ENG/PMP/CMA/SCS/MCS & PBI
🛠️ I'm an Engineer with a passion for project management and Data analysis. Holder of PMP, CMA, SCS MCS & Power BI certifications.
HABARI NJEMA
@TumeUchaguziTZ
wameturejesha wagombea wote watatu tulioenguliwa Jimbo la BUKENE.
Niwashukuru wote kwa ushirikiano mlionipa. Siwezi kuwataja wote ila kwa niaba naomba niwataje watu watatu; Dada
@MariaSTsehai
l, Rafiki yangu Thadei Ole Mushi na Mozes Maganga.
NIMESOMA SANA TWEETS ZA
@kigogo2014
KWA UMAKINI MKUBWA
Ninachoweza kuhisi ni kwamba
@kigogo2014
ni mtu mwenye wadhifa mkubwa Serikalini na anaheshimika sana na hakuna anayeweza kumuhisi kwamba ni flani
Yaani
@kigogo2014
usikute ni Dr. Abasi yule Msemaji Mku..........)))
HAKI HAIOMBWI, HAKI INADAIWA.
Nimejitahidi sana kufuata taratibu na kuheshimu sheria lakini tangu tar. 09 mpaka sasa NEC hawajanipa majibu ya Rufaa yangu.
Sasa narudi BUKENE
Nikifika nitatangaza MAAMUZI MAGUMU SANA.
Hakika nipo tayari kwa lolote litakalotokea
BUKENE JIANDAENI
TANGAZO LA MWALIKO
Ninawaalika Ndugu, Jamaa na marafiki zangu wote ndani na nje ya Jimbo la BUKENE ktk Uzinduzi wa Kampeni.
Nitazindua Kampeni Tar. 21 September nyumbani ITANANA CENTRE Kata ya UDUKA.
Tar. 22 KATA YA BUKENE.
NB:
Jamhuri ya watu wa Twitter karibuni sana BUKENE.
TANZIA
Leo alfajiri nimepata Taarifa ya kushtua sana kutoka kwa Shemeji yangu kwamba Kaka yangu Julius Steven Kahumbi amefariki Dunia.
INNA LILLAHI WAINNA ILLAIHI RAJIUUN
Tayari nimeshafika uwanjani hapa ni Buguruni Sheli ambapo sisi wa Route 2 tutaanzia hapa.
1. Tutapita barabara ya Uhuru watu mliopo Sokoni Ilala, Boma, Karume, China Plaza na Kariakoo
2. Barabara ya Msimbazi tutapita kwenye Kituo vya mwendokasi vya Msimbazi A na B tutakunja
@Lumola_Steven
mgombea pekee wa Ubunge aliyerejeshwa kugombea kati ya wagombea wote walioenguliwa Mkoa wa Tabora.Kijana alipambana sana kudai Haki yake na akafanikiwa.Mpaka sasa ameshindwa kuanza Kampeni kwasababu hana pesa.
#TumchangieLumola
Mpesa:0769-92 92 92 au 0684-92 92 92.
Tayari nimewasili Dodoma mbele ya Kamati ya kudumu ya
@bunge_tz
Utawala, Katiba na Sheria kutoa maoni.
Nitashiriki kama Naibu Spika wa Bunge la Wananchi linaloundwa na wabunge wa
@ChademaTz
Jimbo la Bukene ndio linaongoza kwa kuwa na majengo yasiyokamilika; zahanati na Shule sehemu kubwa hazijakamilika.
Hakika Bukene kuna kazi kubwa sana ya kufanya, wananchi wanitume nije kufanya kazi.
Bukene msifanye makosa kijana shupavu jasiri asyeyumbishwa na wajinga tumpe kura kama aliweza kuwa kiongozi wa wasomi chuo cha sayansi mbeya na matokeo tukayaona kwanini ashindwe bukene tunatarajia kuona bukene mpya yenye mafanikio chini ya mbunge kijana
@Lumola_Steven
MUDA HUU MAWAKALA WA CHADEMA WAMEKATALIWA KUAPA MBELE YA MTENDAJI KATA YA BUKENE.
