P'site Shio Profile Banner
P'site Shio Profile
P'site Shio

@Psiteshio1

36,033
Followers
1,293
Following
4,289
Media
77,049
Statuses

Website designer, Founder at Kinange Company, Passionate graphics design & crypto educator, make your first $ online, Chelsea

Arusha, Tanzania
Joined January 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@Psiteshio1
P'site Shio
7 days
Kuna vitu unaweza kufanya online na ukalipwa bila kuwa na hata 0tshs kama una bundles na smartphone na shughuli hizo ni kama • Testing • Surveys • SocialFi • Research • Airdrops • Focus Groups • Interviews • Case studies • Experiments • Micro tasks •
Tweet media one
108
100
401
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Ijue biashara ya Playstation (PS) inavyowaingizia Watanzania mamillion ya pesa. Gonga LIKE.👇👇
Tweet media one
146
366
3K
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Nimefanya research Miaka 10 nimegundua salon ya kiume inalipa kuliko ya kike. Nimekuwa manager miaka 6 chini ya salon zote 2 na Kila mwisho wa mwaka nilingundua salon ya kiume imeingiza pesa zaidi. Ndugu Mtanzania, kama hujui ufanye Nini na una pesa at least 1M unaweza...
Tweet media one
174
329
2K
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Siku Moja nikiwa naogelea Chemka Hotsprings nikakutana na demu mkali. Tukaanza kuogelea wote Huku tukipiga story za hapa na pale na kufahamiana. ilipofika jioni akaniambia tutaondoka na gari lake... Ndugu Mtanzania kabla ya kuendelea na huu Uzi gonga LIKE Kisha shuka nao
Tweet media one
79
81
2K
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Niandikie jina la simu ya Samsung unayohitaji nami nitareply Bei yake.
Tweet media one
964
112
2K
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
BREAKING NEWS : Elon Musk kaiongezea manjonjo retweet button, ukibonyeza retweet tu unapata blue tick
Tweet media one
80
472
1K
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Ukitoa jibu useme na kwanini, maana inaweza ikawa umebahatisha. Fikirisha ubongo
Tweet media one
486
75
1K
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Mpwa Mwenye Followers bellow 10k. Weka handle yako apa tukufanyie maajabu👇👇 RETWEET
760
211
1K
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Lakini vijana mnakosa adabu sana Sasa Huwa mnaenda DM kufanya Nini😂😂😂😂 Mama zetu hawa🥺🥺🥺
Tweet media one
231
37
1K
@Psiteshio1
P'site Shio
4 months
Demu mmoja mwaka 2019 akaniambia "Mimi siwezi olewa na mwanaume ambaye hajajenga" Nikaguna, nikamuuliza kwanini unasema hivo? akasema "Siwezi olewa kwenye nyumba za kupanga" Nikasema OKAAYY Sasa 2020 nikamkuta ana ujauzito... Nikasema OKAAYY 2021 nikamkuta na mtoto lakini
223
218
1K
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Weka jina lako la biashara nami nitakuundia logo 1 Logo itakuwa 100% high resolution Na Kwa fonts, style, color, design Hadi 50%. Nitaunda Kwa watu 20 wa kwanza watakao retweet pekee na Kila logo nitaitumia dakika 2 Retweet, weka jina.
Tweet media one
595
291
1K
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Kuna mtu anaweza kuniambia ni Kwa namna gani Hizi meli zinaelea juu ya maji na hazizami?
Tweet media one
275
55
1K
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Nimeangalia behind the scenes ya hii movie ya Schwarzenegger 1991 Nimegundua Tanzania kuandaa movie kama hii itabidi tuuze mlima Kilimanjaro
Tweet media one
96
39
1K
@Psiteshio1
P'site Shio
5 months
No comment
Tweet media one
57
72
1K
@Psiteshio1
P'site Shio
5 months
Biashara 19 za KUANZA kufanya pasipo mtaji wowote, Soma Uzi huu na uniambie kwanini Bado unaisingizia Serikali? Gonga LIKE 👏👏👏👇👇👇
Tweet media one
44
248
997
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
HIVI UNAANZAJE KUMSOMESHA MWANAO HKL?
