Jessie J🌺 Profile Banner
Jessie J🌺 Profile
Jessie J🌺

@Mrs_Pappi

10,018
Followers
5,285
Following
2,364
Media
59,043
Statuses

Land Officer & Consultant|| Real Estate Agent || Valuation Surveyor II Digital Marketing and Branding || Muuza Vifuniko Vya Asali 👙 Fan @YoungAfricansSC 💚💛

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
13 days
Amka Kijana💥 Kama unaweza kusave hadi 200,000 kwa mwezi basi bora uwekeze kwenye viwanja =BAGAMOYO ~MAKURUNGE 125000 =KGM-BUYUMI unalipa 270,000 =KGm - KIMBIJI unalipa 337,500 Viwanja vinapanda thamani daily😘 Pia Tuna miradi CHEKA, MWONGO, na DODOMA 0745124138
Tweet media one
9
60
104
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 month
Kodi ya jengo imepanda kutoka 1500 mpaka 2000 kwenye LUKU 😂😂😂 yajayo yanafurahisha
164
159
1K
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Happiest Birthday To Me💕
Tweet media one
155
82
1K
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
6 months
Happiest Birthday to Me🎉🎉🎉🎊🥰 #zawadinapokea 😋😋
Tweet media one
237
165
1K
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 month
Mungu akuzidishie zaidi kwa moyo wako wa kujitoa @IAMartin_ 🫡🫡🫡
Tweet media one
7
68
816
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 months
Majina ya watoto wa siku hizi😂😂 -Amayra -Amara -Ayyana -Jaydan -Jaden -Junior -Liam, Lionel (lee) -cookie -pinkie -kay 😂😂😂😂ongeza mengine
212
64
812
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
8 months
Makonda wa daladala wamepata upenyo wa kupandisha nauli kiholela duh 😂😂 600 mwisho mwenge kutokea makumbusho 😂😂leo imezuka tafrani mtu makongo amekatwa 700,bondeni 700 akaanzaugomvi mm nkatoa tu simu nkamuoneasha kilometa na muongozo wa LATRA chini ya km 15 😂 akarudisha
87
61
806
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Muuza Vifunuko vya Asali😎
Tweet media one
98
43
586
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
Wateja wa mikoani mmensusa 😭😭week ya pili hii sijatuma mzigo nje ya dar😭 Msinifanyie hivyo Mzigo upo Toa oda mapema 💥 0745124138
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
106
92
583
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Ila Azam Tv wanaupendeleo sana mbona Simba Day hawaitangazi sana kama walivyokua watangaza Yanga Day kila after vidakika Wananchiiiiiiiiiiiii muda wote🤣🤣😂
67
23
537
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Jumanne Tulivu ila niko na uvivu sijiskii kufanya kazi🥲😀
Tweet media one
40
31
495
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Nishachoka kuwa JOBLESS…Nianzie Wapi Kusambaza CV?
Tweet media one
85
32
481
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Fav🌚
Tweet media one
@EvaraChris
Chris Evara 👑
1 year
Quote this with a picture of you & your favorite thing
10
0
51
60
25
477
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Jina zuri la kumuita mteja ni lipi ili ashawishike kununua ukiachana na Dear🤓?
96
23
475
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
Tweet media one
49
34
453
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Frame 1 or 2😎🤓
Tweet media one
Tweet media two
61
33
442
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
6 months
Biashara ya uwakala mtaji bei gani?
38
43
441
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
5 months
Nini chanzo cha pornstars kwa kike kujiua???
