A believer✝️an Athlete,A responsible citizen.
John17:3
Now this is eternal life:that they know you the only true God,and Jesus Christ,whom you have sent.
Tungekuwa na vyombo vya habari Timamu wangetafuta nafasi usiku na mchana kuhoji Wabunge/Mawaziri,juu ya jambo kama la kodi.Kwa nini raia wa kawaida ndio anakodi lukuki na sio Mbunge/Waziri mwenye mshahara na posho nyingi.Lakini tizama content za local media ni habari za aibu tu.
Naamini mliwahi kusikia Tawala au Viongozi wanajitengenezea mirija ya Ulaji hata ikitokea wametoka MADARAKANI au WAMEKUFA basi familia zao zitaendelea kunufaika vizazi na vizazi.
Ndio hiki alichokitengeneza SAMIA na DP WORLD.Hata akitoka kina Mwanu Hafidh Ameir wataendelea kula.
Nakumbuka maneno ya
@freemanmbowetz
Alipozungumza na Diaspora alipowatembelea MAREKANI mwaka jana alisema"...ndani ya CCM zimejengwa DYNASTIES(tawala)..." Sasa mnaona kinachofanyika watanzania...!?
MKE- SPIKA MUME- MKURUGENZI EWURA
IGP Mstaafu alikuwa analipwa Mil.21,600,000 kwa mwezi kutoka kampuni ya ACACIA.
Hao ndio mnataka wawatetee makoplo ambao sare za jeshi zimechakaa, maslahi mabovu na wanaishi kota chafu na mbovu. Ukiona RUSHWA kwenye MAKAMPUNI haya ya MADINI fahamu SERIKALI nayo inahusika.
Jenerali Ulimwengu kwenye
#MariaSpaces
ya wiki iliyopita alisema Aliogopa endapo Mrema angekuwa Raisi mwaka 1995 sababu alikuwa ni mtu mwenye tabia kama za MAGUFULI.Kwa ufupi ni watu waliokuwa na matatizo ya Akili.Tumshukuru Mungu tarehe 17.Machi.2021 Mungu aliingilia kati.
Imagine huyu alikuwa ni Raisi, wakati viongozi wengine wa dunia wanaumiza vichwa kutafuta chanzo na suluhisho la
#covid19
yeye aliamua kwenda kupima MAPAPAI,FENESI na OIL CHAFU kama vina
#covid19
. Mungu aturehemu tusipate watu watu wa aina hii kwenye Mamlaka.
Hatuna WATAWALA wanaotaka UTAWALA BORA na UTAWALA WA HAKI. Said Hussein Massoro ameteuliwa 03.Januari.2023 aliteuliwa hata MWAKA mmoja hajamaliza. Ofisi nyeti ya USALAMA wa TAIFA kama hii inachezewa kama Ukuu wa Wilaya au katibu mwenezi wa CCM. Mtawala mwenyewe wa hovyo.
Huyu ATHUMANI DIWANI alikuwa mtu wa hovyo sana kama MKURUGENZI WA IDARA YA USALAMA wa TAIFA. Kazi ile inahitaji Weledi wa hali ya juu na sio mambo ya uswahili kama aliyokuwa akifanya.Uliumiza wengi.
@SuluhuSamia
huyu DIWANI ungempa hata UBALOZI huko middle East au URUSI.
I hope that one day all Activists,Journalist,Opposition leaders, CSOs , students ,Spiritual Leaders all stand and agree on fighting for what is right once and for all Just like these people are doing right now.👏
Mnamkumbuka huyu RAMADHANI KAILIMA alikuwa TUME YA UCHAGUZI ya 2020 na kina. Mahera?Walipofanikiwa kupora Uchaguzi na kuiweka CCM Madarakani yy akapewa Unaibu K/Mkuu Wizara ya Ndani na MAGUFULI.Leo
@SuluhuSamia
amemrudisha kuwa BOSI Tume ya UCHAGUZI.Naamini Mnajua kinachofuata.
@KTNNewsKE
A polite notice: Mandonga is only a boxing fanatic he's not a professional boxer kindly do not hurt or kill him, we need that man back home alive.😂😂😂😂😂
Je, BALOZI Ali Idi Siwa ameanza kazi mara moja kwa Utekelezaji !?
Mnaendesha NCHI kihuni sana aisee
@SuluhuSamia
. Ndumbaro ndio anasema WATANZANIA 50% hawaijui KATIBA na hasa HAKI za BINADAMU...kwa staili hii mnataka muwaelimishe nini !? WAHUNI ninyi
WARUDISHENI.
