Liberatus Mwang'ombe Profile Banner
Liberatus Mwang'ombe Profile
Liberatus Mwang'ombe

@Liberatus80

54,974
Followers
1,086
Following
2,989
Media
26,683
Statuses

Center-Right. MP Candidate 2020 for CHADEMA. Human Rights Activist. Retweets are not endorsements. Values: Ujasiri (Courage), Uhuru (Freedom), Umoja (Unity).

Mbeya, Tanzania
Joined October 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
5 months
Mh. @JMakamba na Rais @SuluhuSamia , naomba mfikirie watoto ambao wanazaliwa na Watanzania nje ya nchi. Wakifika miaka 18 wanalazimishwa wachague family, either familia yao ya Tanzania au ughaibuni. Tough choice. Tuachane na sheria ambazo zinatenganisha familia. #BirthRight is God
10
44
168
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mbona Maalim Seif hasemwi vibaya? Mmejiuliza swali hili?
Tweet media one
134
179
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Siasa mbaya sana Master Jay alinyoa mpaka rasta.
115
67
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Lijualikali alimuona Mbowe akiwa “amelewa,” akateleza na kuanguka kwenye ngazi. Lijualikali ameshuhudia Mbowe anavyo anguka usiku wa manane kwenye ngazi. Sijui alikua anamfatilia usiku wote huo na akaona namna Mbowe alivyo “lewa na kuanguka kwenye ngazi!”. Upelelezi uanzie hapo.
136
121
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 month
Millard Ayo amezima LIVE coverage ya Tundu Lissu na kaweka ziara ya Rais Samia. Ayo is trash 🚮
99
195
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Brother Zitto anampigania Mpango kwa sababu anatoka Kigoma na mi Muha. Huu ni ukanda na ukabila. Anasema wazi “Sisi” watu wa Kigoma hatuta kubali. Hii ishu ni ya Kigoma au ya Dr. Mpango? Yaani Mpango angekua anatoka Tunduma angekufa kivyake. Huu ni ukabila na ukanda.
118
144
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Kuna mtu anazagaa zagaa Chato. Nasubiri tangazo la Mkuu wa mkoa wa Geita kutoa masaa 24 kwa wazurulaji huko Chato warudi ofisini.
74
65
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
“Tunambiwa kwamba Tume tayari ina kura million 12 za Magufuli” @TunduALissu kwenye kampeni. Coincidence?
70
238
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 month
Kwa kifupi, Tafsiri isiyo rasmi: Tigo Tanzania ilivujisha data za simu za Lissu kwa serikali ya Tanzania kabla hajapihwa risasi September 7, 2017. Mahakama ya Uingereza imeanza kusikiliza kesi. Michael Clifford alikuwa mfanyakazi wa Tigo Tanzania ameiambia mahakama huko
Tweet media one
126
367
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Inawezekana vipi nchi nzima hakuna mbunge wala Diwani wa CCM aliyekosea kujaza fomu? Madiwani wa upinzani zaidi ya elfu 1000 wamekosea. Wabunge upinzani zaidi ya 20 wamekosea. Au CCM ni majiniasi? Unapo fanya uhuni tumia common sense kidogo. Common sense is not common.
96
131
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mmebana Uhuru wa habari. Habari ya JPM kuugua hakuna media iliyo report. Sio gazeti, radio wala TV. Ndio maana @kigogo2014 kawa mbadala wa media.🙏 Ushauri: kumdhibiti Kigogo achieni uhuru wa vyombo vya habari. Kigogo kwa sasa ana followers 400K plus. Atafika million mwaka huu.