76
26
434
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 months
Dada Muuza Viwanjaaaaaaaa Karibuni Viwanja Anza na Laki tu💥💥💥💥 #Monday
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
47
81
405
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Wadada tupunguze kutembea uchi huko mitaani , kuna maza mmoja tumemuona huko mabibo mchana saa sana kavaa kiboxer na tshirt tu watu wote wanamshangaaa🥲🥲wanaume hawapendi hvyo au mnapenda?? Ety wababa🤣
52
22
395
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
3 months
Rasmi nmehamia Man City 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥timu sio ukooo
83
33
396
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
Vijana tukumbume kununua viwanja👏
43
30
358
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Mje mniungishe jamani😋😋 Vifuniko vipo Week imekua kimya sana🥲🥲 Please Please
Tweet media one
27
24
356
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
6 months
Nmepita kariakoo leo nkasikia vijana wanaonesha ni watumiaji sana wa twitter though sikuwatambua wanapiga story jinsi humu ndani watu wanatafunana sana tena kwa mifano😂😂😂 ety yule flani na flani wamekulana mara ohh fulani alivyomla flani hakurudia tena ila humu😂😂😂😂
66
29
362
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
5 months
Naona mada zinarise kuchangamsha genge au kuchoshana tu unataka mwanaume akuhudumie na ulienae hakuhudumii achana nae tafuta anaehudumia😅 Mkaka una demu anataka huduma na ww huwezi muhudumia achana nae tafuta anaejihudumia 😂 au kila mtu abaki na nono yake mahusiano si lazima😀
59
53
353
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
5 months
Kitu gani kinakuvutia sana kwenye mwili wa mpenzi wako?
96
22
349
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Throw Back-2017😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
74
20
335
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
5 months
Tweet media one
Tweet media two
31
58
338
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
6 months
Hv gari ya 2M napata kweli??????? Mvua sio powa
97
36
334
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
10 months
Guys nmeshukuru kusafiri na kufika nyumbani salama ila hali nilioikuta 😭😭Mama yangu anaumwa sana hapa sielewi chakufanya nalia tu hadi kichwa kimeanza niuma …Naombeni sana mnisaidie kuomba Mungu amrudishie afya Naombeni Sana🙏🙏😭
97
70
332
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Mwarabu Wa Ileje😂🥰 The Face The Hair
Tweet media one
Tweet media two
66
42
330
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 month
Kipindi cha uchaguzi Kenya nilkuaga namuombea Ruto ashinds😭 alikua anaonekana Hustler na anajua magumu ya wananchi ili afanye mabadiliko kumbe keh😭😭
37
16
335
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
6 months
😂😂😂😂😂😂😂😂ila watu “Ety umenyoa na hajaja😂😂haya endelea kujikuna””😂😂😂😂😂
57
31
312
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
10 months
#KiDay 1 or 2 Kwa hisani ya Mshua😅
Tweet media one
Tweet media two
47
39
312
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
The Flag The Girl🥱
Tweet media one
Tweet media two
20
39
287
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
A very Good Season 2022-2023💚💛💚💛 Thank You @yangasc1935 im proud💚💛 #AProudMwananchi 😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
44
294
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
8 months
Wako tu wawili chumbani sasa nan alikua anarekodi?
39
14
289
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Wanawake wengi kuliko wanaume …..we mkaka nini kinakufanya uwe single?😂 Mm mkaka akiniambia yuko single sijui namuonaje 😂😂unakuaje single yaani eti?
58
10
284
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Throwback 2021- —-My Last Dissertation Presentation 😃😃😃😃nilivaa kiheshima balaaa nkajua hapa watanipa maua yangu A au B+ sikosi😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
51
32
288
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Komwe Gang 🫡 Kijukuu cha Mtume😋😛
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
38
31
282
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
A Friend of Wydad Casablanca😂😂😂😅 @WydadDeCasa 💚💛💚💛💛💛 @yangasc1935
Tweet media one
Tweet media two
57
26
277
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
3 months
Nani unamu admire humu ndani??? Awe wa jinsia tofauti Chapa handle yake halafu kimbia naanza mimi😅😅😅 😀😀
113
25
279
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Afsa Afsa😝😝 #Throwback Frame 1. Or Frame 2.
Tweet media one
Tweet media two
50
21
272
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
4 months
First love wako alikua anaitwa nani????
