@godbless_lema
hichi ndo kitu cha kwanza kinachokufelisha inabidi ujue unavopost habari za mpizani wako una mpa yey promo zaidi kuliko wew. fwatilia hamna hata mwana CCM hata mmoja anapost mambo yenu ya CHADEMA ndo ujue kua akili inahitajika
@chapo255
Harmonize ndo msanii pekee saiv anafanya show nyingi tena za pekeake. Kapiga Dubai, congo,kigoma,burundi,Burundi, n.k ndan ya mwezi. Hits nyingi. Mtu anafanya sold out za ticket. Kwa east africa tumemaliza. Sasa focus inahamia nje ya east africa
@HeimkonTz
@stiliwati
@millardayo
tatzo kubwa ni kuwa wengi wanapuuzia kupiga kura hata wakati wa kujiandikisha vijana wengi waliona ni kupoteza mda. hio haki nani ataipigania ikiwa mwenye haki yake hajui anachotakiwa kufanya
@kigogo2014
unatengeneza mazingira ya maadui kushinda vita hii kwa ujinga wako wa kujifanya unapost post kila kitu kujiona we unajua kila kitu. sisiti kuwaza wew upo upande wa hao magaidi na unafurahia ivo vifo vilivotokea kwa ndugu zetu huwezi toa taarifa nyeti za jeshi kama izi kwa Twitter
@Elisalinah31
Sio wew tu. Mim ad nimeachana na bidhaa za Coca-Cola kwasababu ya uchafu unaopatikan kwenye soda zao. Na watu wa TBS wapo kimya kama hawaoni ivi
@MsigwaPeter
Wakumbushe kwamba kuna waTz walishawahi tolewa kipind RUAHA NP inaongezewa mipaka. Same as manyara pia kwaio wasijione wao ndo wanahaki kuliko wengine kwenye hili