@ManUtd
Every training picture posted by each club with Argentina player for national duty call up, alongside there Messi😂😂. Is it a coincidence??😎 No, they’re Messi’s die hard fans too.
Timu yenye uwekezaji wa 20B inahaha hivi kwa mkapa? Mnaijua 20 BILLION lakini? Embu tuwe serious basi,
@HKigwangalla
tuendelee na hoja za uwekazaji pale
@SimbaSCTanzania
, kuna kitu hakipo sawa🙇
@Roma_Mkatoliki
@naythetrueboy
Kuliko kuendelea kuwapa pesa hawa marafiki zake na P.Diddy wanaojari matumbo yao bora tuelekeze nguvu kwa mwanetu wa kitaa!🫡
@Roma_Mkatoliki
Wakazi Last card: Mimi ni BILINGUAL MASTER, nina Green card Ya USA 🇺🇸, I hang out with your favorite rappers in USA, anakuwekea picha ya 90’s yupo na P.diddy😂😂🙌🏻. Wajob bhn
Polisi katavi si wamesema wanachunguza waliomteka mwana? So kutokana na maelezo ya mwana inabidi waje kuwakamata polisi wa OysterBay ama?🧐
Aah only in Tanzania 😂😂🙌🏻🙌🏻
Tafsiri ya kisa cha zuchu kutupiwa makopo kutoka kwa shuhuda:
“Tena kanakuja uchi uchi na nguo za huko kwa wapumbavu, halafu kanasema fulani mitano tena, mitano ya mama yake labda. Mitano ya nani, kampeni wafanyie kwao huko sisi kwetu hatutakii”
🙌🏻🤣
@MickyJnr__
Every departing coach says the same story, if they really wish to see our clubs rejuvenate its competitive spirit let them be straight to mention these guys with so much power.! That will be so helpful than these repetitive stories.
@FKihamu
Yawezekana performance ya simba ilikuwa inadepend kwenye this beautiful face😂. Akina bokko walikuwa wanajituma ili waendelee kuona tabasamu hili kambini😂. Mnakumbuka story za yule doctor wa chelsea mwanamama yule alivoondoka tu team ilikuwa na lundo la injury mpaka tukawa
kwenye taaluma yangu lazima niongezee course mojawapo ya IT haswa kwenye mambo ya coding na system development baada ya kumalizana na issue chache za finance that I am currently pursuing. Yeah I’m so excited, can’t wait for this..🔥.
Any recommendation/Input kutoka kwa mliopo
Hii picha inatia huzuni ukiiangalia lakini ukikumbuka alikuwa anarusha bomu ili awaadhibu watu wa tabaka la chini unabaki kusema Kazi ya Bwana haina makosa🙏
Angepatwa na hii hali wakati anawapambania wananchi, moyo wake ungejaa amani kuliko maumivu✌️
Wanangu tunaoishi chini ya Dollar 💵 1 tusichoke kupambana. Siku nyingine fursa nyingine ya KUFOSI! Tutafika nchi ya ahadi tu kwa uwezo wake Mola🙏🤲
Good morning 🌞☀️
@millardayo
Ukifikiria kiundani kabisa, hawa jamaa hawakai gerezani! Ni kama tumezugwa kinamna hivi. Imagine wakasema wamefungwa kwenye jela za kijeshi, nani ataenda kuhakikisha?😅
Baba yetu wa mbinguni,Amen
Jina lako litukuzwe,Amen
Utakalo lifanyike,Amen
Utupe leo riziki zetu,Amen
Utusamehe makosa yetu,Amen
Kama tunavyowasamehe waliotukosea,Amen.
Good morning Wapwa!🌞
@rollymsouth
Kama ambavyo unaamini Mungu yupo bila kumuona, the same here bro Go CAST YOUR VOTE! Kuna kikomo cha kuiba wakuu! Hawawezi kuiba zotee! NEVER
Sema watumiaji wa X Bio zenu zinaonesha wote mmejipata!😂 sasa hao majobless ni akina nani? Wadanganji ni akina nani? Unapokea 20K ya kusukuma reli wakati kwenye bio unasema ni CEO😂😂
@Roma_Mkatoliki
@naythetrueboy
Nay anachotupatia mashabiki vs Return tunayompatia! Inaumiza sana aiseh,. Ni idea nzuri coz jamaa since day one hajawahi acha kukemea maovu regardless ina mcost kiasi gani.
Repost na likes hazimuinui, let’s go extra mile folks!🫡
@bvrbvra
Sijaelewa hata umemaanisha nini lakini katika hili nasimama nawewe, japo hili lenyewe sijui ni lipi haswa ila tupo pamoja mpaka urudi unyamani. Ni hayo tu Madam CEO
Ukiingalia BREAKING BAD vizuri ndo utajua kuwa kuna namna wasure wanajirisk maisha yao ilimradi familia ikae sawa hata kama hiyo risk itamcost maisha yake! Mungu awasimamie wazee hawa🙏
@MarekaMalili
@ClatousCC
You’re not crying, we’re crying!
Nuff respect 🫡 maestro!
Keep doing what you’ve been doing!
Kwa mara ya kwanza nitashabikia mchezaji akiwa uto😬
@ComradeKawaida
@abdulnondo2
Mshawahi kusikia ule msemo polisi anajidai anakuongelesha kiingereza anakuambia “ I am not your friend, my friend “😂. Kakukataa wewe sio rafiki yake lkn anamaliza statement kwa kukuita rafiki yangu.😂😂.
Ndo anachofanya comrade NORMAL, haitaki X lakini updates zake anapost X.
@IAMartin_
@Sativa255
Vyombo vya habari vimekataa kuripoti kupotea kwa mwana, alivyopatikana imajini wamefunga safari mpaka katavi kumfanyia interview mtu ambaye yupo kwenye critical condition ilihali walikataa kuripoti kupotea kwake!
Hii imenionesha kuwa media nazo ni kama akina mporipori na
ukiambiwa pesa ngumu hutaki kuamini haya kuna challenge ya kumwag uno tu kadri uwezavyo upate 1M chapchap, ajabu uno gumu kama nondo ata ukijitahidi kulizungusha bado wana wanalikataa, hawatoi likes ilimradi uone thamani ya pesa yani😂
#SerebukaDanceChallenge
@rollymsouth