๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘ Profile Banner
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘ Profile
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘

@Brayan__606

3,423
Followers
1,782
Following
770
Media
46,066
Statuses

A man gambles with what he has. ||chelsea fc ๐Ÿ’™ fans || Subaru fans || IT-codexes. ๏ฃฟ ๏ฃฟ ๏ฃฟ deal withโ€”Articles||funny๐Ÿ˜‚||Books||. ||mfalme wa Twiter||zuri โค๏ธ

Tanzania
Joined June 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
@therealbuni El tipo mรกs afortunado del mundoโ€ฆ Eso es lo que llamamos una segunda oportunidad.
2
10
827
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
17 days
@GalatasaraySK Feneri mi aldฤฑk
48
1
434
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Upo zako bar unakunywa Mara inaingia Text ya mpangaji mwenzako โ€œshemeji punguzeni basi sauti watoto Bado hawajalala โ€ฆ!!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
33
55
373
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
@bidsman The baby is breathing in colors now
3
0
359
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
Mange wa marekani. Mange wa Bongo
Tweet media one
Tweet media two
50
28
336
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
@iztapanero Hola papii๐Ÿ˜‰
Tweet media one
0
15
286
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
10 days
Tweet media one
0
2
294
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
@choquei era definitivamente o seu diaโ€ฆ Quando o seu dia chegar, nada que vocรช fizer mudarรก o resultado
4
6
235
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Nipo hapa mbeya na KAWASAKI ๐Ÿ๏ธ Road swafi kapeti speed ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Ž
Tweet media one
30
20
225
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
@WonderlandJoe @PicturesFoIder This is very scary ๐Ÿฅบ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ
2
0
203
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Good morning saa za hustling Umevaa nini mguuni ๐Ÿ˜Ž
Tweet media one
33
21
167
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Usimdharau anayekupenda ,ajakosa pa kwenda.๐Ÿ“Œ
22
42
149
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
@Whotfismick Nah broโ€ฆ We not finna cook ourselvesโ€ฆ 68ยฐF wpuld be fineโ€ฆ matter of fact put it on 60ยฐF
2
1
151
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Ukiona mtu amejali sana shida zako,jua Aliwahi kupitia shida kama zako na hakukata Tamaa..โœ๐Ÿฝโœ๐Ÿฝ
10
42
141
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Kuna umri Fulani ambao Mwanamke atafikia Ndio ataelewa mwanaume ni muhimu hata Bila hela..โœ๐Ÿฝโœ๐Ÿฝโœ๐Ÿฝ
14
16
140
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Ulaya:๐Ÿ’“ ๐Ÿ’ ๐Ÿ‘ฐ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿ†๐Ÿคฐ๐Ÿป๐Ÿ‘จโ€๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿ‘ง Bongo:๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿคฐ๐Ÿป๐Ÿ’” ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
33
19
136
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 years
Kuna watu siku parapanda inalia, Wao watadhani ni Amapiano.