283
22
940
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Ahmed Ally popote ulipo nakupongeza Kwa kutokukata tamaa😂😂😂 Video hii ni ya June 2015. 😂😂😂😂😂😂
171
239
981
@Psiteshio1
P'site Shio
4 months
Hii Lexus LX 570 used hapo China ni million 13 tuu Naomba wataalamu wa Kodi mnipe mchanganuo wake ikifika Tanzania pale Bandarini
Tweet media one
97
46
940
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Asubuhi hii ya wapwa na mabloo na kuongeza followers 500 kwa masaa 2. Weka handle yako tuinuane #wapwatuinuane
491
85
878
@Psiteshio1
P'site Shio
11 months
Unampeleka mkeo kwenu kajifungua, Unasema akakae pale kidogo Kumbe bana huko kwenu hakuna ampendaye mke wako Yaani hata Mama Yako hampikii, ingali ni mzazi Anamka anaenda kukata majani ya ng'ombe kuliko amhudumie mkeo Ukioa hakikisha unaishi mbali na familia zote 2
81
74
938
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Wapwa Leo Naomba Tuinuane Sana, Kama Uko ChiniYa Followers 20K, like na ku comment hapa kisha Follow Wale Wote Watakao Like Comment Yako Pia watakufollow back Usisahau Na Ku Retweet ili ujumbe Ufike Mbali Zaiidi Tuinuane Leo.🙏🙏🙏🙏
301
84
856
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Kama unatafuta PS4 slim, nikuonyeshe chimbo na Bei kitonga?
Tweet media one
105
56
903
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Matendo ya Mungu ni ya ajabu na kutisha. Shuka na hi thread.👇👇 Pia Gonga LIKE kama unapenda Kuni support....
Tweet media one
Tweet media two
45
85
881
@Psiteshio1
P'site Shio
5 months
Fursa, biashara na miradi 152 za kufanya Kwa watu wenye MITAJI Nimeandika Kwa kiswahili. Gonga repost. 👇👇
Tweet media one
25
319
870
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Nimepata habari mbaya sana muda huu. Ukweli mkubwa ni kwamba vijana tunawindwa sana na shetani, Vijana tupo kwenye hatari kubwa mnoo ya kuuwawa, kuwa vichaa, misukule na mambo mengi.. Leo asubuhi mapema saa saa 11 alfajiri napigiwa simu na...
93
59
867
@Psiteshio1
P'site Shio
4 months
Bidhaa huko China ni Bei za kutupwa, Kuna umuhimu wa kuwa na viwanda... Wewe Tanzania ukinunua t-shirt Kwa 15000/= unaona umepiga bingo Wakati huko China ni TSH 900/= Jifunze kutumia Alibaba....
Tweet media one
65
70
856
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Thread ya Leo ni fupi na Ina ujumbe mkubwa kuhusu wewe, ndio wewe. Gonga LIKE twende kazi
Tweet media one
Tweet media two
35
90
835
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Good morning Tanzania. Nimecheza kamari zaidi ya miaka 6, na nikagundua kuwa ni umaskini. Wacheza kamari ni maskini wakubwa, hawana wazo, Matajiri wamefilisika, wameuza mpaka nyumba nimeshuhudia. vijana wengi wezi na matapeli, ombaomba na Wana nguvu za ... #Thread #retweet
Tweet media one
206
133
820
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Kama mmeo ni mzinzi huyo huyo mrekebishe maana umepewa na BWANA Kama ni mlevi huyohuyo mhudumie vizuri, akija mvue nguo, muogeshe na umlishe kama amezidiwa sana. Mpeleke kitandani alale. Akiamka mpe nguo nzuri za kuvaa, huku ukimpa breakfast ya nguvu na makiss moto moto.
98
96
785
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Mpwa Mwenye Followers bellow 10k. Weka handle yako apa tufanye tulicho ambiwa 👇👇 RETWEET #wapwatuinuane
442
117
759
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Karibu Arusha Tanzania.
Tweet media one
35
48
765
@Psiteshio1
P'site Shio
4 months
Kabla hujanunua gari niee, Onana na Serikali ya Tanzania kwanza Lisije kukwama Bandarini.... Lexus ya million 13, Kodi yake ni million 119 Hii Serikali 😂 Ina mpango gani na wananchi kweli?
