A forum of thought and perspectives designed to ignite human right and democrac # revolutionary activist for radical change in Tanzania. team
#katibampya
.
Tunajivunia uwepo wa shangaz yetu
@MariaSTsehai
makini jasiri mpandaji wa kweli mwenye upendo wake asiyekata tamaa katika kupigania haki juu ya magumu na mazito tunayopitia hakika huyu ni shangazi wa taifa.
#KatibaMpya
Hakika nitumie picha hii kuonyesha umuhimu wako katika kujenga taifa lenye umoja amani na upendo ambavyo kwa sasa ni bidhaa adimu tanzania tunakumbuka political wisdom na political tolerance happy birthday mzee jakaya mrisho khalfani kikwete
Mitano kwa Mh sugu tena
#NISUGU2020
mbeya hatuletewi mbunge kwenye bahasha mama ikopo afungue saccos hapa bado tuna kazi ya kufanya like na retweet’s nyingi kwa Mh sugu
Unapozungumzia alama ya mapambano ya kweli ya taifa letu hisusani katika zama hizi za siasa maokoto hawa ni watu muhimu katika kusimamia maslah na matakwa ya umma mienendo na tabia zao katika mapambano hazina mashaka tuna mengi ya kujifunza kwa
@MariaSTsehai
na
@TunduALissu
❤
😄😄😄😄😄 policcm wanahqngaika na maandamano ya kesho hatutarudi nyuma katika hili nchi hii lazima mamlaka irudi kwa wananchi hatupoi
#katibampya
ni sasa
#okoabandari
zetu
Kumekuwa na muendelezo wa uonevu katika taifa hususani kwa watu wanaokosoa mifumo ya serikali hususaniufisadi wa bandari Leo mna mhukumu mwakipesile mbarikiwa miaka 3 jela kisa utofauti mnamtafutia kosa la kuanzisha kanisa bila taratibu. Hili ni shambulio la uhuru wa kuabudu
Ni ujinga mkubwa sana unamiliki redio zote kubwa tv zote kubwa magazeti yote nchini alafu umeshinda uchaguzi kwa 90% unaogopa sauti ya watu wachache nyie ccm si mnapendwa sana vip manalalamika kusemwa mwendazake 😀😀😀😀😀😀
Kama risasi 16 hazikumshusha chini basi kamwe hakuna kiumbe yeyote anayekwenda haja kubwa wala ndogo anayeweza kupambana nae . Huyu ni mshindi na aliumbwa kwa kusudio maaluumu
@TunduALissu
mbeba maono hafi mpaka yatimie.
Hakika
@MariaSTsehai
ni hazina kwa taifa letu umekuwa mwalimu mzuri katika kupigania haki haujawah kuyumbishwa na hoja nyepesi tuna mengi ya kujifunza kutoka kwako. Ni ukweli usiopingika kwamba uadilifu wako ni tunu kubwa sana katika ukombozi.
Achana na yule raisi wa bandia kama cheni ya dhahabu feki huyu ndio raisi wa nchi aliyechguliwa kwa ridhaa ya wananchi
@TunduALissu
hajawahi kuyumbishwa na wahuni. Ana dhamira na nia ya kuwakomboa wananchi katika changamoto za kitaifa. Mbeba maono hafi mpaka yatimie.