7
10
123
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
Kila nikitaka kumwamini mwanamke nakumbuka mama alikua akiniambia. NJOO MWANANGU SIKUCHAPI" ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ
9
33
119
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Kwanini nyumba ikiwa nzuri geti lake linakuwa Kubwaaโ€ฆ,elewa swali ndio ujibu swali ๐Ÿ˜Ž
8
14
119
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Ukiambiwa utoe kimoja hapo utatoa nini wasomi zangu ๐Ÿค”๐Ÿ˜Ž
Tweet media one
53
30
110
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Mtu ni mgonjwa tumempeleka hospital Anaanza kugombania kitanda kilichopo karibu Na socket..๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
6
14
107
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Mwambie BINTI Yako โ€ฆ..โ€œPESAโ€ Kutoka Shambani itampa HESHIMA LAKINI โ€œPESAโ€Kutoka โ€œKITANDANIโ€ Itamletea MAGONJWA Na AIBU.๐Ÿ“Œ
16
32
103
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
Process ni tatu tuu! 1:Mnameet ๐Ÿ‘ฅ 2:Mnakulana ๐Ÿ†๐Ÿ’ฆ 3:Mnanyamaziana ๐Ÿ˜๐Ÿค
21
31
108
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
15 days
Pamoja na dhiki na faraja hakikisha haukosi huuu mguu mguuni kwako ๐Ÿ˜Ž
Tweet media one
16
23
97
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Mwanamke anavunja kuni na magoti alafu Unampa moyo wako aifanyie nini..๐Ÿ˜๐Ÿ’”
8
19
93
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Mimi ndio Yule bishoo ambae Siogopi kukatiza na baiskeli yangu mbele ya wapush hashtags wanao vimba na IST za mama zao ๐Ÿ˜Ž
Tweet media one
25
23
94
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
To day I got balloons ๐ŸŽˆ +1age to me ๐Ÿฅ‚
Tweet media one
55
35
86
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
1 month
TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Wanamuziki kama kina ,Nandy,Zuchu,Mauwa sama,Finna,abbychams,Mimi Mars,Caren,โ€ฆHawa si ni wanawake na wengine wanao watoto wa kike na wao ni wanawake pia Ukiachana na hao wakongwe,,,kwamba hawajaliona hili kwamba mtu akibakwa Ni anajiuza ni kahaba pia tunae
20
29
90
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Hii nchi unaweza ukaambiwa tafuta pesa na mtu Ambaye anaishi kwenye nyumba ya Ukoo. ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
20
21
90
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Utaratibu ni ule ule 1.punguza umuhimu kwenye maisha ya watu 2.ukihitajika utaitwa. 3.kama inakuhusu utapewa taarifa. 4.punguza ushauri,watu wana mipango Yao tayari. 5.inawezekana ni kweli lakini hayakuhusu. 6.wapenzi hawashauriwi kwenye mapenzi Yao. :Rudia kusoma tena.!
20
34
87
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Happy birthday @Noedson_tz huna baya kaka ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ‘Š๐Ÿฝ๐Ÿ”ฅ
Tweet media one
29
6
86
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Wakiona hawana matakoโ€ฆ. Wanaanza kuvaa nguo oversized ,ety mumy Jeans ๐Ÿ‘– sijuhi boyfriend jeans.๐Ÿšฎ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
17
14
80
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Usiruhusu watu wakufanye uache kile unachokitaka zaidi maishani. Amini, pigana na ufikie kila kitu unachoweza!
21
26
77
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
Usivae viatu na socks ๐Ÿงฆ ๐Ÿ˜ sijuhi mnanielewa wasomi zangu ๐Ÿ˜†
Tweet media one
18
19
79
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Watu wa dar mkija huku Vijijini tell your kids Bibi akienda Nyuma ya nyumba wasimfwate.๐Ÿ˜€
12
20
77
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
Ipo hivi, itโ€™s either ukumbuke kusali ama maisha yakukumbushe kusali. Utasali tu!!
