Habari makamanda! Mimi ni Mfamasia.
Nina degree ya kwanza ya:
Doctor of Pharmacy (PharmD).
Degree ya 2 (MSc) kutoka chuo cha 15 kwenye ranking duniani (Shanghai), kipo France.
Mnazo 15M nije kuwa meneja wa Wafamasia?
Gari nitanunua mwenyewe, nyie ni kulipa tu hiyo salary.
@YourFrenchFry
Ndio maana wazee flani wanasema dont wait till you are ‘too old’ (maybe 35+) to get married because the ´bad side’ is so chronic at this stage that you won’t be able to easily control it. When you are young, adjustment and flexibility is not too difficult.
He was my intern at MNH, then joined me in Paris for MSc; He will soon be a PhD candidate to develop a NEW drug for Cancer, sponsored by EU!
Serikali wekeni bajeti mezani vijana wasipotee!
Fund our UNIs!
R&D may give us a novel antibiotic, new weapon against resistant bugs!
We regret to inform you but atleast hata wameni’address properly!
NB:
Game ya kutafuta kazi huwa ni ngumu dunia nzima. In Europe nadhani it takes more than 50 very well prepared applications to get 1 job interview.
Courage to all jobseekers, msikate tamaa.
JINSI YA KUPATA FURSA:
1. Tumia search engine mf. google au zilizopo X etc.
2. Tumia neno unalotaka ku’filter information mf: scholarship, study , climate activist, international jobs, Pata IDEA kidogo
3. Tafuta wanaofanya hizo ishu, tuma DM kuomba akuoneshe njia ya kupita.
Hawa watoto wetu sometimes ni bora wasome shule za ‘kayumba za kati’ kama Olympio au private za chini ya laki 5 kwa mwaka halafu hiyo 2M+ tunazolipia kwenye English medium uchwara unaenda ku invest kwenye professional skills kama football/kuogelea/riadha/French/Chinese/Computer.
Pharmacists wenzangu, we have Clinical Research/Trials as an area to practice pia. With GCP and CRA certificate you’ll start as a Clinical Research Associate (Monitoring). You become a Clinical Project Manager after 2 to 3 years of experience. Diversity is key.
#Pharmdiversity
Choices kwa FORM 6 wa PCB
1. MD :
• Wenye upendo na passion ya kutibu
• Career mostly in hospital
2. PHARMACY:
• flexible: Hospital, Industry, Regulatory (TMDA, Distributors), Kujiajiri
• Abroad : Easier to get Industry jobs than MD
3. NURSING
• Boys acheni hii kitu😂
STUDYING IN EUROPE:
Faida mojawapo ya kusoma Europe ni uhuru wa kuingia nchi nyingi kwa VISA yako moja!
One of my best experience ilikua hapa Stuttgart, Ujerumani😂, nilimtembelea mshkaji wangu wa A’level aisee tulipiga baiskeli kama 40km hivi.
Stuttgart stadium kwa mbaali.
No engagement, no likes, no RT : Ila utasikia hizo fursa walitangaza wapi?
Msijali vijana, hizi wata print na kuja kubandika kwenye mlango wa kila nyumba.
The Bridge USA Ambassador Scholarship Fund is now open for applications!
This is your chance to experience the United States, work in seasonal, entry-level roles, and expand your global network!
Apply 👉🏼
#GlobalOpportunities
#TechWomenTZ
#SheTechTZ
Kabla hujarudi shule for Masters’ degree etc:
Zingatia:
1. Una plans gani after shule?
2. Masters ipi itakutimizia hizo plans?
3. Nchi gani ina elimu bora, ada nafuu/scholarship na social life,
4. Lastly, be persistent + resilient like my tracksuit hiyo niliyo’buy in 2015.
Doctors/Pharmacists/DDS/Lab/Nurses working in the hospital;
You have been called for an INTERVIEW by a certain NGO/MDH/MSD/TMDA/NIMR etc and they ask you:
“Why do you want to change your career from hospital to research/project management/ Industry”?