Tunajivunia kuwa na shangazi
@MariaSTsehai
mwanamke jasiri imara na madhubuti hawezi kuyumbishwa na vitisho vya watawala dhalimu ambao wamepoteza focus katika mambo ya msingi yeye shangazi anasema
#KatibaMpya
ndio jibu hatupoi
#mwenyenchiwananchi
Hongera sana
@MariaSTsehai
kwa kuongeza followers 1M .Often people who criticize your life are usually the same people who don’t know the price you paid to get where you are today. Tunakupenda sana na hakika unastahili zaidi ya hayo, we proud of
@MariaSTsehai
#KatibaMpya
Kwakuwa
@tanpol
wamejivika ukuwadi wa kuisaidia ccm nasi tynawaambia sisi kama vijana makini tunatambua thamani ya taifa na utaifa wetu tutalilinda kwa wivu mkubwa sana tumeapa kuhakikisha vitambi vyao vinaisha na sasa ni mbeya
#katibamoya
#okoabandarizetu
Udini ni silaha ya mtu mvivu kufikiri na kujenga hoja, unapoona kuna mijadala ya msingi kama huu wa bandari wenye maslah mapan kwa umma na akajitokeza mjinga mmoja kwa mwamvuli wa dini kushambulia watu kwa rangi zao au dini zao huyo ni mpuuzi na apuuzwe na kukemewa
@MariaSTsehai
Tupo katika mwezi bora kabisa ambao kazaliwa mpigania haki wa kweli
@MariaSTsehai
hakika umekuwa sauti ya wasio na sauti umekuwa kioo cha haki hakika huu ni miongoni mwa miezi bora kwetu wanaharakati tutayaishi maisha yako kwa kutunza kazi na mapambano yako katika haki.
Eti leo kwenda kupokea mgeni airport tunatishiwa na polisi alafu MATAGA wamefurahi wanataka watu waende wapigwe na waumizwe!
Mnajua kuwa MATAGA walifurahi sana
@halimamdee
alipovunjwa mkono na wengine kuumizwa? Mnafikiri hawa wana utu? Wanafurahia ukatili
#ChangeTanzania
Tumechagua maisha ya kupigania haki hatutarudi nyuma tunajua sisi tukipanga kukomboa nchi nyie mnapanga kutufunga kututesa kutuumiza na kutupoteza ila faraja yetu kuu ni kwamba tupo tayari kukabiliana na vikwazo hivyo hatupoi aiseee
@MariaSTsehai
@HildaNewton21
@HecheJohn
Shambulio la kutisha dhidi ya
@TunduALissu
limejaa ukakasi mkubwa na ni doa kwa utawala wa ccm itoshe kusema halikuishia kuwa shambulio la uhai pekee bali ni shambulio la uhuru wa mawazo na demokrasia na
@TunduALissu
Atabaki kuwa alama ya ukomboz Tanzania na ishara ya uhuru
Nguvu ya mwanamke ni kubwa sana katika kubadili mambo katika jamii, katika kuadhimisha siku hii muhimu natambua na kuthamini mchango mkubwa wa shangaz
@MariaSTsehai
katika kupigania haki na usawa wewe ni SUPERWOMAN wa taifa
#katibampya
itapatikana kwa mchango wako
Hakika huyu ni mpenzi wa haki Ana maono na taifa letu sio mtu wa kukatishwa tamaa binafsi nafurahi na naendelea kujifunza mengi kutoka kwa wakili msomi
@Mwabuk2Boniface
maisha yako ni alama na nuru ya haki katika zama hizi ambazo zimejaa wasaka Tonge.
Katika kuadhimisha 8/03/2023 siku ya wanawake dunian basi mi kwangu nimeamua kuheshimu na kutambua na kuthamini mchango wa shangazi
@MariaSTsehai
katika kupigania haki na usawa. Tukitaka kupima kielelezo cha haki nchini Tanzania basi ni shangazi hayumbishwi.
#KatibaMpya
Kuendelea kuishambulia familia ya mwakipesile mbarikiwa kwa kumfunga miaka mitatu huku wanawe nao mmewapaka kesi ili ni shambulio la uhuru wa kuabudu na shambulio dhidi ya uhuru wa kutoa maoni tunaitaka mahakama itende haki na tunataka jeshi la
@tanpol
waache uonez mara moja.
Hakika mtu thabiti makini mwenye dhamira ya kweli ya kulikomboa taifa pia ni kiongozi anayrhakisi matamanio na matarajio ya watanzania nae ni makamu mwenyekiti
@ChademaTz
na raisi wa mioyo yetu
@TunduALissu
mbeba maono hafi mpaka yatimie.