Nimemskiliza Waziri wa Nishati hapa
@JMakamba
anasema "...ENDAPO mvua zitanyesha wanatarijia Bwawa litajaa na umeme utakuwa wa Uhakika.."😳
*Sasa kuna maana gani kuwekeza Trilioni 6.5 kwenye kauli za ENDAPO...?Miradi ya nishati mbadala ndio ya KUDUMU Jua & Upepo.HUU NI MZAHA.
CDF Jacob J.Mkunda anaona yanayoendelea NIGER,BURKINA FASSO,MALI.Anamshauri nn
@SuluhuSamia
na hasa kwenye SAKATA hili la BANDARI ?Au anaambiwa akae mbali na masuala ya siasa,'anakatiwa FUNGU 💰' pamoja na WAKUBWA wengine wanatulia.
Wenzetu wananyolewa sisi tunafuga RASTA.
Padri Kitima anasema Wao kama watumishi suala la
#Ngorongoro
walilifuatilia na hata wale wakazi wengine ambayo idadi yao ni 2000 walikimbilia Kenya.Kulikiwepo na matumizi ya nguvu na wengine kuumizwa.Iweje
@SuluhuSamia
@KassimMajaliwa_
@OUtalii
mseme zoezi lilikuwa la HIYARI?
This is our own Benazir Bhuttor,our own Wangari Muta,Our own Maria Ressa.
'MARIA SARUNGI TSEHAI'
The work she does is so Amazing.
We want to give people flowers when they are alive 💐💐.👏👏
Nashon: nitakuwa sahihi nikisema walikupa DEATH THREAT.
Shahidi: ni sahihi kwa sababu niliona Moses tulikuwa naye kweli Rau Madukani alafu ajulikani alipo na wala hatupo naye, nikajua wamemuua na watanifanyia kama yeye. nilijisikia Vibaya.
Mkoa una MBUNGE,RC,DC RAS,MEYA,MKURUGENZI hawa wote ni viongozi wa mkoa mmoja bado anahitajika kuja waziri
@Nnauye_Nape
ndio a-emphasis hichi kiti.Kwa hiyo leo
@ummymwalimu
naye azunguke nchi nzima ahamasishe ujenzi wa vyoo?C'mon people.
Cc
@MariaSTsehai
@IAMartin_
@OleMtetezi
Leo Job Ndugai au mwana mpotevu mzee wa 'taka asitake lazima aongezewe muda' 😂😂😂ameonekana jimboni kwake Kongwa katika uzinduzi wa chanjo akiwa na Waziri wa mifugo.
Cc
@MariaSTsehai
@IAMartin_
Lakini MUNGU ni nani....?🙌. Alipohoji kuhusu serikali ya
@SuluhuSamia
kukopa Waziri KIBURI Nape Nnauye wakatengeneza figusu Gerald Hando akaondolewa EFM ,leo yuko WASAFI.
Mkurugenzi wa TRC ameona aungane na waimba mapambio ya kuwa
#tozo
ni muhimu ili aendelea kula na kuendeshwa kwenye magari ya kifahari ambayo yananunuliwa na
#tozo
na akaamua kumfurusha mtumishi mwenzake wa umma. Hizo nafasi ni za muda akumbuke.
Labda na sisi tuulize Je, ni sawa kwa waandishi wa HABARI na vyombo vya HABARI kutumika kuendesha propaganda za chama tawala na kuandika habari zinazoegemea mrengo wa serikali pekee ?
@CloudsMediaLive
Lakini pia wewe KIJA huku ulikuwa unatafuta nini kama 'MUANDISHI wa HABARI' ?
Mtoto wa Raisi Mstaafu na Mkwe wa Raisi wa sasa wote hao wapo kwenye Wizara hizo kimkakati na wamewekwa kwa makusudi kulinda na kuvuna mali kwa Ajili ya Familia zao.
Ridhiwani-Wizara ya Ardhi.
Mchengerwa-Maliasili na Utalii
Wanafunzi wengine kutoka Kiteto wakikaa kwenye matofali. Ukanda ambao kuna Utalii na Kilimo cha mazao mengi. Sababu nyingine za CCM kung'ooka madarakani.
