Kamwe hawawezi, na usitarajie hilo kutoka kwao! The past few days, TCRA waliintroduce ada kwenye social media. Walikakaa kimya kwa kuwa wanaweza kulipa! Ule ni uonevu kama uonevu mwingine!
When, I see this man, I remember MESHACK, SHADRACK & ADNERGO! those three was survived to the fire! Mtu huyu ni sahihi kwa taifa letu.
#SasaBasi
#NiYeye2020
Umefanya siasa pekee yako miaka 5, umejenga SGR, flyover, mandege 9, barabara kila kata, hospitali kila kata.
Unatoa wapi hofi ya kufungia local media house zisiungane na international!? 😃😃
Suphiani and Kigogo gave you the Voice when all of us were scared.. kwa sasa wamegundua kule walipokuwa ni janja janja watu wanatengeneza mirija ya hela tu (na wao hawana price) hawajali chochote kuhusu nyie na shida zenu.. shida ipo wapi? Matusi ya nini?
Wazazi wangu wameshinda tuzo la - Mkulima Bora - wa kwanza - Wilaya ya Hai. Hapa wakiwa wametoka kupokea cheti cha ushindi katika Maonyesho ya NaneNane Kanda ya Kaskazini - Arusha. Nimefurahi sana. 🙏🏿
Kikosi kazi kina report kwa Rais, kinatumia fedha za umma
Halafu wana foji majina ya watoa maoni , wanasambaza hiyo barua kwa wadau mbalimbali ili kuonyesha watu kwamba wako supported kufanya hiyo kazi yao mbovu
Ofisi ya Rais ina dili vipi na wasanii wa namna hii?
#KatibaMpya
@MariaSTsehai
Waliweza kununua madiwani na wabunge hakuwasaidia, hata hilo halitakuwa msaada. Wametupa nguvu ya kudai haki na kupaza sauti kukumea uovu wao.
@kigogo2014
Mathayo 4:23
Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Alidanganya Mzee Yupo Hai, Akadanganya Idadi Za Ajira Serikalini, Akadanganya Kukutana Na Viongozi Fake Wa Kimasai, Bado Anadanganya Ukubwa Wa Eneo La Ngorongoro, Bado Yupo Ofisini Kwasababu Ya Katiba Mbovu Tuliyo Nayo. Tupambanie Tupate
#KatibaMpya
#WenyeNchiWananchi
Trump anaingia kama underdog katika mdahalo huu, kwa sababu ya skendo ya ukwepaji wa kodi aliyonayo. Ila trust me, this will be the winner on that debate.
Leo ndani ya jiji la Cleveland huko Ohio,Donald Trump anakutana uso kwa uso na Joe Biden kwenye mdahalo wa dk 90 bila mapumziko.Mdahalo huu utakuwa wa kwanza kati ya mitatu itakayofanyika kabla ya uchaguzi wa Urais Novemba. Nini mtazamo wako juu ya Mdahalo huu na Uchaguzi wa USA?
Eti staha???!! Yaani mocking
@TunduALissu
“eti amemimiwa risasi 16” - haya mnaona mazuri?
“Eti wamevunjwa mguu” ina maana
@freemanmbowetz
alijuvunja mguu?
Hii ni lugha gani?
Leo mnataka staha?
Hebu FANYENI ustaha kwa KUWAJIBISHA wahusika na
#KatibaMpya
- mengine yatakuja!
Hayati B.W. Mkapa katika kitabu chake cha My life, My Purpose, alipata kushauri kuwa na tume Huru ya uchaguzi. Ni rai yangu tunapo sheherekea kifo chake, tukumbuke tume Huru ya uchaguzi mwaka huu ni haki ya kikatiba!
#77Nyeupe
Acheni double standard, Majaliwa mnasema ni mjumbe wa kamati kuu, ndio maana anapiga kampeni nchi nzima. TL ni m/m’kiti anatimiza majukumu yake mnapata shida!
Chumba cha gharama ya Juu kabisa ni $26,300.00 kwa siku (Tsh 65 million kwa siku kwa chumba kimoja). Vyumba vya kawaida ni kama $1095.00 hadi $5000.00 kwa siku. Bila kodi. Hawa watu walichukua floors tatu.
