Utawala wa Magufuli ndio utawala mgumu kuwahi kutokea Tanzania tangu uhuru, ila kama hukuguswa au hakuna mmoja ya jamaa yako alieguswa utaishia kumsifu na kuona kua Samia hafanyi kitu but ukweli ni kwamba bora kula mkate ukiwa na amani na uhuru kuliko keki ukiwa haupo huru.