NIMEKUMBUKA HIKI KIZAA CHA KINA KINGAI
Kibatala:Kazi ya Kingai ilikuwa ni nini?
shahidi:ni Mkuu wa Msafara
Kibatala:Adamo pale Boma Ng'ombe alikula Chakula gani?
shahidi:Woteee
Kibatala Sitaki wote jibu,Adamoo
shahidi:Alikuwa Nyama Choma na MO ENERGY
Kibatala:Nani alilipa?
Mbunge wa kutoka chama cha ZANU PF Chinhoyi Chidzomba nchini ZIMBABWE, baada ya kushindwa kutetea kiti chake cha Ubunge amerudi kwenye jimbo lake na kung'oa KISIMA na TENKI alilikuwa amechimba kwa ajili ya kuhudima wakazi wa eneo hilo.
Afrika...😂🙌🙌🙌
We are 1.2 MILLION strong ✊🏽
Asanteni kwa upendo and for the great company! Let’s keep the conversation going, tuendelee na mijadala muhimu na kumbukeni - ni pamoja always 👏🏽
Na wasiotuelewa tuwaache kwa sasa ila
#TutaelewanaTu
Haya wapenda haki na demokrasia tutambuane F2FB 👇🏾
LISSU anajua kabisa mazingira sio kwamba yamebadilika ila yamepoa tu,waliojaribu kumuua wapo,sheria kandamizi zipo na watu wakusimamia sheria hizo kandamizi wengi wao wamepandishwa vyeo.
@TunduALissu
anakuja sababu ndani yake KIU ya kutafuta HAKI inamdai awepo hapa.KARIBU.
Bibi Titi hakupewa Heshima yake wakati wa uhai wake ila baada ya kuondoka CCM ndio walianza kutambua mchango wake. Dr. Salim alibaguliwa sana ndani ya Chama cha CCM, leo Mzee wa watu hawezi kutambua chochote ndio CCM wanapiga vigelegele. CCM ni WANAFIKI.
1.Hizi Plea bargaining zilikuwa zinaingia Akaunti ya nani....na nani alikuwa holder wa akaunti hii?
2. Hizi fedha zipo na kama hazipo nani alikuwa ananufaika na fedha hizi
-Mwisho kabisa MAGUFULI alikuwa Mporaji sana...hawa ni baadhi waliokuja wazi,vipi waliokaa kimya?
Ni kama SAMIA anapenda sana kesi za UGAIDI na UHAINI. Mwaka juzi alimpa FREEMAN MBOWE kesi ya UGAIDI, Mwaka huu amewapa kesi za Uhaini kina Mwabukusi na Mdude.
Hapo ndio tufahamu kuwa IKULU tumepata MUHUNI.
Mbunge wa sasa Tarime vijijini ni Mwita Waitara ila anayepambania HAKI za raia wale wanaonyanyaswa na BARRICK wakishirikiana na serikali ni Mh.
@HecheJohn
👏.Hapa uaona tofauti ya kiongozi wa kweli na mtu aliyewekwa na CCM. Ni wazi Serikali inashirikiana na BARRICK kuumiza raia.
“Mkataba huu ni wa kuuza Taifa kwa ufupi tumeuzwa, Barua anayotuletea Waziri Mbarawa na Msigwa ni Barua ya Mapenzi siyo ya mkataba, ni sawa na karatasi ya chooni” Dkt. Slaa.
Hakuna haja yakumtaka raisi
@SuluhuSamia
atoe tamko yeye ndio mastermind behind the project. Anapaswa aambiwe aache. Akemewe yeye ndiye anayepora Ardhi ya wamasai wa
#Ngorongoro
na
#Loliondo
. simple msikwepeshee taarifa.
Viongozi wa dini wa jamii ya kiMaasai watoa tamko Namanga wataka tamko la
@SuluhuSamia
na zoezi kusitishwa mara moja ili waMaasai wasiendelee kuteseka!
Hivi viongozi wetu wa dini wako wapi? 🙄
Thank you for the solidarity!
#IStandWithTheMaasai
#StopMaasaiLandGrabbing
CV ya Katibu wa Ulinzi wa US🇺🇸 imeonyesha uzoefu wake na namna alivyohudumu ktk Jeshi la Marekani zaidi ya miaka 40 na ndio akapata nafasi hiyo.
Nape toka shule ya Msingi hadi Ubunge huoni mahali hata amesoma MICROSOFT EXCEL.Leo ni Waziri wa Teknolojia.
Tulikukosea wapi Mungu?