Picha 2 hapo chini zimepigwa muda huu saa 3:45 asubuhi 16 July 2024 nje ya Ofisi ya Mtendaji Kata ya Bukene hao ni mawakala wa
@ChademaTz
kwenye Vituo 8 vya Kata ya Bukene waliokwenda kuapa
PORI KWA PORI NA KAKA
@AdvMatata
Mimi ni Kampeni Manager wa Kamanda Matata, Mgombea nafasi ya M/kiti Kanda ya Magharibi
MASAA 72 YA KAMPENI
Kutoka Dar mpaka Kigoma Kusini, Kasulu, Buyungu, Buhigwe, Muhambwe, Kigoma Kaskazini na leo asubuhi Ujiji na baadae tulifika Ngome ya
NIMEINGIA CHUGA JANA USIKU
Hapa nilipo wanapaita kwa mrefu na ndio route ambayo itaongozwa na
M/kiti
@freemanmbowetz
tutakapoanzia maandamano.
Leo inabidi ma👉
@ccm_tanzania
mpeleke drones zenu mpaka kwenye nyota ya dhuha. Mpaka sasa hivi kuna nyomi hatari.
KESHO NI ZAMU YA NGORONGORO
Mhe.
@freemanmbowetz
na Mhe.
@TunduALissu
watafanya Mkutano wa kwanza hapa katika Kata ya Malambo. Hamasa ni kubwa sana.
Chopa itatua hapo nyuma kwenye kibendera.
Barabara ya kutoka Karatu kupitia MONDULI kuja NGORONGORO ni mbaya sana.
Muda huu TBC1 namuona kaka yangu Fahami
Huyu tulikuwa nae
@ChademaTz
, baadae akahamia
@ACTwazalendo
, hakuchukua muda akaunga mkono kilichoitwa Juhudi za Rais
@MagufuliJP
Yaani Fahami kageuka 100 kwa 100. Yaani yupo kwa Mama full ni kama vile hakuwahi kuunga mkono Juhudi😂 😂😂
MBEYA THIS IS TOO MUCH
Mbeya itabidi muandike maelezo;
1. Kwanini mmesababisha mafuriko barabarani? Tunaona mwanzo tu hatuoni mwisho
2. Kwanini mnawatesa maCamera Man kunyanyua mikono na wanashindwa kuwachukua wote ili tuwaone na waliopo nyuma?
LEO TUTAANZA KURUSHA MATANGAZO KWENYE REDIO ZA TABORA
Nitumie fursa hii kuwaalika katika Ziara ya Mhe.
@HecheJohn
ambaye ataambatana na M/kiti wa Kanda ya Magharibi Mhe.
@AdvMatata
katika ziara yake ya siku 4 Mkoani Tabora.
Bukene tutafanya Mikutano mitatu jumla; Tarehe 27 July
Hello
@X
Reporting
@MwananchiNews
for False Information Regarding CHADEMA Demonstration.
I wish to bring to your attention two instances where
@MwananchiNews
provided inaccurate information about the
@ChademaTz
demonstration on January 24, 2024.
Firstly, despite CHADEMA's
MUDA HUU MAWAKALA WA CHADEMA WAMEINGIA NDANI YA OFISI YA MTENDAJI KUDAI HAKI YAO.
Hao ni sehemu ya mawakala wetu wameingia ndani kudai haki yao ya kukiwakilisha chama chetu kwenye zoezi la UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.
Nitaendelea kuwa-update
Lakini mnaweza
Kwako Shangazi
@MariaSTsehai
Mimi nimezaliwa January 02, ambayo ni sawa tu na December 33.
Mimi siupendi mwezi January kwahiyo kuanzia leo ninakata Rufaa na ninaomba uniingize rasmi kwenye orodha ya waliozaliwa December
I submit 🙏
SERIKALI KWA HILI LA THADEI OLE MUSHI HAMPASWI MKAE KIMYA.