10
18
74
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
@MariaCorinaYA @EdmundoGU #Yosaliporvzla Viva Venezuela ๐Ÿ‡ป๐Ÿ‡ช
Tweet media one
1
17
76
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Watu wanaweza kukufanyia ubaya ukaamua zako kunyamaza na kulimit their access into your life.Ghafla wewe ndiyo unaonakana mbaya bwana..๐Ÿ˜‚
12
14
70
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
Good morning xfamily ๐Ÿ˜ช๐Ÿฅบ
Tweet media one
19
20
72
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Hii number nime trace huyu kenge yupo tabata paraguda site ya rural road karibu na foutain gate school afatwe pale
@Noedson_tz
CERTIFIED HATER PhD โœจ
3 months
TAPELI TAPELI USITUME PESA KWENYE NUMBER ZA HUYO. BE ALERT.โœŒ๏ธ
Tweet media one
7
50
68
16
20
72
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
UJUMBE MZITO KWA WASOMI ZANGU.โค๏ธ๐Ÿ”ฅ โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€” Usimpoteze unae mpenda kwa sababu ya tama ya siku moja๐Ÿ˜” Usimruhusu aende๐Ÿšถ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿป๐Ÿ˜”๐Ÿ’” Usimuache unae mpenda โค๏ธ kwa sababu ya matatizo yake madogo madogo. Rafiki yangu hakuna pasipo nyesha๐Ÿฅบ Hakuna mtu asiye kuwa na
18
27
65
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Una date na mumama usipo pokea simu yake Anakwambia Angalia sana unapo pakanyaga Mienendo yako kijana mimi sio Rika lakoโ€ฆ๐Ÿฅบ๐Ÿ’”
13
11
71
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Mwanamke ni kama sungura ,๐Ÿ‡ ,Ukitaka Kumshika Lazima umshike masikio ๐Ÿ‘‚
12
22
67
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Manzi mfupi anakutumia picha inafunguka kama stiker ๐Ÿ˜
8
7
68
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Leo ingekuwa sio nimekopeshwa afu nane mchana ningemeza mate nilale ila haya makapi yatanisogeza kidogo ๐Ÿ˜ฅ
Tweet media one
13
16
67
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Mbeba maono afi mpaka yatimie +1 age to chuga king ๐Ÿคด๐Ÿฝ ๐ŸŽ‚๐Ÿฅ‚ 06/06 โ€” ๐ŸŽŠ ๐ŸŽˆ
Tweet media one
19
16
65
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
WASOMI ZANGU ZINGATIENI HILI 1. Usioge maji ya moto 2. Usidate na ex wa mshikaji 3. Usivae chupi 4. Usilie 5. Msalimie kila mwanaume hata kama ni kichaa 6. Jiongezee demu wa mchizi akija ghetto usile kibudu 7. Ukikamatwa umecheat, kamwe usikubali ila jihukumu mwenyewe. 8.
16
20
61
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Mabadiliko ni sehemu ya maisha na kila kitu ambacho tunakichukulia kuwa cha maana leo kinaweza kisiwe cha muhimu kesho.
10
24
62
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Moyoni mwangu huyu mama Nimepa Diarra Aaah Aaaah Kiukweli nimempenda Ila ndo sijui nifanyeje
9
16
62
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
Siku utakayoanza kutambua sehemu ya Ujinga wako ndiyo itakuwa siku yako Muhimu ya kuanza kuwa na busara.
12
23
62
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
22 days
@julip202 Angalia tu usije ukamuua mzee wako anafanya hivyo kwa kuwa asha ona auna future ๐Ÿ˜‚
2
0
64
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Hata walio kufa leo waliamini kifo chao kiko mbali Usiache kushukuru kila leo yako.๐Ÿ™๐Ÿฝ
13
16
61
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
@Whotfismick Why do I feel like thatโ€™s exactly what he said and he proud๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜… look at his face
0
0
62
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Shida ninazo hata kuliko nyie wakuu sema tu simu yangu ndio inatoa picha kali ๐Ÿ˜Ž Niliwaka leo kubabake oyaaa ๐Ÿ˜
Tweet media one
13
20
62
