Ali Kamwe Profile Banner
Ali Kamwe Profile
Ali Kamwe

@AliKamwe

383,989
Followers
98
Following
107
Media
679
Statuses

@Media & Communication Manager of Yanga, Holds CAF Coaching License C

Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@AliKamwe
Ali Kamwe
7 months
Samahani Nilizima tukiwa Hatua ya Makundi kama Makolo, nimezinduka naona @YoungAfricansSC tuko Robo Fainali na wakubwa wenzetu kina Mamelodi Nini kimetokea kwani?
Tweet media one
367
319
5K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
It’s Football.. Hongera Mtani.
978
261
5K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Dickson Job .. Sina kikubwa cha kukupa lakini pokea Asante yangu. Unajua sana.
267
176
5K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
BOSS 🔰
Tweet media one
166
161
4K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
AZIZ MARADONA KI.. KIBOKO YA MADOA SUGU
173
158
4K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
KIUNGO CHUMA… ✅
Tweet media one
132
129
4K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Feisal Salum ni mchezaji halali wa Yanga na ana mkataba hadi kufikia Mei 30, 2024.
768
201
4K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Yanga tumeshavuka Levo za kusajili mchezaji na Kopo la Super Black Pembeni.. Huku ni vijana wa kazi tu✊🔰
380
165
4K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
MAX DAY IMEENDAAA✅👊
Tweet media one
72
149
4K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Walituonyesha Fujo walizojifunza Tunisia.. Tukawaonyesha Boli Tuliyojifunza AVIC TOWN 👊
178
256
4K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Upande Morisson. Upande ……..
328
127
4K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
TO THE GROUP STAGE 🔰
Tweet media one
93
170
4K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Ni Yeyeee…
Tweet media one
80
136
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Dah..
1K
102
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
𝐓𝐔𝐓𝐀𝐇𝐄𝐒𝐇𝐈𝐌𝐈𝐀𝐍𝐀𝐀 ✊
Tweet media one
147
94
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Timj bora uwanjani imepoteza mchezo 👊 We will come Back Stronger Wananchi✅
639
172
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Nyieee😄😄
Tweet media one
398
148
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Kaseke ananidai Afutatu ..😀
189
86
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Mchezaji bora LIGI KUU ya NBC kwa mwaka 2022 ni FISTON KALALA MAYELE. Wala halihitaji Kura, Ni jambo la kutumia Akili tu..
266
128
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Kama sio kazi nzuri ya Sheria Ngoi .. Beki wetu Yao Yao angemaliza mechi kifua wazi Leo😂
Tweet media one
108
131
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Zile Makala za mchongo za kumsifia yule kiungo mwenye vyuma mwilini zimefichwa kabisa Leo 😀 Asante sana Daktari AUCHO👏
345
161
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Kikosi cha Yanga kilichokaa Jukwaani jana Metacha Mnata Kibwana Kibabage Gift Fred Dickson Job Zawadi Mauya Moloko Jonas Mkude Hafiz Konkoni Sure Boy Pacome
145
181
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Endelea kupumzika kwa amani Binti yangu Tiffah.. Ushindi wa Leo ni zawadi yako binti yangu kipenzi💚
159
139
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
ZIDANE MTUPU 🧠
Tweet media one
102
137
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
SANAMU LA ALIYETENGENEZA JEZI NYEUSI ZA YANGA LIJENGWE WAPI ?😀 Tumeanza kupokea Maoni…
223
88
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
3 years
Yanga na Simba wasipokuwa makini huko Morocco wanaweza kurudi na Makipa tu 😀
185
101
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Kwahiyo ni kweli wametukimbia 😂
173
103
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Kuna timu ile nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu wanakaa kama Status za WhatsApp..😀
221
127
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Kocha Bora wa October Akosa kazi November 😂🙌 Tabuleleeee… Laaaaaaah✋🏿
174
211
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
🚨KOCHA wa Simba Zoran Maki ameshauri mchezaji Nassoro Kapama atolewe kwa mkopo kwa kuwa hayuko kwenye mipango yake Kapama alisajiliwa na Simba miezi miwili iliyopita akitokea Kagera Sugar
222
63
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Ukitaka kuamini Uimara wa Yanga kwenye Digital Platform ulivyo hivi sasa.. Tumefungwa lakini Tunatrend Sisi tu 👊 Imagine Tungeshinda..
