Mwanamke anaweza kutuma picha tu kwenye account yake muamala ukasoma mapema tu ila sio kwako mwanaume amka tukapambane mkuu kumbuka hata wewe ndio hutoa pesa kumpa mwanamke sio yeye kukupa wewe nakusihi amka bro
Good Morning
@julip202
Tamaa ya kufanikiwa mapema, mtu anataka aanze kazi leo baada ya miezi miwili awe ameshajipata na anaweza kuishi anavyotaka lazima wakunwe viboga
Ila watu eti mtu anakutana na post ya mtu anaulizia sites au handle za porn anaingia kwenye comment anamtukana mwamba mwenye post kinafiki halafu anaingia kwenye handle ziliyowekwa pale kuangalia nani anapost vikali.
Kuna mabro humu nao ni mikundu tu wanataka uwanyenyekee ndio wakupe sapoti dm hawajibu wanajiona miungu watu wanahisi hii Twitter wanaimiliki wao mamae tutatoboa tu mdogo mdogo acha tuendelee kuinuana wenyewe
Kama ulinifollow nikakufollow back then umekuwa fala ukani unfollow ili umaintain namba yako ya following unapoteza mda nakufyeka pia sifanya ujinga huo
Kuwa mkali kwako mwenyewe kunaweza kuathiri jinsi unavyowaona wengine. Jifunze kujipa umuhimu ili uweze kufurahia uhusiano mzuri na wengine.
Good Morning
@julip202
Pesa nyingi sana hiyo kuanza me nilianza na laki 6 tu cha muhimu tafuta location nzuri yenye mzunguko wa kutuma na kutoa achana na mzunguko wa masalio halafu kama kuna uwezekano uwe karibu na wakala mkuu mapema tu unatoboa
@TMnyama4_
Namuhitqji huyu please nipo serious nahitaji mwanamke wa kukaa tu nyumbani awe anatumia kifurushi cha kinga'amuzi nalipiaga ila sikai home nakula hasara
Sijui kama ni kweli ila katika safari ya kupambania ndoto punguza adabu na heshima kwa watu, mda mwingine heshima ikizidi inazaa uwoga amini hakuna anaefurahia mafanikio yako isipokuwa wazazi wako.
Good Morning
Nyie boys mnaotumia majina na picha za kike mnatupa changamoto sana wengine basi wekeni hata picha za watu mnaowajua ili tukikuta nyie ni wanaume mtuunganishe na hao mnaowaweka dp zenu
Mda mwingine tunafail kwa sababu tunalinganisha mwanzo wetu na mwisho wa waliotutangulia tunajiona hatufanyi kitu tunasahu kuwa wao walipitia hatua
Good Morning
@TMnyama4_
Jamani mbona lugha nyepesi sana mume wako amejenga kwao sababu ni wa kiume kwao na kaka zako wajenge kwenu kwa sababu ndio wa kiume wewe kaa kwako ushatoka kwenu kwa sasa wewe ni mtu wa ukoo mwingine kwa lugha nyepesi.
Hakuna pambano jepesi katika ushindi wako lazima utaumia pia na maisha ya utafutaji yapo hivyo lazima utaumia lakini mwisho uvumilivu na ukakamavu ndio utakupa matokeo chanya
Good Morning
Kwa kukemea ulawiti, mahusiano ya jinsia moja, ndoa za utotoni na ubakaji tutawalinda watoto wetu na jamii nzima dhidi ya maradhi yakuambukiza kwa njia ya ngono.
Good Morning
@julip202
Nyie ndio mnatupa shida huku mtaani tukiwashika kidogo wanasema wanaumia kumbe mnawawekea vitu vyemu huko demu unashika saa zima hapati hisia kumbe anawaza vibrator
Kila hatua tunayochukua leo inaunda mustakabali wetu kesho. Vijana, acheni tuwe wa kwanza kusimama na kuongoza njia ya maendeleo. Tunaweza kufanya tofauti kubwa
Good Morning
@julip202
Huyu binti anahitaji msaada sana story yake inasikitisha sana lakini hataweza kuwa sawa kama hatoruhusu mtu wa kurejesha imani na amani iliyopotea ingawa itachukua mdaa kuwa sawa kama utasoma comment yangu naomba uni dm
Kwakweli napata furaha sana napoona tunasapotiana kwenye post zetu mimi nimeamua kuwa mtumishi wenu kwenye post zenu nitumieni kila mnapohitaji sapoti yangu mda wowote nipo tayali wakuu
@TMnyama4_
Pengine hata huyo kijana alifatwa yeye mpaka kufikia hapo I mean alitongozwa yeye pengine huwezi muuliza mama yako ni kukosa adabu lakini mnaweza ongea na kujana mumuonye aache hizo pigo mkiona haeleweki mumtongoze mama yake pia
Elon ameniamulia kila siku nikiqmka nakuta amebeba wafuasi humu ni pagumu sana anyways tuzingatie kula ila wewe unaeunfollow tuliokufollow unakatwa na kalaba.
Siku hizi mtu akitaka kupewa wazo la biashara akiwa na mtaji mdogo anauliza "ni biashara gani mtaani inadharaulika ila ina faida sana" acheni bhana sema tu nina mtaji wa 300k nifanye biashara gani ushauriwe kulingana na pesa ako acha janja janja.
Nikikushauri haimaanishi kuwa mimi nauishi huo ushauri niliokupatia nimekushauri wewe tu so ukiona ninafanya mambo niliyokushauri wewe kuacha usishangae ni kawaida yangu.
Wazee oeni wanawake wazuri kwa faida ya watoto wenu hasa wa kike, usitake binti yako apitie wakati mgumu kupata mwanaume kwa sababu ya kuwa na sura ya kiume
Kila siku inatupatia fursa ya kupiga hatua mpya uhai ni zawadi yenye kikomo chake kulingana na matakwa ya mwenyezi Mungu tuutumie vyema kupambania ndoto.
Good Morning
Tatizo lako mkuu unapenda tukufollow ila haupo tayali kufollow back tutaku unfollow tu ni vyema kama tutasaidiana wote acha hizo pigo mkuu weka handle nikufollow ufollow back
Mzee ukinifollow halafu nisikufollow back mda huo kuwa na subra walau kwa masaa kadhaa nitakufollow usikimbilie ku-unfollow mkuu me huwa nawafollow nakaa siku 3 kusubili fb zenu mpaka nawaomba dm kuweni wapole.
Ambae bado sijamfollow ni nani nimfollow?
Habari za mda huu wakuu, saa 10 kamili jioni nitakuwa na zoezi la kuwa unfollow watu wote walioni unfollow kimya kimya na wale ambao wamegoma kufollow back nitaanza na yule msenge alienijibu kuwa hana account.
Watu wanapiga hela za Elon Musk hapa Twitter we umekaa hapo kama fala hutaki kufollow watu wakufollow back unajikuta star nipo hapa nafollow back anaetaka tuinuane njoo chap mkuu.