Mhe Rais, mama
@SuluhuSamia
Waambie watumishi wa Serikali unayoiongoza
@MuhimbiliTaifa
au
@TaasisiMoyoJKCI
au
@tanpol
kwa hili hawapaswi kukaa kimya watoke hata kama watatudanganya lakini watoke watuambie Thadei alikuwa
Nimepata heshima ya kualikwa na
@KanisaKatoliki
BUKENE kama Mgeni Rasmi katika Kongamano la VIWAWA litakalofanyika Bukene Parish ambalo kilele chake ni Tar. 30 Juni 2024.
Nitaongoza Harambee kwaajili ya kukuza mfuko wa Vijana.
Marafiki zangu wote nitaomba michango yenu pia 🙏
Dada Kiboga
@JotiOfficial
njoo uone comedian ndio kama hawa.
Eric Omond anakuzidi kila kitu; ubunifu, uchekeshaji, exposure na pesa. Lakini ni mtu mwanaJamii kweli kweli anatimiza wajibu wake wa kiraia sawa sawa.
Kwanza siku hizi umeshuka hata hauchekeshi kama zamani.
Wewe
Eric Omondi anaendelea kuigusa jamii. Jana amempa Tsh Milioni 10 Mama ambaye paa la nyumba yake liling’olewa na mwenye nyumba baada ya kulimbikiza deni la kodi Tsh 92,000. Omondi amemlipia mama huyo kodi ya mwaka mzima kwenye nyumba nyingine na akampa pesa ya kufanyia biashara
Tayari tumeshaingia Ukumbini kushiriki zoezi la kutoa maoni mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria. Kushoto kwangu ni Kamanda
@Twaha_Mwaipaya
, Mhe. Hadija Maula na mama Rose Katibu wa Chama Mkoa wa Pwani Kaskazini.
TAYARI NIPO HATA ST. PETER'S KANISANI 😭😭😭
Nimekuja kujumuika na familia na wadau kushiriki ibada ya mazishi ya kaka Thadei Ole Mushi😭😭😭
Baada ya hapa ni safari kwenda Uru Kitandu Chombo Moshi kumzika ndugu yetu 😭😭😭😭
Muda huu ndio narudi mkubwa, nimetimiza wajibu wangu wa kiraia alhamdulillah 🙏🤲.
I am confident that Madam President Hon.
@SuluhuSamia
will acknowledge our movement and refrain from presenting three election-related bills to the
@bunge_tz
.
This protest is poised to foster
BADO MASAA MATATU NA NUSU
Mhe. Spika
@TuliaAckson
Kwa mujibu wa Press release ya Bunge ya Tar. 29 January 2024 mlitutangazia umma kwamba mtaanza vikao vya Mkutano wa kumi na nne ambao utamalizika kesho Tar 16 February 2024.
Naibu Waziri wa Nishati aliutangazia Umma kwamba
BADO MASAA 8 IFIKE TAR. 16 FEBRUARY
Kwa kumuangalia usoni Naibu waziri anaonekana hana baya, mtu wa peponi kabisa.
Naibu Waziri Judith alisema ifikapo February 16, Bwawa la JNHPP litaanza kuzalisha MG 215 za awali na tatizo la umeme litakwisha.
Mwambieni Naibu waziri wa
Nilipopata fursa ya kufafanua hoja ya kukifuta kifungu cha 22 cha Muswada wa Sheria ya
@TumeUchaguziTZ
Kifungu cha 22 kinataka Bajeti ya uendeshaji wa shughuli za Tume zitoke katika Bajeti ya Serikali.
Mapendekezo yangu fedha zote za Tume zitoke kwenye mfuko Mkuu wa Hazina ya
Leo tunaleta Shahidi wa 3 kwenye Kesi Ndogo.
Ipo hivi 👇🏻
Shahidi wa 1 wa Utetezi alikuwa ni Komando Adamoo
Shahidi wa 2 Mohamed Ling’wenya ni Mwalimu wa Adamoo
Shahidi wa 3 (......) hatumjui sasa sijui ni Mwalimu wa Ling’wenya?
Usipitwe na updates za leo.