34
87
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 month
Huyu ndio mwanasheria wa @TunduALissu , anaitwa Robert Amsterdam au Bob Amsterdam. Lissu amempa idhini aanze kuwashughurikia @Tigo_TZZ / @Millicom kimataifa. @robertamsterdam
Tweet media one
30
228
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
Akiwahutubia Watanzania leo Washington DC, Rais Samia amewaambia: “Nimewaona wanangu nje wakiwa wamevaa t- shirt na wameshika mabango. Nimewasalimia”. Huu ni uongo. Rais Samia amepitishwa mlango wa nyuma kuingia na kutoka ubalozini na hotel. Ukumbini kaulizwa maswali mawili tu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
124
195
2K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 year
Chief Mangungo was “genius.” Ata least he knew what he was signing.
135
531
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mama yake Erick Kabendera alikuombea mwanae msamaha: “Namuombea msamaha mtoto wangu maana yeye ndio ananinulilia dawa”. Erick hakusamehewa na mama yake alikufa akiwa ndani. Erick hakumzika mama yake.
Tweet media one
85
122
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
“Eti Mimi nimemtuma Halima Mdee! Over my dead body. I’ll never betray this party” @freemanmbowetz You nailed it, kaka.
11
76
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 month
Aliyetoa wazo la CHADEMA kuongoza maandamano kwenye mikoa kumi na majimbo 25 tofauti, ni genius. Wanachama wa CHADEMA jipangeni maeno yenu. Polis wote wamepelekwa Dar.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
275
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mh. Tundu Lissu atakuwepo jimbo la Mbarali siku ya Jumanne, September 15, 2020 kwenye viwanja vya Barafu, Rujewa. Sambaza ujumbe. Karibuni wote. @TunduALissu
12
147
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 month
Retweet to show love for Bob Amsterdam mwanasheria wa Lissu. @robertamsterdam
Tweet media one
12
483
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
Maisha yanakwenda kasi sana: Mdude OUT - Sabaya IN.
63
89
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 month
ZIFAHAMU SHERIA ZA MSINGI UWAPO MIKONONI MWA POLISI IMEANDALIWA NA MAWAKILI 1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako. 2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako.
Tweet media one
33
617
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Nchi ina wenyeviti wa mitaa, vijiji na vitongoji wote wa CCM. Ina wabunge wote wa CCM. Madiwani zaidi ya 95% wa CCM. Rais wa CCM. Tunategemea kuona maendeleo manake wapinzani tulikua wapinga maendeleo.
64
105
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Jana wamekaa kikao wilayani na kutoa maagizo: akishinda mgombea was CCM atangazwe. Akishinda wa upinzani, wasimamizi wawasiliane na mkurugenzi kwa maelekezo. Madiwani wangu, mbunge na Rais tukishinda tutatangazwa kituoni hapo hapo. Nothing less. Nothing more.
25
142
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mama, najua ni mapema: 👉 Rudisha utawala wa sheria 👉 Kutana na familia za watanzania walio tekwa na kuuwawa na watu wasiojulikana 👉Katiba ya Warioba 👉 Kutana na viongozi wa dini na asasi mbalimbali 👉Mtafute @TunduALissu . Alipwe stahiki zake. Walio mpiga risasi wawajibike
29
96
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Kuna tofauti kubwa: Kwenye hotuba yake Rais, mama yetu, @SuluhuSamia ametumia neno “Naomba” zaidi ya mara 50.
26
56
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Una polis, bunduki, Jeshi, ving’ora, umefanya mikutano ya hadhara peke yako miaka 5, umenunua ndege, umejenga madaraja. Umewabambikizia kesi, umewafunga. Wasanii, wabunge na madiwani wamekuunga mkono. Unatumia mawaziri kumchafua Mwamba.Haitoshi, unampeleka TAKUKURU! Hofu ni nini?
39
70
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
Polis wamezuia mkutano wa ndani wa BAVICHA. Chongolo na Shaka wanazunguka nchi nzima. Huu nimuendelezo wa Sera za kidicteta za Magufuli. Rais @SuluhuSamia anaendeleza umagufuli. BAVICHA wataendelea na mkutano. @tanpol , njooni na mabomu na risasi za moto kututawanya. Mtawajibika.
