"Wanasema tupime wote hapa, hivi hawa wanajua, kupima mtu mmoja ni 120,000, lakini kuwapa wataalam vifaa vya kujifunika ni 240,000 na kina badilishwa, maana yake ni milioni moja kwa siku 1, ndiyo maana tunapima wale wanaoonyesha dalili" - Dkt Godwin Mollel Mbunge wa Siha.