Mpambanaji mkweli na muwazi mpenda haki anatumia maarifa taaluma yake kwa maslah ya wengi hakika wewe ni alama ya haki shangaz
@MariaSTsehai
vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwako
Ushauri wangu kwa vijana acheni kushabikia mambo ya kijinga kama ngono na hanasa tupiganien katibamya ksho yetu bora itajengwa kwa kupigania katibampya
#MariaSpaces
#KatibaMpya
Hakika shangazi
@MariaSTsehai
ni mwanamke jasiri,shupavu mwenye uzalendo wa hali ya juu usio na mashaka mwenye shauku na maono ya taifa tutapambana nae mpaka tupate
#katibampya
Leo ni Siku ya Kumbukumbu ya Kifo Cha Aliyekuwa Mkuu wa idara ya Sanaa chadema Taifa *FULLGENCY* **MAPUNDA*( *MWANA COTIDE* ) Aliye fariki Siku na Tarehe kama ya Leo 06/10/2019 Katika Hospital ya ST MONICA Manzese jijini Dar esa salaam,
Hakika
@TunduALissu
ni alama ya ukombozi wa taifa letu. Wewe ni mpambanaji wa haki usiyekata tamaa wala kuhongeka tunakuombea mungu akupe maisha marefu yenye furaha .
Katika kuadhimisha tarehe muhimu ya kumbukizi yangu ya kuzaliwa 17/09/xxxx nitumie fursa hii kutambua na kuthamini mchango wa mpambanaji asiyechoka wala kukata tamaa dada mwenye roho yake
@HildaNewton21
binafsi najivunia sana pia hongera kwa mtoto
#HappyBirthday
to me.
Napenda kutumia fursa hii kukutakia kila la kheri shangaz
@MariaSTsehai
katika kumbukizi ya kuzaliwa hakika wew ni alama ya ukombozi na haki katika dunia
#HappyBirthday
mwanamke wa shoka. Vijana tuna vingi vya kujifunza.
Kuna kila haja ya kulinda haki za watoto na kuwazuia na mazingira ya ngono ili kulinda ndoto zao na za taifa anayeharibu wanafunzi ni sawa na mtu anayemwaga sumu shambani baada ya kuvuna akiamini njaa haitauma tuwalinde watoto wakike ndio mama wabadae ukimuelimisha umeokoa jamii
Hakika taifa lina kila haja ya kujivunia uhai wako
@TunduALissu
umekuwa baraka na nuru kwa taifa letu kila wananchi wanapokuona wanaona bishara ya ukombozi wa taifa hakika wewe ni mfano wa kuigwa kwa kila mpenda democracy na haki katika jamii.
@MariaSTsehai
Hakika umekuwa mwanamke jasiri mpenda haki mpambanaji usiyechoka. Sisi kama watanzania tunajivunia kazi zako za harakati za ukombozi ni wajinga pekee ndio wanaoweza kutotambua mchango wako na kuamua kutumika kukushambulia ila kwakuwa haki huchelewa ila haizimwi. Mungu akubariki.
Mapenzi ya mola wetu hayawezi kuzidiwa na khira husda za wanadam hakika uhai wako ni alama ya ushindi wa haki katika taifa na kamwe hakuna wa kuzuia kusudio la maisha yako
@TunduALissu
tuendelee kupambania
#katibampya
na ukombozi wa kweli wa wananch pinga siasa na harakat deiwaka
Mtumishi wa Mungu
@MariaSTsehai
mtumishi wa Mungu
@godbless_lema
mtumishi wa Mungu
@kigogo2014
hakika nyinyi ni watetezi wa haki na Mungu ni mpenda haki nawaombea maisha marefu yenye Baraka tele
Shangazi wa taifa hajawahi kuyumbishwa na wajinga na wahuni katika harakati za ukombozi hakika shangazi wewe ni jasiri muadilifu una msimamo wa dhati katika mapambano. Tutakulinda dhidi ya wahuni wa harakati mpaka ukombozi wa kweli upatikane.