LEO NIMETUKANA MATUSI YOTE MAKUBWA MUNGU ANISAMEHE🙏
Nilikuwa kwenye Mataa ya Sayansi na washkaji ile tunataka kuvuka tu tukasimamishwa tumekaa kwenye foleni kwa zaidi ya nusu saa. Hasira ikawa inazidi kupanda nilipoona sare za CCM nikahisi labda ni msafara wa mwenezi wa CCM
Hapana Hussein ni mzaliwa kabisa kazaliwa Nzega kasoma Kitongo Shule ya Msingi. Nafikiri si sahihi kuweka picha za watu kwasababu ya rangi zao na kuwahusisha na wakimbizi.
Japo sikuridhishwa na majibu ya Waziri
@HusseinBashe
wakati akijibu hoja ya Kaka
@IAMartin_
Kesho baada ya
Muda huu nimewasili hapa njia panda ya kwenda Bukoba na Tinde (Kagongwa). Kumpokea Mhe. Salumu Mwalimu, Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais wa JMT.
NITAMPELEKA BUKENE KATI AMBAPO ATAFANYA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA.
Kata ya Igusule, Mwamala na Itobo jiandaeni kumpokea mgeni wetu
TANZIA
Kufuatia kifo cha Mzee Sabodo kilichotokea leo.
M/kiti wa CHADEMA Taifa Mhe.
@freemanmbowetz
amelazimika kukatisha shughuli zake Tanga ili aje kujumuika na familia katika mazishi.
Inna lillahi wainna illayhi rajiuun
Happy Birthday Brother
@zittokabwe
Nimeipata hii picha mbali sana tulipiga miaka 10 iliyopita katika Viwanja vya Town School Tabora Mjini.
Ilikuwa Tar. 27 April 2013 Siku niliyojiunga CHADEMA.
@IAMartin_
Mimi ni mjumbe wa Mkutano Mkuu wa
@ChademaTz
Taifa 2024-29. Nafasi ambayo nawakilisha kutoka Jimbo la Bukene.
Kila ninaposikia ma👉CCM hayamtaki Mbowe kuwa M/kiti ndio wananihamasisha kuona umuhimu wa Mbowe kuendelea kuwa M/kiti wa Taifa wa chama chetu.
Endapo M/kiti
HATIMAYE MAWAKALA WETU WA CHAMA WALIAPISHWA
Tutaendelea kuweka updates zote za mchakato huu.
Hongera sana Njile Nkumba na wenzako kwa ujasiri wa kudai Haki yenu.
Ni vema sasa hatua stahiki zichukuliwe kwa Mtendaji husika ili tabia kama hizi zisijirudie za kuwabagua
Ahsante sana Mwanza
Maandamano haya yataishia Furahisha ambapo Viongozi wakuu wa Chama watafanya Mkutano mkubwa wa Hadhara
Kama upo Mwanza ukikosa maandamano kwasababu za kazi basi hakikisha haukosi Furahisha kwenye mkutano wa Hadhara
Tutawela Link ya mkutano kwa ambao hampo
TUNAENDELEA KUMUHESABIA SIKU ZAKE
Kwa kumuangalia usoni Naibu waziri anaonekana hana baya, mtu wa peponi kabisa.
Naibu Waziri Judith kasema ifikapo February 16, Bwawa la JNHPP litaanza kuzalisha MG 215 na tatizo la umeme litakwisha.
kila siku nitam-post
Bado siku 7
TUNAENDELEA KUMUHESABIA SIKU ZAKE
Kwa kumuangalia usoni Naibu waziri anaonekana hana baya, mtu wa peponi kabisa.
Naibu Waziri Judith kasema ifikapo February 16, Bwawa la JNHPP litaanza kuzalisha MG 215 na tatizo la umeme litakwisha.
kila siku nitam-post
Bado siku 8
@IAMartin_
Mimi nilishayashtukia haya MaTeam ya Simba na Yanga kitambo sana.
Sijihusishagi kabisa na hizo Team, sizifuatilii na wala sihitaji kutania au kutaniwa na mtu yeyote.