Tweet media one
174
99
746
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Nauza nyumba yangu kwasababu ya msimu wa kilimo nimeshindwa kumalizia. Location: Arusha-Makumira Ukubwa wa kiwanja 23 Kwa 22. Bei: million 30. Mazungumzo yapo kidogo. Nyumba Ina : 3 bedroom, 1 master, kitchen and dining, public washroom Kutoka lami umbali wa dakika 8.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
81
77
723
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Blogs zinazoingiza mkwanja mrefu hapa Tanzania. MillardAyo estimated revenue Kwa siku 480,000/= Kwa mwezi 14,400,000/= Bongo5 estimated revenue Kwa siku 432,000/= Kwa mwezi 13,000,000/= Mwananchi estimated revenue Kwa siku 523,000/= Kwa mwezi 15,7000,000/= Umegundua Nini?
85
43
715
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Njia 17 za kujilinda na udukuzi wa mtandaoni. Usije ukalia baadae, useme hukujua.👇👇
Tweet media one
13
124
700
@Psiteshio1
P'site Shio
5 months
Biashara 42 za kuanza na chini ya mtaji wa million 1.👇👇👇
20
87
685
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
JPM alipofariki ulikuwa wapi? Ulifurahi au ulihuzunika? Mimi nilikuwa nacheki mechi ya UEFA Banda umiza Chelsea vs Atletico Madrid. (Watu walifurahi sana) sikujua kwanini
Tweet media one
181
26
664
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Story ya maskini Msomi.... Kweli usimdharau mtu maskini hujui Kesho yake, shuka nayo👇👇👇 Gonga LIKE.
Tweet media one
Tweet media two
46
54
655
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Leo nitawaletea videos 3 Kali Hii ni number 3.
149
119
650
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Ukiachana na wanaopost viatu ni wajinga wapi wengine huwa hawana kazi?
126
11
610
@Psiteshio1
P'site Shio
10 months
Gunia la vitunguu ni 300,000/= Magunia 10 una 3M Kulima magunia 10 ni kama 700,000/= Vitunguu ni muda mfupi una faida 2.3M Umaskini unatoka wapi?
159
57
643
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Hii picha nilipiga 2014 Miaka 10 iliyopita. Nilikuwa namwaga zege hapa na kupata pesa Vijana mnaosema hamuoni Cha kufanya, wekeni degrees pembeni Jichanganye, Anza kupiga vibarua
Tweet media one
84
29
637
@Psiteshio1
P'site Shio
5 months
Uliwahi sikia websites ambazo ni hatari na zinauza bunduki, madawa ya kulevya na hata viungo vya binadamu? Sitaki kusema mengi, hapa chini nimelist website zaidi ya 56 ambazo ni hatari sana kwenye internet. 👇👇👇
31
134
642
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Kama Bado hujaoa na una demu wako Amini nakuambia kipimo number 1 ni kuombwa pesa Kama akikuomba pesa, huyo achana nae, Niamini japokuwa Mimi sio nabii
79
64
631
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Kabla sijafunga office, weka jina la biashara/duka/kampuni nikuundie logo 1 buree. Watu 10 wa mwanzo tu ku retweet na kuweka jina la biashara watapata logo muda huohuo. Retweet, weka jina, nifollow
Tweet media one
202
104
625
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Nimeona hizi sarafu nikakumbuka ushirikina. Kuna wale jamaa Huwa wanazitafuta, unakuta sarafu ya 20 TSH ya Zamani anatoa 500,000/= Hivi huu ni ushirikina? Au Huwa wanaenda zifanyia Nini? Zina kazi gani? Nani anajua hata kidogo kuhusu hizi sarafu za zaman au noti
Tweet media one
67
30
627
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Taja hit 1 ya Wakazi Au Nitoe ubongo
Tweet media one
204
21
589
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Hivi ety "CHAPATI" kwa kingereza yanaitwaje.....!!!
150
8
555
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Elon Musk anajibu hata mtu mwenye followers 10 Hata ukimwambia Elon Musk "Hi" ana reply, Mtu anayerusha vyombo sayari za mbali huko, sio level yetu kabisa lakini Hana majigambo Wewe mkulima mwenzangu kulikoni?
Tweet media one
119
34
583
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
200 followers in 30 minutes!! ? Retweet and drop your handles now.
161
78
538
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Wazee wetu waliwanyima watoto wa kike shule, hata urithi. Leo nimegundua walikuwa wajanja sana. Sisi wanaume wa kizazi hichi tufanyeje?
