@Labella_Mafia95
Pamoja na juhudi zako kwenye kutafa
maisha usisahau yakuwa ni Mungu pekee ndiye anayeruhusu mabadiliko yakupate, Hivyo usi msahau kwenye mahangaiko yako. Happy new Montb
“Tafuta nafasi, ukipata nafasi onesha uwezo, ukionesha uwezo utajenga jina na kuaminika, ukiaminika utaanza kupata hela, katika kupitia hatua hizi lazima ukubali maumivu ya mchakato mzima" ~ RUGE MUTAHABA
Rest Easy Champ💔
@Labella_Mafia95
Wakikusaidia mahali leo kuna siku watakusaidia na vingine kwenye ndoa yako vitakuumiza. Pambana kaka lipa hata laki maisha yataendelea ukishindwa tafuta kwengineko utapata
@Labella_Mafia95
Wanaweza kuja wengi kukuzika kati yao wachache watashiriki mazishi yako. Wakati Sheikh au Padri anakuombea ulale salama wengi wao watakua busy na simulizi za mpira ama siasa hapo makaburini. Tumuombe Mungu, Dua zetu zina nguvu tukiwa hai
Nishashuhudia mengi na mengine hayasimuliki, Achana na story zao eti “kuna watu na viatu” mambo yamebadilika siku hizi “Asiyefaa Kafaa” Wale “viatu” siku hizi ndio watu
@Labella_Mafia95
Wakati Paul Labile Pogba akiwa kwenye matatizo na kaka zake pamoja na FIFA, aliamua kurudi nyumbani kwao asilia nchini Guinea kwajili ya kusaka utatuzi wa matatizo yake.
Baada ya muda rufaa yake ya kufungiwa miaka minne ya kutojihusisha na mpira wa miguu ilipunguzwa kutoka miaka
Katika muda ambao pesa yangu haitonipa furaha nitarudi kwako kuiomba amani, Katika nyakati ambazo machozi hayatamaliza maumivu yangu nitarudi kwako kuiomba faraja. Good morning
✍️
@shirad21
@Labella_Mafia95
Kioo kinachomsaidia dereva kutazama mbele ni kikubwa kuliko vioo viwili vya pembeni vinavyomsaidia kuangalia nyuma..
Tutumie nguvu nyingi kuangalia tunakokwenda kuliko tulikotoka
Nyuma pangekuwa muhimu Mungu angetuwekea macho kisogoni
@Sativa255
😂😂😂sativa jau sana ety piga chuma paaaaaaa
Sema goma la kwenda itabaki kama kumbu kumbu kwenye maisha yako ila naiyona safali mpya ya maisha yako ikikua kwa kasi yani viewers 1k sio mchezo na huu ni mwanzo2
Ukiachana na mapenzi, Maumivu makubwa kwa vijana ni kuamka asubuhi kumekucha halafu hajui aelekee wapi yaani hana mchongo unaoweza kumfanya akadaka walau senti moja, Eeh Mw/Mungu awapiganie wapambanaji wote, Hali hii ni ya muda tu🙏 good morning
✍️
@shirad21
Kuwa kama ulivyo na sema unachojiskia,kwa sababu wale wanao kuchukia hawana faida, kwako, na wenye faida kamwe hawawezi kukuchukia.
X ni zaidi ya familia yenye upendo wa kweli
They didi its again.🙏🙏🙏🙏🙏
@Labella_Mafia95
Katika muda ambao pesa yangu haitonipa furaha nitarudi kwako kuiomba amani, Katika nyakati ambazo machozi hayatamaliza maumivu yangu nitarudi kwako kuiomba faraja.
Hata kama kuna baadhi ya mambo yako hayako sawa Mungu bado anakuthamini na anasikia unayomuomba usichoke, usivunjike moyo.
Good morning God's people 💫🤍
Sisi ndio wale ambao hatupendi kufanana wala kufananishwa hatupendi kushindana wala kushindanishwa tunapigania nafsi zetu tu na tuna amini kila mtu atapata kwa wakati wake
Good morning
@shirad21
Wakikusaidia mahali leo kuna siku watakusaidia na vingine kwenye ndoa yako vitakuumiza. Pambana kaka lipa hata laki maisha yataendelea ukishindwa tafuta kwengineko utapata good morning
Wakati wa majira ya joto mwaka 2016 taarifa kubwa iliyotikisa duru zote za habari duniani ilikua ni Pogba kurejea United
.
Ikabidi Patrice Evra ambae alikua nae Pogba Juventus anyanyue simu na kuomba kukutana na “La Pioche”
.
Wakati huo Real Madrid ilimhitaji sana Paul na yeye
Ukiachana na mapenzi, maumivu makubwa mengine kwa vijana ni kuamka asubui alafu hajui aelekee wap, Yani Hana michongo wowote wa kufanya aingize ata elfu moja, mwenye zimungu awapiganie wapambanaji wote Hali hii ni yamuda2.🙏🙏🙏🙏 Good morning africa
#subiraInamalipo
@Labella_Mafia95
Wanaume wengi hawapendwi kwa dhati
Wanahudumia kwa upendo na kupokea mapenzi kama malipo. Mara tu wanapopungukiwa upendo huo hufa kama maua yaliyokosa maji
@Labella_Mafia95
Hata kama kuna baadhi ya mambo yako hayako sawa Mungu bado anakuthamini na anasikia unayomuomba usichoke, usivunjike moyo.
Good morning God's people 💫🤍
Bila followers ni kujiongelesha
✍️ Reply handle yako hapa
✍️ Like handle zilizowekwa na watu
✍️ Mtu aki like handle yako mfollow
✍️ Mtu akikufollow follow back
✍️ Mwisho kabisa mnifollow
@shirad21
Kwa pamoja tutafika 10k
@Labella_Mafia95
Kama dunia inalizinguka jua kila siku iendayo kwa Mungu. Jitahidi jua hilo lichomozapo na kuzama iwe ni siku ya mabadiliko kwenye maisha yako. Mungu ameyafanya maisha yetu yawe na mzunguko ili tuzione rehma zake.