Wanajiita watani wa Jadi ni Ujinga tu. CCM wamekuwa wanazitumia hizo Team kuzidi kuwapumbaza watanzania
SERIKALI ya
@ccm_tanzania
KUWENI WABUNIFU
Hii Kesi ya Mbowe ingekuwa inasikilizwa Uwanja wa Taifa halafu kiingilio elfu 5. Serikali ingetengeneza pesa mingi sana.
Nimefika saa 1:45 asubuhi nimekuta ndani pameshajaa. Tupo tu hapa nje
#Justice4Mbowe
#MboweSioGaidi
Madam Speaker
@TuliaAckson
Cc to Madam President
@SuluhuSamia
and
@IPUparliament
I Lumola Steven Kahumbi, a Deputy Speaker of the People's Parliament formed under
@ChademaTz
I am writing to bring to your attention Madam Speaker a matter of concern regarding my recent appearance
NILITOA USHUHUDA MBELE YA KAMATI YA BUNGE.
Moja ya wajumbe wa Kamati ni Ndg. Selemani Zedi Mbunge wa
@ccm_tanzania
ambaye ndiye alikuwa mshindani wangu Jimbo la Bukene 2020.
M/kiti wa Kamati akaamua kutuumanisha mimi na mpinzani wangu.
Pia nitumie fursa hii kuweka
@ayubu_madenge
Kambona angekuwa ndiye Baba wa Taifa nchi yetu ingekuwa mbali sana leo. Nyerere aliendekeza uCCM sana akajenga tabaka la watu wachache lenye kuhodhi kila kitu.
Shida zote tunazopitia leo msingi wake kaujenga Nyerere. Alifika hatua mpaka akatamka bila ya CCM nchi itayumba
@AbroadTanzania
Madam Spika
@TuliaAckson
Kwa mara kadhaa wewe umekuwa ukiitetea Serikali wazi wazi ndani ya Bunge kana kwamba wewe ni Waziri Mkuu. Hakuna Spika kabla yako alikuwa mnazi kwa CCM na Serikali yake kukufikia wewe.
Tangu umekuwa Spika Uwajibikaji wa Serikali umeshuka sana.
Kwa kumuangalia usoni Naibu waziri anaonekana hana baya, mtu wa peponi kabisa.
Naibu Waziri Judith kasema ifikapo February 16, Bwawa la JNHPP litaanza kuzalisha MG 215 na tatizo la umeme litakwisha.
kila siku nitam-post
Bado siku 2 kuelekea February 16
Kwa kumuangalia usoni Naibu waziri anaonekana hana baya, mtu wa peponi kabisa.
Naibu Waziri Judith kasema ifikapo February 16, Bwawa la JNHPP litaanza kuzalisha MG 215 na tatizo la umeme litakwisha.
kila siku nitam-post
Bado siku 3 kuelekea February 16
KUHUSU MAJIBU YA RUFAA JIMBO LA BUKENE.
Muda huu nimetoka Ofisi za Tume Dar es salaam. Nimekutana na Mkurugenzi wa NEC Zanzibar kasema👇🏻
“Bado Tume wanaendelea na Vikao hivyo nitapata majibu kuanzia kesho”.
-NEC DODOMA walisema majibu yapo NEC Dar
-NEC Dar wanasema majibu bado
Hello Kaka
@zittokabwe
it seems you've grown weary now days kaka🥲. You're not the same inspirational figure we've known for the past 2 decades, the one who ignited our passion for opposition politics in our country, especially me. You were the driving force behind my transition
Huyu chawa hatari sana ni mtu hatari katika ukuaji wa demokrasia. Miswaada ile ya kilaghai na kitapeli huyu ngongwe anasema ni sheria nzuri na chama chake cha kitapeli kimeridhishwa.
SHE HAS MADE MY DAY 🤣🙌🏻
Huyu Binti anagombea uenyekiti wa IDARA Chuoni kwake. Actually simjui wala hanijui ila nimecheka sana, imagine bango lake linasema GRACE F. MWAKATUNDU FOR CHAIRMAN 😂
MFUMO DUME UTAISHA KWELI
#MashangaziKaziMnayo
MFIKISHIENI HUU UJUMBE CHA-LAMI-LA
Uki-taka kitu halafu usikipate ukaki-taka tena na tena unakuwa taka-taka
1. Sisi ni taka-taka hajakosea tuna-taka katiba mpya
2. Tuna-taka minimum reforms kuwezesha kutunga sheria zitazotupa Uchaguzi huru na Haki
3. Tuna-taka Serikali ya
TUNAENDELEA KUMUHESABIA SIKU ZAKE
Kwa kumuangalia usoni Naibu waziri anaonekana hana baya, mtu wa peponi kabisa.