How do you answer?
Mtu mwenye degree moja halafu kasomea AFRIKA anaku’influence vipi?
Yaani mtu anaenda class chuo hakina Internet, email yake ya chuo haina access na prestigious journals na bado anaku’influence kwenye vitu vinavyohitaji elimu?
ToT bwana!🤣🤣
Ukiwa na opinion tofauti na wanaharakati wanakuita CCM, na ukiwa na opinion tofauti na CCM wanakuita MPINZANI.
Siasa za Tanzania zinaenda sawa na IQ zetu.😂😂😂
Kitu nilikua napenda kama Pharmacist ni kusoma clinical history ya mgonjwa ilivyoandaliwa na Drs vs treatment plan!
CHANGAMOTO niliyoiona ni ONE-SIZE -FITS-ALL prescribing pattern.
Wagonjwa wengi wanapewa dawa na dozi zinazofanana!
Kipi kinazuia individualization ya TIBA?
Vijana wa Biotechnology and Molecular Biology wanalalamika hawaoni application yake?
Mkae na wadau mbalimbali wenye exposure wawafungue jinsi gani DUNIA IPO HUKO KWA SASA!
From chain nzima ya R&D in innovative medicines mpaka Regulatory Affairs inawahitaji sana!Itafuteni dunia!
@FMusilimu
GPA ni muhimu sana kwa Afrika maana kwenye shorlisting na kwenye interview tunakutana na watu wasio na exposure ya dunia!
Dunia ya 1 hata vyeti vya shule watu hawaulizii, wanataka kufahamu UMEWAHI KUFANYA na unajua KUFANYA NINI!
Exception ni if unataka PhD na huna references.
@ZizzouSule
Nina mwanangu ni mbeba chuma kitaa, n fundi tiles. Na yeye siku moja job kwao kkoo kazi ya tiles iliahirishwa akaambiwa anaweza beba zege for that day tu!
Jioni ilivyofika aliumwa kama kapitiwa na SGR sita, tokea siku hiyo anapata uchungu sana akiona watu hawaweki juhudi shule.
@George_Ambangil
Leo sijaona hata dakika moja watu wamesimama na mpira bila kujua waupeleke wapi, options zilikuwa nyingi kwenye pasi. Pogba akijiongeza atacheza kwa McTominay pale ili pass za chap za nyuma ya mabeki ziwe na ufanisi.
@kalegamyeh
Hii ni angle moja tu na nakubaliana nayo!
Angle nyingine ni watu waoe mapema, waanzishe familia mapema bila uoga na fursa zikija waziendee bila woga!
Hawa mabebez sometimes ndio wanatu’push tutoke kwenda kujitafuta zaidi.
Watu wapime angle zao vizuri
Hello Pharms, everything is going digital now, right? Online Pharmacies, Supply Chain etc?
Go digital too with your Pharm background😃.
Check: MSc Digital Solutions for Pharma Sciences in France, ukirudi utasaidia QA ya mifumo yetu au uwe consultant.
@jaliluzaid
Maoni yangu: Mzazi aangalie alijikwaa wapi. Tunaweza kumlaumu mtoto lakini unakuta shule aliyomsomesha na mtaa aliokulia vimemuandaa zaidi kuigiza kuliko kuwa vile mzazi angependa. Tunavyotafuta pesa, tusiache majukumu ya kulea mtoto kwa jamii pekee, tutenge muda wa kuwaongoza.
I just made the first test transaction for NALA from France to Tanzania 🎉 The money arrived instantly and it's the best FX rates.
@NALAmoney
@Benji_Fernandes
My diaspora buddies, we go from here?
@sumaMaumba
Hello Pharmacists!
It’s the right moment to think about doing these Masters degree - hot cakes 🙌🏾:
- Regulatory Affairs specialised in Medical Devices
- Regulatory Affairs CMC
CAREER:
Kwa graduates wa BSc Biology, Biotechnology, Pharmacy, Lab:
Kuna hii alternative career path: Master’s (MSc) in Biobank and Complex Data Management in France.
