Mimi sitachoka kuwakumbusha watu wa singida magharibi kuhusu huyu mtoto wetu, mchapa kazi, mnyenyekevu, asiye na ubaguzi wowote tena mtu wa watu. Msikubali kumpoteza
@SuphianJuma
naomba tumpe kura za ndio kwa kishindo kikubwa! Tutaanza nae na tutamaliza naye 💪💪