27
96
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Askofu kaachiwa huru. Wito wa kudai katiba Mpya na tume huru unaendelea.
Tweet media one
23
98
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Miaka sita iliyopita katiba imevunjwa kibabe, left and right. Matokeo yake ndio haya. Wengine wanaona ni msiba wa wote, wengine wanaendelea na shughuri zao. Taifa linahitaji muafaka na kuletwa pamoja.
15
63
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mlisema tunahamia Dodoma kumbe tunapitiliza hadi Chato 😅
58
49
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
CHADEMA never dies.
Tweet media one
11
107
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
DAS Mbarali, Hatutaruhusu wizi wa kura mwaka huu. Kikao chako cha 10/10/20 saa 9 mchana ofisi za CCM wilaya na Katibu wa CCM wilaya, Walimu wa secondary na shule za msingi etc. ukiwaahidi nafasi kubwa kama watasaidia kuiba kura ni wazo la kishetani.
46
91
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Kigogo14 is the official #Tanzania credible and reliable source of information. @kigogo2014
14
52
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Tuna taarifa zaidi ya vituo 40 vya kupigia kura Mbarali, CCM wamekubali tunaenda kuwashinda vibaya sana. Wamekata tamaa kwenye vituo hivi. Wanapanga mpango wa kuiba. Naongea na “campaign command center” ili kutaja vituo hivi. Hatutaibiwa. Stay tunes...
29
122
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Meeting with Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula.
Tweet media one
14
55
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 month
“Serikali ya Tanzania huwa hawalipi madeni bila shuruti. Tutashinda kesi, halafu tutasubiri ndege huko zinako ruka.” Tundu Lissu
Tweet media one
12
122
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Ben Saanane mwezi moja kabla ya kutekwa na watu wasiojulikana (Ben- left). Alikuja kwenye msiba wa mama. Ben, Aqulina, Azory, Mawazo, Lissu, Mo, Roma, nk. Hawa walivyo umizwa MATAGA walishangilia. Mungu ni wa haki. @HildaNewton21
Tweet media one
19
73
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Rais ameanza kuumwa March 6, 2021. Watu wamekamatwa kwa kusema rais anaumwa baada ya March 9th. Waziri Mkuu alidanganya Rais anaendelea na majukumu yake wakati anaumwa. Ms. President, Samia Suluhu, watoe vijana wote waliokamatwa.
18
66
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Six of our CHADEMA members including our ward chairman have been arrested in Igawa, Lugelele. Denied bond. President @MagufuliJP is scheduled to stop by Igawa tomorrow. CHADEMA posters have been ripped apart and vandalized by Green Guard. Pic: Igawa four days ago after rally.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
137
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
24 days
Chief @chiefodemba : “Unasema @Sativa255 alisema katekwa na washkaji, swali: hao washkaji ndio walimpeleka Ostabay polis? “ Kamanda Jumanne Mliro: Uchunguzi unaendelea
Tweet media one
61
128
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Kuna ujinga sana. MATAGA wanasema Mbowe alipeleka majina. Yaani Mbowe anaweza kupeleka jina la Nustrat ambaye alikua jela na kumsafirisha usiku kesho yake aapishwe? Mbowe must be very powerful.
31
55
992
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
10 months
Na sisi tumshauri au tumuache na maisha yake?😎
Tweet media one
86
38
1K
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Wanachama wa CHADEMA kutoka Kapunga Mbarali, Suleiman Mwakanyamale na Gerevas Sihama wamekamatwa jana. Wanatuhumiwa kushangilia kifo cha Magufuli. Wote wanatoka kijiji cha Kapunga kata ya Itamboleo, Mbarali. Polis waachieni vijana hawa haraka bila masharti yoyote.
