@EsirEid
Watanzania siyo kwamba hatuna hakili ni tuko sawa na midoli vyovyote mmliki wa mdoli atakavyo amua kuuweka mdoli atauweka na hautàlalamika wala kuhoji
@MariaSTsehai
@DEUSDEDITHSOKA
Ingekuwa hiyo kauli katoa mwanaharakati wa utetezi wa watanzania ungesikia kesi mahakamani kwa kosa la uchochezi lakini kwa kuwa ni CCM wala hutosikua chochote .
@EsirEid
Broo wewe Huna baya unatakiwa upate followers wengi zaidi maana huna maringo chapu una follow back na kuonyesha upendo washauri na mabroo wengine wawe kama wewe maana kufollow back haimpunguzii chochote mtu yeyote
@Jambotv_
@SuluhuSamia
Wajibu wa polisi ni kulinda Raia na mali zao hivyo tunatumaini na kesho watakuwa wakilinda Raia watakao andamana na si kuwaua na kuwapa ulemavu
@TitoMagoti
@nickiaishi
Hii serikali ijitafakali wanacho kifanya ni dhuluma ya haki lakini wakumbuke kuna siku nawao watakuwa raia na hawatakuwa na vyeo vinavyo
@ayubu_madenge
Viongozi na wadau wa soka wana deni kubwa sana kwa watanzania kwa ujumula mwamko wa soka Tanzania huwezi ukalinganisha na taifa lolote Africa ukitoa North Africa