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Itakugarimu pesa nyingi sana kujifanya unapesa ๐Ÿ˜Ž Ishi maisha halisi utopungukiwa na kitu. Unampa asilimia ngapi camera ๐Ÿ“ธ shot ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ’ฅ
Tweet media one
15
16
58
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
@MariaCorinaYA Viva Venezuela ๐Ÿ‡ป๐Ÿ‡ช
Tweet media one
5
14
62
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Watu walio kukosea wanadhani kila unacho kiposti kina wahusu wao๐Ÿ˜ข
9
21
57
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
8 days
@Roma_Mkatoliki @naythetrueboy Haters watasema mengi sana ila kikubwa mwamba kaona kazi za waungwana ๐Ÿ‘Š๐Ÿฝ
0
0
65
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Jitahidi kumvumilia Na kumrekebisha Mpenzi wako pesa ๐Ÿ’ฐ zinatafutwa ila Mtu sahihi Ni Ngumu kumpata..๐Ÿ“Œ
9
20
57
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”
28
10
58
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Niwakumbushe tu kitu ,katika marafiki zako Kuna rafiki yako mmoja Anapendana na Mpenzi wako kuliko hata weweโ€ฆ Wanavuta subra Tu.๐Ÿ‘‘
8
13
59
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Wasomi zangu!!๐Ÿ˜Ž Kamwe usiwaonyeshe watu โ€œNGโ€™OMBEโ€ Wako anae kupa โ€œMAZIWA โ€ maana Wanaweza wakampa โ€œSUMUโ€.๐Ÿ“Œ
7
18
53
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
If you think tweeps girls will love you because your handsome merry Christmas ๐Ÿ˜ Leo niliwaka ila nilimulikwa na jua ๐Ÿ˜Œ
Tweet media one
18
17
55
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
29 days
@MariaCorinaYA โ€œNadie puede forzarlos a callar; tienen derecho a rebelarse.โ€
2
9
58
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Father:2003 Mother:2006 Child:2022 Unazani Sukari itakuwa inakaa muda Mrefu Humo Ndani.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ
12
15
54
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Upo zako umetulia na mafuraha kibao umeshiba zako Mara una hili wala lile Anaotokea mtu anakutumia text kwa herufi kubwa ..๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’
5
11
56
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
โš ๏ธPesa inaweza kununua Mwanamke lakini Sio mke,na inaweza kununua penzi lakini sio Upendo.๐Ÿ“Œ
13
17
53
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Mimi naamini katika kitu kimoja kama mungu ndie aliye muumba mwanadamu kwa Mfano wake na akampangia maisha ya kuishi na pumzi za kutosha atoruhusu lolote baya limkute mtu wake mja wake sisi Kama familia yako bro tunaomboleza na kufunga tunaamini upo salama na hakuna chochote
Tweet media one
19
19
52
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Kila siku ya maisha yetu tunajifunza kutokana na makosa yetu au ushindi wetu, lakini cha muhimu ni kujua kwamba kila siku tunapata kitu kipya.
15
23
53
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
Maisha yako yanastahili yawe kama kitabu, kila siku ukurasa mpya, kila saa maandishi mapya, kila dakika neno, na katika sekunde kile ambacho kinaweza kubadilisha hadithi yako.
6
20
53
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
14 days
Kaka ukitaka kujua siri za mkeo muite Mke wa jirani yako malaya .๐Ÿ‘
8
15
54
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Wanaojielewa huwa hawangaiki kujionyesha Kwa watu kuwa wanajielewa na huwa hawajali pia Kama wanaeleweka kwa wengine.๐Ÿ“Œ
11
22
50
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
25 days
@mangekimambi Ila kila amwagae damu ya mtu itamlilia ardhini na kutafuna kizazi chake sawa ni mwanzo ila akuna mwanzo lisilo kuwa na mwisho mange
1
4
54
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
1 month
KX Kila nikikumbuka kuwa itafika kipindi uzee huo ata mjulubengโ€™a nitakuwa siwashi sana nachoka.๐Ÿ˜ž๐Ÿ˜‚ Anyway njooni kisongo.
