Una girlfriend hana kazi yuko broke kinyama na anajipa standards, she can't afford even recharging her own internet bundles but what she offers you ni sex pekee. Achana nae huyo kijana mpambanaji, hizo hela wekeza zitakusaidia sana😁
It would be fair enough kama jamaa atashinda tuzo ya mchezaji bora wa NBC PL msimu wa 2022/23 jamaa ni nguzo ya mafanikio ya Yanga msimu huu. Credits to Mayele and Saido walikuwa na numbers nzuri but performance-wise+consistency aisee Djigui won it all.👏
Bro, kama hujaoa unaruhusiwa kuwa na wanawake wengi tu kadiri unavyoweza.
Kwenye idadi hiyo unaweza pata mke humo.
Hakuna cheating kwa mtu hajaoa huo ni utafutaji.
Camavinga huwa ni overrated, sio mechi ya leo tu na huwa sio mkali kama hadithi zenu humu. How comes anakubali press maeneo hatari, hawezi kudefence🚮🚮🚮
Hii imenitokea serious mimi. Story isiwe ndefu.
Unadate na manzi na mara nyingi huwa anaongozana na rafiki yake (wa kike) kumbe deep down ni mtu na mpenzi wake💀
Tuzo ya "MEMORABLE WAR" ikiwa bado ni ya moto kabisa imekwenda kwa "KIKATUNI vs HERODE". Vita haina maelezo mengi ni just "GOOGLE ME". Hakikisheni inamfikia kaka enu mjuaji hii✊
Umempa hela ya kusuka ndiyo na pia umempendezesha kwa kumnunulia nguo Christmas, fine. Pia umepanga kutoka nae hizo siku kwenda mahali pazuri mkaenjoy. It's fine🤝. Okay look at what she'll offer you kwa gharama zote hizo😂. Unadate ng'ombe master atakupa sex tu alafu basi😂😂
Unaenda sokoni kuna mboga imetoka shamba leo na ya majuzi, wewe kwa akili zako unachagua ya majuzi.
Kiukweli kuoa mwanamke ana 30 years na hajawahi kuolewa ni heri niwe bachelor tu.
No way out this dude haonekani alafu issue inachukuliwa poa na moja ya mtu anahusika(suspect) anajulikana. It pains mtu anakuja kujitapa kwa kufanya dhuluma ya haki ya mwanadanu mwenzie.
#FreeSativa
whereever he is.
Moja ya experience ya hovyo nimekutana nayo miaka ya karibuni ni kudate na mdada ambaye ni askari polisi. Alikuwa poa sana ila kuna muda akawa anajisahau.
Mwanangu ukinialika mazingira ya engagement alafu upige magoti, nasepa muda huohuo tena kwa masikitiko makubwa. Mwanaume ni kiongozi aisee ushawahi ona wapi Kiongozi anampigia magoti mtu anaemuongoza? Acheni ushamba
Yahya Jebrane ametoa somo la mpira pale dimbani. Kila nikiona middle anacheza mpira namba hii nazidi kuamini kuwa hakuna middifielder Mtanzania. Asante🤝
Duka la dada wa mjini:
Kodi ya frame, Alli.
Ukarabati, Hussein.
Interior design, Mahamoud.
Electrical installations, Khaleed.
Bidhaa, Mlevi Shemtoi.
Kwahiyo una demu ana miliki duka unasema uko peke yako? Sawa bro
Unampa attention, anataka hela yako wakati wowote anapojiskia, analalamika sana usipompa hela. Hana msaada mwingine kwako zaidi ya sex tu ambayo bado unagharamia nauli mpaka anakuletea. Dump her! Atafute wenzie huko🚮🚮
Ukishakuwa mwanaume usipende sana kupokea ushauri kwa watu wanajiona wako smart, ishi maisha yako kwa mipango yako. Jiamini washauri wengi ni wa hovyo sana
Kibongobongo ukitaka kutoboa huwezi shika mapenzi na utafutaji kwa wakati mmoja.
Kudate gharama sana wengi wetu hatuziwezi gharama zitakazofanya umkeep mwanamke.
Kipindi unajitafuta ni heri ununue tu ili afya yako ya akili iwe salama. Afya ya mwili ni muhimu zaidi.
Nyomi ya Arusha. Ila Mama Samia ni kiboko. Kawapa ruhusa ya kufanya maandamano yao, wafanye na mikutano yao kadri watakavyo lakini bado hawatishi! Siasa ni akili. Siasa ni hesabu. Mama ni mwanahisabati mzuri. 😀🤛🏾
#HK
#Fighter
#NjeYaBox
#SiasaNiVitendo
Mwanamke unaedate nae ulimkuta anashabikia mpira?
Basi elewa huwa anammiss sana EX wake kila team yake ikicheza.
Ex wake ndiye alimfundisha kushabikia mpira.🤝
Jamaa wamechoka lawama za kuchelewesha mzigo, imewalazimu watumie njia ndefu ili kucover muda then wanaita creativity. Kweli kucheza na akili za Juma na Uledi ni rahisi sana😂😂
Kuna pisi huwa inaniblue tick sana green app huko, sasa imenicheki iko na serious issue (problems). I feel sorry for her maana huwa nalipa ubaya kwa ubaya💔
Yeah wana watatembeza sana banters na sitomind maana najua at the end ni banters tu. Ila situruhusu dharau za vibungo, vibonge, broke whores with fat genes. No hiyo hapana