Nina mtaji wa sh 10m, Natamani nifanye Biashara moja kati ya..☟
1. Wakala wa kuweka na kutoa pesa( Bank, mitandao ya simu)
2. Famasia na madawa
3. Vifaa vya ujenzi
Biashara ipi italipa zaidi kati ya hizo?🤷🏽♂️💸
Nina mtaji wa million 10, Nataka kufanya biashara moja Kati ya 👇
1. Stationery
2. Vifaa vya ujenzi
3. Ufugaji wa Kuku wa mayai
4. Min supermarket
Biashara ipi Unazani itanilipa zaid💰
Ukimiliki Mjengo unakuwa umetatua Changamoto zako kwa karibu 90%
Mfano haka ni Approx 7m+ ambayo ukiamua kukwepa lunch na bia weekend unakajenga.
Anyway, Kupanga ni kuchagua🤔🐐
Umewai kuhudhuria minada ya Pikipiki ile ya Polisi au misitu..?
Jamaa yangu alinunua pikipiki 5 approx kila moja 500k=2.5m. Akazifanyia service kwa 1.5m kisha kuingiza mzigoni.