Tweet media one
20
21
53
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
wakuu tusiache kuomba mungu yupo all the Time wazee huyo alie nipa sumu na kujaribu Kuniua ajue nipo mzima mungu atoki kwao And Iโ€™m okay right now ๐Ÿฅน๐Ÿคฒ๐Ÿผ๐Ÿ™๐Ÿฝ
12
14
48
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
20 days
Sio kila matatizo yanataka maombi,nenda Kawaombe msamaha ulio wakosea na kuwadhulimu,machozi yao yanakuhukumu.๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ
10
23
53
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 years
0
0
50
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Mungu akusaidie ufanikiwe ili uje uyafute Machozi ya mama na baba yako waliyo kuwa Wakiyatoa sirini wakikuombea mafanikio pasipo Hata wewe kujua.๐Ÿ™๐Ÿฝ
12
21
50
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Watu wanaficha 20Billion kwa bank Wewe unakaa ukificha โ€œLast seenโ€ ya whatsap๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…
7
12
49
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Demu unamsalimia leo saa tano asubuhi saa kumi na moja gesi imeisha๐Ÿ˜ญ
10
13
48
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Nenda tu kanisani bro hao wanawake unaokwenda kuwanunulia pombe hata jeneza huwa hawabebi
7
21
50
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Watu wakiwa wanapost jinsi MUNGU alivyo Wabariki Acha kuwa Na roho mbaya Na kusema Wanaringa,Muombe MUNGU akubariki na wewe Uache makasiriko ubarikiwe kama wao walivyo Barikiwa.๐Ÿ“Œ
7
17
47
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
1 month
@ze_mandevu Eeeh!Mungu baba ikikupendeza hicho kiti kimteketeze kama vile kinavyo wateketeza wafalme wasio kuwa na hekima amina ๐Ÿฅบ๐Ÿ™๐Ÿฝ
5
6
50
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Hii asubuhi ya mbeya ni yamotoo ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜‚๐Ÿซก
Tweet media one
8
4
48
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Jitahidi Watu Wasijue Kama Hauna Akili.๐Ÿ˜Ž
10
9
46
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Nawa appreciate sana watu wa nguvu ahsanteni 2k ๐Ÿ™๐Ÿฝ
Tweet media one
13
15
48
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 months
Hakuna mwanamke mwenye hisia na Wababa Ni njaa tu Na kukosa Adabu.๐Ÿ˜Ž
7
16
49
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Kuamka asubuhi na kuto kumshukuru Mungu hiyo ni dharau! Mshukuru Mungu wako kwa kukuamsha aaubuhi hii ya leo!
10
20
45
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Humu ndani watu wakatili sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ
Tweet media one
18
9
50
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Sema niliwaka qhumaaamake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
12
6
48
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 years
@nyuki_malkia Umenikunbusha mbali qhumaaamake Kuna jamaa anapigaga kelele chumba cha pili hapa adi analetewa noma na demu Kuna siku analia kabisaa adi tunatamani tumwambie vipi aisee๐Ÿ˜น
2
0
46
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
4 months
Usilazimishe kueleweka.๐Ÿ“Œ
9
13
49
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 years
0
0
38
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Niseme tu kuwa wale wapiga nyeto wanateseka sana kipindi hichi poleni wazee..๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
7
5
48
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
3 months
Dada kosa lako kubwa ulilofanya ni Kumkabidhi kijana hisia zako wakati Yeye alifwata matako tu.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿค•
13
16
46
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
5 months
Demu anakuja na pochi kubwa inaweza Kubeba sabufa yangu afu unaniuliza mbona Silali .๐Ÿ˜‚๐Ÿฅน
14
8
47
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
13 days
Mlisema kula birian ijumaa ni sunna โ˜บ๏ธ
Tweet media one
8
11
48
@Brayan__606
๐” ๐”ฅ๐”ฒ๐”ค๐”ž ๐š”๐”ฆ๐”ซ๐”ค๐Ÿ‘‘
2 years
@kabujeDr @OriginoZee17 @babalao__ @BaloziMbeya @zeeLaPelepeche @aliko_monster @Julius23june @Kirikuu20 @mbaade_tz @Ireneigora Mkaa kwenye earth Rod ina kazi ya kuwasha umeme pindi tu tannesco wakitaka iwe giza yaani wakikata umeme mkaa unawaka
7
1
46