504
119
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
102
116
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
MATAJI YAENDELEE 🏆
Tweet media one
53
74
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
6 months
Yanga Vs Malelodi Sundowns.. Mechi Kubwa zaidi Barani Afrika kwenye Hatua ya Robo Fainali. DaimaMbele Nyuma Mwiko🔰✊
239
188
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Mashabiki wa @YoungAfricansSC tutakaoingia Mkwakwani kesho, Tunaombwa ikifika DAKIKA YA 5 kwenye mchezo wetu Vs Coastal Union Tusimame wote na kuinua mkono mmoja juu tukionyesha ishara ya vidole vitano 🖐🏾 Hii ni kwa ajili ya kuwapongeza Wachezaji wetu kwa kazi nzuri waliyoifanya
120
247
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Kesho, Makao Makuu ya Klabu ya Yanga, Jangwani Dar Es Salaam mchezo wa Yanga utaonyeshwa LIVE KWENYE BIG SCREEN. Shabiki/Mwanachama wa Yanga unakaribishwa kutazama pamoja Timu yako na Wananchi wenzako. ✊🔰
104
131
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
6 months
Timu tunazoweza kukutana nazo Robo Fainali ya CAF CHAMPIONS LEAGUE 1: Mamelodi Sundowns 2: Asec Mimosas 3: Petro de Luanda Mechi ya kwanza ya Nyumbani itachezwa kati ya Machi 29-31. @YoungAfricansSC Tuko Tayari 🔰✊
196
151
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Wangapi wanataka kumuona huyu Mwamba akiimba live pale Benjamin Mkapa Stadium, Rais Eng @Caamil8 Anasoma Comment zenu.
279
303
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
5 months
KIGOMA MWISHO WA UMBEA ..😀
212
224
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Hivi hawa wadada wa kwenye Ndege namba zao za simu huwa mnaombaje.. Mwenye uzoefu Tafadhali
184
74
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Yamebaki masaa machache Tusikie Tena “HAKUNA KOCHA HUMO” 😀
239
69
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Yaani sasa hivi Yanga Tukiona wingu tu Tunamkumbuka My wetu ..🤩
123
182
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Naipenda Yanga kuliko ……
152
68
3K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 .. 𝐖𝐚𝐰𝐚𝐤𝐢𝐥𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐩𝐞𝐤𝐞𝐞 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐚 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐧𝐚 𝐀𝐟𝐫𝐢𝐤𝐚 𝐌𝐚𝐬𝐡𝐚𝐫𝐢𝐤𝐢 𝐧𝐚 𝐊𝐚𝐭𝐢 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐢𝐜𝐡𝐮𝐚𝐧𝐨 𝐲𝐚 𝐂𝐀𝐅 Inaandikwa hivyo ndugu zangu Waandishi wa Habari 😀👊
230
159
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Tofauti ni kwamba.. Wachezaji wa @yangasc wakikaa Benchi wanaongeza bidii ya kufanya mazoezi, Timu nyingine wakikaa Benchi wanageuka waganga wa kienyeji 😄
Tweet media one
167
96
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Haka kamoja kamewauma kuliko zile Tano 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
110
150
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Ya kwanza imekwisha .. Bado pointi 15 mbele za kutafuta✊ Desemba 2 ishakuwa Mechi ya Jasho na Damu👊 Karibu Dar Es Salaam Al Ahly
341
122
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
FAINALI INAPANGWA TIMU NYINGINE..🔰👊
95
85
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
5 months
Nimemuomba Rais wa Yanga @Caamil8 Kwenye Kilele cha Wiki ya Wananchi kuufungua Msimu wa 2024/25 Apambane Atuletee Mamelodi Sundowns Sisi na Wao Bado Hatujamalizana..
198
152
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Msiseme Tumewashtukiza .. Leo Tutavaa 𝐉𝐄𝐙𝐈 𝐍𝐘𝐄𝐔𝐒𝐈 👊✅
399
123
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
3 years
"Babra alimpigia simu Diamond na kumwambia mtu pekee anayetakiwa kutajwa kwenye wimbo wa Simba ni MO peke yake. Diamond alikataa akawaambia njooni mchukue hela yenu, msinipangie kazi" Haji Manara
153
93
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
4 months
Hivi huyu Baba ameenda kuuguza Mgonjwa Au Amekimbia Wagonjwa?😁
Tweet media one
154
128
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
5 months
Mvua Imeanza sasa .. Wazee wa Yanga waheshimiwe 😂🙌
85
127
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Mtu kacheza dakika 18 tu Tayari anaongoza Ligi ..😂
Tweet media one
120
79
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Wananchi mliotuma maombi juu ya kuwekwa Bango la 5G pale UWANJA WA NDEGE ‘Airport’ Tumewasikia.. Tunalifanyia kazi..🖐🏾
111
100
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
YANGA IHESHIMIWE..
