Jifunze maarifa mbalimbali ya kiroho na kimwili,tambua ulimwengu wa kiroho hasi na chanya,elimu zilizofichwa,zijue dawa
Contact me.
+255 678252118 /0710686262.
TIKUNDANE ni dawa ya kitabibu ya nyota na mvuto, yenye uwezo wa kusafisha nyota na kuleta mvuto wa kazi/biashara na mapenzi, kuondoa mafarakano na kuleta maridhiano kwenye mahusiano na ndoa
Imetayarishwa na ZENGO HERBAL
Price:20,000/-
0678252118/0710686262
KAWE DSM
Suala la SATIVA ni zito ila ngoja nijilipue tu,Amekamatwa na watu maalumu wamemshikilia lakin inaonesha watamuachia ila fukuto lote hili linaonesha wazi ni masuala ya SIASA ndio chanzo chake, watampiga tu na kumuumiza kidogo lakn kumuua hapana, na watamwachia.
UFAHAMU MMEA WA KIVUMBASI(HOLY BASIL)
Mmea unaoheshimiwa na viumbe vingi unauwezo kutibu maradhi ya kawaida na ya kiroho, tuanze ya kiroho, mti huu unaheshimika na kuogopwa na majini wabaya na wachawi hawausogelei huu, mti huu ni kinga, pia ni ufunguo wa mambo mngi yaliofungwa
UZI:: NDAGU NI NINI? (mali,pesa,umaarufu)
Ndagu ni mchanganyiko wa mimea maalumu unatoka sehemu mbalimbali , mimea hii huchanganganywa na vitu maalumu kwa kutumia kanuni maalumu kwa lengo la kufanya mambo kwa nguvu za ajabu (majini)
CHUMVI NI KINGA KUBWA KATIKA KUZUIA NGUVU ZA GIZA
Chumvi ni kinga bora kwa nguvu hasi zote za ushirikina na nguvu nyingine za giza! Hata wale wanaohisi kuibiwa ama kuchafuliwa nyota zao, stimulus bora ni chumvi... Hata zile hatari nyingine katika ulimwengu wa roho,
FAIDA ZA UDI,UBANI NA MANUKATO YASIYO NA KILEVI.
watu wengi hasa watanzania wamekua na imani kuwa mwenye kupenda udi,ubani au manukato mazuri basi ana majini na udi unavuta majini hivyo kutokea watu kuyachukia manukato hayo na kuwanyooshea vidole watumiao hayo manukato
Kwa wale wote tunaopambana na tunaotegemewa na familia zetu basi Mungu akawafungulie Riziki zenu zije kama upepo kutoka pande zote NNE za dunia.. pokeaa
Upweke unawatesa sana feminist , kuna lishangazi moja nilikutana nalo ana kila kitu kwenye maisha ila upweke tu unamsumbua, nilichapa sana, mpk siku akanipeleka kwake alikuwa na madildo kibao ya kila aina, alikiri kuyatumia sana,mi nikachukua nikapiga moto yote
Matumizi ya UDI ni mengi na UDI zipo za aina nyingi, wapo walionifuata DM nikawaelekeza namna ya kutumia kwenye kufanya maombi yao ,feedback zao ni nzuri nawashukuru nikaona na leo niwaletee hapa watakaofanya waniletee feedback watakaofanya na kuamini hii ni kwa dini yoyote tu
Nilikutana na mdada njiani kavaa jeans na t-shirt,ila mimi nikimuangalia namna nyingine namuona kavaa kanzu nyeupe na kiremba chekundu,nikajua mtu huyu ana daraja la masharifu labda hajui,jana tumekutana tena kwenye daladala tukakaa siti moja akaniambia siku tuliokutana aliota
nguvu ya Pete, uvaaji wa Pete una maana zake, kuna wanaovaa kama kinga, huvaa mawe yanayowapa nguvu kutokana na energy za nyota zao, kuna hii nimevaa kutokana na mwalimu wangu(kiumbe) nilienae,kila binadamu ana walimu wake wa asili na kuna namna za kuwasiliana ili msaidiane
UZI: MAPENZI/MAHUSIANO YANAKUTESA? SHUKA NA HUU UZI
Maahusiano yana changamoto nyingi sana, hasa kizazi hiki imekuwa kilio kila kona,nimekutana na kesi nyingi za mahusiano ila nikagundua watu wanateseka kwa vitu vidogo tusivyoweza kuviona kwa upeo wetu, kwanza napenda kushukuru
kibaha pale, kwenye siti niliyopewa,nilimkuta lishangazi fulani hivi mweusi flan hivi kama chocolate,alikuwa mnene huo sio mchezo, kajaa kwenye siti, nikaka pale pembeni yake, yeye alikuwa dirishani,akanisalim nikaitika,muda mwingi nilikaa kimya japo tulitazaman kidogo
Suala la SATIVA ni zito ila ngoja nijilipue tu,Amekamatwa na watu maalumu wamemshikilia lakin inaonesha watamuachia ila fukuto lote hili linaonesha wazi ni masuala ya SIASA ndio chanzo chake, watampiga tu na kumuumiza kidogo lakn kumuua hapana, na watamwachia.