105
24
266
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
10 months
Mmoja anapokea 500k anakaa kwao Mwingine 500k anajitegemea😂 anaekaa kwako bajeti yake ni kununua nguo na kula bata , anaejitegemea kodi, kula, kuvaa kila ktu …huyu anaejitegemea anaiga kwa mwenzie akiishiwa anaanza tia huruma kukopa kopa ..mwenzie akiishiwa anapewa nyumbani 😂
13
33
265
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Mapenzi ya kweli yapo, wewe ndo hupendwi
53
32
258
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Ila Humu😀Mtu anakuja DM kuomba aninunulie kifuniko chagua, uje ukiwa umevaa nione ilvyokuaa nilipie😀wengine tuma pcha nione ilivyokukaa hapo hata kuilipia hajailipia🙌 sijaomba mtu aninunulie wala huo muda wa kuprove nmevaa au sijavaa sina😝😝huna wa kumnunulia tulia😂
77
24
243
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
9 months
Mvua ya leo duh😓
Tweet media one
Tweet media two
@Neypaul01
Neypaul🤎
9 months
Unavaaje kukiwa na hali ya baridi?
Tweet media one
163
136
2K
34
20
245
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 months
Muuza Viwanja
Tweet media one
Tweet media two
32
52
258
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
9 months
Kuna watu wananiblock kisa tu nauza chupi😭 kuna mmoja aliniambia post chochote ntarepost ila hawezi repost post za chupi…😭 watu wanatoka na hii biashara ya chupi maduka makubwa sinza makumbusho kariakoo…kununua chupi si jambo la aibu ni Kujihifadhi kama nguo nyingine
59
59
245
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
9 months
Wagwan👍🤣
Tweet media one
29
34
241
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
Niko hapa bonanza Any one ambae yupo jamani???? 0745124138
16
12
238
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Wanaume wa humu Twitter leo nawapa maua yenu🌸🌺💐🌷🌼🌸🌺🌷🌼🌻🌻🥀🪷Vifuniko vinatembea balaa wateja wangu 99%Wanaume …mje na leo dukani nmewamiss😍😍🥰
22
28
238
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
Kwa changamoto zozote kuhusu Ardhi Nahusika na *Uuzaji wa Viwanja vilivyopimwa *Upimaji na ufufuaji wa Mipaka *Utoaji wa HATI MILIKI *Vibali vya ujenzi *Uthamini Miradi ipo Kigamboni (Normal +beach side plots), Nala-Dodoma, Bagamoyo (zinga &kerege) Wsp+calls: 0745124138
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
89
233
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
The Flag The Face
Tweet media one
Tweet media two
14
21
236
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Nimeachwa😭😭😭😪
130
12
232
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
10 months
Good Morning guys Hali ya mama bado sio nzuri nawaombeni tu yyt atakaeguswa basi aombe na kutamka neno la Uponyaji juu yake 🙏 Tumuombe Mungu kwa ajili yake na wagonjwa wengine hakika Kwa umoja wetu Mungu atatusikia Tumsaidie kurudisha afya na tabasamu lake km kwenye hii picha🙏
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
11 months
Nitafute ka muda niende Moro sasa nmemmiss sana Mama yangu🥲🥲🥲🥲😍😍😍 na kalast born ketu😍😍😭😭
Tweet media one
Tweet media two
31
16
133
74
47
234
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
7 months
Kuna mtu humu duh posts zake zinaonesha ametendwa mno na mapenzi😢😢pole sana ndugu kuexpress your feelings ni njia nzuri ya kuheal🙏 Mungu ni mwema utakua sawa
30
30
235
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Just Be Yourself There is No One Better🌚 @Mrs_Pappi ❤️
Tweet media one
18
21
228
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
5 months
Nani anakuinspire sana humu ndani??
