Hii trend ya diamond na Sarah inawafanya wanaume waanze kututisha like nyakati ngumu hazidumu 😂😂oya hauwez kua diamond,na hautakaa uwe, em mtupishe uko.
Haya matendo tuliyoonesha au kufanya wakati wa mfungo ,tukiendelea nayo hata baada ya mfungo bas Mungu hawezi kutuacha hivihivi ,lazima atushangaze Kwa vitu vingi sana 🙏
Good morning.
@TMnyama4_
Pepo limekuingia binti,ikiwezekana nenda kweny kambi za maombi huko ukae hata miezi miwili ,omba Kwa kumaanisha ,hatuna kimbilio lingine zaidi ya Mungu ,an everything will be okay .
Yafurahie na jivunie mazuri uliojaliwa na Mungu,mapungufu kila mtu anayo! Na nikwasababu ya ubinadam tuliopewa na Mungu Mwenyewe .
Good morning family ❤️
Tuwafundishe mabinti zetu ,kupika vizuri ,usafi wa mwili na nyumba ,kuishi vizuri na watu ,kujipambania katika kila Hali ,kwaajili yao!tusiwaambie wanatakiwa kufanya hayo kwasababu ya ndoa ,hii itawasaidia kiakili hata wasipofanikiwa kuzipata hizo ndoa ,bado watakua salama 🙏