Binafsi kabla sijaamua kusoma Drug Development, nilikuwa naelekea kusoma hii MSc.
Happy New Year 2024 kutoka kwa kinda la U17 la Oympique de Marseille.
Hapo nikichechemea baada ya test ya umri ya kukimbia round 69 za uwanja kunishinda!😂😂
Lengo letu Pharmacists wote 2024 ni kuacha kuuza dawa na kuwa influensas!🫶🏼
Wafamasia tutafikiwa one day, tutarudi na ujuzi na tutainufaisha nchi kupitia:
1. Utafiti wa dawa na chanjo zetu wenyewe hasa kupitia mimea ya asili,
2. Uboreshaji wa viwanda vya dawa vya ndani.
Hii inaweza ondoa tatizo la dawa fake kwenye mnyororo zitokanazo na IMPORTATION.
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mara nyingi anapokwenda nje ya Nchi huwa anafuatana na jopo la Wafanyabiashara lakini kwa sasa anataka kugeuka kidogo na atakuwa anasafiri pia na Wasanii ili kuwapa nafasi ya kujifunza zaidi kutoka nje ya Nchi na kutanua wigo wa
As a Pharmacist, you might be wondering about the career prospect away from the hospital setting, right?
R&D is one area with so many job opportunities!
Where do you see yourself?
Medical Writing?Regulatory?Clinical Research?Data Management? Safety?
#researchpharmacist
@chapo255
Na hii ndo inakuwaga shida yao, simu ni refurb, ipo kwenye generic boksi lakini bado hawasemi, wanalazimisha kusema ni mpya na wana UNBOX kabisa😂. Ukifika nayo home betri inaisha after 1hr😂. Ndo hapo waTz tunaanza kusema iPhone sio simu bora Infinix😂😂
@FestoNgadaya
Nilipita usaili wa written huko MSF-Kigoma, siku ya usaili wa oral kwa Skype HR akaamua ku’mute nikawa siwasikii. Nilikata nikatest kuongea na washkaji wawili Europe kitu fresh, nikiunga na HR haongei kaji’mute😂…nikajisemea this country is not for me!!
Kuna haja ya kuangaliwa upya hili suala la hospitali kufanya biashara ya dawa (Pharmacy)! Mimi bado naona haya maeneo yashughulike na dawa kwa wagonjwa waliolazwa tu, waliobaki wapewe vyeti kwenda Pharmacy za mtaani! Tutatatua changamoto nyingi sana kutokea hapa!
Jamani kama hamna vyeti vya academic vyenye umri wenu + kama hamjatengeneza passport, hakikisheni mnafoji UMRI.
Punguzeni 4 to 6 yrs.
Hasa vijana mliomaliza form 6 + kama mna mawazo ya kwenda nje ya nchi!
PUNGUZA UMRI huo.😂
@DocFaustine
According to a friend mwenye Zahanati, waTz wanaenda hospital na UTI yao. If negative, wanatangaza mtaa mzima kwamba Dr yule hajui kitu so it paints a bad image to them. Na wataenda maabara uchwara ambapo wanawajulia na kuwapa + na antibiotics juu. Elimu kwa wananchi iongezeke.
@George_Ambangil
White bishoo sana😂. Oya kulikuwa na babu flani anauza juice kwenye kibaiskeli nje kwa Mbuga pale, ana matusi balaa, utasikia, usiwe kama gorofa wewe kusimama hadi utiwe nondo!😂😂😂
@TheChanzo
Hapo Dar wamechukua hela za Bakhresa, Mo na GSM wakagawanya kwa watu milioni 5 wa Dar, ndo tukaingia kwenye hicho kipato. Wakiwatoa hao watatu tunabaki na pato la aftatu kwa kichwa kwa mwaka. Or madeni😂😂😂😂
@fc_nvn160
Nakubaliana na wizara! Kozi ya Pharmacy ni ya kuifuta kabisa. Madaktari ndio wawekwe Pharmacy maana kwenye afya, nani kama Dokta?
