@TMnyama4_
Huyu jamaa kaandika maisha ya ndoa sio maisha ya madem Ukiona una dem halafu unakaza hvyo jua wahuni wenye muda nae watakuonyesha kazi kwanza ukiwa na madem wengi na yeye anakuwa na wanaume wengi Muhimu ukiwa na dem mpe aman na yeye akupe aman kujifanya una kaza na ww utakaziwa