Tweet media one
60
37
575
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
1000+ FOLLOWERS Instantly !! ? Retweet and Drop your username 😇😇😇😇😇
230
69
496
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Vanilla 😥😥😥 Nimefanya research kidogo tu nimegundua mambo ya kutisha nyuma ya kilimo Cha vanilla Naombeni niendelee na research zaidi, (Kwa ajili ya ushuhuda na uwazi) nitaleta Uzi namna ambavyo makampuni ya Vanilla ya..... Tafiti haijakamilika USIOGOPE SANA
Tweet media one
37
42
568
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Comment ukiwa umeshiba
Tweet media one
84
114
565
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Kama Hauna Ndevu Achana na Kujipiga Picha
99
14
535
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Wapwa Leo Naomba Tuinuane Sana, Kama Uko ChiniYa Followers 100K, like na ku comment hapa kisha Follow Wale Wote Watakao Like Comment Yako Pia watakufollow back Usisahau Na Ku Rt ili ujumbe Ufike Mbali Zaiidi Tuinuane Leo.🙏 Muwe Na Jumapili Njema
237
40
521
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Mungu ni mwema. Baada ya kuanza kufanya shughuli za Technology hapa Twitter miezi 4 iliyopita Leo nimepata mteja wa website ambaye amelipia 800k na nimeanza kazi Hii ni kazi ya kwanza kabisa kutoka Twitter Nataka kusema nimekuwa nikipata calls nyingi lakini wanajipanga
Tweet media one
74
53
555
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Hasara 3 za kusoma HKL 1. Mshahara hauzidi laki 4. 2. Umaskini 3. Majuto 4. ..... Ongezea
172
30
559
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Good morning Tanzania. "Ni haki ya Kila mwanaume/mme kuheshimiwa na Mwanamke/mke Tanzania"
54
48
552
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Weka jina lako la biashara nami nitakuundia logo 1 buree. Logo itakuwa 100% high resolution Na Kwa fonts, style, color, design Hadi 50%. Nitaunda Kwa watu 50 wa kwanza watakao retweet na Kuni follow pekee na Kila logo nitaitumia dakika 4 Retweet, weka jina, follow @Psiteshio1
Tweet media one
561
218
539
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Naomba Leo Tuinuane Kidogo Kama Uko below 10k like na ku comment hapa kisha Follow Wale Wote Watakao Like Comment Yako Pia wanakufollow back Teleza na Followers Jumapili hii🙏
135
41
523
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Simu 23 za kununua mwaka 2024 chini ya 300,000/= Gonga LIKE kama unapenda Kuni support. 1. Samsung S9 • Camera 12mp • Battery 3000mah • 4GB RAM • 64GB ROM • Size 5.8'' Bei 289,000/= tsh 👇👇👇
Tweet media one
49
91
545
@Psiteshio1
P'site Shio
5 months
Jinsi Ya Kuandika CV/Resume Kwa Dakika 1 Kwa Kutumia AI Katika thread ambayo hutojuta nii hii,.. Watu wengi wamekosa kazi Kwa kushindwa kuandika CV, ni aibu. Ondoa aibu Yako Leo.... (Bookmark kabla hujalia baadae) Gonga LIKE twende kazi👇👇👇
Tweet media one
14
166
553
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Imagine sai umelala na kitoto Cha miaka 14. Ni uhaini mtupu, ukatili mkubwa. Ni mambo ya aibu sana, ni laana kwenye familia na hata Taifa la Tanzania. Kataaa kuolewa chini ya Miaka 16
109
47
535
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Masturbation is a sin, stop it🤦🤩😙
127
20
503
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Mamilion yamezikwa kwenye kilimo Cha vanilla Njombe na Vanilla Intentional limited 😂😂😂😂 Be careful.
36
32
530
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Kazi 180 za wenye mitaji 1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha. 2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha. 3. Kutengeneza na kuuza tofali 4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na Makampuni mbalimbali.
Tweet media one
31
187
528
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Jamaa kaomba dakika 2 lakini moto umewaka😂😂😂😂
122
130
517
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Banner ni nini? Leo tujifunze mabango makubwa ambayo Huwa unayaona barabarani na sehemu nyingine nyingi. Twende nami.
