Minister of State, Prime Minister’s Office (Labour, Youth, Employment and Persons with Disability) | Tanzania Member of Parliament (Chalinze Constituency)
Miaka 71 iliyopita siku kama ya Leo , alizaliwa katika Ardhi hii kiongozi na mzazi kwetu
@jmkikwete
. Ninapofanya kumbukumbu ya Umri wako, ninamshukuru Allah kwa zawadi ya uhai wako, mafunzo na malezi yako. Umenifundisha mengi na leo ninakutakia Afya njema.Happy Birthday Baba 🥰.
Wawili kati ya Wao ni Wazazi wangu. Wameniita nimesikia na ninajiandaa kwenda Shiriki Ibada ya Hijjah. Mwenyezi Mungu nijalie nifike nitimize nguzo muhimu katika Dini yako.
Ninamshukuru Mungu kwa kuniwezesha kufika hatua hii. Kwa hakika sifa nzuri zimuendee. Kwa Mh. Rais
@SuluhuSamia
namshukuru kwa kuniamini. Jukumu mbele yetu ni kufanya kazi kubadilisha maisha ya Wananchi na kujenga nchi. Tuendelee kushikamani ili kufikia malengo.
#SSH
#KaziIendelee
Nimeangalia Interview ya Mh. Rais
@SuluhuSamia
na
@bbcswahili
. Ni wazi kuwa amejitambulisha ni kiongozi Mkweli , anayeheshimu taratibu, anayetambua mapito ya nchi na anayejua tunachokitaka kwa manufaa ya wengi.
#ChapaKazi
#KaziIendelee
To rafiki yangu wa kweli, Hakika ya Allah anasadiki katika Malezi bora ya Wazazi nami nashukuru kwa uwepo wako. Namshukuru Allah kwa Uwepo wako katika Maisha yetu. Allah azidi kupa Umri ushuhudie Mafanikio ya Kazi za Mikono yako. NAKUPENDA BABA.Happy Birthday 2 U Daddy.
Shukrani kwa Mwenyezi Mungu, kwa zawadi ya Uhai na Afya ninaposherehekea siku mpya katika uhai wangu. Nakushukuru haswa katika kipindi hiki cha mwezi wa Ramadhani. Nimezaliwa tena. Happy Birthday to me.
Nimepokea kwa masikitiko habari za Kuugua kwako, Baba
#Lowassa
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe afya na kukupa nafuu haraka .Tunakuombea Upone haraka baba.
#UguaPole
#EdwardLowassa
Naheshimu sana Maamuzi ya Mtu lakini Brother sina hakika kama kafanya busara katika hili. Hela hazinunui Ushindi, ni haki yao kulipwa kwa kazi wanayoifanya. Please Brother, usifanye hasira. Huu ni Mpira tu na matokeo yako Matatu. Ninaamini utalifikiria tena uliloamua
#MoDewji
Zilikuwa Nyakati njema siku zote. Mungu amekupenda zaidi baba. Pumzika kwa amani Baba yetu.
Natuma salamu za pole kwa Mama yetu Mama Regina, Mh. Mbunge Fred na wadogo zetu wote kwa msiba huu mkubwa. Mungu awape nguvu na subira katika kipindi hiki kigumu.
Utu Uzima oyeeeee!!!!! Tuseme Oyee. Allah ninakushukuru tena kwa Mwaka mwengine. Kwa hakika ni majaliwa yako niwe kati ya uliowapendelea katika Dunia hii. Nakushukuru kwa Uamuzi wako ninashereheka mwaka mwengine. Asante Allah kwa Umri Mwengine.
#HappyBirthdayToMe
Mungu awahifadhi Wazazi wetu. Tukio hili la mtoto wa Marehemu rafiki yetu Zambi aliyefariki pamoja na Mkewe na watoto watatu limenipa Majonzi na Kuniliza Upya.
Mungu alituahidi kuwa atatupa Majaribu kupitia Wanadamu wenzetu .