kwenye tv kulikuwa na vichekesho vya kina ringo, gari zima walicheka, mimi niliuchuna tu,lishangazi likaanza kuniongelesha huna bandama, nikamwambia siwaelewi hata, tukaanza vistori kidogo, simu yangu ilikuwa inaita sana, ni demu wangu alikuwa anapiga, sikupokea
nikajibu ntachukua chumba, akasema hata mimi nataka nichukue chumba ila bajeti kam inabana hivi na nauli za kesho,chakula, mimi kichwani nikaelewa, nikamwambia basi tuchukue chumba kimoja, mi nitalipia, ila msosi utanilisha mana hata mimi bajeti imebana
Jioni washa mshumaa mweupe na udi mbili, kaa kwa kutulia ukiangalia mshumaa usiseme kwa mdomo, sema kwa moyo wako, maswali unyojiuliza, harakati zako za kazi, biashara, jobless na Cv ,zako na mengineo baada ya dk 30 zima
kweli nikapokea, demu alienda direct kuniomba msamaha, nikamwambia nimekusamehe,ukae nyumban kwa kutulia, mana nilimpiga stop kwenda kwa mashtosti zake fulan, lishangazi kumbe lilikuwa makini kusikiliza,
alisema najitahidi sana kujizuia,ili watoto wasinione vibaya, mtu mzima kichwani nikaelewa huyu ana nyege,nikamwabia vzr kujizuia ila mara moja sio mbaya kupasha njia isije jifunga bure,alianza kucheka akasema, muhuni wewe, mchokozi, nikasema kwa afya sio mbaya lakini
nilipomaliza aksema siumeona yameisha, ila nikikuangalia acting zako na ulivyo mbishi na ukali unanikumbusha marehem mume wangu, miaka miwili sasa imepita, nikampa pole, akamzungumzia kidogo vichozi zikamtoka pale,nikamliwaza kidogo, sasa uchokozi ukaanzia hapa
UZI:FAHAMU KUHUSU MTURA 'TURATURA' NDULELE MAAJABU NA TIBA YA MARADHI MBALIMBALI.
MAJANI YA MTI WA MTURATURA
mwenye kisukari chukuwa majani yake ponda ponda upate unga wake utatumia kunywa kwenye maji ya vuguvugu kutwa mara tatu Kwa siku 14 neenda kapime Leta mrejesho
nataka nimjibu huyo aliyekuwa anabeza somo la
@GpixelP
la kwenda baharini kujisafisha mwili, kwanza ajue bahari ni chumvi, na chumvi inauwezo wa kutakasa, reference ni biblia kama ifuatavyo
UZI: MJUE SHIVA (JINI NA MUNGU WA KIHINDU)
Karibu tena kwenye Uzi za zegega kama ni mgeni basi pitia na Uzi zangu zilizopita ili usiwe mgeni kwenye darasa langu, Leo nawapeleka India nchi nzuri yenye historia na inayotunza tamaduni na falsafa zao za kitiba na kiroho
na mi nikaenda kuoga kichwani hapo najua leo naua hapa, nilipotoka nikakuta chakula kimeletwa mbuzi choma za kutosha ndizi, na bia3, nikajua huyu hela alikuwa nayo ila ilkuwa mitego tu,akaniuliza unakunywa bia gan, mi sinywi bia kabsa, akasema sasa kilevi chako nini
akakubali tukachukua chumba mitaa ya dastriti, kufika mle yeye akaenda kuoga,alipotoka kavaa taulo tu mapaja yale, na mitkisiko ya nyamnyama, mzee hapo kichwa hakielewi,alafu mkononi kashika chup akaenda tundika karubi na feni ili ikauke.
