Nahitaji kabati kama hizi 3,
Kama kuna mtu anamjua mzabuni anaeweza kuniuzia, Awe mwanza au Musoma..
Taratibu za mauziano zinazingatia taratibu zote za kiserikali,
Rt yawezekana mzabuni akawa kweye TL yako...
Kwa waliopo Mwanza na Musoma nisaidieni kwa hili..
@abdulazackabdul