128
179
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Rais wa Yanga Eng Hersi Said amenunua chapati 5000 kwa Mashabiki wote wa Yanga watakaokuja Jangwani kunywa supu leo Happy Supu Day Wananchi 🥣😋
67
111
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Ukitaka kujua Tofauti ya Bonge la Kocha na Kocha Bonge, subiri wakati wa kufanya ‘Sub’ 😂 Yanga Tuna Bonge la Kocha.. ✅
126
85
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
3 years
Simba ni Ileile.. kilichopungua ni Kelele tu.
117
103
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
MANCHESTER IS 𝐑𝐄𝐃 🔴
97
55
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Tatizo hawa watu weupe uwanjani wametufanya tuhisi kama bado tuko Tunisia ..
151
106
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Au tuwe tunakunywa supu Huku tunaangalia Highlights? Tabuleleeeee......
Tweet media one
88
98
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Kama shabiki wa Yanga, ni tukio gani la timu yetu lilikupa furaha zaidi kwa mwaka 2022?
500
82
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
3 years
🚨METACHA MNATA Atangaza KUVUNJA MKATABA na wakala wake, Jemedary Said ..
Tweet media one
106
42
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Air Tanzania.. Flight TC114.. Dar Es Salaam To Dodoma, Saa 10:30 Asubuhi.. Dada uliyekuwa mhudumu kwenye hii ndege kama hujaolewa Tafadhali Nitafute.. Huu mwaka ndugu zangu wale Ubwabwa.
212
68
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
VICE PRESIDENT @Arafat__AH 6️⃣✅
Tweet media one
34
48
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
3 years
Naamini kinachomuumiza shabiki wa Simba usiku wa Leo sio kufungwa na Yanga.. Bali ni PERFOMANCE ya timu yake.. Hasa ukiwaza mechi za Ligi ya Mabingwa.
133
79
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
7 months
Baada ya majadiliano ya muda mrefu na Rais Eng Hersi Said, Leo mdhamini na Mfadhili wa @YoungAfricansSC GHALIB SAID MOHAMMED ‘GSM’ AMEKUBALI KUJENGA UWANJA WA KISASA WA YANGA, Makao Makuu ya Klabu, Jangwani 🏟️ Wananchi Leo Sokoine wimbo ni mmoja Tu .. GSM GSM GSM 🤩
115
182
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Tujiandae na Parade Wananchi ..🏆
163
121
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
MVP msimu 2021/22: Yanick Bangala [YANGA]✅ MVP wa Msimu 2022/23: Fiston Mayele [YANGA]✅ Quality Quality..
85
149
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Kiingilio 20K mzunguko? Safi kabisa … Tukutane Mkwakwani Wananchi👊
67
61
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
BADO MECHI 1 tu @yangasc Tuwe "THE INVINCIBLES” kama @Arsenal 🔰
95
76
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Yule kipa wao mazoezini huwa wanamrushia Ukwaju adake nini 😂
117
71
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Na utaratibu ni uleule Mkwakwani.. Kama huna kadi ya VVIP mwache mtoto wako nyumbani😃
85
87
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
3 years
🚨GWIJI WA REAL MADRID, RAUL GONZALEZ ni miongoni mwa makocha waliotuma CV ya kuomba kuifundisha AZAM FC RAUL kwa sasa anaifundisha Timu ya vijana ya Real Madrid U 23.