Naibu Waziri Judith kasema ifikapo February 16, Bwawa la JNHPP litaanza kuzalisha MG 215 na tatizo la umeme litakwisha.
kila siku nitam-post
Bado siku 4
TUNAENDELEA KUMUHESABIA SIKU ZAKE
Kwa kumuangalia usoni Naibu waziri anaonekana hana baya, mtu wa peponi kabisa.
Naibu Waziri Judith kasema ifikapo February 16, Bwawa la JNHPP litaanza kuzalisha MG 215 na tatizo la umeme litakwisha.
kila siku nitam-post
Bado siku 5
Napenda sana vile Makamu
@TunduALissu
ana-address mambo haya muhimu. Anatupa somo kubwa sana ✌️
Ukicheka na nyani unavuna mabua.
Ni lazima tuwe aggressive kweli kweli yaani. Hakuna kuruhusu ujinga wowote katika hatua yoyote ya mchakato.
"Safari hii atakaye enguwa mgombea wetu basi na sisi tusikubali aishi kwenye vijiji vyetu" Tundu Lissu akizungumza na wakazi wa Kata ya Misughaa Jimbo la Singida Mashariki.
@MadarakaNyerere
Kaka Madaraka
Baba yenu alikuwa mtu wa kupigani haki mstari wa mbele kabisa, asiyeogopa.
Hakuwahi kunyamazia ujinga lakini nyinyi watoto wake mpo mpo tu.
Hakika Mwalimu hakuwa na bahati kwenye uzao wake hana hata mjukuu aliyerithi karama zake hata robo tu.
Leo ni siku ya mwisho ya wadau kutoa maoni mbele ya Kamati ya
@bunge_tz
ya Utawala, Katiba na Sheria
▪︎ Katibu Mkuu Mhe.
@jjmnyika
amewasili Jijini Dodoma jana na tayari ameshaingia Ukumbini msikae mbali kusikia mchango wa
@ChademaTz
▪︎ Kwenye picha mbele ya siti
MCHUNGAJI MSIGWA KAKIMBIA MJADALA
Awali aliahidi kwamba leo saa 2:00 usiku angekuja katika Room ya 'WATANGANYIKA HOUSE' katika mtandao wa Club House 🏡 lakini mpaka sasa ni 3:20 usiku hajatokea nilikuwa nina maswali yangu matatu kwake.
LEO NDIO LEO
BUKENE KATI STAND UP👮🙅♀️
Leo Tar. 16 Nov 2023 Nitakuwepo Makao Makuu ya Jimbo la Bukene.
ZIARA YA SHUKRANI
Ujumbe wa Shukrani unasema
👇👇👇👇
Kura zilitosha, Tatizo
@TumeUchaguziTZ
Leo tutazungumza report ya CAG na Ufisadi wa Serikali ya
@ccm_tanzania
JANA ILIKUWA SIKU NZURI SANA NA MR. NICE NIMEIMBA NA KUCHEZA MUDA WOTE.
Nitaeleza kidogo...
Ukisikia watoto walikuwa wanampenda Mr. NICE basi watoto hao ndio sisi hasa tuliozaliwa miaka ya 90's.
Vile nilikuwa nikisikia mdundo wa Fagilia basi hata kama nakula nitaacha kwanza,
LEO NI KATA YA MBUTU
Mikutano ya Shukrani Jimbo la Bukene
(Kura zilitosha, tatizo
@TumeUchaguziTZ
)
Hawa Jamaa wa Mbutu walishaga kikataa
@ccm_tanzania
. Baadae nitawawekea video muone Vibe la Mbutu 2020. Hawa Jamaa ni hatari hawaogopi hata
@tanpol
I love you Mbutu ✌️
HAPPY BIRTHDAY TO ME
Leo tar. 02 January ni siku yangu ya Birthday
Nimeitumia hii siku kwenda kumuona M/kiti wangu Gerezani Ukonga.