Tumemaliza salama Uchaguzi wa kura za maoni Same Magharibi nimepata asilimia ya kura 12.5% huku Mgombea mwenzangu Gervas Mgonja ameshinda kwa kupata asilimia 87.5% ya kura. Tutashirikiana kwa kila hatua ili kuleta mabadiliko katika Jimbo na Taifa kwa ujumla. Chadema imeshinda.
Tuliwahi kumsikia katibu mkuu Dkt. Ally Bashiru akisema
@ccm_tanzania
itatumia dola kubaki madarakani. Niwaambie tu, nguvu ya umma ni kubwa kuliko hiyo ya dola.
@tanpol
hamwezi kubeba ccm, watanzania wakiwakataa! Acheni kutumika!
Jeshi la Polisi wenye silaha za moto na Mabomu ya machozi muda huu wameuzuia msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
@TunduALissu
maeneo ya Kiluvya ukiwa unaelekea Kibaha.
Kata ya Mwisenge tulikuwa na Mkutano Bora kabisa na nikamuombea Kura Diwani Mh Bwire Nyamwero Bwire, mbunge MH
@MwitaJulius2000
na Rais Mh
@TunduALissu
Musoma Mjini tuna Jambo letu 28/10/2020.
Asanteni saana!!!
#HABARI
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya DAWASA na Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) mstaafu, Jenerali Davis Mwamunyange amebanisha kuwa hata yeye kwa sasa nyumbani kwake hapati huduma ya maji ya DAWASA na anatumia maji ya kisima yenye chumvi.
#EastAfricaTV
@theSICARIO_255
@MagufuliJP
kupiga kura ni haki ya kila raia kikatiba, unapopiga kura unafanya maamuzi ya miaka mitano, hivyo ni muhimu kufanya maamuzi
Tatizo letu tumekuwa madikteta hadi kwenye mahusiano na ndoa. Tunajenga familia ambazo zitakuwa katili baadae. Watoto wakisikia gari ya baba nje, walikuwa wanaangalia TV, wanarukia vitabu kuzuga walikuwa wanasoma. Wanaume tumekuwa kama masultan kwenye familia zetu, ubabe mwingii.
Leo asubuhi kaka yangu
@HecheJohn
alikuwa anampa habari kaka yangu
@MwitaJulius2000
kuwa maccm wanasomba watu kwa mabasi na malori.
Wameenda hadi kumsomba bibi wa watu, wamesahamu kama anatakiwa kupumzika, ona sasa alivyowaaibisha! Mmeishiwa ushawishi kwa wananchi.
Nasikitika kuona jeshi letu la Polis (
@tanpol
) kuwa jeshi la kufumbia UHALIFU unaotendwa na watu wanojipendekeza kwa Rais. Jeshi linalo samehe mtu mwenye njama ya kuunda vikundi kigaidi vya Kisukuma venye lengo la kushambulia watu wanomtusi Rais ambaye ni Msukuma
#FreeSheikhPonda
Nami namtakia Rais Samia heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake.
@ikulumawasliano
Mfikishieni salamu zangu kuwa, kwa kuwa siku yake imegongana na kumbukumbu ya mauaji ya 26 na 27 Januari 2001 Zanzibar na DSM Allah amuongoze kuharakisha tiba kupitia
#KatibaMpya
na
#TumeHuru
Hii vita kama imeanza mapema sana !!!! Kuna nini kinaendelea? Ikifika 2023 wote tutaambiwa hatuwezi kuwa raisi , as fact I don’t like Kabudi leadership Ila sioni ulalali wa JPM kusema haya maneno hana hiyo mamlaka ni ya wananchi
Nimeanza kusikiliza Album Mpya ya Diamond
#FirstOfAll
. Ila huu Wimbo Nawaza ni wa moto sana, Kijana kaimba kwa kutulia na kwa hisia sana, kimsingi katukumbusha yule
@diamondplatnumz
wa zamani. Mnyonge mnyongeni ila huu wimbo na Album nzima iko Poa sana.