Tweet media one
167
48
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Trust The Process..👊
137
100
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Kwahiyo ule msemo wa “𝐓𝐢𝐦𝐮 𝐊𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐳𝐨𝐭𝐞 𝐡𝐮𝐰𝐚 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐚𝐧𝐳𝐢𝐚 𝐮𝐠𝐞𝐧𝐢𝐧𝐢” si bado uko palepale .. Au kuna Mabadiliko kidogo 😃
266
122
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Tweet media one
56
84
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Kwa wengine kesho ni Jumatano.. Kwetu ni Jioni ya Burudani pale Azam Complex 🤩👊
Tweet media one
44
81
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Wakishinda kama wamefungwa, wakifungwa kama wamefungwa.. Kolo Bin Ndonga 😀 Unbeaten 1
269
76
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Kennedy Musonda kama winga kwenye Caf Confederation msimu uliopita .. Mabao 3️⃣ Assist 6️⃣ Nb: Wananchi Tujiandae na Parade 😃
85
79
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Kitu muhimu cha kuzingatia unaponunua Jezi ya Mlimani..😂😂😂
Tweet media one
306
120
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
11 months
Nitulie sasa nisikilize Uchambuzi..😀
156
64
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
YANGA BINGWAA🏆
65
102
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
9 months
Mechi yetu ya NBC Premier League vs Tabora United itachezwa kwenye uwanja wa Jamhuri, Dodoma siku ya Jumamosi Dec 23,2023. Tukutane Dodoma Wananchi 🔰✊
39
98
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Kama Mtu katoka Dubai kapigwa Tobo namna ile… Sisi wa Kyela sijui itakuaje 😀
143
94
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
3rd June vs USM Algier (Algiers,Algeria) 6th June - vs Mbeya City.(Mbeya) 9th June - Match day vs Tz Prisons (Mbeya) 12th June. - ASFC Final vs Azam (Tanga) . Siku 10 . Mechi 4 Fainali 2 . Miji 3. Mungu Atusaidie Wananchi Tutimize malengo yetu In Shaa Allah ✅
383
119
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Ndani ya Uwanja mpya pale Kaunda kutakuwa na Hotel na Ukumbi.. Sasa Nimepata wazo, Kuliko Nioe sasa hivi Niwachangishe, Mnaonaje Tunasubiri uwanja ukamilike Tupate Ukumbi wa Bure?😀 Maoni yenu Wananchi..
Tweet media one
141
57
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Katika pasi sahihi 349 Yanga walizozipiga kwenye mchezo dhidi ya Monastir, Pasi 209 walizipiga wakiwa kwenye Nusu ya Mpinzani. YANGALONA 🙌
74
86
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Injini ya soka..👊
Tweet media one
42
51
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
3 years
"Sio lazima Kiduku apigane na mimi. Nataka nini kwake? Mimi nataka nikapigane sehemu nakwenda kwa VISA sio na Mabasi. Hii ni biashara yangu. Kila mtu ashike njia yake" Hassan Mwakiyo
Tweet media one
207
86
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
5 months
Sisi Yanga tunaiheshimu sana Simba .. Ni Timu Tishio kweli.. Hata yule Jobe huwa Tunamuona kama Halaand… Ni vile tu habani Nywele Mechi Ngumu sana👴🏾
108
111
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
10 months
Popote mtakapokuwa mkiifatilia mechi ya @YoungAfricansSC Vs Coastal Union ikifika 𝐃𝐚𝐤𝐢𝐤𝐚 𝐲𝐚 𝟓, jirekodi mkiwa mmesimama na mmeweka mkono mmoja juu ukiwa na ishara ya 🖐🏽 Kisha Tutumie Video hiyo kwa namba hii +255 788 522 084.. Ni Whatsapp Pekee Tabulelele.. Laaaah🤩
61
157
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Sasa anakiri kuwa walikuwa hawaelewani Lugha.. Sasa yeye alijuaje kama Mwamba kamwambia anafata Condom halafu atarudi..?
173
61
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Utaratibu kuhusu WACHAMBUZI wanaotakiwa kusafiri kwenda Algeria anausimamia HAJI MANARA .. Naomba mpigieni yeye kwa maelekezo zaidi 😀
253
85
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
9 months
Huko Chamazi zikifika 5 kesho Bango tena 🖐🏾😀
89
90
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Azam FC huwa wanafurahi mara chache ndani ya msimu na wakifurahi huwa wanafurahi kweli😀 Yanga tulijuta walipopata sare na sisi.. Tuwavumilie tu.
74
62
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
1 year
Klabu ikitwaa Makombe Matatu ya Mashindano matatu Tofauti yanaitwa TREBLE .. Je, Klabu ikibeba Kombe Moja mara 3 Mfululizo kitaalamu inaitwaje? Tusaidiane mapema Kesho iwe ni Utekelezaji Tu😃
154
63
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
2 years
Wauza ukwaju msijizime data.. Majibu yetu ya AKAMINKO na KIPRE vipi? 😀
107
50
2K
@AliKamwe
Ali Kamwe
6 months
Ndio Nimejua Leo .. Tukimla mtu 5 kumbe Makolo wanaona Wivu kweli .. Yaani Wanaumia mno 😀 Kweli Viko vya kushea sio …………..😀🙌
75
89
2K