#katibampya
ni sasa
Moja ya hadhina kuu ya maarifa na hekima katika taifa letu. Binafsi nawapongeza sana kwa kuwa mstari wa mbele katika kupigania haki na ukombozi wa taifa
@MariaSTsehai
na
@raiyajenerali
kama vijana na wanaharakati tuna mengi ya kujifunza kubwa kuliko yote ni uhuru wa fikra.
Kwa bahati nzuri hatutafuti katiba ya raisi bali tunatafuta katiba ya wananchi hivyo hatutakubali suala la mchakato wa
#katibampya
kufanywa kuwa fadhira au ihisani za raisi. Huu mchakato hatutaungalia raisi anauonaje bal tutapambania kwa machozi na damu kwakuwa unamaslah ya umma
Kumekuwa na tamaduni mbovu na haramu kutoka kwa
@tanpol
la kuingilia na kujihusisha na siasa hivyo tunawashauri kama wameshindwa kazi ya upolisi na wameshindwa kusimamia sheria na taratibu za nchi wavue uniform za kipolisi wajiunge na ccm. Huu upuuzi wao wa kutuma hatuutaki.
Vijana tuliopo mbeya kesho tuende mahakama kuu kesi ya bandari inaunguruma vijana hizi kesi ni fursa za kukutana na wanaharakati na watu mbali mbali kuweza kutanua wigo pia kujifunza mambo ya kitaifa tumepata fursa inafanyikia mbeya tuwe sehem ya historia.
Kwa taarifa rasmi ni kwamba bado kamanda
@mdudechadematz
anashikiliwa na jeshi la polisi tupuuze taarifa za kwamba kaachiwa tuendelee kupaza sauti mi ndio mtu wa mwisho kutoka polisi pale.
"Serikali yeyote isiyo na uwepo wa Mungu ni ya wezi na ndio maana wanaweza kuiba mpaka kura kwa maana ni wa Ibilisi " - Mtume Mwingira.
Mimi naamini, ilikuondokana na Mambo yote hayo, tunahitaji
#KatibaMpya
Tena ya
#WenyeNchiWananchi
Tatizo ccm hamumjuh adui yenu nan sio
@freemanmbowetz
wala
@MariaSTsehai
mnawaonea bure tu adui yenu ni fikra za mageuzi zilizojaa vofuani mwa watanzania ambavyo hamuwez kuziondoa hao wanawakilisha mawazo yetu na tupo wengi sana hivyo subiri soon mnatujua mmefika mwisho
Tunaendelea kupinga huu mfumo wa uonevu wa jeshi la
@tanpol
kushikilia watu bila kufuata kanuni na taratibu unakiuka katiba na sheria za nchi huku ukiweza na kudhalikisha haki za binadam . Hamna kosa mnamshikilia mdude kwa maagizo kutoka mnkokujua.
Baada ya jeshi la polisi kuwaeleza umuhimu wa maandamano ya 09/11/2023 na kuwajuza kuwa fedha zao za maafa zimeibwa lakini pia viinua mgongo vya wake na waume za wakubwa. Hakika somo limewaingia na wameanza kuandamana kabla yetu. Hii ni nzuri sana. 😄😄😄😄😄😄
Huu ni mwezi ambao kazaliwa shangazi mariah sarungi tuna kila wajibu wa kutambua na kuthamini mchango wake katika harakati za kweli za kupigania haki maisha yake ni alama ya haki. binafsi nafarijika kumuona akiwa katika afya morali na shauku ya kupambania mifumo ya haki na usawa.
Kwa kiufupi nilivomuelewa Prof shivji ni kwamba huu mkataba wa bandari ukiachilia mbali kuiba utaifa wetu yaan sovereignty bali pia umemuiba na raisi wetu hivyo itoshe kusema nchi haina raisi mamlaka kampa mfalme wa dubai. Kuwa na viongozi madalali n hataree sana.
@JumaAbdukarim
Tunalitaka jeshi la polisi kumuachia kamanda
@GwamakaMbughi
katibu wa kanda ya nyasa wanaomshikilia bila hatia.
