Jack of all trades: Politics pundit, tech enthusiast, comedy, business, medical , media junkie, and meme. ๐๏ธ๐ฌ๐บ๐คฃ Youโve come this farโgive me a follow!
Dudu Baya humu ndani kaongea ukweli mtupu.
Hebu mtag waziri wa mali hasili na utalii ujumbe umfikie.
Akina shilole, Muddy mabiriani na vijana wengine wanatakiwa wapewe nafasi hizi.
Kigwa mwenyewe alishindwa kuwaza hii nje ya box
HILI LINAITWA SHAMBULIO LA MOYO
Huyu ni mke wangu kabisa, nimefunga naye ndoa mwaka huu mwezi wa pili ila kufika mwezi wa 5 MUNGU alijaalia kupata ujauzito.
Mwanzoni huyu mwanamke ilikuwa Kila alhamis lazima aombe ruhusa ya kwenda kusalimia Kwa ndugu yoyote, na Mimi sikuwa na
Video kwenye comments
Katika suala zima la ku tengeneza maudhui wazee wetu bbc watakuja kukaushwa damu.
Alichofanyiwa huyu mzee ni ukatili wa kijinsia na kihisia.
Inaelekea hii space watu wengi waliikosa,
Kama mngependa irudiwe niambieni kwa kunipa retweets 3000 kwenye hii Post
Niffollow weka notifikation on,
Zikifika retweets 3000 ama followers 20k ndani ya saa 24 lispace linaruka kwa hewa: TWENDENI KAZI
#ZatureSpaces
Wapendwa
@ExMayorUbungo
anawakaribisha kumuunga mkono kwenye biashara yake ya MAYAI maana Kuku wake ni kama wanamkomoa kwa kutaga.Raising hands
Anauza Tsh. 6500 tu kwa TREY na anakuletea popote ulipo DAR, pia Kwa wa maeneo mengine wasiliana nae kwa namba 0712 239 595
Ngorongoro: Tundu Lissu atimiza malengo yake
Ukweli ni Kwamba, lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake, kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na Serikali ya Tanzania, wa kuwahamisha kwenye
Tulienda kwa Diddy, eeh nafikiri siku moja kabla ya siku ya uhuru wa marekani.
Ah Tulikua kwa Diddy, usiku tulienda, eee
Yah Tukakaa
KUNA VITU TUKAFANYA, KUNA MAMBO TULIKUA TUNAFANYA, halafu
SEMA YALIYOFANYIKA, kuwaโฆ..
SIYO YA KUPOST
Huyu Ngโombe anaitwa Freshian, Asili yake ni huko Uholanzi, ana uwezo wa kutoa maziwa lita 400 (ndoo 20) kwa siku. Hii mbegu haijafika Afrika bado, kwa sasa iko zaidi ulaya na Amerika ya kasikazini.
Wakishushwa 5 Mto Ruvu, Dar unaitishwa mgao wa maji ๐๐
NASHUKURU KWA 10,000 followers Si kwa nguvu si kwa uwezo, niwashukuru wote mlioniheshimisha,
Asubuhi hii nianze na watu 100 kwa haraka follow
@iamZature
@iamZature
Retweet, weka handle yako nikufollow, follow wote wakufollow back
Yakiitwa mashindano ya Mamisi leo, halafu waende mama zetu wasichana wasiende, Mmoja wa mama yetu ndo atakuwa Miss, maana majaji hawana uchaguzi CC
@godbless_lema
#ZatureSpaces
MUHIMU SANA HII ITAKUSAIDIA
Je, unajua kwamba wakati wa Kusafisha Damu (dialisisi), damu Hutolewa mwilini kupitia bomba jekundu, hupita kwenye mashine ya dialisisi, na kisha kurudishwa tena kwenye mfumo wa mwili kupitia bomba la bluu?.
Mchakato huu hurudiwa kwa saa nne huku
Nime tafakarari sijapata majibu,
Jana dingi alivyotumia muda wake karibu wote kumjibu jj inamaana hakuwa ameandaa hotuba yake? Kwa maana Kama alikua ameandaa hotuba ya mambo ya maendeleo asingepoteza kumjibu jj
MNISAIDIE MAJIBU MSIISHIE KULIKE ๐๐ค
GWAJIMA AMLAUMU HALIMA MDEE KUTOTENGENEZA MITARO YA BOKO
2020 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM, Askofu Josephat Gwajima alimlaumu aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA) kwa kusababisha mafuriko kwa wananchi wa Boko.
2024 atamlaumu nani?
@godbless_lema
#KatibaMpya
haihitaji eti CCM ikubali ๐ tusijidanganye! Katiba ni ya WANANCHI na mamlaka ZOTE hutokana na wananchi!
Walichofanya CCM (and they mastered the craft) ni kujenga taswira (Illusion) as if wao ndo gatekeepers wa Katiba - Thubutuu ๐
#KatibaMpyaMovement
is ON ๐๐ฝ
Huyu inamaana atapunguza kuweka Vifurushi, atapungua kutuma na kupokea pesa,
Hii TOZO itaumiza wananchi ila serikali na makampuni ya simu yatapata sehemu yake ya hayo maumivu, athari za tozo ni DOMINO EFFECT
Mwijaku Kamjibu Vunjabei Na Diamond, anakuambia vita Haiwezi kuzimwa kirahisi hivyo.
Kwanza Vunjabei ndo humuomba amuongelee
Video ya 2 anamsema Diamond na vibanda vyake