32
62
974
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Kuna mtu hapa Magomeni anasema; “acheni bwana Watu wana nyota zao!!” #TunduLissuHomeComing
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
58
990
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
“Msaliti kwenye taifa lolote huwa ha-survive. Wanajeshi wanajua cha kufanya kama kuna msaliti” Masaa mawili baada ya agizo hili @TunduALissu alipigwa risasi 16.
32
53
973
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Tumetoka Mahakamani Mbeya. Kesi ya Mdude imeahirishwa hadi Nov. 30th. Waendeasha mashtaka walitaka isogezwe mbele hadi Dec 14th kwa sababu mashahidi hakuwepo. Mdude akaomba iwe Dec 3rd or 4th. Hakimu kaamua Kesi iwe Nov 30th.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
46
75
957
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mahakama zilikua zinamzeesha nakumpa ma-stress tu. Anawatakia weekend njema 😅
Tweet media one
51
33
941
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
“Mh. Aiekiel Mbowe ni professor wa science ya Siasa” Naibu waziri wa Afya, Molleli. @freemanmbowetz Nani anainishia kauli hii ya Naibu Waziri wa Afya, Mh. Molleli?
50
97
944
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Polis Chimala, Mbarali wanakamata kamata vijana wa #CHADEMA . Hadi sasa wamekamata vijana wetu zaidi ya 15. Mchana huu wamemkamata M’kiti wa vijana Wilaya ya Mbarali, Victor. Wamewakamata Wanawake 6 pia: Mbumi, Jennifer, Joyce, Anifa and mama Kandida.
39
103
933
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 year
TANZANIA DIASPORA KUANDAMANA Diaspora Tutaandamana Ijumaa Kupinga Mkataba wa Bandari na kushinikiza Dr. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude waachiwe huru Siku: Ijumaa, August 18, 2023 Muda: 11:00AM Eneo: Ubalozi wa Tanzania Washington DC na London, UK. Sweden watafanya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
53
294
934
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mr. & Mrs Lissu na vijana wao wanawatakia siku njema.
Tweet media one
Tweet media two
29
63
910
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
“ACT na CHADEMA hatuyakubali matokeo ya uchaguzi yote ya 2020. Tunadai kuitishwa upya uchaguzi mkuu. Tunahitaji MEC na ZEC zivunjwe na kuundwa upya huru” Mbowe kwa niaba ya ACT na CHADEMA.
8
74
901
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
Tukiwa na ujumbe kwa Rais @SuluhuSamia nje ya ubalozi. Rais wamempitisha kwakifichonkwenye mlango wa nyuma. Waziri Mwigulu na Balozi Elsie Kanza wamepita mbele ya ubalozi. Huu ni ujumbe tulio wapa.
125
211
907
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
Jaji Mkuu anawaagiza mahakimu na Majaji wahakikishe hukumu zao hazina madhara kwa serikali. Watanzania tupo kama mazombie tunaamini Mwenyekiti Mbowe atatoka kwa haki kutokana na ushahidi wa michongo. #Tujiongeze
37
134
893
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
So, ni zaidi ya masaa 24 hakuna tweet ya masikitiko na pole kutoka kwa mzee wa Msoga, January, Ridhiwani na Bashe. Nape kasema pumzika salama. Naendelea kujifunza.
44
42
877
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
Rostam Azizi analalamika kutokua na balance ya kibiashara kati ya Kenya na Tanzania. Swali la msingi: Tulipata Uhuru kabla ya Kenya. Je, ni nani ametufanya tuwe nyuma ya Kenya kiasi hiki? #TatizoNiCCM
81
73
880
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
5 years
CCM, CCM, CCM; Watanzania wa leo sio wa miaka ya 70’s. Uhuni mnao ufanya hadi wananchi wa chini wanauona. Mnatengeneza time bomb. I’m so impressed with this guy articulating his rights and disapproving of CCM malicious acts.
101
217
894
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mh. @freemanmbowetz , endelea kukaa kimya. Your silence is killing them.