nilimpigisha story nyingi za uchokozi ni kam naongea na demu wangu tu confidence ya hali ya juu sana, tulifika moshi saa nne hivi, yeye lishangazi alikuwa anaenda machame, mi marangu, akasema usiku huu, vp wewe unafikia wapi?
huku akicheka, nikamwbia hicho ulichifikiria ndo jibu, akacheka sana we bana muhuni sana, nikatoka nje kununua juisi na condom, niliporudi tukala, akapiga bia, ile anamaliza ya pili nkamsogelea, mana alikaa kweny kochi mi kwa bed, nikamfata
macho yangu yanatizama yake,huku akianza kunirembulia na kicheko juu, mi hapo nipo serious kidog, akasema niambie,nikamshika mkono, akasema subiri befor , i need a favour ,mara paap akatoa taulo, kitu piru kimevimba mamae, shaved, akatanua mapaja yake akasema please
najua umeelewa please, mhh alitaka nizame uvinza, ila pussy inashawishi aisee,nikakumbuka nima asali kwenye begi, nikachukua nikapaka pale zama kisawasawa alitetema kama kapigwa shoti, nikamleta kwa bed nilipiga ile pussy utelezi kama wote, alikubali show akashukuru
Kila binadamu anao walimu(viumbe) wa asili ambao anazaliwa nao, na wanakua na kazi wengine kukulinda,wengine masuala ya rizki na wengine wanakuotesha kwenye njozi yale yatakayo tokea, wako ambao wanasimama na nyota yako, hawa walimu wapo wa aina nyingi
MWILI UKIWA MCHAFU matokeo yake
Utaanza kuona mambo yako hayaendi
Mipango haikamiliki inaishia njia ni
Ahadi zako nyingi utaona hazina mafanikio zinaghairishwa
Haiba yako inapotea watu wanaweza kukuchukia bila sababu, kauli zako zinakosa nguvu ukiongea utapuuzwa tu kama fala .
si mnajua tena mi mzee wa miti shamba, basi asubuhi tukapeana mawasiliano, kila mtu akasepa zake, kama wiki akanchek kuwa yupo moshi town haondoki dar ananisubiri, kwel alinisubiri kama siku na nusu, nikajilia tena utelezi tukarudi wote dar, mawasiliano yaliendelea
UZI: UKUU WA MWAFRIKA IFAHAMU MIZIMU NA UNDANI WAKE
Kuna watu wakisikia neno mzimu wanaweweseka ila wakisikia neno mtakatifu hapo wanaomba kubarikiwa, wakati hivyo ni kitu kimoja tu tofauti ni majina, wazungu wametufanya vyetu tunaviona vibaya
Nyota yangu asili ya maji , siku yangu ya utawala ni jumanne ,mshumaa mweupe, omba maombi yako mpk mshumaa uishe kabsa kwa kuwa Mimi ni asili ya maji mabaki ya mshumaa nitayaweka katika glass ya maji siku tatu , Fanya hivi kwa marudio majibu ya maswali yako utapata
Nunua Wallet mpya, uwe na noti ya dollar 1 ya Marekani, uwe na Udi wa shivam , kila siku ifukize hiyo dollar kwa udi mmoja kisha weka kwenye wallet yako, fanya kwa siku 14, matokeo utaona kwenye kufungua rizki, mlete feedback
Usipende kutumia njia moja tu mtaani kwako mpk watu wakukariri huyu lazma apite hapa muda fulani, badilisha njia unavyotoka na unavyorudi ziwe tofauti,hii hutofundishwa shule
UZI ELIMIKA : KABURI LA MTU MAARUFU (THE GRAVE OF FAMOUS MAN)
Kifo hakiepukiki hata kama umepewa mamlaka ya kuiongoza dunia, watu wanaweza kukuchukulia poa ukiwa hai ila ukifa wakakupa thamani, mana thamani ya binadamu akiwa hai hupimwa na uwezo wa uchumi,umaarufu,nafasi yake
Hapo hiyo ni kinga ya kujikinga na nguvu hasi lakini ukitaka kusafisha nyota yako(mtima/aura) kila uogapo weka chumvi kidogo kwenye maji kisha ogea Masharti ya kuoga ni siku 7, 14,21
hii haipingani na imani yako kwa kuwa hata kwenye maandiko tunaona chumvi ilivyotumika kutakasa
Nimeangalia kwa juu sana, kama ndugu zake au watu wake wa karibu wangenicheki wakatoa ubani, ningechimba kwa undani kabsa mpka alipo, mpka sasa hawajanicheki
Ukali Wa kifungo cha nyota inategemea na mchawi aliyekuroga, kwenye nyota vifungo vipo 12, ukipigwa hivi ndo wale wanapigwa mikosi mpk wanafilisika au ndo wale mpk hela ya kula tu inampiga chenga yani dunia kwake inakuwa nzito mnoo, huwa wanatengwa na watu wake Wa karibu.......
