi, Kujimwambafai mwambafai hakukufanyi uwe kiongozi zaidi...unapokuwa na majukumu yako unatakiwa kuyatekeleza na Unapokuwa na binadamu wenzako ni binadamu kama wewe -
@jmkikwete
08 October 2020
#ChangeTanzania
Nikiwa gerezani
@TRATanzania
walinipiga kodi ya billioni 2.6 kwa kampuni yangu ndogo, nikazungumza na mamlaka zote akiwemo raisi magufuli, lakini hakuna kilichofanyika, wakafunga account zangu zote mpaka ya mshahara wa bunge, -
@freemanmbowetz
#ChangeTanzania
Mbunge wa Bunge la Ulaya
@Europarl_EN
katika mjadala unao endelea katika bunge hilo ameshauri kuwa Bunge la ulaya likate misaada na kuangalia kwa ukaribu maswala ya UGAIDI kusini mwa Tanzania mpakani na Msumbiji ambayo yameendelea hivi karibuni.
#ChangeTanzania
Taasisi ya kupambana na Rushwa inakiachia chama cha siasa kufanya kazi ya kupambana na Rushwa?!! Ni taasisi hiyo hiyo inayohoji viongozi wa CDM ...
Je ni uoga wa kufanyakazi zao au ni maagizo ? Tuna haja ya kuendelea kutumia pesa za umma kwa taasisi hii?
#ChangeTanzania
Baada ya kufungiwa account zangu zote za bank nimekaa bila account kwa muda mrefu, hii imetokea kwa Watanzania wengi, jana ghafla wamefungua account zangu lakini wamechukua fedha zangu nyingi awajasema inakuwaje, nilishughulikiwa kwa kuongoza CDM -
@freemanmbowetz
#ChangeTanzania
Mwaka 2020 watu WENGI sana wameenguliwa, ilianza wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, watu waliotaka kugombea walienguliwa kwa taarifa tulizo zipata hawakuenguliwa kwa sababu ya sifa hizi zilizopo katika katiba na sheria ni mambo mengine tu” - Warioba
#ChaguziHuru
Baada ya Spika wa Bunge Job Ndugai kuita watu manyani kwa kutofautiana nao fikra,
Watanzania wengi wanaotumia mtandao wa twitter walikubali jina ilo na sasa wanaishi kwa kukubali uhalisi viongozi wao kuwaona kama nyani , je umoja wa kitaifa tutaujenga namna hii?
#ChangeTanzania
#ChangeTanzania
tunatoa pongeza sana kwa Watanzania kwa kusimama kama sauti moja, Kwa mara ya Kwanza ndani ya masaa 24 watu 10,040 wameweka sahihi na kusema hatukubali kusimama upande wa waonevu, upende wa wavunja haki kwa kuweka saini zao hapa
Watu wanafikiria
@fatma_karume
na
@MariaSTsehai
hawawezi kuguswa sababu ya familia zao lakini siyo kweli, wote wanapitia wakati mgumu kutoka kwa Mamlaka, na wengi wanaamini ni kutokana na uimara na kampeni zao kwenye mitandao ya kijamii.
#ChangeTanzania
#ShangaziPower
“Niliteswa bure kwa kisingizio cha kesi ya uhujumu uchumi, ili hilo kesi iwe halali ni lazima kuzingatie masharti ya sheria zinazoelekeza namna ya ukamataji na ufunguaji wa kesi, na namana ya kutoa haki kwa yule anayetuhumiwa kwa kesi hizo. - Wakili Peter Mdekela
#ChangeTanzania
“Mamlaka nchini
#Tanzania
imemshtaki Catherine Ruge na wengine 5 kwa makosa kadhaa ikiwemo mkusanyiko kinyume cha sheria na uharibifu wa mali.” mgombea huyo alipigwa marungu na polisi akiwa mgahawani
@hrw
#WahangaWaSiasaTz
#ChangeTanzania
"Wanasiasa na watu maarufu wamekuwa wakikamatwa kwa ‘kosa’ la kuikosoa serikali, mara nyingi wakituhumiwa kwa ‘uchochezi’ au kwa makosa yaliyomo chini ya Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015."-
@Twaweza_NiSisi
#ChangeTanzania
#FreeErickKabendera