MD + Nurses wanatosha sana!!
ONYO KWA WAFAMASIA WANAOUZA DAWA BILA CHETI CHA DAKTARI
Na. WAF - Arusha
Waziri wa Afya Mhe.
@ummymwalimu
ametoa onyo kali kwa wafamasi na wamiliki wa maduka ya dawa waotoa dawa bila kuangalia cheti cha daktari kwa kuwa kufanya hivyo ni kuendeleza tatizo la usugu wa vimelea
Kwahiyo mliomba scholarship au mambo ya kuja France hayawashawishi?
One day I will write kuhusu life in France for international students na jobs baada ya shule.
Kwa wanaosoma MSc na PhD Tanzania kuna option ya kufanya research kwenye Lab za France kwa 6 months kwa mfano:
Solution:
1. Bima ya afya kwa wote
2. Hospitali zisitoe dawa kwa wagonjwa wasiolazwa (OP) na wanaoruhusiwa baada ya kulazwa
3. Wagonjwa wapewe vyeti wakahudumiwe Famasi mtaani kwa bima (Rejea 1)
4. Fedha zinunue dawa kwa waliolazwa, vifaa tiba, na reagents za maabara.
5. …….
Waziri wa Afya Mhe.
@ummymwalimu
ametoa onyo kali kwa wafamasi na wamiliki wa maduka ya dawa waotoa dawa bila kuangalia cheti cha daktari kwa kuwa kufanya hivyo ni kuendeleza tatizo la usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa na kuhatarisha afya za watu.
Waziri Ummy amesema
@Adventure_36
It is how it is supposed to be done!
Hakuna haja ya kuweka stand kubwa ila bus liwe na ratiba ya kupaki kwa muda mfupi ku’wait hizo transit.
Ikiwezekana TRC na ma’bus waweke option ya tiketi ya kuunga safari mf: Dar-Mwanza via Dom (TRAIN + Bus - single connected journey)
@MariaSTsehai
@shilinde_cc
Ni moja ya dalili kubwa ambayo inajitokeza Tz ikihusishwa na covid-19, jambo zuri ni kwamba haihitaji dawa kurudisha uwezo wa kunusa na kuhisi ladha mdomoni, itarudi yenyewe. Tuendelee kujilinda.
Reminder!
Go out, meet people, talk to people. Sell your skills and your title.
Make sure when the opportunity arises, people will remember your credentials and mention your name.
When you meet me, lets talk about Clinical Research and Innovative Drugs R&D
#ResearchPharmacist
@chapo255
GPA ni muhimu kama unataka Excellence scholarship za vyuo tu, otherwise work experience, motivation na clear plans + recommendation letters zinakupa chuo bila zengwe, popote duniani!
Sema watanzania🙌🏾, nimeona mtu anaitwa CPA. Kollins Mngumbo 😂…(sio halisi), nikaanza kujiuliza hizi title za Eng, Dr, CPA, QS etc, kabla ya jina, huwa zinasaidia nini?
Au tuna kaushamba flani na elimu zetu?
Kama ni muhimu na mimi nitatumia one day.😂
@Makaveli_255
Mwaka 2013 flani pale dukani kwake Komakoma, niliipenda raba halafu akanambia bei laki 4!
I was like fake for 200€ is a bit too much you know!😂 Halafu hakuna kubembelezana, anakuacha usepe.😂
@OleMtetezi
Alipigwa tukio mwanangu then mwaka uliofuata same post yakanikuta😂. Hiyo HR ni lazima amuweke mwanae na akanizimia hadi mic ya skype ili nionekane nazingua mbele ya wazungu😂😂
Better chance of landing a job through connections and at professional networking and/or social events than through job applications.