na huo ndo ukawa mwanzo wa mahusiano yetu, je unajua nini kilifuata, game yetu ya kwanza niliomtoa bk, ilikuaje, tulidumu kwa muda gani na tuliachana vp?????, huu uzi utaendelea part 2
UZI: Jini mahaba 1: Fahamu Mengi kuhusu jini mahaba
Kumekuwa na tungo nyingi sana kuhusu jini mahaba na maelezo mengi sana kuhusu jini huyu na kumeibuka wachawi na waganga wengi wenye kujinadi kuweza kusaidia kutibia ama kutoa jini huyu
lakini pia watu wengi sana wanaropoka tu.
na hawezi kuchukua hela iliyochanika ndo mana mitaani siku hiz huchana hela kwenye ncha, wala hela iliyochakaa sana hachukui mfano angalia video hapo chini pesa zake ni mpya mpya
Elimika kiume, hili suala la nguvu za kiume limekuwa kubwa kwa sasa hasa vijana, ila yapo mengi nyuma ya tatizo hili kuna wengi wanahangaika kutafuta tiba bila mafanikio, soma uzii huu kwa faida yako au mshikaji, hata ndugu yo
Chukua sarafu ya sh500, ipake mafuta ya mvuaza iweke kwenye ndoo ya kuoga yenye maji robo,nenda bafuni kaoge ukimaliza utachukua hiyo sarafu utaenda dukani itumie yote kununua pipi,alafu zile pipi kagawiye watoto wadogo wasio na dhambi umri chini 5 yrs, watoto 7 tu utawapa pipih
UZI: NUKSI, MIKOSI NI NINI, DALILI? CHANZO?
NUKSI-Ni neno la kiarabu ambalo lina maana ya machafuko ,maangamiko,maharibiko. Ambalo kwa kiswahili tuna liita neno hili ni mkosi ambayo ndio maana halisi na sambamba ya msamiati huo.
Mafuta ya mvuto yakukufanya ung’ae uvutie machoni pa watu, kwenye biashara, kwa wateja, kazini, mvuto wa mapenzi mafuta haya yana mapigo na mageuzi mengi karibu dm/ call / Whatsapp 0678252118
ilikuwa miaka fulani nilipojiunga na chuo First year, mi nilichelewa nikakuta maboya washaanza mapindi kama wiki hivi,na hiyo siku niliyofika nilichelewa nikaa nyuma kabsa, sikuongea na mtu yoyote,lakin kwenye kupepesa kwangu macho niliona mtoto mmoja
Last week nilipata mgonjwa toka Nairobi hajui kiswahili kabisa ila tulienda sawa uzuri najua kingereza vzr ila ilinipa moyo jinsi jamaa anavyofatilia humu post zangu na anavyotafuta tafsiri ya mambo nayoandika,imenipa nguvu nisichoke watu wapo hata kama Siwaoni
Leo tuwaguse wanafunzi,wanachuo unakuja kijana anapiga sana msuli na anajiona yupo vzr bila akiingia kwenye mtihani anajikuta anasahau,au wengine wakiwa darasani usingizi mzitoo uwapitia mambo ya masomo yataanza kuwapiga chenga mpk wana drop out,kumbe sio uzembe ni msumari.....