@tanpol
mnatakiwa kuhaangaika na wezi wa rasilimali za umma na sio wananchi wanaopinga wizi.
kama uzao wa dhahabu katika kupigania haki na ukombozi katika taifa letu
@DEUSDEDITHSOKA
kwangu ni mfano wa kuigwa amekuwa jasiri na mwenye shauku ya kuona taifa letu linapata mifumo bora ya haki na amejitoa kwa hali na mali kuhakikisha tunapata
#kayibampya
binafsi navijunia
Unamfunga
@freemanmbowetz
kwa kutofautiana mawazo tena ya kuhusu ustawi wa nchi huu ni uadui uliopitiliza sana kwa sasa kama wananchi tunaanza kuamini hakuna vyombo vya umma bali tuna vyombo vya ccm
@tanpol
acheni huo uaskali kanzu kama wa kikoloni
Yaan ccm na serikali yao wanatamani hata kungekuwa na sayar nyingine watufukuzie huko 😂😂😂😂😂😂😂😂 chadema na wanaharakati tunawashughulisha kweli kweli ila wajue hatupoi
happybirthday shangaz
@MariaSTsehai
mungu akutunze na kukupa afya njema ili tushiriki kwa pamoja katika ukombozi hakika upekee wako katika mapambano umelifanya taifa kuwa na nuru.
Hatutakubali kuwa na maridhiano yatakayofanya ccm iendelee kutawala kwa dhulma na sis kuhongwa vyeo huku damu na uhai wa watu ukipotea hii
@ChademaTz
hatuwez ila tutakuwa na maridhiano ya kujenga Jamii ya haki na usawa hatuhitaji maridhiano ili tusifiwe na watawala
#katibampya
Hakika huyu ni mwamba anastahili heshima ila kwa watu makini ila wapumbavu wanaona anastahili kifungo
#MboweSioGaidi
tunataka
#KatibaMpya
nchi ni yetu sote
Msikilizeni Mbowe
“Kitu muhimu tunachohitaji katika uongozi ni kuwa mkweli kuliko kuwa MNAFIKI” 👊🏽 ndo akaongeza “siwezi kujipendekeza kwa Mama Samia Suluhu Hassan wala serikali yake”
#MboweSioGaidi
Exclusive interview zaidi ya saa moja na
@MwanzoTv
👇🏽
Innallillah wainailahy rajiuun pole sana madam
@HildaNewton21
kwa kumpoteza baba hakika haukuwa uhai wa dunia isipokuwa ni starehe za muda mfupi hakika mbora kati yenu ni mwenye kutanguliza mema mbele ya mola wake.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Katika maisha yangu kitu pekee nilichojifunza ni kusimamia maslah ya taasisi na ndoto zake sio kusimamia ndoto ya mtu. Na siku zote ukitaka kupotea katika harakati simamia ndoto ya mtu ugeuke kuwa mnafiki na chawa.
#katibampya
nyasa tupo tayar kwa +255
Kama taifa tuna wajibu wa kutengeneza vijana wenye maono kujiamini misimamo na fikra huru hakika
@DEUSDEDITHSOKA
ni mmoja wa vijana ambao kama taifa linajivunia kuwa nao. Mi binafsi najivunia kuwa na rafiki kama huyu. Hakika wewe ni alama ya ukombozi na mapambano ya taifa.
Siku zote Mungu hampi mja wake mtiahani asiouweza. Pia kuna nyakati ugumu wa mapito yako ni kipimo cha ukubwa wako. Binafsi nakupongeza sana
@MariaSTsehai
umekuwa mtu imara usieyumbishwa pia heshima yako ni kubwa sana kwa watu wenye akili timamu. Ipo siku wapumbavu watakuelewa
Bado
@mdudechadematz
anashikiliwa na jeshi la polisi hajapewa charges yeyote na nikinyume cha sheria alikwenda kumsindikiza wakili mwakubusi wakamngangania tupaze sauti mifumoo dhalimu
#FreeMdude
#FreeMdude
tupo Central kumletea chai.