21
36
889
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
2 years
So, hili dude limetua KIA halafu msemaji wa serikali anasema limeleta cargo! Cargo gani hiyo? Hili dude ni kama nyangumi, linameza Toyota Land Cruisers zaidi ya 20! Halina hata madirisha! @MsigwaGerson , ni Cargo gani hiyo imeletwa?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
80
93
885
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 year
London, UK wanatimiza wajibu wao muda huu. USA tutatimiza wajibu huu 11:00AM New York Time.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
44
243
886
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
235
198
855
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Dr. Slaa anajua madhara ya kujadiliwa/ kuhukumiwa kwenye Bunge la EU. Kabudi alisema wale wabunge wa EU ni wahuni wachache tu. Yule balozi naye alisema ni Kamati tena walioongea wabunge watano tu. Dr. Slaa kuna vitu anavijua ila MATAGA Doesn’t get it.
17
47
869
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Viongozi wa juu wa ACT Wazalendo na CHADEMA Kesho, Jumamosi, Oct 31, watazungumza na vyombo vya habari saa nne asubuhi. Watakua Makao Makuu ya CHADEMA Kinondoni. @zittokabwe @freemanmbowetz @jjmnyika @SeifSharifHamad
47
120
840
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
5 years
Kigogo2014 @kigogo2014
139
102
821
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mbarali- Youth Wing chairperson, (Victor Baleke), and 15 #CHADEMA members are in the Police Custody for three days. No bail. No charge has been filed as far as we know.
Tweet media one
7
66
840
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
DAMN! Mwendazake naweza kuaamka huko aliko.
129
128
828
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Bashiru wakati akiwa katibu wa CCM alijipa hadi mamlaka ya kuwahoji mawaziri na kukagua miradi ya serikali. Wakati kazi hiyo ni ya CAG, Bunge na Rais. Madaraka ni dhamana tu. “Wakati Ukuta” Tundu Lissi
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Mama Samia kachomoa betri 😅
Tweet media one
13
8
264
9
47
815
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 year
TANZANIA DIASPORA KUANDAMANA Diaspora Tutaandamana Ijumaa Kupinga Mkataba wa Bandari na kushinikiza Dr. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude waachiwe huru Siku: Ijumaa, August 18, 2023 Muda: 11:00AM Eneo: Ubalozi wa Tanzania Washington DC na London, UK. Sweden watafanya
Tweet media one
56
240
841
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
Nimeona sehemu wanasema he is the “Man of the match”. Kwa nini? Hebu nielimisheni kidogo
Tweet media one
32
40
797
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
2 months
SIMBA
Tweet media one
31
102
821
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
5 years
“Nitachukua maamuzi magumu ambayo hamta amini dhidi ya Bernad Membe, January Makamba na Zitto Kabwe na group lao lote. Mtakuja kujiona mna “shedo” mdomoni na makalio makubwa matakoni.” Cyprian Musiba This guy is psycho and wacko.
302
74
783
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Tuna kesi ya kujibu. Tumepewa dhamana. Jumatatu tunatakiwa Mahakamani. Asante Mwanasheria wangu, @JohnMallya kwa kuniongoza.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
61
788
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 year
Wakituombea,wakituunga mkono, wakituita kwenye shughuri zao hakuna mtu anasema viongozi wa dini wanachanganya dini na siasa. Lakini Wakitukosoa na kutoa maoni tofauti na CCM au Serikali ndipo kelele zinaanza za kusema wanachanganya siasa na dini. Tukubali ukosoaji wa Viongozi wa
Tweet media one
56
187
783
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Tumepata taarifa Mkurugenzi na wasimamizi wakuu wamewapa maelekezo wasimamizi wa vituo kutokutoa forms za matokeo; 21A, 21B na 21C. Hatutakubali uhuni huu. Msitulazimishe kudai haki yetu kwa maarifa mengine. Mawakala wetu LAZIMA watoke na forms 21A, 21B, 21C. LAZIMA. No gimmicks.
