Kijana unalalamika maisha magumu lkn upo kwenu na una Tecno ya laki 3
Mayai ya chotara tray 15,000
Kutotolesha 10,000
Unapata vifaranga kuanzia 20-25
Ukilea hao kuku kwa miezi 5 ukiuza
15,000ร25=370,000
Kuku 25 kuwatunza kienyeji hawamalizi hata 100,000 na utapata faida.