Wape watumishi wa umma nyongeza ya mishahara Tsh 8,000 lakini tumia mamilioni kwenda UINGEREZA kwenye Mazishi ya Mtawala(Malkia)baada ya hapo ukaona bado Chenchi imebaki ukaona uimalizie pale MSUMBIJI kwa siku 3.Mauaji yametokea Serengeti ww unakazana na nguvu za kiume.WASTEFUL
-Ripoti ya CAG mwaka wa fedha 2020/2021 IDARA ya UHAMIAJI walitengeneza VIZA feki za Tsh.Bil 2.42.
-Ripoti ya CAG mwaka wa fedha 2021/2022 Polisi 'wapoteza' Tsh.Bil 4.8
👉🏻JUMLA KUU wa upotevu wa fedha idara zote ni Tsh.Bil 7.22. Sasa haya ni MAJESHI au WEZI kwenye uniform.
CCM inazalisha MADIKTETA. Hata huyu
@TuliaAckson
maye ni DIKTETA pia. Yuko pale Bungeni kulinda Maslahi ya a specific person ambaye ni
@SuluhuSamia
. Mwingine Kheri James kauli hazijawahi kuchukuliwa hatua zaidi kwa sasa ni DC wa UBUNGO.Hizi ni baadhi ya kauli zao za CHUKI.
TULIA.
Alidanganya umma kuwa afya ya MAGUFULI ni nzuri ingali mgonjwa na sasa anashiriki uporaji Ardhi na kufukuza Wamasai
#loliondo
yeye yuko Huru na bado ni Waziri Mkuu.
@Twaha_Mwaipaya
ni Mwenezi wa CHADEMA alikua ktk kampeni za
#KatibaMpya
Morogoro leo haonekani.Hapa ndio Tanzania😔
MAKOSA wanafanya WATAWALA wa HOVYO wa CCM halafu jumba BOVU tunaangushiwa RAIA.
1. MKATABA mbovu alioingia RAISI SAMIA,MBARAWA pamoja na WAARABU wa DP WORLD tukiukosa tunaambiwa Watanzania tuache UCHOCHEZI.
2. DOLA ya Marekani imeadimika RAIA tunaambiwa tunaficha dola...😤😤
Hakuna RAISI wa JMT ambaye hakuhusika kwenye WIZI.
-MWINYI-Aliuza loliondo kwa waarabu wa OBC
-MKAPA-Ununuzi wa RADA
-KIKWETE-ESCROW,RICHMOND
-MAGUFULI-Fedha za Plea bargain,Miti ya Stiglers Gorge,Ununuzi wa Ndege,Upotevu wa Tril.1.5
-SSH-Mabehewa ya MTUMBA,Ununuzi wa Ndege,TOZO
Mzee kama Sheikh Issa Ponda ndio anapaswa kuwa kwenye jopo la kupitia mfumo mzima wa HAKI JINAI sio kina Feleshi watu waliopora HAKI za watu. Safari ya mabadiliko bado ndefu mno.
NALAZIMIKA kuamini kuwa BISWALO ana NGUVU kuliko Raisi
@SuluhuSamia
. Haiwezekani TUHUMA nzito na za Namna hii na huyu bwana bado yuko OFISINI. HAIWEZEKANI.Tofauti na hapo umma uamini BISWALO & SAMIA ndio wanaufaika zaidi wa fedha hizi za PLEA BARGAIN hivyo SSH anamlinda mwenzake.
SAMIA unasema unatafuta fedha kwa ajili ya Watanzania halafu ukizipata Unanunulia magoli ya SIMBA na YANGA hicho ndio watanzania wanakihitaji ? Hii nchi bado haijapata RAISI bado. What a shame !
@SuluhuSamia
Huyu MZEE wa MSOGA wala hata hafai kusikilizwa kwa sababu MAAMUZI yake mengi ya HOVYO ndio yamechangia TAIFA kufika hapa. FAMILIA ya KIKWETE ni kama ile ya KENYATTA nchini KENYA, hawa wamehodhi maeneo makubwa sana ya ARDHI tena KIBABE.
@jmkikwete
APUUZWE naye ni MWIZI.
Ifike mahala sasa MARAISI wasishike vitabu vya DINI na kulitaja jina la MUNGU wala ALLAH wanapoapa kuingia MADARAKANI.Binafsi naona ni MZAHA na KUFANYA kwa mazoea,sababu unatakaje Mungu akuongeze ktk utawala halafu Raisi ndio unaongoza kwa kuua,Kudanganya,Utapeli.Maana yake nini?