Baada ya kumuona Makamanda waliniimbia
This is
@ChademaTz
Love✌️
@GisunteNice
umejua kum-replace Lucy Shayo
WAPI MAUA YANGU
Miaka 11 iliyopita nikiwa napigania Katiba Mpya kwenye Nchi yangu na bado nimesimama imara naendelea kupiga spana 🛠🔧 ma👉ccm hapa X
Kipindi hicho sifugi nywele, nanyoa fresh ya unga 🤣
Hoja yangu nilikuwa nataka UKAWA tungekuwa na M/kiti mwenza kwenye Bunge
Idd Amin alipoondolewa madarakani aliondoka na lieutenants wake kina Maliyamungu…Jiwe kaondoka katuachia kina Maliamungu wake bado wanatamba kwenye mfumo… Na hapa wamekutana, ni kama wanakumbushana walivyotesa Watanzania enzi zao…
#NeverAgain
@IAMartin_
CCM wana tafsiri yao ya UZALENDO
CCM hudhani kwamba mtu kumtetea Rais au Serikali ni UZALENDO
CCM hudhani kwamba kumkosoa Rais au Serikali ni kutokuwa MZALENDO
UJINGA na UMASKINI kwao ni mtaji na ni sifa
TUTAANZA KUHESABU MASAA IMEBAKI SIKU MOJA.
Kwa kumuangalia usoni Naibu waziri anaonekana hana baya, mtu wa peponi kabisa.
Naibu Waziri Judith kasema ifikapo February 16, Bwawa la JNHPP litaanza kuzalisha MG 215 na tatizo la umeme litakwisha.
kila siku nitam-post
Bado
Kwa kumuangalia usoni Naibu waziri anaonekana hana baya, mtu wa peponi kabisa.
Naibu Waziri Judith kasema ifikapo February 16, Bwawa la JNHPP litaanza kuzalisha MG 215 na tatizo la umeme litakwisha.
kila siku nitam-post
Bado siku 2 kuelekea February 16
Spika
@TuliaAckson
umekuwa ni Spika wa ajabu sana na unatia aibu sana. Unaipongezaje Serikali katika hali kama hii? 👉Nyama, 👉Samaki na 👉Maziwa watu wanatupa wengine wamepoteza zaidi ya robo tatu ya mitaji yao.
Serikali imeji-commit mpaka mwezi March wewe Spika unaipa muda
Leo Tar. 15 November 2023 ni zamu ya MAMBALI
MIKUTANO YA SHUKRANI
Ujumbe wa shukrani unasema
👇👇👇👇
Kura zilitosha tatizo
@TumeUchaguziTZ
Mkutano utafanyika eneo la Madukani.
@IAMartin_
Hii nchi bhana ukiiba hela za Serikali sio kosa ole wako ulikosee Bunge utashikishwa adabu mara moja. Kuzungumza na watanzania ni kosa kubwa kuliko kuwaibia watanzania.
@HecheJohn
NACHUKIA SANA MISIMAMO YA KINYONGE KAMA HUU WA HECHE.
Ujue Meko tumempa kichwa sisi wenyewe. Badala hata tuseme tutakwenda mahakamani kufungua kesi, Heche anasema tutamchangia Lissu. Kesho na wewe ukifutiwa tuseme tena tutakuchangia? Let's challenge them to the court
LEO NITAKUWEPO KATA YA NYUMBANI
Kata ya UDUKA ndio nyumbani kwetu alipozaliwa Baba na Babu yangu.
Ziara ya Shukrani Awamu ya Kwanza itakamilika Leo Nyumbani Itanana.
Kura zilitosha, Tatizo
@TumeUchaguziTZ
Baadae nitachapisha matokeo ya Tume muone hali ilivyokuwa.