mti ambao hutunika katika matambiko ni kinga kubwa na ufunguo wa mambo yaliyofungwa kichawi hufunguka haraka kwa kutumia mti huu.mti wa utajiri in sifa yake kwani hupandisha Nyota kwa haraka na kukufanya uwe na mvuto wa ajabu kama ni mfanyabiashara utapata wateja wengi
Basi hailati akaniangalia na kunichagua muhuni, nikaenda mbele mafala kama wakaanza kucheka huko, ila hawakujua ukali wangu ukinipa stage 😂 niliwapigisha pindi pale zito mpka muhindi akakubali basi kabla sijamalizia mtt Hailati akapiga sana makofi kama wabunge wetu hawa 😂
Njia zinazotumiwa kupata hizo mali za ndagu
kwanza kabsa mjue hakuna mganga anaeweza kukupa utajiri mana kama pesa zinatengenezwa World Bank huko na zngne zipo mifukoni na kwenye mzunguko , yeye anatoa wapi pesa za kukupa wanachofanya ni kutumia njia za kichawi kuvuta pesa
mzuri sana nywele mpk mgongoni,shombeshombe, kama mwarambu wa pemba hivi, lakn nikajisemea huu mziki sitouweza mana kile chuo watoto wa kishua kibao tu mle class kila mtu ana simu kali, watu wanatupia mno,
kama zali nikaenda kukaa karibu na yule hailati pembeni yake kulia, mtoto kama akaniangalia fulani hivi mimi sikumwangalia nikajifanya kam simuoni,hiyo siku sikuongea nae kabsa, then next day nilichelewa kama kawaida yangu nikakuta nimewekewa chair za left handers
Twitter mapenzi, vijana waja DM na kesi za mapenzi kazi ndogo hizo za kumaliza mwenyewe ukiwa na Mafuta ya mvuaza, pia nakupa na dawa ya kusafisha mwili bure, Fanya nitakayokuelekeza uone kama mapenzi yatakusumbua Niko paleeee
mimi huwa na tabia nikikaa sehemu nawasoma watu walivyo na wanfikiria nini ni ,of coz naweza na ruhani mie, nikaona mabishoo wengi mle kama wanajilenga kwa yule mtoto Hailati jina lake, nikasema hapa kuna competition sasa mimi nitatumia staili ya tofauti na maboya wengne
@HildaNewton21
Kinachohitajika ni kujua kusoma na kuandika katiba inasema hivyo, na uongozi sio taaluma bali ni power ya ushawishi, na sio kuongea sana bali vitendo vinavyoonekana na maarifa binafsi, hiyo elimu ni kama kachumbari tu. Naona una wivu na babu Tale ni riziki yake aliyoandikiwa
mle chuoni kila sehem akipita wanamzungumzia hasa akikaa canteen mabroo wanajipitisha na kujichekesha, niliendelea kumkaushia kam siku tano mle ndani nilikua naongea na demu flani alikuwa si isolated hakuwa mzuri wa kawaida sana ana machunusi kama fenesi usoni
Ofcoz nilimtoa kule ili awe sawa kama wengine ,yupo fine sana now, pamoja napiga sana utelezi hataki kuniachana kani introduce kama mdogo wake kwa famili na marafiki, upweke mbaya sana unawatesa wasimbe wengi................
Wapo wanaotaka damu za watu, wanyama, ndege hutegemea na nguvu zake mfano jini mdogo kabsa kopero wa chuma ulete ndogo yeye huiba hela ndogo ndogo huyu mara nyingi hupewa damu ya kuku usadikika anaweza kuiba laki moja kwa siku
UZI: MAAJABU YA MSHUMAA KUANGAZA NYOTA.
Ukitaka kufanya maombi yako yaende vizuri au kazi zako inabidi utafute mishumaa, unaweza ukaiona mishumaa dukani inauzwa ukachukulia kitu cha kawaida lakini ina mambo mengi mazito na miujiza mikubwa.
na uwezo wa kufanya mambo makubwa nje ya uwezo wa kawaida yupo jini anaitwa Obero bin unyuuki huyu ana uwezo wa kukutungia nyimbo na kufanya nyimbo yako hata iwe mbaya vipi mtu akisikiliza mara ya kwanza ya pili anaanza kuilubali hata uimbe mabata madogo madogo
akaniuliza sasa taarifa za group utazipata vp, nikasema we cr si upo utakuwa unaniambia, binti akacheka,na mi nikatabasamu kihandsome kidogo pale, aksema mhh leo umesmile, nkamwambia mm sio robot nina moyo kama wewe tu😁, hiyo siku ikaisha, kiukweli simu nilikuanayo