Hata ningekua na uwezo wa kusema kwa Lugha za wanadamu na za malaika , Ningekua na Imani Kiasi cha kuweza kuhamisha milima, na hata ningeweza Kutoa mali zangu zote kuwalisha masikini ama kuutoa mwili wangu uungue moto KAMA SINA UPENDO, SI KITU!
.
.
Upendo huvumilia,hufadhili,๐๐พ