Shukrani san
@IAMartin_
Leo imekuwa siku nzuri sana kwangu , niseme tu kaka wewe ni shujaa wa Africa .. Mungu azidi kukupa Nguvu na ujasiri ....๐ฏ ๐
#Bila_kuchoka
Huyu mtoto anasoma Serengeti anaishi Abiola Yombo ...kila siku anashushwa amelala akitokea shule ...
Boda boda nimependa sana kampani yenu kwa huyu mtoto
Niko mwenge jua kali sana mbele yangu naona menu, sema mfukoni apecha alolo...๐๐
Ngoja niende kwa mganga kwanza ,sema mashart yasiwe magumu mzee
@chefprincy
Pendeza na Poz online delivery ya uhakika ๐ฏ
Tunaishi tena kinyamwezi na mwanetu
@mnyamwe7
๐งข
Shukrani kaka kwa kuniamini ๐
#Dar_Nairob
#Bila_kuchoka
Oyaaa weeeee kilitoka cha wana Leo..nilisahau kuwapostia huku ....Leo ilikuwa dagaa nyama ...chips yai na mapiza tunamuachia mwanetu
@cousinistore
na
@DullahTheking2
Ujumbe tosha ujumbe umenyooka ....akikusaliti piga chini tu ...
Mchambuzi wa mambo unasemaje kwa hii kipengele
@Kiokote03
na makamu msaidiz bwana
@iamZature
@IAMartin_
Wenye mabasi n wengi wao n viongoz wetu ,wasiojali kabisa utu wa mtanzania .wanasemaga kafara zao maana akiuwa utashangaa zinakuja kama mvua
@fbuyobe
Anahasira na masonic shit ...mkuu tupe uzi wa Andrew Tate ,majuzi alikamatwa then akaachiwa ...maagizo yalitoka UK akakamatwa na police Romania. Bonge la uzi mzee
Nimeokota kitambaa cheupe usiku mkubwa ingekuwa enz zile sijawa tajir kama
@fadhili_ndilla
zilikuwa mapema san hiz ... yaani Leo kashata zingehusika
@mmanyema5
@ExMayorUbungo
Hawa siku tutaruka nao hawataamini ...hakuna kuoneana huruma ....wanafamilia mtaani tunaishi nao daaaaah eeeeh Mungu zuia hii hasira niliyonayo daaaaaaaah hii nini maan yake sasa alafu kuna wapumbavu wanaona sawa ....