#InnallillahWainnallillahRajuun
#PoleSanaAnna
Kwa Mara ya Kwanza tangu Kuteuliwa kwangu kuwa Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu -Kazi,Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu nitasimamia Mbele ya Bunge kupeleka Muswada wa Mabadiliko ya Sheria za Mifuko ya Hifadhi za Jamii. Mabadiliko yanayolenga kuondoka changamoto wanazokabiliana nazo
Ninapenda kutumia nafasi hii kukushukuru Wewe, rafiki yangu kwa support yako muda wote na ushirikiano. Kwa familia yangu ikianza ile ya Wanakitivo pale Udom, nyumbani kwangu, na wote. Hatua imepigwa na sasa tunaendelea kuchapa kazi. Mengi tumeandika kwenye kitabu. Jioni hii
Chief in Chief……Chief Hangaya wa Tanzania. Hongera sana Chief Hangaya kwa shughuli nzuri sana. Shughuli hii ni kielelezo cha Ulezi, Uongozi,Muungano na Utanzania. Mh. Rais
@SuluhuSamia
hongera kwa kuongoza kwa mfano.
#SSH
#KaziInaendelea
Nilivutiwa nacho kwenye Graduation ni maelezo ya Jopo la Wasomi , kuhusu Historia na Mafanikio makubwa aliyoyapata Dr.
@SuluhuSamia
katika kipindi kifupi Cha Uongozi wake. Kwa hakika mmetuheshimisha sana Watanzania. Kama haujui kusoma nadhani Picha Umeiona. Hongera sana Mh.Rais
Picha na jirani
@BabuTale
. Naendelea kujifunza mengi toka kwake na ninaona uongozi toka katika yeye. Anasikiliza, anauliza, anashauri na anafunguka kwa mawazo mapya. Mungu akutunze ndugu yangu.
Nimebahatika kukutana na kijana
@SuphianJuma
katika mgahawa wa Chai Msolwa akiwa safarini kuelekea Dsm. Tumeongea mengi na kumtia Moyo asiache kujifunza maana mafanikio uja taratibu. Namshukuru kwa maongezi mazuri na kunipa moyo wa kupambana pia.
#ChalinzeInaendelea
#KaziIendelee
Nimetembelea Ofisi za Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dar Es Salaam, na kukagua Mfumo wa Unganishi wa Taarifa za Ardhi (ILMIS), katika moja ya ziara zangu za kujifunza mambo mbalimbali ya Wizara. Pia nimetoa wito wananchi kuchukua Hati zao zilizokamilika kwa wakati.
MIAKA YANGU 10 YA NDOA NI LEO
Miaka 10 iliyopita Nilimuoa Arafa Mohamed.Mungu Mwema ameleta Baraka Nyingi katika Maisha yetu na Kutupitisha kwenye Mitihani mingi na Kutusimamia. Nakupenda sana kwa kweli , "Unamaanisha Dunia Machoni Mwangu.". NAKUPENDA SANA ARAFA WANGU.
Watu wa Bagamoyo hatujasahaulika katika jezi hizi za mabingwa wa Taifa hili
@yangasc1935
. Nimeona Ngome kongwe Tunawashukuru timu nzima ya wabunifu mkiongozwa na
@SheriaNgowiTZ
Siku zinakwenda mbio sana. Naendelea kukushukuru Mwenyezi Mungu wetu kwa baraka zako leo na siku zote. Kheri ya sikukuu ya Pasaka na Ijumaa Kareem kwetu sote.
Happy Birthday to you Mom.Mwenyezi Mungu akujalie kheri katika kazi za Mikono yako.Allah akujalie kheri aiku zote. Nakupenda sana Mama yangu.
#HappyBirthdayMom
#SalmaKikwete
Happy Birthday Mh. Rais wetu
@SuluhuSamia
kwa kutimiza umri mwengine katika siku za uhai wako. Mungu akuzidishie hekima na kukuongezea umri ili Watanzania tufaidi matunda ya Uongozi wako. Kwa hakika wewe ni lulu na zawadi kwetu. Allah akupe nguvu na kuluhifadhi Kiongozi wetu.
Nimemsikiliza na kumuelewa. Tufanye kazi kujenga nchi na Rais wetu. Nasimama na Rais wetu. Rais wa Maendeleo, Rais wa Uwazi na Ukweli
@SuluhuSamia
#KaziInaendelea
#SSH