Azim Dewji amesema tuhubiri HAKI ktk jamii lakini pia anasema Raisi atasikia mengi maana maneno yatakuwa mengi asiwasikilize aendelee kuchapa kazi na pia anadai watu wako nje ya nchi wanamaisha mazuri lakini wanamkosoa Raisi.Anasahau
@moodewji
alipotekwa tulipaza sauti.Amesahau?
Ndio kwanza
@SuluhuSamia
ameweka PAMBA masikioni. Kelele zimezidi ameacha teuzi mezani ameona aende MALAWI kidogo. Raia tunapigia kelele MKATABA wa KIHUNI yeye anaendelea kuwapa ULAJI vibaraka wanaomsifia. Mmeona sasa kuwa UHUNI hauna Jinsia anaweza kufanya mtu yeyote.
Wafuatao walihusika kwenye MKATABA wa BANDARI kati ya TANZANIA na DUBAI
1. SAMIA S. HASSAN- Kutoka ZANZIBAR
2.MAKAME MBARAWA-Kutoka ZANZIBAR
Swali: Kule Zanzibar nani atasimamia mikataba ya Zanzibar na DP WORLD ikitokea ?
Mliokuwa mnamsifia kuwa huyo BIBI
@SuluhuSamia
'atatuvusha' leo mnaona anavyoendelea kuikanyaga katiba ya JMT. Ameenda mbali zaidi anaalika MADAKTARI kula Pilau huku akiwashikilia KIHUNI kina Dr.Slaa, Mwabukusi na Mdude.Tanzania haiwezi kusonga mbele IKULU ikiongozwa na Mwana-CCM
Prof. Assad alikuwa mtu mwenye msimamo na hicho ndicho kilimuondoa ofisini.MAGUFULI hakutaka mtu ampigie KELELE wakati akiwa ANAIBA. Baadae akamleta Kichere.Nimponge Kichere licha ya UHUNI wa JPM bado alifanya kazi yake,ila nafahamu yapo maeneo alifokewa asiguse kabisa.
CDF Mstaafu VENANCE MABEYO ambaye pia ni M/kiti wa Bodi ya NCAA anawatisha Raia wa NGORONGORO kuwa hawawezi kushidana na Serikali na hawatoweza kushinda na wanampango wa kuwaondoa eneo hilo la hifadhi ili watunze eneo hilo. Hii ndio sababu napinga Wanajeshi kuwa ktk nafasi hizi.
Mzee wangu IGP MSTAAFU ERNEST MANGU na Wewe ni Miongoni mwa watu waliokula ile Bil.2 kutoka Kampuni ya ACACIA !? 😳😳
Anyways, MAAFISA wa Wakuu wa SERIKALI ndio huwa ni DILI zao. Rejea DILI walizokuwa anakula MAGUFULI na BISWALO kwenye kesi za PLEA BARGAIN.
SAMIA yeye akisikia mikikimiki ya Nchi na hasa hili joto la MKATABA wa BANDARI wanamtafutia kasafari aende nje ya Nchi akapumzike. Mwambieni akirudi joto litakuwa limeongezeka zaidi.
Amekula ya Mbuzi yatamuota Mapembe.🚮
Raisi
@SuluhuSamia
anaendelea kuweka legacy yake na atakumbukwa kwa yafuatayo;
●Kumbambikia kesi ya UGAIDI
@freemanmbowetz
.
●Kuibia watanzania fedha (
#tozo
) zao kwa mwamvuli wa kuwaletea Maendeleo.
●Kubariki Mauaji ya watu watatu Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara 22.09.2022.
@HKigwangalla
Hii ni propaganda ya CCM.We have serious issues as a country Water & Electricity shortage.Uliwahi kuita vyombo vya Habari kuzungumzia
-Uhaba wa Maji na Umeme
-Serikali yenu kupora Ardhi
#Ngorongoro
,
#Mbarali
Hili la Dkt. Bashiru ndicho walichokutuma wapiga KURA? Shame on you
"Sheria za uchaguzi haziji kama hakuna katiba nzuri.Tuungane wote kwa pamoja tupate katiba mpya,katiba ambayo itatuondolea matatizo yetu yote tuliyonayo sasa na mwisho wa siku ndio tuje na masuala ya uchaguzi" Hashim Rungwe
#BarazaKuuCHADEMA
#chadema
CHADEMA mmebeba tumaini la watu wengi. Mkumbuke viongozi wa chama walipohusishwa na MAUAJI ya AKWILINA pale KINONDONI,DSM na kufungwa Wananchi walichanga FAINI ya Tshs Mil.350.Sio kwamba RAIA wana fedha bali walidunduliza kilichopo, sababu wanaona TUMAINI ndani yenu.MSIWAANGUSHE
Serikali ikiendelea KUUZA bandari za Tanzania kwa DP WORLD,pia inaendelea kuwashughulikia wakosoaji.Taarifa zimeenea kuwa
@mdudechadematz
amekamatwa na JESHI la POLISI,huenda ni sababu ya kuukosoa MKATABA wa KIHUNI wa Kina SAMIA na MBARAWA.