Tweet media one
20
33
508
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Manchester city wanaupiga mwingi hasa defensive. Kama unataka kuangalia mech hii kwenye simu andika neno APP nilikutumia
Tweet media one
62
23
501
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Jumatatu ya Kuinuana imefika leo, Kama uko Bellow 37K comment handle name yako hapa chini watu wakufuate chap, na Kama bado sijakufuata comment FB hapa chini zoez hili lidumu ndani ya masaa ma tano tu. Twende Kazi... 💪🥑
207
28
458
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Ukiingia gafla hapa utafikiri wana agenda kuu ya kuinua Taifa Kumbe wamechanganyikiwa, Wengine hapo wamehaliwa pesa za bosi zao walizokuwa wanapeleka bank Wengine mshahara wa mwezi umeishia hapo Vijana ni Taifa la Kesho, Taifa haliwezi kuishi Kwa kubeti, kubahatisha.
Tweet media one
145
41
489
@Psiteshio1
P'site Shio
10 months
Njia za kupiga mpaka million 7 Kwa mwezi hapa Twitter Kwa anayeanza unatakiwa uwe na • Followers 500+ • Miaka 18+ • 5M impressions Kwa uliyetimiza hapo juu unatakiwa uwe na hichi kimoja • Blue Tick Kwahiyo, kama unaanza au upo chini ya followers 500 Nini cha muhimu
Tweet media one
134
166
485
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Leo Niko shambani na TT55. Kama unanunua mpya After 3 years make sure umeuza, bada ya mwaka wa 4 inaanza kupigika Kila kona. TT55 Raha yake inakimbia sana, Mali utazipata shambani, Betting inalipa sana.
Tweet media one
56
37
490
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Kuoa mtoto wa miaka 14 huo ni ubakaji.
Tweet media one
109
27
479
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Mambo 5 ya kupiga pesa online ukiwa umelala, 1. Blog 2. E-commerce 3. YouTube 4. Dropshipping 5. Affiliate marketing Tuanze na blog ni Nini? "Nimenunua gari Kwa hii blog, " @Wakale_ Blog Ina pesa. Blog ni 25,000/= tu kumiliki Yako.
38
62
469
@Psiteshio1
P'site Shio
11 months
Moja ya jambo kubwa nataka kufikia Mwishoni mwa mwezi huu Kila aliye follower wangu awe amejua namna ya kuagiza bidhaa China na Nairobi Kama Bado hujajua, Like Kisha reply neno SIJAJUA Nami nitakujibu instant kama bot. Pichani: Bei Ya jumla ni 3000/= unakuja kuuza bongo 22k
Tweet media one
136
67
462
@Psiteshio1
P'site Shio
7 months
Usimlipe fundi pesa akale kitimoto, tatua matatizo ya laptop Yako mwenyewe. Gonga LIKE kama unapenda Kuni support.... (Bookmark baadae utalia ukiwa na laptop) Fungua Uzi sasa 👇👇👇
Tweet media one
27
129
468
@Psiteshio1
P'site Shio
6 months
Kuwa mkweli hapa ungechagua ipi? Na kwanini?
Tweet media one
212
24
463
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Weka jina lako la kampuni nikuundie logo 1 buree. Watu 10 wa kwanza tu watakao retweet na Kuni follow watapata logo. Logo hizi zote zitakuja bila icon yoyote, kujaribu huduma zetu. Retweet, weka jina.
Tweet media one
195
93
457
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Arusha Sekei Juu. Vita imekwisha
Tweet media one
45
18
456
@Psiteshio1
P'site Shio
9 months
Mwaka 2010 nikiwa Sina hili Wala lile Nikiwa nakaribishwa kwenye maisha, Ikatokea nafasi ya kazi za kumwaga zege Walikuwa wanahitajika vijana 10 tu na awali 6 Na Mimi nikajisemea Wacha niende, ilipofika asubuhi Nikadamka nikawahi site, kufika getini nikaona vijana kama
Tweet media one
74
59
466
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Weka jina lako la Biashara nikuundie logo 1. Leo nitaunda logo 1000 ndani ya dakika 5 nitaitumia (AI April Fool day) Kila mtu Leo atapata. Retweet, weka jina lako la biashara. Pia, usisahau kunifollow. Watu wote watakaotuma kabla ya saa 4 asubuhi watazipata instant.
Tweet media one
405
150
446
@Psiteshio1
P'site Shio
6 days
Watu maskini wanakopa pesa wakajenge nyumba Utajiri ni matokeo ya mambo 3 • Income • Savings • Returns Yaani Utajiri = Income+savings+returns Kwahiyo unatakiwa ku focus kuongeza KIPATO chako, kuweka akiba na kuwekeza. Jambo lingine ni kuishi chini ya KIPATO chako, kuepuka
24
112
479
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Imerekebishwa mbio sana
Tweet media one
46
13
438
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Good morning Tanzania. Leo nataka kununua vitu vingi zaidi, lakini kutoka Wanangu wa Twitter. Weka biashara Yako hapa pia picha za kutosha za bidhaa husika, Mimi na wengine tutapita kukuungisha.
