Hii nchi tumenunua ma V8 kuanzia kwa wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, makatibu wakuu na manaibu, mawaziri na manaibu, majaji, wabunge nk, KISHA tunashindwa kununua VIFAA VYA KISASA VYA UOKOZI. Kwakweli tunahitaji KATIBA MPYA, MFUMO MPYA NA AKILI MPYA. Shame on ya CCM