94
29
232
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
Tweet media one
28
26
222
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Hizi mvua zinanifanya nikose wateja jamani😢😢😢 Sasa itakuaje?? Mje mniungishe vifuniko ndugu yetu😎
Tweet media one
Tweet media two
38
29
223
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
3 months
Umemiss kitu gani kutoka kwa Ex wako? Je watamani kurudiana nae?
43
20
228
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
8 months
Mafuta yameshuka nauli zimepanda 😂
31
34
221
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Zimerudi tena😋😋Full Maunyama🌚😋 Material :Cotton 100% 6000 tu Moja Kuanzia 6 unapata 1 kwa 5000 Wahi kutoa orders uzipate✅ Delivery ipo na kwa wanaowanunulia baby zao unapata huduma ya kumsuprise baby wako popote alipo Chagua! lipia!Toa namba na location 0745-124138 Plz rt
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
39
69
218
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
7 months
Tweet media one
Tweet media two
@DaveRaphaels
David Raphaels
7 months
Suit thread anyone?
49
10
89
27
35
212
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
10 months
Leo kwenye kupangua makabati home nmekitana na diary yangu ya Olevel😂😂mahangaiko yalikua mengi duh😂😂😂 sahv nasoma nacheka😂 hizi hela za Sticker si bora nngekulaga kachori😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
61
29
209
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Hiiiii ni Yanga Bhnaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛🧡💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Tweet media one
23
30
204
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
3 months
Ila nyie mapenzi yaacheni tu kama yalivyo 😂😂 kuna kijana unajikuta unampenda tu yaani ile upendo wa dhati mtagombana weeh ila ukikaaa ukiwaza ni yeye tu Unaweza jiapia hii last time sitojihusisha nae tena ila unajikuta you still care hutaki kibaya kimkute au basi😂😂
32
21
205
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
8 months
Leo nmeng’atwa na mdudu maumivu sasa🙌🙌🙌🙌😭hadi nashindwa tembea
56
20
201
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
9 months
Tweet media one
Tweet media two
@unique_asmer
asmer de unique
9 months
U hair thread..☺️ tuone wako
Tweet media one
12
8
99
38
24
204
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Me na My Friend @Nusrah_Mfikilwa Tunawatakia Jumapili Njema 🥰🥰🥰🥰Wakienyeji
Tweet media one
Tweet media two
30
14
204
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
18 days
Leo najiskia vibaya kichizi😢 Mafua , kichwa kinauma, tumbo dah yaan mwili wote unaniuma jmn na kesho jtatu dah😭 naogopa sana kuumwa
51
23
204
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
MwanamkeWaShokaKwenye #KitchenPartyGala2023 WanawakeKwenyeMapinduziYaKiuchumi👏 It was a great Day
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
25
196
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
26 days
36💥
Tweet media one
@Iameniolamyde
DemiLade
29 days
20yrs - 45yrs old , bless us with your picture/video. Let’s see you and appreciate God’s creatures.
449
137
869
31
18
199
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 months
Mara nyingi nikiwa natoa nguo zangu kufua nakutaka hela 10k,9k,7k😂😂😂nakua hata sikumbuki niliibakiza lini Sahivi nmefika geto nmeshusha majeans kabatini moja lina mFote (40,000/=)😂😂😂nkawaza hii itakua hata nilihisigi nmeipoteza nkaumia maana hata sikumbuki nmefurah😂😂
38
21
196
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Niungisheni jamani mnataka nidange🥲
Tweet media one
32
24
193
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
Buy for your beloved ones Moja 6000 Kuanzia 6 Unapata kwa 5000 Karibuni Huduma ya delivery ipo 0745124138
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
35
46
190
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
10 months
Slow Internet Umeme hamna Maji hamna Haya☹️
46
30
193
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Mkujee
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
32
36
190
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Nna miaka 35 🥲🥲atanioa nani🥲🥲🥲🥲
107
20
188
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
11 months
Kama waja Dm njoo tu na swaga nyingine aisee hizi habari za ‘nmevutiwa na upambanaji wako ,napenda mwanamke mpambanaji’ sizitaki😂😂😂😂😂mm sio mandonga aiseeee mm mwenyew babygirl
69
24
189
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
8 months
Hivi mtu unamdai tangu February akawa amekublock … imepita miezi unamchek kwa namba nyingine kumkumbushia deni anakujibu dharau na matusi … hapo unachukua hatua gani?!