Kwakuww dhamira na nia yetu ni kupata ukombozi wa nchi na sio ukombozi wa vyeo. Basi tujikite katika misingi ya mapambano tusikubali kuyumbishwa na vitu vidogo binafsi naheshimu na kuthamini utofauti wa mitazamo katika masuala hivyo kutofautian sio uadui kama utakuwa na nia njema
Siku zote katika mapambano yetu msingi mkuu unaotuunganisha sisi kama wanaharakati ni haki. Hatujawah kuunganishwa na matusi kejeri au vikumbo bali maumivu na mateso uonevu manyanyaso ndio msingi ww undugu wetu katika mapambano haya. Tuungane kupigania nchi huru
#katibampya
Nakumbuka mchango wangu na mh Lema bungeni wakati hii sheria inatungwa... nakumbuka mchango wa Lissu alitoa mfano waziri wa Ghana alietunga sheria ya kuweka watu kizuizini.. wabunge wa ccm walitumia wingi wao kupitisha hii sheria iwe kificho cha kukomoa watu.
@mdudechadematz
bado anashikiliwa na polisi kihuni kakamatwa kinyeme na sheria haja pewa tuhuma toka jana mpka Leo na hawajampeleka mahakamani hivyo tupaze sauti ndugu zangu. Kumekuwa na vita kubwa dhidi ya uhuru wa kutoa maoni.
Vijana tujumuike katika mjadala wetu katika vijana zamu yetu tutakuwa na kijana wa chama mpambanaji
@IAMartin_
vijana tuna wajibu wa kujenga taifa letu.
Hawa
@VodacomTanzania
mbona toka kitambo walionyesha kuwa mtandao wa simu usio na uaminifu pale ulipotoa taarifa za viongozi kwa watawala mfano mawasiliano ya membe
Kwani lazima nitumie laini ya
@VodacomTanzania
na
@airtel_tanzania
kwanza watu wenye kila siku mnaniibia bundle mmeona haitoshi sasa mmeamua kumuhujumu mgombea Urais wa Chadema Mhe.
@TunduALissu
.
Endeleeni kuunga mkono dhuruma ila binafsi kuanzia sasa nitatumia laini ya Zantel.
Mataga mtatuua wote ila msimamo wetu ni jamaa kavuruga nchi na kuiweka katik Giza nene najua ni maneno msioyapenda wahenga walisema ukipenda chongo utaona kengeza ila ukweli utabaki tulipata raisi katili na mbabe aliyetawala kwa mkono wa chupa ni kweli mnampenda ila ndo sifa yake
Tulifanya kazi kubwa ya kufungua kesi kupinga mkataba wa bandari wenzetu wakaihonga mahakama bahati nzuri watanzania wote wakaonyesha kupinga ugawajiwa wa bandari lakini pia bado hawakusikia sasa nawasihi ndugu zangu tukutane mbeya 09/11/2023 kwenye maandamano makubwa
Tatizo letu la kiuchumi linachagizwa na ubovu wa vyombo vya ukusanyaji wa kodi na matumizi mabovu ya fedha tunazokusanya kitu ambacho kinashindwa kutibu changamoto na hivyo kutokuleta matokeo kwa wananchi
#MariaSpaces
Ukitaka kujua ukubwa wa chadema katika siasa za Tanzania na Africa kwa ujumla basi chukua dakika chache kutafakari juu ya nguvu kubwa inayotumia serikali ya ccm na vibaraka wake lakini chama bado kipo imara hatupoi aisee
@HildaNewton21
@HecheJohn
Ukiwa huru bwana raha sana hujala cha mtu hakuna stress hakuna kupiga magoti wala kujipendekeza wala huwaz nikifanya au kutenda hivi namuuzi mkubwa furaha yetu ni kuwa upande wa haki tunakupenda sana shangaz
@MariaSTsehai
enjoy
#maishabilastress