Most Pharmaceutical conferences are not free to attend, but hizi ni investments za kufanya, zitatulipa.
Tutoke vitabuni, twende mtaani.
@casarikie
@MariaSTsehai
Nipo tofauti, watanzania tupo nyuma sana kwenye kutafuta information, watu kama hawa ni vizuri wafungue hata youtube channels maalum kwa ajili ya kutoa habari zao ili vijana wafunguke bongo zao.
Kina
@GIVENALITY
wanajitahidi sana pia katika hili, we need infos.
@Nnauye_Nape
Ndugu Nape, kwetu France, maana nishajipachika uTaifa ugenini, kwa euro 10 = tsh 23,000/= napata zangu kuanzia GB 30 hadi GB 100 per month. Hapa tunavyoongea nateseka tu Dar es salaam maana mobile internet ni gharama sana.
@GIVENALITY
Highly recommended! Zamani wazee walikua wanatumia family history ya magonjwa ya kurithi kukataa kuozeshana vijana wao. Technology imesaidia mchakato now.
@MabalaMakengeza
Hili kila siku nasema lipo wazi, mie ukinipa nikupe ujuzi nilionao kichwani kwa Kiswahili nakuwa kama Eistein, ukinihamishia kwa Kiingereza, nakuwa kama msanii wa bongo fleva tu, utopolo mtupu.😄
@OleMtetezi
Halafu anakazia, nilikwambia ukae sehemu yenye internet connection nzuri! Hapo nikikata na kuwa’skype wanangu wa abroad na wa mikoani tunabonga fresh, ukimrudia yeye humsikii😂, kajimute😂
1.UKIMWI- Acquired Immunodeficiency Syndrome ni specific to HIV only.
2.Kushuka/kupanda kwa kinga za mwili (Immunodeficiency Disorders) ndio general ila jina lake silijui kwa Kiswahili (ila sio UKIMWI) ndo huwa na visababishi lukuki from drugs, infection, autoimmunity etc.
UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini, Ina maanisha mtu yeyote mwenye upungufu wa kinga ana UKIMWI.
Swali kwa
#TOTMedics
: Je inawezekana mtu kupata UKIMWI kutokana na matatizo mengine tofauti na VVU?
Mtu ana degree na hata GOOGLE DRIVE hajawahi kuisikia, email kuandika ni tabu etc..labda huko nje akapepee watasha na yenyewe lugha si hadi ipande?
Sad, sadder, saddest!
Bad, worse, worst!
@MrDepalitto7
Anakwambia , “Je n’ai même pas fini avec les filles, c’est les garçons maintenant qui me TONGOZA”😃..Kwamba sijamalizana na mademu, nafatwa na masela😂.
@GIVENALITY
Kwa "SPESHO" za govt kila unaemgusa ktk hizi shule, huko alipotoka kama hajaongoza kata basi ni wilaya au mkoa. Halafu kila mmoja anataka kuwa juu ya mwenzake so you just push yourself to the limit, it's rewarding. Ukipata 82 japo ni A ila kuna hatihati ukawa wa mwisho😃
Watanzania sisi ambao graduates tu hata kuweka attachement kwenye email ni tatizo😭, writing skills ya kupambania fundings tutaipata wapi? Halafu hatupendi kupambana.
Hapo atafute njia ya kwenda ABROAD apige MSc ya Pharmaceutical Science halafu aangalie uwezekano wa kuingia kwenye Regulatory Affairs za Chemical Industries au Regulatory CMC ya Pharma Industry!
Atarudi miaka ya baadae kupiga story na TBS.
@Kudu_ze_Kudu
@Bm_sniper2
Katika vi interview vyangu vya hapa na pale sikumbuki kama nilishawahi kuulizwa umesoma chuo gani😃, wajomba wapo interested na unachokijua tu, iwe umekipata MUST, MUHAS, HKMU, KIU, CUBA au USA😃, kwa ground hakuna hizi mambo.