65
27
189
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Wateja wa mikoani Mmenitupa sana nimemiss kupost tickets za Mizigo Humu😍 Haya mliokosaga hizo zimerudi kali mno Reja 6000 Jumla 5000 kuanzia 6 0745-124138 Karibuni sana🥰
Tweet media one
Tweet media two
33
44
191
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Kwetu Morogoro enzi hizo …. Km umesoma SUA hapa ni wapi?😂
Tweet media one
25
16
190
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
5 months
Karibuni Viwanja Jamani❤️ Bagamoyo -Anza na 120,000 Kibaha - Anza 225,000 Kigamboni 1. Mwongozo anza na Mil 2 2. Cheka Anza na Mil 2.5 3. Kimbiji Beach Anza na mil 6 4. Kimbiji Kwa Moris - anza na 337,500 5. Buyuni Mahenge- anza na 270,000 Tuko Makumbusho Mwanga Tower 0745124138
Tweet media one
17
99
191
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
3 months
Jumanne Imeisha kinyonge Hamjaja lipia viwanja leo wateja wangu mlioniambia mwisho wa mwezi April😪😪 Leo Tar 2 jamani mfanye miamala jamani viwanjaaa ni vya motoo
Tweet media one
Tweet media two
23
33
187
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
6 months
Baby wako amekusave jina gani?😂
62
15
185
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Salute 🫡 @jobdick05 😍
Tweet media one
4
8
182
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Watu wa humu ndani mnanipa maisha sana mbarikiwe mno😍😍😍 Wote mnaonisupport kwa Kulike ,kuretweet ,Kununua na kunitaja huko kwenye wateja Mungu awazidishie sana sana…..i cant imagine hali ingekuaje bila support yenu mnanivusha hatua kwa hatua 😍😍😍 Ahsanteni🤓
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
70
177
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
6 months
Mje kununua viwanja na nawahakikishia mtapata hati zenu haraka iwezekanavyo ❤️🙏 Afsa Ardhi nmesema hivi😂😂😂😂HATI ni mpango mzima Miradi yetu ipo Kigamboni - Mwongozo, Cheka, Kimbiji , Buyuni Kibaha - Kongowe Bagamoyo- Makurunge 0745124138 Ofisi ipo Makumbusho Mwanga Tower
Tweet media one
18
69
175
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 years
Tweet media one
23
17
176
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Nimebandika Kope Macho Mazito Balaa😄😄 If you know You Know😄😄 By The Way Good Night To You All😍
Tweet media one
30
12
174
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
2 months
Mzee wangu baada ya kutoka Zenji Kuchukua Ubingwa akafika ofisini kunitembelea😂😂 Akaanza nitania “ety nafanya kazi kwenye ghorofa refu siku zote na sisemi”😂😂😂 Mwananchi Mkuu 💚💛
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
27
179
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Hakimi Hakumpenda Mkewe😀😀😀
Tweet media one
56
11
171
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
3 months
Hivi wanawake nao wanatongozaga!??
50
12
177
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
1 year
Available😍 Vifuniko Vya Asali Konki 6000 Tu Jumla kuanzia 6 (za aina 1)-5000 Delivery Ipo na Mikoani Tunatuma kwa Uaminifu Mkubwa 0745124138 #Naombeni mnisaidie kuretweet na kushare Karibuni Sana
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
36
60
174
@Mrs_Pappi
Jessie J🌺
6 months
Kesho Site Wakuuu Nunueni viwanja basi nipate ahueni😻
22
31
175