Kuna hiyo heartbreak niliipata kwa huyo demu anaitwa anitah nikajua yeye ndio kavunja record sitakuja kutumia tena kama vile. Weeh! Komanyoko nikaja kukutana na huyo jini la majini ya kike anaitwa Davina ile mwana ukome bora anitah.
Wanawake ni majini.
Dah! Huyu demu kila nikikutana nae ananikuta na nguo hiyo hiyo.
Unaweza ukapita mwezi tukionana ananikuta siku nimevaa nguo ile ile niliyovaa mwezi uliopita huzuni hii 😢😢.
Kuna demu nilikua namuonaga onaga kwa mbali mbali nikawa natamani kuwa nae karibu,ila nilivyopata nafasi ya kuwa nae karibu kwa dakika 15,nikagundua nahitajika niwe nae mbali zaidi ya muda wote.
Mtu unalala na MB zako fresh tu kwenye simu muda wa kulala na data umezima.
Unaamka asubuhi unakutana na sms umetumia asilimia 75 ya MB zako,sasa usiku sijui majini waliwasha data au vipi?.
Islamic girl kanambia nimvumilie mwezi huu yupo kwenye mfungo wa ramadhani sawa nimekubali.
Na mimi nataka nimwambie anivumilie kuniomba hela mwezi huu wa mfungo wa quaresma,sijui atakubali??.
Hii sio kamba.
Kula pilipili nyingi ikiwezekana pikia kabisa kwenye mboga kwa kuikatia katia then kula robo saa kabla ya game.
Njoo unishukuru baadae,nikutakie j/tatu njema
kuna mademu wanaingia kwa relationship kwa ajili yao tu,hawatojali kwenye kusapoti hustle zako wala shida zako utakapo kwama neno lao kubwa linakuaga "POLE".
Kuna raia kanipigia simu saa 2 na nusu asubuhi,nikamwambia tukutane saa 3:30 asubuhi nikidhani ipo mbali.
Paap! Sijamaliza hata ninachofanya naona muda husika huu hapa.
Humu ndani ukijichanganya kidogo tu unaingizwa chaka.
Unaona jina la mtu la kike kabisa hadi AVI yake,ila angalia muandiko na maneno sasa ndipo utakapo gundua hakuna mwanamke mwenye muandiko wa hivo.
Dah! Wanangu huzuni😢😢
Nimetokea demu kashanielewa tupo kwenye mchakato mzuri,nipo kwenye harakati za kupiga.
Nasikia wana wanapiga story kuwa mtoto kawaka tena kazaliwa nao.