Bado tunafikiri SAMIA sio MAGUFULI ?
Mifumo ya tawala za kiafrika ni ya kulindana wala sio kuhudumia raia.
@KagutaMuseveni
ni Raisi wa Uganda na Mke wake ni Waziri wa Elimu & Michezo.Hapa kwa kazi iendelee
@TuliaAckson
ni SPIKA na Mume wake ni Mkurugenzi wa EWURA.Huu ni utumishi au maandalizi ya kupora mali za umma?
Wamasai wanahusika kuliingizi fedha taifa letu ktk maeneo mbalimbali ikiwemo pale NGORONGORO.Mnawatumia airport wakija kupokea wageni toka mataifa ya magharibi,mliwatumia Royal tour leo mnaona hawafai mnawau na kuwateka.Ama kweli shukrani ya punda ni mateke.
#StopMaasaiEviction
A polite remimder!Kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa dhana ya kwamba tutawatoa CCM madarakani nadhani hata wao wanatucheka.Kumbuka
@SuluhuSamia
akiwa M/Raisi alisema hata ukipiga kura kwingine CCM itaunda serikali. Maana yake waliteka mifumo yote na kujiweka MADARAKANI.Tudai
#KatibaMpya
Wewe Ndugai Uliyekuwa unamzalilisha BUNGENI Mh.
@godbless_lema
, kwenye MAPOKEZI yake kutoka KIA mpaka ARUSHA utasimama paleeee mbele kabisa kwenye MSAFARA utembee kwa mguu mpaka ARUSHA na hakuna kunywa Maji njiani.
KAMBAYA ameenda CHADEMA ndani ya miezi 3 anataka aaminiwe apewe uongozi na nafasi ya kugombea kana kwamba uliowakuta hawahitaji hiyo nafasi?😂😂 Watu wamefungiwa kufanya siasa miaka 6 wewe kirahisi tu uje leo tu na uongozi upate.😂😂
Naendelea kusisitiza kwamba ' HAKUNA taifa jepesi kulitawala kama TANZANIA.Yani watu wanatafuna $ 49m halafu Raisi anasema....STUPID!....mtupishe! Sasa unataka upate Uwaziri,Uraisi au Ubunge nchi gani? Uende CHINA wakunyonge..?'
Huenda hiyo ndio maana halisi ya kazi iendelee.
Wasiwasi ndo akili!
Acheni niendelee na utimamu wangu!
Sipendi kudanganyika - sipendi disappointments!
This time nimekwepa hili! Not suprised, nor am I disappointed! Sikutarajia tofauti!
Haya twendelee na harakati - aluta continua
#katibaMpyaNiSasa
#TutaelewanaTu
Tanzania bado ina utawala wa kijeshi na sio wa demokrasia kama katiba inavyodai kikatiba.Kwa nini tazama maeneo yafuatayo;
-Mgogoro wa
#Loliondo
wanatumia Majeshi.
-Chaguzi zote wanatumia Polisi na Jeshi kutisha.
-Watu wakiandamana watumia majeshi kutisha.
Huyo SAMIA JAMBAZI ambaye aliwaumiza WAMASAI wa
#Ngorongoro
na hakuongea chochote ndio huyo huyo ambaye anapandisha Mabega eti na suala la BANDARI ataendelea kunyamaza. Hatuoni bado tuna RAISI mwenye KIBURI na JEURI ? Huyu ataendelea kuumiza wengi akiendelea kukaa madarakani.
Hatuwezi kusahau kwamba
@Twaha_Mwaipaya
amenusurika majaribio kadhaa ya kutekwa na pia ameshawahi kuwa jela kwa ajili ya kupigani HAKI.Baadhi ya wanachama wenzake waliteswa na kuuwawa na serikali ya CCM.Mnataka kumfanya nini tena
@SuluhuSamia
awamu hii?
#FreeTwahaMwaipaya
Now!