@jamilamrisho
@kigogo2014
Kwa akili zako umeona hiyo ni barua sindio, inabidi tukurudishe darasa la 6.
Haya ndio madhara ya watu wa Instagram kuja kurukia mijadala ya Twitter
TABORA
@ChademaTz
tunaendelea
Leo baadhi ya watia Nia kwenye Nafasi ya Mwenyekiti na Katibu wa Baraza la Uongozi Mkoa
Kale ka-wimbo ka kina mama wa BAWACHA kamesikika vizuri kwenye hii video wakati wakiwapokea Watia Nia kwenye Zoezi la Kurejesha Fomu.
Sikiliza hapa wimbo 👇
Ibara ya 10 ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977 ilifutwa mwaka 1992. Ibara hiyo ndio ilikuwa inatoa nafasi na mamlaka kwa chama dhidi ya Serikali. Kufutwa kwa ibara hiyo kuliondoa nafasi na mamlaka ya chama dhidi ya Serikali. Baada ya kufutwa ibara ya 10 badala yake ikatungwa Sheria
🙄🙄🙄
#Tanzania
kichwa cha mwendawazimu!
The head of propaganda of ruling party CCM, Makonda’s convoy has just been involved in a road accident! He is moving with a dozen (minimum) vehicles that include GOVERNMENT cars! He has no position in govt! IMPUNITY! yet 💲poured in from
LEO KATIBU MKUU AMENIKOSHA SANA JINSI ALIVYOTIRIRIKA.
Bila shaka kuna kitu kizuri kitatokea🙏
Bofya Link hapo chini kufuatilia hotuba ya Katibu Mkuu
@ChademaTz
Mhe.
@jjmnyika
.
Ni moja ya hotuba bora sana pia nimependa maswali ya wanahabari na majibu ya KM
👇 👇 👇 👇
@AbroadTanzania
What I know "CCM ni ile ile" lakini naona sasa hivi baadhi ya watu mnamlinganisha Rais Samia Vs Magufuli na watu wengine wanamsifu Magufuli ambaye kwa hakika shida za sasa kwa asilimia 75 source ni yeye.
CCM haijawahi kutupa Uongozi
CCM ni ile ile
Uchaguzi wa
@ChademaTz
Tabora na Hamasa zinazoendelea.
👇👇👇👇
Kuna wimbo wameimba hao kina mama wa BAWACHA kuhusu Tabora naupenda sana.
Hao ni kina mama wa
@BawachaTaifa
wakimpokea Mtia Nia wa Nafasi ya M/kiti wa Mkoa katika Baraza la Vijana
@bavicha_taifa
akirejesha fomu.
@JotiOfficial
@SuluhuSamia
Nimekuwa shabiki wako kitambo sn lakini leo umeniDisappoint sana
Nina Unsubscribe channel yk YouTube
•Character yako ya Kiboga inadhalilisha wanawake
•Character ya Andunje baadhi ya contents ni Child Abuse Tutapitia kazi zako zote YouTube & we’re going to report u accordingly
@kigogo2014
@mwigulunchemba1
Rais kugawa hela ni poor management of public finance, pia kuna widespread corruption, and an underdeveloped legal framework that interferes with regulatory efficiency and weakens the rule of law. So nothing to proud
#Nchemba
usijipendekeze 2020 hapo Iramba Magu anampa Kitila
NAFURAHI HII VIDEO IZIDI KWENDA VIRAL
1. CCM kupitia propaganda hii waliyoitengeneza wanatusaidia kutangaza Katiba Mpya. Naomba re-tweets ziwe nyingi Katiba Mpya ni sasa.
2. Angalie kwa makini hii video kuanzia sekunde ya 3 mpaka ya 5. Huyo Punga wa kiume kavaa T-shirt kwa
Aisee
Nimewasikiliza Dr. Slaa na
@mdudechadematz
matendo wanayofanyiwa Mwanza hayakubaliki hata kidogo na ni kinyume na Haki za Binadamu.
1.
@tanpol
wanawafuatilia kila wanapoelekea.
2. Wanazuiliwa kupewa Huduma za Kijamii kila wanapoenda wanaambiwa waondoke.