25
104
772
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
5 years
Jay Dee! You are bold! I commend you for that. Acknowledging and appreciating @freemanmbowetz contribution to your career at these difficult times isn’t only shows your audacity and courage, but also shows that you care and considerate.
@JideJaydee
Lady JayDee
5 years
Kila mtu ana sababu kwanini anafanya kitu fulani. Nikiwa mdogo naenda kuomba 🎤 Club Billicanas walau nionekane , ni mtu ambae ameni inspire kuwa mjasiriamali . Nafsi itanisuta sana nisipo sema kitu . Mimi nimechanga wewe je ? Sina chama , sipendi siasa 🙏🏾
Tweet media one
553
697
6K
12
43
771
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Wakati Magu anajiandaa kuliutubia Bunge la Tanzania: Mh. Lissu yeye anajiandaa kulihutubia Bunge la Ulaya. Kitaamu inatwaje hii? Kwako Mwalimu Kashasha...
94
79
782
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
M’kiti wa UVCCM ameomba radhi baada ya kufanya kufanya na kuongoza umafya kipindi cha Magu. Naamini ipo siku @moodewji , @Roma_Mkatoliki , Erick Kabendera nk watalieleza Taifa ukweli juu ya kutekwa kwao. Siku zinakaribia watazungumza.
69
111
755
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Naona walewale waliomsifia Shujaa na Task Force ya kukusanya kodi wanamsifia Mama sasa. Chawa sio watu, yaani wameshamsahau shujaa hata mwezi haujaisha. Chawa Kama wajumbe tu 😂😂😂😂
23
43
762
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Nireteeni Gwajimaaaaaa! Haya tumekupa. Unamtaka tena Halima tumekupa. Haya wamtaka nani tena? 😜
37
41
770
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
👉Mawazo kauwawa kwa mapanga na shoka 👉 @TunduALissu kapigwa risasi saa 7 mchana. Kanyimwa matibabu, kafutwa ubunge 👉Kabudi kasema Ben Saanane amekufa 👉 Wapinzani wengi wapo magereza kisiasa Huwezi jua huzuni, simanzi na mateso wanayo pitia wapinzani kama sio mpinzani. KARMA.
16
71
752
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
2 years
Nimetaarifiwa Bwana Jonas Afumwisye, aliye fukuzwa kazi TRC kwa kupinga tozo na kuwakosoa Speaker na Rais amekamatwa na polis. Anapelekwa Central sasa. Rais @SuluhuSamia , STOP this madness. #FreeJonasNow
Tweet media one
48
159
759
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 year
Dr. Slaa kaachiwa. Uhaini hauna dhamana. Kwa nini Dr. Slaa na wahaini wenzake wameachiwa? Tunataka kesi zote hizi zifutwe na zisitumike ku-blackmail kina Dr. Slaa. Tunaenda ubalozi kuandamana kama tulivyo panga. #NoToDPWorld
Tweet media one
23
144
762
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Kwani @kigogo2014 amekosa nini hadi atafutwe na polis? Enlighten me please...
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
4 years
Msihangaike kutoa "gift fat" kumkamata "Kigogo2014". Msitumie kodi zetu kutafuta 'anonymous'. Mkitaka "Kigogo2014" afutike na kupotea ni rahisi. Acheni vyombo vya habari viwe huru, msichuje maudhui na habari zao. Wengi wanakwenda kwa "Kigogo2014" kama 'alternative'. Jiongezeni.
107
147
2K
13
25
738
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
2 years
Afande Muliro kafika eneo la tukio mapema kabisa. Ulinzi upo vizuri. #LissuHomeComing 2023
Tweet media one
20
49
766
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
Roma Mkatoliki na Stamina kesho wanaachia kitu. Ft. Feruz. Kaeni mkao wa kula. Sijui wanataka kuongea na mama!