Tweet media one
133
50
442
@Psiteshio1
P'site Shio
11 days
Kesho Jumatatu saa 1 Jioni tutakuwa LIVE CHAT Kwenye telegram channel yetu Tukileta mchongo mpya wa kuunda million dollars Watu 30 nitawashika mkono Bure kuunda at least million 1 Bonyeza link kujoin Kwa maelezo zaid Gonga LIKE na comment kuchukua seat
Tweet media one
221
107
447
@Psiteshio1
P'site Shio
9 months
Ukijua hivi vitu 3 Kwa ufasaha hutolala njaa • VPN • Socks • Proxy Au hujui ni vitu gani?
23
28
431
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Ndio unapita road unakuta mzigo mkubwa katikati ya road Unafikiri ni mlevi aliuacha hapo, kumbe ni tajiri mkubwa Kuna mtu anaomba ushauri, pichani Kuna maelezo ya kufedhehesha tunaomba radhi
Tweet media one
Tweet media two
199
40
425
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Good morning Tanzania Mvua kubwa sana zinanyesha Arusha, ni muda wa kutia Mbegu. Mdau mmoja anasema "inakera sana Kila redio kila TV kika kipindi cha redio kuna Tangazo la kubahatisha weka buku Ubukue, kila mtaa au eneo la baa kuna mashine ya kamari Nchi yenye ardhi kubwa ya
Tweet media one
75
45
418
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Tunagombana mimi na wewe afu unakimbilia kusema nina sura mbaya hasa sura imekosa nn??😫😂😂😂😁😁😁
41
9
397
@Psiteshio1
P'site Shio
5 months
Zijue Apps/Software/Websites 3 Ambazo Ni Kama Mihadarati, Hutakiwi kuzijua kabisa kwasababu ni hatari Kwa afya ya watu wengine. Gonga LIKE Kisha shuka na Uzi👇
Tweet media one
18
125
419
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Jinsi nilivyopiga 116,000/= Kila baada ya dakika lisaa 1. Nilifanyaje? Shuka na uzi👇👇👇👇
Tweet media one
18
36
420
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Hekari 1 inatoa gunia 15 za mahindi. Gunia 1 ni 150,000/= ukiuza magunia 15 sawa na 2.25M Gharama za hekari 1. Kulima 60,000/= Kukodi shamba 60,000/= Kupalilia 60,000/= Mbolea 30,000/= Kuvuna 30,000/= Kupukuchua 30,000/= Magunia 15,000/= Kama 300,000 tu, hujagundua kitu?
312
43
420
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Maskini ana watoto 7, mkubwa ana miaka 5. Kuna uhusiano gani kati ya umaskini na kuzaa?
79
27
414
@Psiteshio1
P'site Shio
4 months
Kijana tajiri wa Dar Es Salaam aitwaye Hamis analala kwenye geneza zaidi ya miaka 15. Hana mke, Hana watoto. Lakini mpunga ni mrefu, naona unataka kusema neno 😁😁
50
29
413
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Napoli anafanya msako mkali sana, Milan hatoboi Leo Kama huna DStv basi tazama game hapa live
Tweet media one
6
4
396
@Psiteshio1
P'site Shio
5 months
Nani anataka tufanye space na Chris Lukosi? Mzee wa Madungu Jeshi? Kuhusu kuagiza bidhaa UK? Ameniambia post hii ipate Repost 100 atakuja live.....
Tweet media one
16
129
390
@Psiteshio1
P'site Shio
4 years
Mwanaume ataenda kwa mganga kutaka utajiri, Mwanamke ataenda kwa mganga kutaka mwanaume tajiri...vita ni vita Mura😑😑😑
34
17
379
@Psiteshio1
P'site Shio
1 year
Karibu chemka hotspring. Rundugai-Boma Kilimanjaro Tanzania. Maji tulivu. Sehemu tulivu.
Tweet media one
45
28
382
@Psiteshio1
P'site Shio
9 months
@elonmusk Israel is the Nation of God, its battles are great. There are many enemies. The enemies cannot prevail, but the Nation of God will triumph forever. So that the name of God may be glorified
251
16
378