Uzi
WAFAHAM KABILA LA WAJITA
Wajita ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi hasa katika Mkoa wa Mara. Lugha yao ni Kijita.
Wajita wana muingiliano mkubwa na makabila kama Waha, Wahaya,Wanyankole,Wanyoro, Watoro,Wakerewe, Wahangaza, Wanyambo,Wazinza,Wakara, Wakabwa,