9
22
744
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
December 28, 2018 kwenye mapokezi ya Airbus, Msemaji wa Serikali aliandika “Tangu ndege zetu zianze kufanya kazi zimeingiza faida ya Tsh 28B” March 28, 2021, CAG “Tumebaini ATCL imetengeneza hasara ya 60B” #AbbasMustResign
Tweet media one
76
82
734
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 year
Polisi anaiba simu kutoka kwa moja ya watu ambao wapo kwenye msafara wa Lissu. 1. Inaonyesha Polisi yupo mikono mitupu. Hana simu 2. Polis ananyang’anya simu kwa nguvu 3. Polis ameshaiba simu anaelekea kwenye gari 4. Polis ameshika simu aliyo iiba VIDEO KWENYE COMMENT
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
85
140
752
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 year
Hapa ni wapi??? Wananchi wamekataa vitisho vya kipumbavu. Maelefu wampokea Tundu Lissu huko Ngorongoro leo.
74
211
745
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
“Mnajenga mimba za chuki hamjifunzi kwa majirani” @Naytrueboy
Tweet media one
9
63
714
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
JPM anasema barakoa kutoka nje zinaleta virus vya corona. CDC wanasema kirusi cha corona kinakaa kwenye nguo hadi siku mbili. Kwenye palstic na chuma hadi siku saba. Kusafirisha kontena kutoka nje inachukua kama siku 21. Virus anakuaje hai siku 21 kwenye kontena?
51
55
728
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 months
Kwenye Kanda yetu ya Nyassa ukimuondoa Mzee Mwandosya; Kwa sasa the most influential person na anasemwa vizuri sana ni Raisi wa TLS, Boniface Mwabukusi. Mwabukusi amefanikiwa sana kukonga nyoyo za Gen-Z, wanasheria, wazee na wapenda haki. Misimamo yake imempa imani na heshima
Tweet media one
46
97
749
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
MATAGA hawawezi kusema “well wishes” wala “RIP”. Wapo confused. Hawajui watume salamu za “get well soon” au “Rest In Peace”. Left in limbo.
Tweet media one
19
55
713
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
2 years
Issaya Olepose Laizer amekamatwa na polis baada ya kutoa maoni Club House juu ya kauli za Waziri Mkuu Majaliwa Bunge. Laizer amekamatiwa Loliondo.
Tweet media one
44
160
730
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
“People are losing friends over political ideologies. Just remember that whatever you are in need and want support you will always need friends and not government” Baraka Obama.
7
105
724
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Kwa sasa Rwanda na Uganda wanatuonea wivu sana.
32
26
706
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
DANG! Zitto! You killed it on this one. @zittokabwe @mwigulunchemba1
Tweet media one
46
56
720
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Kijiji cha Chimala ameingia mtu kumpigia kura mtu ambaye yupo nyumbani akidai anaumwa. Alipewa karatasi zote. Akielekea kupiga kura nikahoji anaye mpigia yupo wapi. Akasema yupo nyumbani anaumwa. Nikamzuia na kumwambia msimamizi. Hajapiga kura. Msimamzi ame-VOID kura zote.
Tweet media one
20
75
722
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
1 month
“Wale vijana wawili walionipiga risasi wapo. Muda ukifika tutawataja. Labda waende huko wakawanyonge. WAPO!” Tundu Lissu
7
75
740
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
3 years
Only under @SuluhuSamia Gov’nt, they make the innocent guilty and guilty innocent. In Malcolm X voice.
Tweet media one
19
126
712
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
4 years
Kuna clip ya dk 3 JPM kamtaja Mungu zaidi ya mara 15. Halafu Askofu moja Tanga kaongelea watu wajikinge na #COVID19 , wavae mask na kawalaumu waliokwenda Kanisani bila mask. Yaani serikali inafanya kazi ya IMANI na kanisa linafanya kazi ya SAYANSI. Dunia inaenda kasi sana.
22
55
715